kuwaunga mkono wapalestina (203)
-
DuniaUturuki Yajibu Kauli za Netanyahu
Hawza/ Kufuatia matamshi makali ya Benjamin Netanyahu dhidi ya Recep Tayyip Erdoğan, Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki pamoja na baadhi ya viongozi waandamizi wa nchi hiyo wamekosoa vikali kauli…
-
Dunia“Netanyahu ni kama Hitler”; Erdoğan Aishambuli Israel Vikali
Hawza / Rais wa Uturuki amekosoa vikali sera za Israel na kueleza kuwa mashambulizi ya utawala huo dhidi ya Ghaza, Lebanon na Syria ni tishio kwa eneo lote, amesisitiza kwamba; Ankara haitabaki…
-
DuniaSimulizi yenye Majeraha ya Watoto wa Ghaza; Waandishi wa Habari Walioshinda Tuzo Wataka Ukweli Usikike
Hawza/ Waandishi wawili wa habari kutoka Uholanzi ambao walifanikiwa kupata Tuzo ya Vyombo vya Habari ya Ulaya kwa kuandaa kumbukumbu za majeraha mabaya yaliyowaua watoto wa Ghaza, wameutaka…
-
Wafuasi wa Muqawama Mbele ya Ubalozi Mdogo wa Israel mjini Istanbul:
DuniaMhimili wa Muqawama Hauko Peke Yake
Hawza/ Kundi la “Marafiki wa Muqawama wa Uturuki” limefanya mkusanyiko wa maandamano mbele ya ubalozi mdogo wa Israel mjini Istanbul na kutangaza uungaji mkono wake kwa Ghaza na Lebanon, washiriki…
-
DuniaWataliano walaani mauaji ya watoto yanayofanywa na Israel
Hawza/ Mamia ya watu walikusanyika mjini Milan nchini Italia ili kuenzi majina na kumbukumbu za watoto wa Palestina waliouawa, ambapo walionesha katikati ya jiji bango kubwa lililokuwa na majina…
-
DuniaHotuba ya afisa wa Israel katika mkutano wa kimataifa ilisimamishwa kabla ya kukamilika kutokana na upinzani wa kumpinga
Hawza / Wakati wa kikao cha Mkutano wa 114 wa Kimataifa wa Kazi mjini Geneva, hotuba ya mwanadiplomasia wa Israel ilisitishwa kutokana na upinzani mkubwa wa wawakilishi wa nchi mbalimbali na…
-
Mtawa wa Kanisa la Orthodox:
DuniaNilizuiwa kutoa hotuba makanisani kwa sababu ya kufichua ukweli kuhusu Palestina
Hawza/ Agapia Stefanopoulos, mtawa wa Kanisa la Orthodox wa Marekani mwenye asili ya Kigiriki ambaye ameishi kwa miaka mingi mjini Quds, amesema kwamba: Kutokana na kueleza alichokishuhudia kuhusu…
-
DuniaWapinzani wa Palestina wapinga meli iliyobeba watalii wa Israeli nchini Ugiriki
Hawza/ Makundi yanayoiunga mkono Palestina pamoja na vyama vya wafanyakazi katika bandari ya Piraeus nchini Ugiriki yamefanya mkusanyiko wa maandamano, yakipinga kuingia kwa meli ya kitalii iitwayo…
-
DuniaWanazuoni na wasomi wa Kiislamu walaani shinikizo la Marekani la kutekeleza makubaliano yaliyoitwa ya Ibrahim
Hawza/ Kundi la wanazuoni na wasomi mashuhuri wa Kiislamu limekosoa juhudi za utawala wa Israel unaotuhumiwa kwa mauaji ya watoto za kupanua Makubaliano ya Ibrahim, na kuonya kuwa kuunganisha…
-
DuniaPakistan yatangaza kuendelea kuiunga mkono Palestina licha ya shinikizo la Israel
Hawza/ Pakistan, kwa lengo la kuzuia kuwepo kwa utata kuhusu msimamo wake kuhusiana na Israel, ilisisitiza kwamba; msimamo wake wa kuliunga mkono taifa huru la Palestina bado unaendelea kuwa…
-
