kuwaunga mkono wapalestina (150)
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia wa Pakistan:
DuniaKupigania mfumo wa haki duniani ni jukumu letu sote
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi amesema katika hotuba yake kuwa: Lengo na jitihada za ubeberu ni kuiimarisha Israel kwa nguvu na uonevu huku Palestina ikifutwa, lakini…
-
DuniaPalestina yalaani mswada wa Israel kuhusu kuzuia adhana misikitini
Hawza / Baraza Kuu la Fatwa nchini Palestina limelaani muswada uliowasilishwa na utawala haramu wa Israel unaolenga kuweka vikwazo vikali kuhusu kuadhiniwa misikitini.
-
DuniaWananchi wa Italia wafanya maandamano makubwa kwa ajili ya kuiunga mkono Palestina
Hawza/ Italia katika siku mbili zilizopita ilishuhudia migomo mikubwa ya kitaifa kwa wingi, pamoja na maandamano makubwa katika miji yake mikuu. Maandamano haya yalifanyika kwa lengo la kuonesha…
-
DuniaYanayojiri Ghaza ni mauaji ya halaiki yaliyo wazi na jinai dhidi ya ubinadamu
Hawza/ Sheikh Sayyid Bahauddin Naqshbandi, kiongozi wa twariqa ya Naqshbandiyya, katika warsha ya tano ya kimataifa isemayo: "Iran Jukwaa la Heshima ya Kiislamu katika kukabiliana na utawala…
-
Rais wa Jumuiya ya Wahadhiri wa Vyuo vya Serikali vya Pakistan:
DuniaIran ya ni mshika-bendera wa heshima na mpambanaji katika ulimwengu wa Kiislamu
Hawza/ Profesa Munawar Abbas, Rais wa Jumuiya ya Wahadhiri wa Vyuo vya Serikali vya Pakistan, katika warsha ya tano ya kimataifa isemayo: "Iran; Jukwaa la Heshima ya Kiislamu katika kukabiliana…
-
Mjumbe mwanzilishi wa Chama cha Haki Uturuki:
DuniaIrani kuikingia kifua Palestina, kumejengeka katika msingi na imani ya Dini
Hawza/ Bi. Dkt. Fatemeh Bostan, mjumbe mwanzilishi wa Chama cha Haki cha Uturuki, katika warsha-pepe ya tano ya kimataifa isemayo: "Iran; Jukwaa la Heshima ya Kiislamu katika kukabiliana na utawala…
-
Waziri Mkuu wa Hispania:
DuniaMsimamo Wetu Kuhusu Palestina Uko Wazi na Dhahiri
Hawza/ Pedro Sánchez, Waziri Mkuu wa Uhispania, alitetea msimamo wa wazi wa nchi yake dhidi ya uhalifu wa Israel. Katika hotuba yake ya kupitia tathmini ya utendaji wa mwaka mzima, alisema: msimamo…
-
DuniaKongamano la Sita la “Mafunzo ya Muqawama wa Palestina” Mjini Beirut Limesisitiza Umoja na Mbinu za Kukabiliana na Wavamizi
Hawza/ Kwa ushirikiano na Chuo Kikuu cha Lebanon, mkutano wa sita wa kila mwaka wa Jumuiya ya Kiarabu ya Elimu ya Siasa, wenye anuani “Harakati za ukombozi na uhuru katika dunia ya tatu na mafunzo…
-
DuniaKikao Kilicho na Anuani Isemayo: “Sitisheni Mauaji ya Kimbari Dhidi ya Wapalestina” Chafanyika Nchini India
Hawza/ Kikao chenye anuani isemayi “Sitisheni mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina, ikomboleni Palestina” kilifanyika katika mji wa Hyderabad, India, kwa lengo la kutangaza mshikamano na taifa…
-
DuniaTuwe Wapinga-Uzayuni, si Wapinga-Uyahudi
Hawza/ Harakati ya kuunga mkono Palestina nchini Scotland ililaani tukio la ufyatuaji risasi uliosababisha vifo katika hafla ya Wayahudi nchini Australia, na ikasisitiza kuwa hakuna uhalali wowote…
