kuwaunga mkono wapalestina (107)
-
Rais wa Kolombia:
DuniaTunataraji kushuhudia uundwaji wa taifa la Palestina
Hawza/ Rais wa Kolombia amepongeza makubaliano kati ya Israel na Hamas kuhusu awamu ya kwanza ya mpango wa amani katika Ukanda wa Ghaza, akieleza matumaini yake kwamba usitishaji huu wa mapigano…
-
DuniaPapa Leo: Waandishi wa Habari wa Ghaza Wako Mstari wa Mbele wa Kuusambaza Ukweli
Hawza/ Papa Leo, katika hotuba yake ya Alhamisi, aliwaheshimu waandishi wa habari mashahidi Ghaza na kusema kwamba; wao wako mstari wa mbele katika kufikisha sauti ya ukweli kutoka maeneo ya…
-
DuniaWatu mia moja wafuasi wa haki za binadamu wapo njiani kuelekea Ghaza.
Hawzah/ Ripoti zinaonyesha kwamba bado kuna boti chache zilizobaki kutoka katika meli ya Samoud ambazo zinajaribu kuvunja vikwazo dhidi ya watu wanyonge wa Ghaza.
-
Mjumbe Mwandamizi wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaUstahimilivu na kujitolea Wapalestina kumeidhihirisha sura halisi ya Wazayuni
Hawzah/ Hujjatul-Islam Sayyid Nazir Abbas Taqavi katika hotuba yake amesema: “Muqawama wa Kiislamu, kwa kusimama kidete na kustahimili, umeishinda serikali ya Kizayuni katika nyanja za kijeshi…
-
DuniaWanafunzi wa Chuo Kikuu cha Chile katika kumbukumbu ya mwaka wa pili wa shambulio la utawala wa Kizayuni, wametwaa jengo kuu la chuo hicho kwa ajili ya kuiunga mkono Palestina.
Hawzah/ Sambamba na kumbukumbu ya mwaka wa pili tangua mashambulizi ya kijeshi ya Israel dhidi ya wananchi wa Palestina, kundi la wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Chile walitwaa jengo kuu la chuo…
-
DuniaHispania Imeishtaki Israeli Katika Mahakama ya Kimataifa
Hawza/ Waziri wa Mambo ya Ndani wa Hispania, Fernando Grand Marsela, amefikisha malalamiko rasmi katika Mahakama ya Jinai ya Kimataifa dhidi ya Israeli kuhusiana na matukio yanayohusiana na ufuatiliaj…
-
Balozi wa Yemen Iran:
DuniaYemen Imezuia Bidhaa 560 Zinazohusiana na Kampuni za Kizayuni na Washirika Wake
Hawza/ Balozi wa Yemen Iran, akizingatia hatua za kuzuia bidhaa za Kizayuni, alisema kuwa: kama jibu kwa wito wa wananchi, serikali ya Yemen imezuia bidhaa 560 zinazohusiana na kampuni za Kizayuni…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia wa Pakistan:
DuniaHakuna nguvu ya kibeberu yenye haki ya kuamua hatima ya Palestina
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake amesisitiza kuwa damu ya mashahidi wa Palestina imeuamsha dhamiri ya dunia na kuzielekeza fikra za umma kwenye haki…
-
DuniaMashabiki wa Timu za Hispania, Bilbao na Mallorca wawaunga mkono Wapalestina
Mashabiki wa Timu za Hispania, Bilbao na Mallorca waonesha mshikamano wao na Wapalestina katika ligi ya La Liga.