DuniaWito wa Papa wa Kuiokoa Ghaza; Wananchi Bado Wako Katika Mateso
Hawza/ Papa Leo wa Kumi na Nne ameonya kuhusu kuendelea kwa mgogoro wa kibinadamu huko Ghaza na kuwataka viongozi wote wenye dhamana kuwezesha haraka njia za utoaji misaada na ujenzi upya wa…
-
Rais wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlul-Bayt Uturuki:
Dunia“Takbira” ni Silaha ya Muqawama Dhidi ya Uzayuni na Ubeberu
Hawza/ Rais wa Majma ya Wanazuoni wa Ahlul-Bayt Uturuki katika khutba ya Idi ya Adh-ha, huku akisisitiza umoja wa Umma wa Kiislamu na kuunga mkono safu ya muqawama, ameeleza kwamba; matukio ya…
-
DuniaRais wa Cyprus Kaskazini: Sitafanya Mazungumzo na Serikali Inayoua Watoto
Hawza/ Rais wa Jamhuri ya Cyprus Kaskazini amekosoa vikali ushirikiano wa kijeshi na kisiasa wa Cyprus Kusini na Israel, na kusisitiza kuwa; serikali ya Benjamin Netanyahu kutokana na mauaji…
-
DuniaWaustralia Wameingia Barabarani Kuiunga Mkono Meli ya Sumud
Hawza/ Wanaharakati wa masuala ya kibinadamu siku ya Jumanne walifanya mkusanyiko wa maandamano katika jengo la Bunge la Australia kupinga namna ambayo utawala bandia wa Israel ulivyowatendea…
-
DuniaKundi la Wadukuzi Linalohusishwa na Iran Katika Shirika Rasmi la Habari la Uturuki
Hawza/ Shirika rasmi la habari la Uturuki limeripoti kwamba; kundi la wadukuzi la Hanzala limechapisha taarifa binafsi za wanajeshi 69 wa Israel ambao walishiriki katika shambulio dhidi ya Msafara…
-
DuniaWito wa Kampeni ya Kimataifa ya Kutetea Haki za Wafungwa wa Palestina
Hawza/ Makundi ya kimataifa yanayotetea haki za binadamu yameanzisha kampeni mpya na kuyataka makumi ya nchi kuingilia kati kuhusu hali mbaya na kuzuiliwa maelfu ya Wapalestina wasio na hatia…
-
DuniaWananchi wa Indonesia Waionya Serikali: Msidanganywe na Mwonekano wa Trump
Hawza/ Kundi la wanachama wa Muungano wa Watetezi wa Katiba ya Indonesia, katika hatua ya kibinadamu walikusanyika mbele ya jengo la Grahadi mjini Surabaya Indonesia, wakitaka kupingwa kwa ukoloni…
-
DuniaRekodi ya Wiki 129 za Mfululizo ya Kuiunga Mkono Ghaza yawekwa nchini Tunisia
Hawza/ Kwa kaulimbiu ya “Pamoja kwa ajili ya kuvunja mzingiro”, mapigo ya moyo ya mitaa ya Tunisia yanaendelea kwa uthabiti na bila kuyumba, yakisisitiza kwamba; dira ya Palestina katika nyoyo…
-
Mwanaharakati wa Meli ya Samud, Dkt. Korpinar:
DuniaKunyamaza mbele ya jinai ni sawa na kushirikiana na Marekani na Israe/ Wakati umefika wa kuchukua hatua, si kuwa watazamaji tu
Hawza/ Iqbal Korpinar, mwanaharakati wa Meli ya Samud nchini Uturuki, amesisitiza kwamba; kunyamaza mbele ya jinai zinazofanyika Ghaza na Minab ni kushirikiana na Marekani na Israel, amesema…
-
DuniaHasira ya Uturuki kutokana na namna walivyoshughulikiwa wanaharakati wa “Msafara wa Kimataifa wa Sumud”; “Ushenzi huu utaandikwa katika historia”
Hawza/ Maafisa wakuu wa Uturuki, huku wakilaani namna waziri mmoja wa Israel alivyowafanyia vurugu za maneno na kimwili wanaharakati wa “Msafara wa Kimataifa wa Sumud”, alieleza hatua hiyo kuwa…
-
