kuwaunga mkono wapalestina (32)
-
DuniaNaibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Maulamaa wa Kiislamu Pakistan: Kuiharibu Ghaza kamwe hakutaifanikisha ndoto ya kibabe ya kujenga minara
Hawza/ Maulavi Amjad Khan katika hotuba yake alisema: Kuiharibu Ghaza na kujenga minara mirefu kamwe hakutazaa matunda, na ushujaa na uimara wa watu wa eneo hili umezikwamisha njama zote za adui
-
DuniaKuitambua Rasmi Palestina; Udanganyifu Mpya wa Magharibi na Wazayuni
Hawza/ Kuitambua dola ya Palestina na baadhi ya nchi za Magharibi na Kiarabu, si zaidi ya msaada wa kweli, bali ni maonesho ya kisiasa kwa ajili ya kupunguza shinikizo la mitazamo ya umma na…
-
DuniaTaarifa ya Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom Irani [J'amiatul Mudarris'in] Kuhusiana na Kulaani Mpango wa Kuzuia na Kuuteka Kikamilifu Ukanda wa Ghaza / Aibu iliyowapata waongo wanaodai haki za Binadamu
Hawza/ Mpango dhalimu na kinyume cha ubinadamu wa kuiteka Ghaza kwa hakika utashindwa, na mapambano ya Kiislamu huko Ghaza, kwa idhini na msaada wa Mwenyezi Mungu, yatapats ushindi wa mwisho…
-
Ayatollah A‘rafi:
HawzaWanazuoni wa Kiislamu na mashirika ya kimataifa wazuie uvamizi wa Ghaza
Hawza/ Ayatollah A‘rafi, katika tamko lake, sambamba na kulaani uvamizi wa kikamilifu wa Ghaza, amesema: Tunazitaka serikali zote, mataifa yote, wanazuoni, wasomi, taasisi za kisheria na mashirika…
-
DuniaRadi amali ya Mohamed Salah kuhusiana na kuuawa “Pele wa Palestina” na Israel
Hawza/ Mohamed Salah, nyota maarufu wa Liverpool na nahodha wa timu ya taifa ya Misri, ametoa radi amali ya kejeli kuhusu kuuawa kwa Suleiman Obeid, mchezaji soka mashuhuri wa Palestina, na ameitaka…
-
DuniaMaandamano makubwa na yenye haiba ya kipekee, yafanyika kwa ajili ya kuiunga mkono Ghaza na kulaani jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni huko Kargil
Hawza/ Kufuatia kuendelea kwa jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni, kufukuzwa kwa lazima na kuzingirwa watu wa Ghaza, Taasisi ya Kumbukumbu ya Imam Khomeini (r.a) huko Kargil, India, iliandaa…
-
Ayatollah A’rafi katika Mkutano wa Mtandaoni wa Kimataifa kuhusu Ghaza na Wanazuoni wa Umma:
HawzaMipango ya uvamizi na uharibifu inayofanywa na utawala wa Kizayuni itashindwa na kusukumwa nyuma.
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza Irani alisema: Tuna imani ya hakika kwamba mipango ya uvamizi na uharibifu inayofanywa na utawala huu, kwa baraka ya uelewa wa umma wa Kiislamu, hatua za serikali huru…
-
DuniaJamii ya Afya na Tiba Nchini Morocco Yaingia Kwenye Mgomo wa Kula kwa Ajili ya Kuiunga Mkono Ghaza!
Hawza/ Jumuiya ya madaktari na wahudumu wa afya nchini Morocco wameamua kuingia kwenye mgomo wa kula ili kuonyesha mshikamano na wenzao walioko Ghaza pamoja na watoto na raia wasio na hatia waliokumbw…
-
DuniaUstadh Rashad: Pendekezo la Uhuru wa Palestina kutoka kwa Mbweha Mzee na Ufaransa ni “Mchezo wa Kejeli na wa Kichekesho”
Hawza/ Ustadh Rashad amesisitiza kuwa: kutoa pendekezo la uhuru wa Palestina kutoka kwenye serikali kama ya Ufaransa ni “kejeli ya kuchekesha”! Ni jambo la kuchekesha mno kwamba serikali hii…
-
DuniaMwandishi wa Hawza: Ukimya wa watawala wa Kiislamu mbele ya njaa inayo wakabili watu wa Ghaza haufahamiki
Hawza/ Mtafiti wa kielimu wa Hawza ametaja kimya cha sasa cha jumuiya za Kiislamu na wanaharakati wa kiraia, kuwa ni miongoni mwa majibu ya kusikitisha zaidi ya Waislamu dhidi ya maadui katili…
-
DuniaMkusanyiko Mkubwa Zaidi wa watu Wanaiounga Mkono Palestina huko Sydney Waishangaza Dunia
Hawza/ Idadi ya watu waliokuwa katika mkutano wa wanaoiunga mkono Palestina uliofanyika kwenye daraja la Harbour jijini Sydney ilizidi matarajio na makadirio yote!
