Iraqi (34)
-
DuniaHafla ya Mazishi ya Miili ya Baadhi ya Makamanda wa Hashd al-Shaabi Yafanyika Katika Eneo la Haram ya Hadhrat Abul-Fadhl al-Abbas (as)
Hawza/ Uwanja wa Haram ya Hadhrat Abul-Fadhl al-Abbas (as) umeshuhudia hafla ya mazishi ya miili ya baadhi ya mashahidi wa Hashd al-Shaabi.
-
DuniaChuo Kikuu cha Al-Zahra mjini Karbala chawa mwenyeji wa Kongamano la Tano la Kimataifa la “Ulingano wa al-Aqsa”
Hawza/ Chuo Kikuu cha Al-Zahra mjini Karbala kilikuwa mwenyeji wa Kongamano la Tano la Kimataifa la “Nidaa al-Aqsa”, lililohudhuriwa na wajumbe na shakhsia kutoka nchi mbalimbali.
-
DuniaAyatullah A'rafi atembelea nyumba ya Marehemu Ayatullah al-Udhma Fayyadh
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, akiendelea na ziara yake nchini Iraq, alitembelea nyumba ya Marehemu Ayatullah al-Udhma Sheikh Is'haq Fayyadh, mmoja wa Marajii Wakuu wa Taqlidi nchini…
-
Katika Kongamano la “Ulingano wa al-Aqsa” mjini Karbala:
DuniaAyatullah A'rafi asisitiza kuwa, Iran itaendelea kuiunga mkono Palestina
Hawza/ Ayatullah A'rafi katika hotuba yake kwenye kikao cha ufunguzi wa Kongamano la Tano la Kimataifa la “Nidaa al-Aqsa” lililofanyika Karbala, alisisitiza kuendelea kwa uungaji mkono wa Jamhuri…
-
DuniaMkutano Mkuu wa Kamati ya Arubaini ya Hawza na Masheikh, pamoja na Viongozi wa Kikabila wa Mkoa wa Al-Muthanna Wafanyika/ Yasisitizwa Umoja na Mshikamano wa Umma wa Kiislamu
Hawza/ Mkuu wa Kamati ya Arubaini ya Hawza za Kielimu amekutana na kufanya mazungumzo na kundi la masheikh pamoja na viongozi wa makabila wa Mkoa wa Al-Muthanna.
-
DuniaMwandishi wa Habari Aliyemrushia Bush Kiatu: Ushirikiano wa Muqawama Kati ya Mashia na Masunni Ulishinda Uvamizi wa Marekani Nchini Iraq
Hawza/ Muntadhar al-Zaidi, mwandishi wa habari wa Iraq ambaye aligeuka kuwa alama ya kimataifa ya muqawama dhidi ya ukoloni baada ya kumrushia George Bush kiatu mwaka 2008, ameeleza undani wa…
-
DuniaKiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu Alishukuru Taifa la Iraq kwa Heshima Yake Katika Mazishi ya Imam Shahidi
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe wa kulishukuru taifa la Iraq kwa heshima ya tukio kubwa la mazishi ya Imam Muja'hid Shahidi.
-
Ayatullah Sheikh Issa Qassim:
DuniaWairaq Wamewasilisha Mfano wa Kipekee katika Mapokezi na Mazishi ya Imam Khamenei
Hawza/ Ayatullah Sheikh Issa Qassim, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Bahrain, ametoa shukrani na pongezi kwa wananchi wa Iraq kwa kuandaa mapokezi na mazishi makubwa na yenye kugusa hisia…
-
VideoVideo | Wananchi wa Iraq wamemwagia maua jeneza la kiongozi shahidi
Wananchi wa Iraq wamemwagia maua jeneza la kiongozi shahidi katika mitaa ya Karbala.