-
DuniaTaarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje kuhusu mpango wa kusitisha mapigano huko Ghaza
Hawza/ Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi ya Iran imesisitiza kuwa daima imekuwa ikiunga mkono kila juhudi na mpango unaolenga kusitisha mauaji ya kikabila, uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya…
-
DuniaMikusanyiko na shughuli za kitamaduni za kuunga mkono Palestina yafanyika nchini Argentina
Hawza/ Makundi na mashirika mbalimbali mjini Buenos Aires yamefanya mikusanyiko, vipindi vya redio na shughuli za kitamaduni ili kuonesha uungaji wao mkono watu wa Palestina na kutangaza upinzani…
-
DuniaWataliano wataka mechi kati yao dhidi ya Israel Ifutwe
Hawza/ waandamanaji siku ya Ijumaa waliingia kwenye mazoezi ya timu ya taifa ya kandanda ya Italia, na baada ya kukaribia lango na uwanja, walitangaza kuwa wanataka mchezo wa timu yao dhidi ya…
-
Mwanachuoni wa Kidini wa Pakistan:
DuniaKujitolea kwa Harakati ya Muqāwama ya Palestina Hatimaye Kutausambaratisha Utawala wa Israel
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Nāzir Abbas Taqvī, katika hotuba yake, huku akisisitiza uimara wa Muqāwama wa Palestina alisema: “Kujitolea kwa wananchi na wapiganaji wa Palestina hatimaye kutausambarati…
-
DuniaWanaharakati wa Flotilla ya “Ṣumūd” Wafichua Uhalifu uliofanywa na Wavamizi wa Kizayuni
Hawza/ Wanaharakati waliokuwa washiriki katika Flotilla ya Kimataifa ya Ṣumūd walisema: “Katika vizimba vilizotengenezwa kwa ajili ya watu watano, waliwekwa watu kumi na tano. Tuliona maandiko…
-
Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi Asghariyya Pakistan:
DuniaKukandamizwa kwa Sauti za Wanaotetea Haki Kumeufichua Uso wa Kweli wa Utawala wa Kizayuni
Hawza/ Thaqalain Ali Jafari, katika taarifa yake iliyo laani vikali shambulio la utawala wa Kizayuni dhidi ya “Flotilla ya Kimataifa ya Ṣumūd”, alisisitiza kuwa mwenendo wa Israel dhidi ya wanaharaka…
-
DuniaWaaajentina nao wamesimama kuiunga mkono Palestina
Hawza/ Katika siku za hivi karibuni, makundi na mashirika mbalimbali jijini Buenos Aires yamefanya maandamano, redio ya wazi na programu za kitamaduni ili kuonyesha uungaji mkono wao kwa wananchi…
-
DuniaUpinzani Mkali wa Serikali ya Chile dhidi ya Kukamatwa kwa Msafara wa Kimataifa “Sumud” na Utawala wa Kizayuni
Hawza/ Serikali ya Chile imeeleza wasiwasi mkubwa kuhusu hatua iliyochukuliwa na utawala wa Kizayuni ya kukamata msafara wa kimataifa “Sumud” uliokuwa unaelekea Ghaza huku ukibeba misaada ya…
-
Msimamo Mkali wa Colombia dhidi ya Israel:
DuniaMabalozi wa Israel waamriwa kuondoka nchini
Hawza/ Gustavo Petro, Rais wa Colombia, akijibu hatua ya utawala wa Kizayuni ya kukamata meli ya “Flotilla ya Kimataifa – Sumud” na kuwakamata wanaharakati waliokuwemo, ametoa amri ya kuondolewa…
-
DuniaZaidi ya wanamichezo hamsini wa kimataifa wasaini waraka wa kusimamishwa Israel
Hawza/ Muungano wa zaidi ya wanamichezo mashuhuri 50, akiwemo kiungo wa Crystal Palace, Cheick Doucouré, na mchezaji wa zamani wa Chelsea, Hakim Ziyech, wamesaini waraka uliyoitaka UEFA kuisimamisha…
-
DuniaMsaada wa Kina wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Nikaragua kwa Taifa Lenye Kudhulumiwa la Palestina
