Katika fitina kuwa kama mwana wa ngamia; Hana mgongo wa kupandwa wala chuku ili akamuliwe maziwa.
Mji wa Najafu-Ashrafu umeshuhudia mawakibu za waombolezaji katika malalo ya Imamu Ali bun Abu Twalib (a.s) zikiomboleza kifo chake.