-
DuniaSheikh Al-Qattan Katika Kikao Chake na Jamil Hayek, Atilia Mkazo Kwenye Umoja wa Kitaifa na Kuliunga Mkono Suala la Palestina
Hawza/ Rais wa Jumuiya ya “Qawluna wa Al-Amal” nchini Lebanon, alipotembelea ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Amal mjini Beirut, alifanya kikao na Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya harakati hiyo, Jamil…
-
Jamii ya Wapalestina waishio Chile Yawahutubia Wagombea wa Urais:
DuniaDumisheni Sera ya Chile Iliyojengwa juu ya Misingi ya Mafungamano na Palestina Bila Kuibadili
Hawza/ Katika kipindi cha kuelekea uchaguzi wa rais wa Chile, rais wa jamii ya Wapalestina nchini humo, akisisitiza historia ndefu ya Chile katika kutetea haki za taifa la Palestina, amewataka…
-
DuniaNchi za Kiislamu Zimetoa Onyo Kuhusiana na Mpango Mchafu wa Israel Huko Rafah
Hawza/ Nchi za Qatar, Misri na nchi nyingine sita za Kiislamu zimelaani vikali hatua ya Israel ya kufungua upande mmoja wa mpaka wa Rafah kwa njia ambayo inaruhusu tu kukimbia kwa wananchi wa…
-
DuniaHispania Inaunga Mkono Kuundwa kwa Kola ya Palestina
Hawza/ José Manuel Álvarez, Waziri wa Mambo ya Nje wa Hispania, amekiri kwamba: ghasia za walowezi wa Kizayuni wa Israel katika Ukingo wa Magharibi zimevuka mipaka ya udhibiti. Sisi tunatambua…
-
DuniaVenezuela: Makubaliano ya Kusitisha Vita Ghaza Kimsingi Hayana Athari
Hawza/ Serikali ya Venezuela kwa sauti isiyo ya kawaida imekemea mashambulizi ya Israel dhidi ya Palestina, Lebanon na Syria na ikakosoa vikali ukimya wa taasisi za kimataifa mbele ya “mchakato…
-
Rais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan:
DuniaArdhi ya Mitume Imetapakaa Damu ya Waliodhulumiwa, na Dunia Imenyamaza
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake, alisisitiza kuwa licha ya kuwepo kwa kile kinachoitwa makubaliano ya amani ya kulazimishwa, uvamizi na uhalifu wa…
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaInafaa Trump Ahukuhukumiwe Kwenye mahakama za kimataifa, na si Kupewa Tuzo ya Amani ya Nobel
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanji alisema: Miongoni mwa mambo ya kushangaza zaidi ni kwamba Trump amedai kuwa serikali ya Iraq imependekeza apewe Tuzo ya Amani ya Nobel!…
-
DuniaWatu Mashuhuri Wataka "Tumaini la Palestina" Aachiliwe Huru Kutoka Gerezani
Hawza/ zaidi ya watu mashuhuri mia mbili wametangaza kwamba wanataka kwa dhati kuachiliwa huru Marwan Barghouti, mmoja wa viongozi wa mapambano ya Palestina ambaye wataalamu wamempa jina la “Tumaini…
-
DuniaPalestina Yawasilisha Malalamiko dhidi ya FIFA na UEFA kwa Tuhuma za Kushirikiana Katika Mauaji ya Kimbari
Hawza/ Wanasoka wa Palestina, vilabu vya ndani pamoja na makundi kadhaa ya utetezi wa haki za kimataifa wako katika maandalizi ya kuwasilisha kesi katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, ambapo…
-
DuniaOmbi la Hamas kwa Watu Wote Duniani ili Kuwaunga Mkono Wapalestina
