Jamii iliyo Bora (9)
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 14
DiniMasharti na Mazingira ya Kudhihiri kwa Imam Mahdi (as)
Hawzah/ Kila tukio katika ulimwengu huu linatokea pale masharti na mazingira yake yanapotimia, na bila kutimia kwa mazingira hayo, hakuna kitu chochote kinachoweza kuwepo.
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 13
HawzaUmri wa Imamu wa zama (a.s)
Hawza | Kwa mujibu wa itikadi ya wafuasi wa dini zote za mbinguni, vitu vyote ulimwenguni viko chini ya mamlaka ya Mwenyezi Mungu, na athari zitokanazo na vitu hivyo zinategemea matakwa Yake.…
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 12
DiniJua Nyuma ya Wingu
Masuala ya ghaiba hayapingani na falsafa ya ulazima wa kuwepo kwa Imamu Maasumu (as); kwani Imamu Maasumu, hata katika hali ya ghaiba, yupo, na manufaa yake yanawafikia wengine. Ni sehemu tu…
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 11
DiniFaida za Imamu Aliye Mafichoni
Je, nafasi ya Imamu katika mfumo wa kuwepo kwa viumbe ni ipi? Je, athari zote za uwepo wake zinategemea kudhihiri kwake? Je, yeye yupo tu kwa ajili ya kuwaongoza watu au uwepo wake ni chanzo…
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 10
DiniAina za Ghaiba ya Imam Mahdi (a.s.)
Kuwasiliana na Mawakili wanne wa kipekee (Nuwwāb Arbaʿa) pamoja na kufanikiwa kwa baadhi ya Mashia kufika mbele ya Imam wao katika kipindi cha Ghaiba ndogo, kulikuwa na athari kubwa katika kuthibitish…
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 9
DiniFalsafa ya Ghaiba (kutoweka) kwa Imam Mahdi (a.s)
Kwa hakika, ni kwa nini Imam yupo katika pazia la ghaiba, na ni sababu ipi iliyopelekea watu kunyimwa baraka za kudhihiri kwake?
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 8
DiniDhana na historia ya Ghaiba (kutoweka)
Ghaiba au maisha ya kifichoni si jambo jipya lililotokea kwa mara ya kwanza tu kuhusu hujjah wa mwisho wa Mola Mlezi, bali kutokana na riwaya nyingi inaonekana kwamba baadhi ya Manabii wakubwa…
-
"Kuielekea jamii iliyo bora" (mfululizo wa utafiti kuhusu Imamu al-Mahdi (a.s) - 6
DiniNi Mwenyezi Mungu pekee tu ndie mwenye haki ya kumchagua Imaam
Mwenye mamlaka ya juu kabisa juu ya kila kitu ni Mwenye Mungu, na wote wanapaswa kumtii Yeye peke yake. Kwa hivyo ni wazi kabisa kwamba mamlaka hii inaweza kutolewa na Allah kwa yeyote yule kulingana…
-
Kuielekea Jamii iliyo Bora | Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s) - 5
DiniSifa za Imam: "Kuisimamia jamii na Kupambika katika maadili yaliyo kamilika"
Imam, ambaye ni kiongozi na muongozaji wa jamii, ni lazima ajiepushe na maovu yote pamoja na tabia potofu kimaadili, na badala yake awe ni mwenye sifa zote bora na maadili ya kiwango cha juu…