pakistan (24)
-
Seneta wa Pakistan:
DuniaLengo la Kongamano Kubwa la “Shahidi wa Umma” ni Kulingania Watu Kuelekea Upeo Mpya wa Uelewa, Uwajibikaji na Umoja
Hawza/ Mkusanyiko mkubwa na wa kifahari wa “Shahidi wa Umma” ulifanyika katika uwanja wa kihistoria wa Minar-e-Pakistan mjini Lahore kwa lengo la kuenzi hadhi ya juu ya kiongozi shahidi wa Umma…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia wa Pakistan:
DuniaImam Khomeini (r.a), alikuwa nembo ya mwamko na mapambano dhidi ya ubeberu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi katika ujumbe wake amesema: Imam Khomeini (r.a) kupitia ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliwasilisha mfano wenye mafanikio wa serikali…
-
DuniaPakistan yatangaza kuendelea kuiunga mkono Palestina licha ya shinikizo la Israel
Hawza/ Pakistan, kwa lengo la kuzuia kuwepo kwa utata kuhusu msimamo wake kuhusiana na Israel, ilisisitiza kwamba; msimamo wake wa kuliunga mkono taifa huru la Palestina bado unaendelea kuwa…
-
DuniaWanafunzi wa Pakistan watoa heshima kwa wanafunzi walio uwawa kishahidi wa shule ya Minab Iran
Hawza/ Wanafunzi wa “Akademia ya Vikosi ya Rawalpindi” nchini Pakistan, walipohudhuria katika Nyumba ya Utamaduni ya Iran, walitoa heshima kwa wanafunzi mashahidi wa shule ya mji wa Minab pamoja…
-
DuniaWanafunzi wa Pakistan wawakumbuka mashahidi wa Minab
Hawza/ kutokana na mnasaba wa kuadhimisha kumbukumbu na historia ya mashahidi wa shule ya “Shajarat Tayyibah Minab”, mashindano ya hotuba yaliyopewa anuani ya “Wito wa Amani na Ubinadamu” yalifanyika…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan amesema:
DuniaJe! Ni sawa siku ambayo familia za Wapalestina zilivamiwa na kuuwawa, kuwa ndio siku ya kusherekea familia Duniani?
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi katika ujumbe wake amesema: Zaidi ya miongo saba iliyopita, utawala haramu wa Israel ulipandikizwa kama kisu chenye sumu ndani ya moyo…
-
Rais wa Jamiat Ulema-e-Islam Pakistan:
DuniaTrump ndiye anayehusika na ukosefu wa usalama Mashariki ya Kati na kuyumba kwa utulivu katika Ghuba ya Uajemi
Hawza / Maulavi Fazlur Rahman katika hotuba yake alimwelezea Donald Trump, Rais wa Marekani, kuwa ndiye sababu kuu ya ukosefu wa usalama ndani ya Mashariki ya Kati na kuyumba kwa utulivu katika…
-
DuniaBendera ya Haram ya Imam Ridha (a.s) yafika Baltistan Pakistan na kupokewa kwa shangwe na wananchi
Hawza/ Sambamba na ujio wa ujumbe kutoka Haram Quds Razavi katika eneo la Baltistan nchini Pakistan, bendera tukufu ya kuba la Haram takatifu ya Imam Ridha(a.s) ililetwa katika mji wa Skardu…
-
Raisi wa Baraza la Waislamu wa Kishia nchini Pakistan:
DuniaMauaji ya Kimbari ya Wapalestina ni Matokeo ya Utendaji wa Ukoloni Duniani
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Seyyed Sajid Ali Naqvi, Raisi wa Baraza la Waislamu wa Kishia nchini Pakistan, katika tamko lake alieleza kwamba; Israel ni zana tu ya ukoloni wa dunia, na…
-
DuniaKiongozi wa Jamaat-e-Islami Pakistan: Kujitolea kwa Iran katika kuiunga mkono Palestina ni fahari kwa Umma wa Kiislamu
Hawza/ Hafiz Naeemur Rehman katika hotuba yake alisisitiza kwamba kujitolea kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuliunga mkono taifa la Palestina ni chanzo cha fahari kwa umma wa Kiislamu…
-
Mwanazuoni wa Kisunni:
DuniaKunyamaza wanaodai haki za binadamu mbele ya mauaji ya halaiki ya Wapalestina ni jambo la aibu
Hawza/ Asadullah Bahto, katika hotuba yake, alilieleza juu ya kunyamaza wanaodai haki za binadamu mbele ya mauaji ya halaiki ya Wapalestina kuwa ni jambo la aibu, na akasisitiza juu ya kushindwa…
-
HawzaWaziri wa Kilimo wa Pakistan, amepata bahati ya kuzuru haramu ya Bibi Fatima Masuma (a.s), iliyopo Qum Iran
Hawza/ “Rana Tanveer Hussain,” Waziri wa Kilimo na Usalama wa Chakula wa Pakistan, katika safari yake mjini Qom Iran, alipata bahati ya kuzuru haramu tukufu ya Bibi Fatima Masuma (a.s)
-