Hawza/ Harakati ya Hamas katika taarifa yake ya hivi karibuni imewaomba watu wote duniani kuandaa maandamano na mikusanyiko zaidi ya kimataifa kupinga dhulma, uvamizi wa kikoloni, pamoja na vitendo…
-
DuniaMwanamichezo wa Kickboxing wa Misri Akataa Kupambana na Mwakilishi wa Utawala wa kizayuni
Hawza/ “Rawhda Mustafa Saad Muhammad”, mwanamichezo wa Misri, katika mashindano ya dunia ya kickboxing, alikataa kupambana na mwanamichezo wa nchi hiyo “Yulia Sashkov” kwa kupinga uhalifu wa…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaKusitishwa Dhuluma za Kizayuni na Kutimizwa Haki za Wapalestina ni Hitaji la Dharura Kwnye Ukanda Huu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqwi, katika hotuba yake akilaani kushindwa kwa jumuiya ya kimataifa kudhibiti hujuma za Kizayuni, alisisitiza kuwa kurejeshwa kwa haki za…
-
DuniaWaandamanaji Wanaotaka Amani Watawanywa na Polisi Uingereza
Hawza/ Polisi wa Uingereza kwa mara nyingine imewatawanya kwa nguvu waandamanaji wapenzi wa amani na kuwakamata baadhi yao. Waandamanaji hawa walikuwa wakipinga hukumu ya mahakama iliyopiga marufuku…
-
Viongozi wa Kanda wa Morocco:
DuniaAzimio la Baraza la Usalama kuhusu Ghaza ni hatari zaidi kuliko azimio la kugawa Palestina
Hawza/ Azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Ghaza limezua sintofaham na mitazamo mikubwa katika ukanda wa Morocco.
-
DuniaHotuba Kali ya Kocha wa Manchester City Dhidi ya Israel
Hawza/ Pep Guardiola, kocha wa Manchester City, kabla ya mechi ya misaada ya kibinadamu dhidi ya timu ya Palestina, alitoa hotuba kali dhidi ya jinai zinazofanywa na Israel huko Ghaza, na kuwalaumu…
-
DuniaMuungano wa Muqawam kutoka Palestina hadi Caracas na Havana; Jiografia Tatu dhidi ya Ubeberu wa Magharibi
Hawza/ Katika mazingira ambayo vita, vikwazo na mzingiro vimekuwa nyenzo endelevu za nguvu za mataifa ya Magharibi, mataifa matatu—Palestina, Venezuela na Cuba—pamoja na umbali wa kijiografia…
-
DuniaMaduro: Kuitetea Palestina ni jukumu la kihistoria na tukufu
Hawza/ Rais wa Venezuela, katika maadhimisho ya mwaka wa kuadhimishwa kwa tangazo la uhuru wa Palestina, amesisitiza msimamo thabiti na wa kihistoria wa Caracas katika kuutetea mustakabali wa…
-
DuniaWito wa Guardiola kwa watu kutazama mchezo maalum
Hawza/ Pep Guardiola, kocha mkuu wa timu ya Manchester City, amewaomba kwa dhati mashabiki wa timu hiyo kujitokeza kwa wingi kujaza majukwaa ya Uwanja wa Olimpiki siku ya Jumanne, tarehe 18 Novemba…
-
DuniaMfadhili wa Israel awaweka waigizaji wanaoiunga mkono Palestina kwenye orodha nyeusi ya Hollywood
Hawza/ Ellison, mmoja wa waanzilishi wa Oracle, mfadhili mkuu wa Israel na muungaji mkono uhalifu wote na mauaji ya kimbari yanayofanywa na Israel huko Ghaza, kwa kumteua msimamizi Mwisraeli…
-
DuniaChile Yawa Mwenyeji wa Hafla ya Kuzishukuru Nchi Zilizolitambua Taifa la Palestina
Hawzah/ Katika sherehe maalum iliyofanyika mjini Santiago, Wizara ya Mambo ya Nje ya Chile kwa kushirikiana na jamii ya Wapalestina wanaoishi nchini humo, ilizishukuru serikali ambazo katika…