-
DuniaKa'dhimayn Yapokea Miili Mitukufu ya Familia ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Hawza/ Mji mtukufu wa Ka'dhimayn nchini Iraq umejawa na hali ya huzuni na majonzi baada ya kupokea miili mitukufu ya familia ya Mtukufu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi…
-
DuniaMamilioni ya Wairaq Wajiandaa Kumpokea Kiongozi Shahidi, Imam Khamenei, huko Najaf na Karbala
Hawza/ Kadiri muda wa mazishi ya mwili wa Kiongozi Shahidi, Ayatullah al-Udhma Imam Shahidi Sayyid Ali Khamenei, nchini Iraq uliopangwa kufanyika siku ya Jumatano unavyokaribia, ndivyo maandalizi…
-
Mwakilishi wa Ayatullah Sistani:
DuniaHeshima ya Kumhudumia Imam Hussein (as) Hukamilika kwa Kushikamana na Njia ya Ahlul-Bayt (as)
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Abdul Mahdi Karbalai amesisitiza kuwa; kumhudumia Imam Hussein (as) hakuishii katika kutekeleza majukumu ya kazi pekee, bali hukamilika kwa kushikamana…
-
DuniaUjumbe Muhimu wa Ushiriki wa Wairaqi Katika Mazishi ya Imam Shahidi, Khamenei (ra)
Hawza / Mwandishi wa Kiiraqi, Muhammad Sadiq Al-Hashimi, ameandika: Mazishi makubwa yatakayoshuhudiwa kutoka kwa Mashia wa Iraq yanamaanisha uaminifu kwa Mapinduzi ya Kiislamu, kwa njia ya Ahlul-Bayt…
-
Imam wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad:
DuniaAshura ni Mradi wa Kudumu wa Mageuzi
Hawza/ Ayatullah Sayyid Yasin Mousawi, Imam wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad, amesema kuwa; Ashura si tukio la kihistoria tu, bali ni "mradi wa kudumu wa mageuzi", na akasisitiza kwamba kupigania…
-
Rais wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlus-Sunnah Iraq:
DuniaDamu ya Mashahidi Iliuvunja Ushawishi wa Marekani na Uzayuni
Hawza/ Sheikh Khalid Al-Mulla, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlus-Sunnah nchini Iraq, katika mkutano wa kimataifa wenye anuani ya “Watoto Mashahidi, Kushindwa kwa Tawwla ya Marekani…
-
Mwakilishi wa Ayatullah al-Udhma Sistani:
DuniaMadrasah ya Imam Hussein (as) Ni Sababu ya Kuvuruga Mipango ya Maadui
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Ahmad Safi amesisitiza kwamba; shughuli za tablighi ni jukumu linalobebwa na kila mtu, na zina athari kubwa katika ujenzi wa jamii.
-
DuniaMaandalizi ya Hafla ya Kubadilisha Bendera ya Kuba ya Haram ya Hadhrat Abul-Fadhl al-Abbas (as)
Hawza/ Kamati ya Hafla ya Kubadilisha Bendera katika Haram Takatifu ya Abbasiyya imetangaza kukamilika maandalizi yake kwa ajili ya kuandaa hafla ya kubadilisha bendera ya kuba ya Haram Tukufu…
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad:
DuniaNchi kujitegemea ni Mstari Mwekundu; Iraq Inahitaji Uelewa wa Kisiasa wa Kukataa Uingiliaji wa Kigeni
Hawza/ Ayatullah Sayyid Yasin Mousawi amesisitiza kwamba; “Nchi kujitegemea ni mstari mwekundu” kwa Iraq, na ameonya kwamba; juhudi za kueneza na kuimarisha utamaduni wa utegemezi kwa mataifa…
-
DuniaMwakilishi wa Bunge la Iraq/ Iraq na Iran ni Mataifa Mawili yenye udugu
Hawza/ Mwakilishi wa Bunge la Iraq alisema: Iraq na Iran ni mataifa mawili ndugu ambayo yana mizizi ya pamoja katika itikadi za Kiislamu, maadili ya kidini na mipaka ya kijiografia inayowakutanisha.
-
DuniaMashinikizo ya Marekani yanazuia kukamilika kwa mchakato wa kuiunda serikali mpya ya Iraq
Hawza/ Wakati juhudi na hatua za mikondo mbalimbali ya kisiasa nchini Iraq za kukamilisha uundaji wa serikali mpya zinaendelea, vyanzo vyenye taarifa vimeripoti kuwepo kwa hujuma za Marekani.
