Iraqi (20)
-
Mwakilishi wa Ayatullah al-Udhma Sistani:
DuniaMadrasah ya Imam Hussein (as) Ni Sababu ya Kuvuruga Mipango ya Maadui
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Ahmad Safi amesisitiza kwamba; shughuli za tablighi ni jukumu linalobebwa na kila mtu, na zina athari kubwa katika ujenzi wa jamii.
-
DuniaMaandalizi ya Hafla ya Kubadilisha Bendera ya Kuba ya Haram ya Hadhrat Abul-Fadhl al-Abbas (as)
Hawza/ Kamati ya Hafla ya Kubadilisha Bendera katika Haram Takatifu ya Abbasiyya imetangaza kukamilika maandalizi yake kwa ajili ya kuandaa hafla ya kubadilisha bendera ya kuba ya Haram Tukufu…
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad:
DuniaNchi kujitegemea ni Mstari Mwekundu; Iraq Inahitaji Uelewa wa Kisiasa wa Kukataa Uingiliaji wa Kigeni
Hawza/ Ayatullah Sayyid Yasin Mousawi amesisitiza kwamba; “Nchi kujitegemea ni mstari mwekundu” kwa Iraq, na ameonya kwamba; juhudi za kueneza na kuimarisha utamaduni wa utegemezi kwa mataifa…
-
DuniaMwakilishi wa Bunge la Iraq/ Iraq na Iran ni Mataifa Mawili yenye udugu
Hawza/ Mwakilishi wa Bunge la Iraq alisema: Iraq na Iran ni mataifa mawili ndugu ambayo yana mizizi ya pamoja katika itikadi za Kiislamu, maadili ya kidini na mipaka ya kijiografia inayowakutanisha.
-
DuniaMashinikizo ya Marekani yanazuia kukamilika kwa mchakato wa kuiunda serikali mpya ya Iraq
Hawza/ Wakati juhudi na hatua za mikondo mbalimbali ya kisiasa nchini Iraq za kukamilisha uundaji wa serikali mpya zinaendelea, vyanzo vyenye taarifa vimeripoti kuwepo kwa hujuma za Marekani.
-
DuniaImamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad atahadharisha kuhusu kuongezeka kwa mpasuko kati ya tabaka la kisiasa na wananchi wa Iraq
Hawza/ Ayatullah Sayyid Yasin Mousawi ameonya kuhusu kuwepo kwa mpasuko mkubwa kati ya tabaka la kisiasa na wananchi wa Iraq, huku akisisitiza kuwa; nchi ipo katika njia panda kati ya mamlaka…
-
Sheikh Al-Khazali:
DuniaMuqawama haujajikita katika kazi za kijeshi pekee, bali umefunguka hadi katika kulijenga taifa lenye nguvu
Hawza/ Katibu Mkuu wa Harakati ya Asa'ib Ahl al-Haq amesema kuwa; Muqawama haupaswi kutazamwa kuwa umefungika katika shughuli za kijeshi pekee, bali ni mwelekeo unaoendelea kuelekea katika ujenzi…
-
DuniaMuqtada Sadr, Amjia juu Balozi wa Uingereza
Hawza/ Sayyid Muqtada Sadr, kiongozi wa Harakati ya Kitaifa ya Kishia nchini Iraq, alionsha hasira na kutoridhishwa kwake kutokana na kauli za Irfan Siddiq, Balozi wa Uingereza mjini Baghdad.
-
DuniaAmmar Hakim asisitiza kuiunga mkono serikali ya sasa ya Iraq na aitaka kuzikabili changamoto za kiuchumi nchini Iraq
Hawza/ Ammar Hakim, katika khutba ya Swala ya Idi mjini Baghdad, alitangaza kuiunga mkono serikali ya sasa ya Iraq inayoongozwa na Ali al-Zaidi.
-
DuniaMuqtada Sadr atangaza kujiunga kwa Vikosi vya “Saraya al-Salam” na serikali ya Iraq
Hawza/ Muqtada Sadr, kiongozi wa Harakati ya Kitaifa ya Kishia nchini Iraq, ametangaza kuwa: Vikosi vya “Saraya al-Salam” vitajitenga na Harakati ya Sadr na wanachama wake watajiunga na serikali.