-
DuniaSheikh al-Qattan: Watoto wa Ghaza wanakufa huku wakitamani kipande cha mkate
Hawza/ Sheikh Ahmad al-Qattan amesema kuwa: “Yale ambayo watu wetu wa Ghaza wanayapitia ni jukumu la Umma mzima, maulamaa, masultani, watawala, wakuu wa kifalme, wafalme na marais.”
-
DuniaMufti wa Sur na Jabal Amel: Kinachotokea Gaza ni uhalifu unaopewa uhalali wa kimataifa, na ni doa la aibu katika historia ya ubinadamu
Hawza/ Hujjat al-Islam Qadhi Sheikh Hassan Abdullah ameelezea kuwa: Mateso wanayo yapitia watu wa Palestina katika Ukanda wa Ghaza, ni sawa na uhalifu unaopewa uhalali wa kimataifa na doa la…
-
DuniaUNICEF: Watoto wa Gaza wanapumua pumzi za mwisho
Hawza/ Shirika la Afya Duniani limewaomba watu dunianj kuchukua hatua za haraka kwa ajili ya Ghaza, kwani Ghaza kwa sasa ni mahali ambapo watoto wanakufa kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa…
-
DuniaJe, Kuona Picha za Njaa huko Ghaza Kunaathiri Fikra za watu nchini Israel?
Hawza/ Kwa mara ya kwanza tangia kuanza kwa vita vya sasa vya Ghaza, Kituo cha Televisheni cha Channel 12 cha utawala wa Kizayuni kimeonyesha video yenye picha na filamu za watoto waliokonda…
-
DuniaUholanzi yampiga marufuku Ben Gvir kuingia nchini humo
Hawza/ Vyombo vya habari vya Uholanzi vimetangaza kuwa serikali ya nchi hiyo imeamua, katika muktadha wa kuongeza shinikizo kwa utawala wa Israel ili iachane na vikwazo vya chakula na maji huko…
-
DuniaAnsarullah: Msaada wa baadhi ya nchi za Kiislamu na Kiarabu kutokana na kuzingirwa Ghaza ni aibu kubwa!
Hawza/ Mmoja wa wajumbe wa kisiasa wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amekosoa vikali baadhi ya serikali za Kiarabu na Kiislamu kwa kushirikiana na utawala wa Kizayuni wenye damu mikononi mwake…
-
DuniaMarekani na Israel Wameususia Mkutano wa Umoja wa Mataifa kwa Ajili ya Kuiunga Mkono Palestina
Hawza/ Mawaziri wa nchi kadhaa walikusanyika katika Umoja wa Mataifa ili kutafuta suluhisho la pande mbili kwa ajili ya kumaliza vita vya Ghaza na Israel, lakini Marekani na Israel walisusia…
-
DuniaHali Mbaya Sana ya Ghaza Yamshtua Papa
Hawza/ Papa, katika hotuba yake, alieleza wasiwasi wake mkubwa kuhusu hali ya Ghaza na kusema kuwa; daima anaomba hili suala la Ghaza liishe kwa heri
-
DuniaMakamu wa Rais wa Bunge la Umoja wa Waislamu wa Pakistan: Janga la Kibinadamu Ghaza, ni mtihani wa aibu kwa uwepo wa Dunia
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Ahmad Iqbal Ridhwi, katika tamko lake akirejelea vifo vya makumi ya watoto wasio na hatia kwa sababu ya njaa huko Ghaza, amesisitiza kuwa: Janga hili siyo tu mzozo…
-
DuniaRais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan: Ubinadamu Unakata Roho Ghaza na Dunia Inatazama
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika tamko lake huku akionyesha wasiwasi mkubwa kuhusiana na janga la kibinadamu huko Ghaza, amelaani vikali ukimya mzito wa jumuiya…
-
HawzaMwanachama wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom: Ukimya unaofanywa na nchi za kiislamu mbele ya mauaji ya kimbari ya watu wa Ghaza ni aibu
Hawza/ Ayatullah Tabasi amesema: Hii leo ukimya mbele ya jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni muuaji wa watoto ni usaliti, ukimya unaofanywa na baadhi ya nchi za Kiislamu mbele ya mauaji…
-
DuniaOfisi ya Ayatollah al-Udhma Najafi imewaomba wapenda haki ulimwenguni kuchukua hatua za haraka kuiokoa Ghaza kutoka katika mauti
Hawza/ Ofisi ya Hadhrat Ayatollah Sheikh Bashir Hussein Najafi, imelaani jinai zinazoendelezwa na Wazayuni dhidi ya watu wa Ghaza.
