pakistan (28)
-
VideoVideo / Utetezi wa kishujaa wa Seneta wa Pakistan kwa Ayatollah al-Udhma Khamenei
Hawza / Kauli za Hujjatul-Islam wal-Muslimin Raja Nasir Jafari, Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan.
-
DuniaKupanuka kwa wigo wa maandamano dhidi ya kuvunjiwa heshima maombolezo ya Bwana wa Mashahidi (as) nchini Pakistan
Hawza/ Baadhi ya maafisa wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan, katika mkutano na wanahabari uliofanyika Lahore, Pakistan, walieleza wasiwasi wao kuhusu vikwazo vinavyowekwa dhidi ya alama…
-
DuniaMwanazuoni wa Kidini kutoka Pakistan: Iran ni sauti ya wazi ya Karbala mbele ya ubeberu wa kimataifa
Hawza/ Kikao kilichoandaliwa kwa anuani ya "Ujumbe wa Karbala na sherehe ya ushindi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran" kimefanyika katika jimbo la Sindh, Pakistan.
-
Mwanamama Mwanasiasa wa Pakistan:
DuniaUshindi wa Mapinduzi ya Kiislamu mbele ya Marekani na Israel ni kofi kali usoni mwa wanafiki na wabeberu wa kimataifa
Hawza/ Mheshimiwa Saira Ibrahim, katika hotuba yake huku akiashiria ushindi wa hivi karibuni walioupata Mapinduzi ya Kiislamu dhidi ya Marekani na utawala wa Kizayuni, alisema: Hili ni tukio…
-
DuniaMufti wa Waislamu wa Ahlu Sunnah Pakistan, Aiunga Mkono Iran Kikamilifu
Hawza: Sheikh Mufti Muhammad Taqi Othmani, mmoja wa maulamaa mashuhuri wa Kisunni nchini Pakistan, katika kukabiliana na uvamizi wa hivi karibuni uliofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Jamhuri…
-
DuniaMaandamano makubwa ya kuiunga mkono Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yafanyika Lahore, Pakistan
Hawza/ Kufuatia uvamizi uliofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran, wananchi wa mji wa Lahore waliandamana kwa wingi wakitangaza kuunga mkono kwao Jamhuri ya Kiislamu na muqawama.
-
DuniaJamaat-e-Islami nchini Pakistan yaitaka serikali kutoa msaada wote unaohitajika katika kuiunga mkono Iran
Hawza/ Baraza Kuu la Jamaat-e-Islami Pakistan katika azimio maalum, limelaani shambulio lililofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran na kuiomba serikali ya Pakistan kuiunga mkono Iran kikamilifu…
-
Mwanazuoni Mashuhuri wa Pakistani:
DuniaShambulio dhidi ya Iran ni shambulio dhidi ya ulimwengu wa kiislamu
Hawza/ Hujjatul-Islam Maqsuud Ali Domki, katika khutba ya Swala ya Ijumaa, huku akilaani mashambulizi yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran, alitaja hatua hizo kuwa ni uvamizi dhidi…
-
DuniaMwanazuoni wa Pakistan: Kuzuia Misada kwa Ghaza ni ukiukwaji dhahiri wa haki za kimataifa
Hawza/ Hujjatul-Islam Maqsuud Ali Domki, katika kongamano la maulamaa na masheikh wa Baluchistan, alilieleza tukio la Israel la kukamata meli ya misaada kutoka Ulaya kuwa ni uvunjaji wa sheria…
-
Mwenyekiti wa Harakati ya Uamsho ya Umma wa Mustafa nchini Pakistan:
DuniaUjumbe wa kimapinduzi wa Imam Khomeini (ra) ndio njia pekee ya kuukomboa Umma wa Kiislamu
Hawza / Katika maadhimisho ya mwaka wa thelathini na sita tangia kufariki kwa kiongozi mkubwa wa Mapinduzi ya Kiislamu, hadhrat Imam Khomeini (ra), mkusanyiko mkubwa uliohudhuriwa na maulamaa…
-
Pendekezo la Mwenyekiti wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan kuhusu Siku ya Kimataifa ya Wazazi:
DuniaDunia haisikii sauti ya wazazi waliopoteza watoto wao huko Ghaza