-
Khatibu wa Swala ya Idi mjini Karbala Iraq:
DuniaMisimamo ya Wairaq katika nyakati za shida ni dhihirisho la uhalisia wa mshikamano wao na kuitikia wito wa Marjaiyya
Hawza/ Hujjatul Islam Sheikh Salah Al-Karbalaei alisisitiza kuwa; misimamo ya taifa la Iraq katika mazingira magumu ni dhihirisho la uhalisia wa mshikamano wao kwa taifa lao na ni mwitikio unaostahili…
-
DuniaMaadhimisho ya Maelfu ya miaka ya Kuanzishwa kwa Hawza ya Najaf Ashraf kufanyika
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Ahmad Swafi, wakati alipo itembelea “Kamati Kuu ya Kuhuisha Turathi”, alisisitiza ulazima wa kuelekeza juhudi zote kwa ajili ya kufanikisha maadhimisho…
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad:
DuniaIraq inahitaji maamuzi huru yasiyo chini ya utawala wa Marekani
Hawza/ Ayatullah Sayyid Yasin Mousawi, huku akisisitiza umuhimu wa kulinda mamlaka ya kitaifa ya Iraq, ameonya kwamba; nchi hiyo inahitaji maamuzi yaliyo huru kikamilifu na mbali na utawala wa…
-
DuniaHarakati ya Wananchi wa Iraq yatoa onyo kuhusu njama za Jordan
Hawza/ Hussein Al-Karawi ameonya kuhusu njama iliyoanzia Jordan, ambayo lengo lake ni kuibua mifarakano na mgawanyiko ili kuiweka serikali ya Iraq katika mzozo na wana wa Muqawama.
-
Meya wa Kashan Iran:
DuniaTupo tayari kupanua ushirikiano wa kiuchumi, kitamaduni na kielimu na Iraq
Hawza/ Meya wa Kashan amesema: Tuko tayari kupanua ushirikiano wa kiuchumi, kitamaduni na kielimu na nchi ya Iraq.
-
Imam wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad atoa tahadhari kwa kusema:
DuniaIraq iko mbele ya mabadiliko ya hatima katika hatua ya kuchorwa upya kwa mizania ya nguvu za dunia
Hawza/ Ayatullah Sayyid Yasin Mousawi, akitoa tahadhari kuhusu “mlipuko hatari wa kijamii” nchini Iraq unaotokana na kutengana kwa mikondo ya kisiasa na matakwa ya wananchi, alisisitiza kwamba;…
-
DuniaAyatullah Mudarrisi alisisitiza juu ya nafasi ya kistaarabu ya mama katika kulea vizazi vyema
Hawza/ Ayatullah Sayyid Muhammad Taqi Modarresi, miongoni mwa wanazuoni wa Iraq, alisisitiza kwamba; Qur’ani Tukufu imeweka wazi nafasi ya mama katika jamii.
-
DuniaMapokezi ya Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Najaf Ashraf kwa uteuzi wa Waziri Mkuu mpya wa Iraq
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanji alisema: Kwa kuchaguliwa Ali al-Zaidi kuwa Waziri Mkuu wa Iraq, tumetoka katika mkwamo wa kisiasa, na huu ni uzoefu mpya kwa Iraq.
-
Mkurugenzi wa Kituo cha Kiislamu na Kitamaduni cha Basra, Iraq:
DuniaLeo watu wote huru duniani waiunga mkono Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Hawza/ Sheikh Ra‘d al-Bahili, huku akirejea uungaji mkono wa wapenda uhuru duniani kwa upande wa haki, alisema: Leo si tu kwamba mhimili wa muqawama wa Kiislamu ndio unaounga mkono, bali watu…
-
DuniaIran Haiko Peke Yake; Maandamano Makubwa ya Kupinga Uzayuni Yafanyika Kadhimain Iraqi
Hawza/ Maelfu ya raia wa Iraq wamefanya maandamano makubwa ya kupinga utawala wa Kizayuni katika mji wa Kadhimain, huku wakitangaza kuiunga kwao mkono Jamhuri ya Kiislamu ya Iran