-
Jumuiya ya Wawakilishi wa Wanafunzi na Wanazuoni wa Hawza ya Qom:
DuniaEnyi watawala dhaifu na walioshikwa na tamaa ya madaraka, hamuoni njaa zinazo wakabili watoto wa Ghaza?
Hawza/ Enyi watawala dhaifu na walioshikwa na tamaa ya madaraka! Msiziingize nafsi zenu kuwa vinyago vya Mayahudi wa Kizayuni, na jueni kwamba uzembe huu umeifanya ardhi ya Ghaza kuwa mahali…
-
DuniaAyatollah Al-Udhma Sistani azitaka Nchi za Kiarabu na Kiislamu Kukomesha Janga la Ghaza
Hawza/ Katika kilele cha janga la kibinadamu linalozidi kuenea huko Ghaza, ambapo watoto na raia wasio na hatia wanahiliki kutokana na janga la njaa, Ofisi ya Ayatollah Al-Udhma Sayyid Ali Sistani…
-
Ayatollah al-Udhma Nouri Hamedani:
HawzaMheshimiwa Papa; Je, ikiwa Nabii Isa (as) angelikuwepo, angeweza kustahimili hali ya kutisha ya Ghaza na jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni?
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Nouri Hamedani katika barua yake kwa Papa amesema: Katika hali hii ya kutisha ya Ghaza, je, ikiwa Manabii wa Mwenyezi Mungu kama Nabii Isa (as) na Nabii Muhammad (saw)…
-
Ayatollah al-Udhma Nouri Hamedani katika tamko lake rasmi amebainisha kuwa:
HawzaWatu wote waaminifu katika Ulimwengu wa Kiislamu watimize wajibu wao wa Kiislamu na kibinadamu kwa ajili ya watu wa Ghaza / Mwamko wa Umma wa Kiislamu unahitaji kilio cha kudai haki na hatua ya pamoja
Hawza/ Ayatollah Nouri Hamedani amesisitiza kuwa: Sasa ni wakati ambapo watu wote waaminifu wa ulimwengu wa Kiislamu—wakiwemo wanazuoni, wasomi na viongozi wa serikali—waweke kando tofauti za…
-
DuniaJe, Brazil kujiunga na safu ya waungaji mkono Palestina ni hatua ya mabadiliko?
Hawza/ Katika hatua yenye mvumo mkubwa wa kidiplomasia, nchi ya Brazil imeungana na wanaounga mkono kuishtaki Israel, mashtaka ambayo yaliwasilishwa hivi karibuni katika Mahakama ya Kimataifa…
-
DuniaMaandamano ya kupinga Uzayuni yameendelea nchini Jordan
Hawza/ Mitaa ya maeneo kadhaa ya Jordan tangia jana imeshuhudia maandamano ya wananchi dhidi ya mauaji ya kimbari yanayofanywa na Israel huko Ghaza, wananchi wa Jordan, licha ya hatua kali za…
-
DuniaWatu wa Italia Wamiminika Barabarani kwa ajilia ya Kuiunga Mkono Palestina
Hawza/ Maelfu ya waandamanaji waliandamana katika mitaa ya mji mkuu wa Italia, Roma, kupinga vita vya Ghaza, Maandamano haya yaliandaliwa na vyama vikuu vya upinzani nchini Italia ambavyo vimeishutumu…