Hawza | Bila shaka yoyote, subira yenye tija ambayo ni miongoni mwa sababu kuu za harakati na uhai inajitokeza tu katika kivuli cha kufichika wakati wa kudhihiri Imam (as).
Hawza/ Daima wamekuwepo watu walioainisha wakati wa kudhihiri kwa kutumia nia za kishetani, na watu wa aina hiyo wataendelea kuwepo hata katika siku zijazo. Hivyo basi, viongozi maasumu (as)…
Hawza/ Kwa kuwa alama na ishara za kudhihiri Imamu Mahdi (a.s.) ni bishara ya faraja ya Mahdi ahli wa Mtume Muhammad (s.a.w), kutokea kwa kila mojawapo kati ya alama hizo huifanya nuru ya matumaini…