DuniaMgomo wa pamoja nchini Italy
Hawza/ Italia wiki hii imeshuhudia mgomo wa kitaifa uliogusa sekta za usafiri, elimu na usafirishaji wa bidhaa, mgomo huu ulifanyika kufuatia wito wa vyama vya wafanyakazi kwa lengo la kupinga…
-
DuniaRaia wa Indonesia wainu bendera mahakamani kuonesha jinsi wanyoiunga mkono Iran
Hawza/ “Sisi tunaiunga mkono Iran!” Haya ni maneno aliyoyasema Pedro, mmoja wa waungaji mkono wa muqawama na wanaharakati wa kupinga Uzayuni, siku ya Ijumaa katika Mahakama ya Wilaya ya Kati…
-
DuniaKivuli cha mateso ya Kizayuni juu ya Wapalestina katika ukimya wa vyombo vya habari na mazingira ya vita vya Marekani dhidi ya Iran
Hawza/ Wakati dunia kila siku inatangaza habari zinazohusiana na vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran pamoja na mashauriano ya kisiasa ya kikanda na kimataifa, katika kona nyingine ya dunia…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan amesema:
DuniaJe! Ni sawa siku ambayo familia za Wapalestina zilivamiwa na kuuwawa, kuwa ndio siku ya kusherekea familia Duniani?
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi katika ujumbe wake amesema: Zaidi ya miongo saba iliyopita, utawala haramu wa Israel ulipandikizwa kama kisu chenye sumu ndani ya moyo…
-
DuniaMsafara wa kimataifa wa meli za “Sumud” kwa mara nyingine umeelekea Ghaza kwa lengo la kuvunja mzingiro wa baharini
Hawza/ Makumi ya meli zilizobeba wanaharakati wa kimataifa na misaada ya kibinadamu ya mfano, katika mfumo wa msafara wa kimataifa wa “Sumud”, zimeondoka kutoka Ugiriki na bandari ya Marmaris…
-
DuniaNyota wa Barcelona apeperusha bendera ya Palestina
Hawza/ Supastaa wa Hispania, Lamine Yamal, katika sherehe za Barcelona kwa mnasaba wa kutwaa ubingwa wa La Liga, alionesha mshikamano wake na wananchi wa Palestina wanaoteseka kwa kuinua bendera…
-
DuniaMaandamano ya wananchi wa Stockholm dhidi ya jinai za Israel huko Ghaza na Lebanon
Hawza/ Mamia ya waandamanaji walikusanyika katika mji mkuu wa Sweden ili kupinga operesheni za kijeshi za utawala wa Israel za kuwaua watu wa Ghaza na Lebanon, na wakataka kusitishwa kwa mauaji…
-
DuniaBerlin yaandamana tena kwa ajili ya kuiunga mkono Ghaza
Hawza/ Maelfu ya watu waliopinga jinai za utawala wa Israel waliandamana katika mitaa ya Berlin ili katika maandamano ya pamoja waoneshe mshikamano wao na Wapalestina, na wakataka kusitishwa…
-
DuniaWananchi wa Ireland hawataki ushirikiano na utawala unaotuhumiwa kwa mauaji ya kimbari
Hawza/ Kundi la wafuasi wa michezo nchini Ireland limetuma barua ya wazi kwa Shirikisho la Soka la Ireland (FAI) na kuutuhumu utawala wa Israel kwa kufanya “mauaji ya kimbari” wakati wa vita…
-
DuniaSimulizi ya mmoja wa wasafiri wa msafara wa “Sumud” kuhusu ukatili wa vikosi vya Israel: Walitutesa na mali zetu zilipotea
Hawza/ Mmoja wa wasafiri wa msafara wa “Sumud”, akielezea kwa kina maelezo ya kukamatwa kwa meli hiyo na vikosi vya Israel, alizungumzia kuhamishwa kwa lazima kwa abiria kwenda kwenye meli nyingine,…