Jumapili 6 Aprili 2025 - 08:06
Usiruhusu aone haya

Tafuta udhuru kwa neno na kitendo kibaya alichokifanya ndugu yako, na kama hukupata, mtafutie udhuru (ili asione haya).

Shirika la Habari la Hawza - Imamu Ali (a.s) amesema:

«اُطْلُبْ لِأَخِيكَ عُذْراً فَإِنْ لَمْ تَجِدْ لَهُ عُذْراً فَالْتَمِسْ لَهُ عُذْراً.»

"Tafuta udhuru kwa neno na kitendo kibaya alichokifanya ndugu yako, na kama hukupata, mtafutie udhuru (ili asione haya)."

Al-khisal, Jz 2, uk 610

Lebo

Maoni yako

You are replying to: .
captcha