DuniaUtekwaji wa Mwanazuoni wa Kidini kutoka Pakistan Nchini Saudi Arabia: Wananchi wa Pakistan Wamiminika Barabarani
Hawza/ Kufuatia kutoweka kwa Hujjatul-Islam Ghulam Hasnain Wajdani, Imamu wa Ijumaa wa mji wa Quetta, nchini Saudi Arabia na kutojulikana kwa muda wa miezi mitatu kuhusu hatima yake, mamia ya…
-
Rais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan:
DuniaNjia ya uokovu wa Umma katika zama za fitna imo katika mafundisho ya subira na munajat ya Imam Zaynu l-‘Ābidīn (as)
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimīn Sayyid Sajid Ali Naqavi, katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya siku ya shahada ya Imam Zaynu l-‘Ābidīn (as) amesisitiza kuwa: Mtukufu huyo…
-
Kiongozi wa Harakati ya Sunni Pakistan:
DuniaKimya kinacho oneshwa na taasisi za kimataifa mbele ya vitendo vya Israel hakikubaliki
Hawza/ Muhammad Sarwat Ijaz Qadiri, katika hotuba yake, ameikosoa vikali Jumuiya ya Kimataifa na Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu kwa kukaa kimya mbele ya jinai zinazofanywa na Israel, na ametoa…
-
Mwanazuoni wa Kiislamu nchini Pakistan:
DuniaKushikamana na Qur'ani na Ahlul-Bayt (as) ni Dhamana ya Kimungu kwa Ulinzi wa Umma dhidi ya Upotofu
Hawza/ Dkt. Muhammad Tahir al-Qadri, katika hotuba yake huku akisisitiza mafundisho ya Mtume (saw), alisema kwamba: Kushikamana na Qur'ani na Ahlul-Bayt (as) ni dhamana ya uongofu na kinga kwa…
-
Makamu wa Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Waislamu Pakistan:
DuniaKesi za dhulma dhidi ya waombolezaji wa Muharram zinapaswa kufutwa mara moja
Hawza/ Hujjat al-Islam Sayyid Ahmad Iqbal Rizvi, katika taarifa yake, amelaani vikali kufunguliwa kwa kesi zisizo na msingi dhidi ya waombolezaji wa Muharram, na ametoa wito wa kufutwa mara moja…
-
DuniaMsimamizi wa Masuala ya Kimataifa wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan: Kutetea Marjaa ni Wajibu wa Kidini na wa Kila Mtu
Hawza/ Hujjatul-Islam Shafqat Hussein Shirazi, katika kujibu matamshi ya matusi ya Rais wa Marekani dhidi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Mtukufu Ayatollah al-Udhma Khamenei (Mola…
-
VideoVideo / Utetezi wa kishujaa wa Seneta wa Pakistan kwa Ayatollah al-Udhma Khamenei
Hawza / Kauli za Hujjatul-Islam wal-Muslimin Raja Nasir Jafari, Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan.
-
DuniaKupanuka kwa wigo wa maandamano dhidi ya kuvunjiwa heshima maombolezo ya Bwana wa Mashahidi (as) nchini Pakistan
Hawza/ Baadhi ya maafisa wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan, katika mkutano na wanahabari uliofanyika Lahore, Pakistan, walieleza wasiwasi wao kuhusu vikwazo vinavyowekwa dhidi ya alama…
-
DuniaMwanazuoni wa Kidini kutoka Pakistan: Iran ni sauti ya wazi ya Karbala mbele ya ubeberu wa kimataifa
Hawza/ Kikao kilichoandaliwa kwa anuani ya "Ujumbe wa Karbala na sherehe ya ushindi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran" kimefanyika katika jimbo la Sindh, Pakistan.
-
Mwanamama Mwanasiasa wa Pakistan:
DuniaUshindi wa Mapinduzi ya Kiislamu mbele ya Marekani na Israel ni kofi kali usoni mwa wanafiki na wabeberu wa kimataifa
Hawza/ Mheshimiwa Saira Ibrahim, katika hotuba yake huku akiashiria ushindi wa hivi karibuni walioupata Mapinduzi ya Kiislamu dhidi ya Marekani na utawala wa Kizayuni, alisema: Hili ni tukio…
-
DuniaMufti wa Waislamu wa Ahlu Sunnah Pakistan, Aiunga Mkono Iran Kikamilifu
Hawza: Sheikh Mufti Muhammad Taqi Othmani, mmoja wa maulamaa mashuhuri wa Kisunni nchini Pakistan, katika kukabiliana na uvamizi wa hivi karibuni uliofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Jamhuri…
-
DuniaMaandamano makubwa ya kuiunga mkono Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yafanyika Lahore, Pakistan
Hawza/ Kufuatia uvamizi uliofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran, wananchi wa mji wa Lahore waliandamana kwa wingi wakitangaza kuunga mkono kwao Jamhuri ya Kiislamu na muqawama.