Hawza / Waziri wa mambo ya nje wa Nikaragua amevitaja vikwazo na hatua za upande mmoja za Marekani dhidi ya Cuba na Venezuela kuwa ni “uhalifu dhidi ya ubinadamu” na akatangaza kuunga mkono mapambano…
-
DuniaFikra ya Kichambuzi Kutoka Havana Hadi Ghaza / Mwitikio wa Maneno ya Fidel Castro katika Masuala ya Palestina
Hawza / Miaka 65 baada ya hotuba ya kihistoria ya Fidel Castro katika Umoja wa Mataifa, ambapo alitoa wito wa kuangamizwa kwa “falsafa ya uporaji” ili kukomesha “falsafa ya vita”, wengi wanaamini…
-
DuniaChile haipaswi kurudi nyuma katika dhamira yake ya kutetea uhalali na sheria za kimataifa
Hawzah / Jumuiya ya Wapalestina nchini Chile, ikijibu kauli za mgombea urais wa muungano “Chile Vamos”, imetangaza: “Kukanusha mauaji ya kimbari, wakati hata Umoja wa Mataifa umetambua jambo…
-
DuniaRais wa Chile: Netanyahu ashtakiwe kwa kosa la mauaji ya kimbari
Hawzah / Rais wa Chile amesisitiza kwamba hataki Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, auawe katika shambulio, bali inapaswa ashtakiwe mbele ya mahakama ya kimataifa kwa kosa la mauaji ya…
-
DuniaIdadi kubwa ya wajumbe wa Kamati ya UEFA waafiki kusimamisha timu za utawala wa Kizayuni
Hawza / Wajumbe wengi wa kamati ya UEFA, kufuatia shinikizo kutoka kwa mashabiki na wachezaji katika kulaani mauaji ya halaiki Ghaza, wamepiga kura ya kuunga mkono kusimamishwa kwa timu za utawala…
-
DuniaRadi amali kali kutoka Chama cha Refah-e Melli Afghanistan dhidi ya hotuba ya Trump katika Umoja wa Mataifa
Hawza/ Chama cha Refah-e Melli Afghanistan kimekosoa vikali maneno ya hivi karibuni ya Donald Trump katika Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Mataifa kuhusu amani na kusitishwa kwa mapigano…
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan:
DuniaGhaza imekuwa makaburi ya ubinadamu na dhamiri ya ulimwengu
Hawza/ Ishaq Dar, katika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, alionya kwamba Ghaza imegeuka kuwa makaburi ya ubinadamu na dhamiri ya ulimwengu, kutokana na vifo vingi na hali mbaya…
-
Ubalozi wa Palestina nchini Brazili:
DuniaTunaitaka Paraguay ijiunge na mchakato wa kimataifa wa kulitambua taifa la Palestina
Hawza/ Ubalozi wa Palestina nchini Brazili na uwakilishi wake kwa wakati mmoja nchini Paraguay, kupitia taarifa rasmi, umepanua wigo wa utambuzi wa kimataifa wa taifa la Palestina, na kuitaka…
-
DuniaMfalme wa Hispania azitaja hatua za Israel kuwa “za kuchukiza na kinyume na dhamiri ya kibinadamu”
Hawza/ Felipe wa Sita, Mfalme wa Uhispania, katika hotuba yake kwenye Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa, akizungumza kwa msimamo mkali dhidi ya hatua za utawala wa Kizayuni huko Ghaza, alitoa…
-
DuniaMsimamo wa Rais wa Kolombia katika Umoja wa Mataifa dhidi ya Trump
Hawzah/ Rais wa Kolombia, Gustavo Petro, katika hotuba yake kwenye Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa, aliikosoa vikali serikali ya Donald Trump na kuieleza kuwa ni ya “kidikteta.”
-
DuniaKatika nchi hii ya Kiafrika, mshikamano na watu wanyonge wa Palestina na ziara ya Atabati Tukufu huonekana kama kosa
Hawza/ Baada ya kupita miezi kadhaa tangia maandamano ya amani ya Siku ya Quds nchini Nigeria ambayo yalivamiwa kwa ukatili mkubwa na majeshi yenye silaha ya Nigeria na kwa masikitiko makubwa…