-
DuniaImamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad atahadharisha kuhusu kuongezeka kwa mpasuko kati ya tabaka la kisiasa na wananchi wa Iraq
Hawza/ Ayatullah Sayyid Yasin Mousawi ameonya kuhusu kuwepo kwa mpasuko mkubwa kati ya tabaka la kisiasa na wananchi wa Iraq, huku akisisitiza kuwa; nchi ipo katika njia panda kati ya mamlaka…
-
Sheikh Al-Khazali:
DuniaMuqawama haujajikita katika kazi za kijeshi pekee, bali umefunguka hadi katika kulijenga taifa lenye nguvu
Hawza/ Katibu Mkuu wa Harakati ya Asa'ib Ahl al-Haq amesema kuwa; Muqawama haupaswi kutazamwa kuwa umefungika katika shughuli za kijeshi pekee, bali ni mwelekeo unaoendelea kuelekea katika ujenzi…
-
DuniaMuqtada Sadr, Amjia juu Balozi wa Uingereza
Hawza/ Sayyid Muqtada Sadr, kiongozi wa Harakati ya Kitaifa ya Kishia nchini Iraq, alionsha hasira na kutoridhishwa kwake kutokana na kauli za Irfan Siddiq, Balozi wa Uingereza mjini Baghdad.
-
DuniaAmmar Hakim asisitiza kuiunga mkono serikali ya sasa ya Iraq na aitaka kuzikabili changamoto za kiuchumi nchini Iraq
Hawza/ Ammar Hakim, katika khutba ya Swala ya Idi mjini Baghdad, alitangaza kuiunga mkono serikali ya sasa ya Iraq inayoongozwa na Ali al-Zaidi.
-
DuniaMuqtada Sadr atangaza kujiunga kwa Vikosi vya “Saraya al-Salam” na serikali ya Iraq
Hawza/ Muqtada Sadr, kiongozi wa Harakati ya Kitaifa ya Kishia nchini Iraq, ametangaza kuwa: Vikosi vya “Saraya al-Salam” vitajitenga na Harakati ya Sadr na wanachama wake watajiunga na serikali.
-
Khatibu wa Swala ya Idi mjini Karbala Iraq:
DuniaMisimamo ya Wairaq katika nyakati za shida ni dhihirisho la uhalisia wa mshikamano wao na kuitikia wito wa Marjaiyya
Hawza/ Hujjatul Islam Sheikh Salah Al-Karbalaei alisisitiza kuwa; misimamo ya taifa la Iraq katika mazingira magumu ni dhihirisho la uhalisia wa mshikamano wao kwa taifa lao na ni mwitikio unaostahili…
-
DuniaMaadhimisho ya Maelfu ya miaka ya Kuanzishwa kwa Hawza ya Najaf Ashraf kufanyika
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Ahmad Swafi, wakati alipo itembelea “Kamati Kuu ya Kuhuisha Turathi”, alisisitiza ulazima wa kuelekeza juhudi zote kwa ajili ya kufanikisha maadhimisho…
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad:
DuniaIraq inahitaji maamuzi huru yasiyo chini ya utawala wa Marekani
Hawza/ Ayatullah Sayyid Yasin Mousawi, huku akisisitiza umuhimu wa kulinda mamlaka ya kitaifa ya Iraq, ameonya kwamba; nchi hiyo inahitaji maamuzi yaliyo huru kikamilifu na mbali na utawala wa…
-
DuniaHarakati ya Wananchi wa Iraq yatoa onyo kuhusu njama za Jordan
Hawza/ Hussein Al-Karawi ameonya kuhusu njama iliyoanzia Jordan, ambayo lengo lake ni kuibua mifarakano na mgawanyiko ili kuiweka serikali ya Iraq katika mzozo na wana wa Muqawama.
-
Meya wa Kashan Iran:
DuniaTupo tayari kupanua ushirikiano wa kiuchumi, kitamaduni na kielimu na Iraq
Hawza/ Meya wa Kashan amesema: Tuko tayari kupanua ushirikiano wa kiuchumi, kitamaduni na kielimu na nchi ya Iraq.