Hawza/ Maelfu ya waandamanaji waliandamana katika mitaa ya mji mkuu wa Italia, Roma, kupinga vita vya Ghaza, Maandamano haya yaliandaliwa na vyama vikuu vya upinzani nchini Italia ambavyo vimeishutumu…
Polisi wa New York, baada ya kuwashambulia wanafunzi waliokuwa wakiandamana kupinga vitendo vya kinyama vinavyo fanywa na utawala wa Kizayuni huko Gaza, waliwakamata wengi wao.
Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 70 alikamatwa kwa nguvu na polisi wakati wa maandamano ya kuwaunga mkono wapalestina huko Berlin, tukio hilo lilitokea baada ya kunyanyua juu ya kichwa chake…