pakistan (13)
-
Mwanazuoni wa Ahlu Sunna kutoka Pakistan:
DuniaKiongozi Shahidi alikuwa anailinda heshima na matukufu ya Uislamu
Hawza/ Mufti Sayyid Ashiq Hussein amesema: “Kiongozi Shahidi, Ayatullah al-Udhma Sayyid Ali Khamenei, kwa ustahimilivu na msimamo wake wa kipekee, alitekeleza jukumu la kudumu katika kulinda…
-
Seneta wa Pakistan:
DuniaLengo la Kongamano Kubwa la “Shahidi wa Umma” ni Kulingania Watu Kuelekea Upeo Mpya wa Uelewa, Uwajibikaji na Umoja
Hawza/ Mkusanyiko mkubwa na wa kifahari wa “Shahidi wa Umma” ulifanyika katika uwanja wa kihistoria wa Minar-e-Pakistan mjini Lahore kwa lengo la kuenzi hadhi ya juu ya kiongozi shahidi wa Umma…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia wa Pakistan:
DuniaImam Khomeini (r.a), alikuwa nembo ya mwamko na mapambano dhidi ya ubeberu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi katika ujumbe wake amesema: Imam Khomeini (r.a) kupitia ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliwasilisha mfano wenye mafanikio wa serikali…
-
DuniaPakistan yatangaza kuendelea kuiunga mkono Palestina licha ya shinikizo la Israel
Hawza/ Pakistan, kwa lengo la kuzuia kuwepo kwa utata kuhusu msimamo wake kuhusiana na Israel, ilisisitiza kwamba; msimamo wake wa kuliunga mkono taifa huru la Palestina bado unaendelea kuwa…
-
DuniaWanafunzi wa Pakistan watoa heshima kwa wanafunzi walio uwawa kishahidi wa shule ya Minab Iran
Hawza/ Wanafunzi wa “Akademia ya Vikosi ya Rawalpindi” nchini Pakistan, walipohudhuria katika Nyumba ya Utamaduni ya Iran, walitoa heshima kwa wanafunzi mashahidi wa shule ya mji wa Minab pamoja…
-
DuniaWanafunzi wa Pakistan wawakumbuka mashahidi wa Minab
Hawza/ kutokana na mnasaba wa kuadhimisha kumbukumbu na historia ya mashahidi wa shule ya “Shajarat Tayyibah Minab”, mashindano ya hotuba yaliyopewa anuani ya “Wito wa Amani na Ubinadamu” yalifanyika…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan amesema:
DuniaJe! Ni sawa siku ambayo familia za Wapalestina zilivamiwa na kuuwawa, kuwa ndio siku ya kusherekea familia Duniani?
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi katika ujumbe wake amesema: Zaidi ya miongo saba iliyopita, utawala haramu wa Israel ulipandikizwa kama kisu chenye sumu ndani ya moyo…
-
Rais wa Jamiat Ulema-e-Islam Pakistan:
DuniaTrump ndiye anayehusika na ukosefu wa usalama Mashariki ya Kati na kuyumba kwa utulivu katika Ghuba ya Uajemi
Hawza / Maulavi Fazlur Rahman katika hotuba yake alimwelezea Donald Trump, Rais wa Marekani, kuwa ndiye sababu kuu ya ukosefu wa usalama ndani ya Mashariki ya Kati na kuyumba kwa utulivu katika…
-
DuniaBendera ya Haram ya Imam Ridha (a.s) yafika Baltistan Pakistan na kupokewa kwa shangwe na wananchi
Hawza/ Sambamba na ujio wa ujumbe kutoka Haram Quds Razavi katika eneo la Baltistan nchini Pakistan, bendera tukufu ya kuba la Haram takatifu ya Imam Ridha(a.s) ililetwa katika mji wa Skardu…
-
Raisi wa Baraza la Waislamu wa Kishia nchini Pakistan:
DuniaMauaji ya Kimbari ya Wapalestina ni Matokeo ya Utendaji wa Ukoloni Duniani
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Seyyed Sajid Ali Naqvi, Raisi wa Baraza la Waislamu wa Kishia nchini Pakistan, katika tamko lake alieleza kwamba; Israel ni zana tu ya ukoloni wa dunia, na…
-
DuniaKiongozi wa Jamaat-e-Islami Pakistan: Kujitolea kwa Iran katika kuiunga mkono Palestina ni fahari kwa Umma wa Kiislamu
Hawza/ Hafiz Naeemur Rehman katika hotuba yake alisisitiza kwamba kujitolea kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuliunga mkono taifa la Palestina ni chanzo cha fahari kwa umma wa Kiislamu…
-
Mwanazuoni wa Kisunni:
DuniaKunyamaza wanaodai haki za binadamu mbele ya mauaji ya halaiki ya Wapalestina ni jambo la aibu
Hawza/ Asadullah Bahto, katika hotuba yake, alilieleza juu ya kunyamaza wanaodai haki za binadamu mbele ya mauaji ya halaiki ya Wapalestina kuwa ni jambo la aibu, na akasisitiza juu ya kushindwa…
-
HawzaWaziri wa Kilimo wa Pakistan, amepata bahati ya kuzuru haramu ya Bibi Fatima Masuma (a.s), iliyopo Qum Iran
Hawza/ “Rana Tanveer Hussain,” Waziri wa Kilimo na Usalama wa Chakula wa Pakistan, katika safari yake mjini Qom Iran, alipata bahati ya kuzuru haramu tukufu ya Bibi Fatima Masuma (a.s)