Hawza/ Hujjat al-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa Siku ya Kimataifa ya Wazazi, amependekeza siku hii ipewe jina la wazazi wa watoto walio dhulumiwa…
-
Raisi wa Harakati ya Minh'aj al-Qur’an ya Pakistan:
DuniaKuvumilia wahalifu kunapelekea kuvunjika kwa jamii
Dkt. Muhammad Tahir-ul-Qadri, Kiongozi wa Harakati ya Minh'aj al-Qur’an Pakistan, katika kikao cha kielimu kilichofanyika Manchester Uingereza, kwa kusisitiza heshima ya uhai wa binadamu, alilitaja…
-
DuniaMwenyekiti wa Jumuiya ya Kisheria ya Waislamu wa Kishia wa Jammu na Kashmir apinga vikali ukimya wa jumuiya ya kimataifa kuhusiana na janga la kibinadamu la Ghaza
Hujjatul-Islam Sayyid Hassan Mousawi Safawi, katika hotuba yake, alilaani vikali uhalifu unaofanywa na Israel huko Ghaza, na akasema kuwa dunia kukaa kimya mbele ya janga hili la kibinadamu haikubalik…
-
DuniaMwenyekiti wa Umoja wa Umma Mmoja Pakistan, Aunga Mkono Mpango wa amani wa Nyuklia wa Iran
Hawza / Hujjatul-Islam wal-Muslimin Amin Shahidi, katika tamko lake, akiwa amesisitiza juu ya asili ya amani ya mpango wa nyuklia wa Iran, ameutaja kuwa ni haki ya kisheria na inayokuja kutokana…
-
DuniaRais wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan: Ukombozi wa Quds ni ahadi ya Mwenyezi Mungu
Hawza/ Katika kumbukumbu ya siku ya kukaliwa kimabavu kwa mji mtakatifu wa Quds, Seneta Raja Nasir Abbas Jafari, katika tamko alilolitoa, amelaani jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni na…
-
DuniaRais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan: Israeli ni utawala wa kimabavu, usio halali na ni tishio kwa amani ya dunia
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake kwenye mnasaba wa Siku ya Nakba (15 Mei), amelieleza utawala wa Kizayuni kuwa ni utawala wa kunyang’anya kwa nguvu…
-
Makamu wa Rais wa Baraza la Ulama wa kishia Pakistan:
HawzaUmoja na mshikamano ndiyo njia ya uokovu kwa umma wa kiislamu
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Arif Hussein Wahidi, katika mkutano wa kitaifa wa umoja, alitaja umoja wa umma wa kiislamu kuwa ndio njia pekee ya kukabiliana na maadui, na akataka ujumbe wa Qur’ani…
-
Mjumbe Jumuiya ya Husainia ya Parachinar:
DuniaMgogoro wa Parachinar nchini Pakistan bado unaendelea kugharimu maisha; magaidi hawana huruma hata kwa watoto
Kufuatia kuendelea kuzingirwa watu wa Parachinar kwa kipindi cha miezi kadhaa, kikao muhimu kimefanyika mjini Islamabad huku kikhudhuriwa na kundi la wanazuoni, pamoja na watu mashuhuri wa kisiasa…
-
Kaimu Rais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan:
DuniaHija ni alama ya umoja wa Umma wa kiislamu duniani
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Arif Hussein Waahidi, katika mkutano wa kila mwaka wa hija, alieleza kuwa: hija ni siri ya umoja wa waislamu wote ulimwenguni.
-
DuniaUjumbe wa Raisi wa Shura ya Maulamaa wa Kishia Pakistan kutokana na Mnasaba wa kufariki Papa Francis
Kwa mujibu wa shirika la habari la Hawza, Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, Raidi wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan, ameeleza masikitiko yake na huzuni kufuatia kifo…
-
Katika kikao kilichofanyika nchini Pakistan imesemwa kuwa:
DuniaKiongozi Mkuu wa Mapinduzi bila shaka ndie mtetezi wa kweli wa ubinadamu
Kongamano la lililofana ambalo lilipewa jina la “Karbala ya zama za Palestina” limefanyika mjini Islamabad, Pakistan, kwa kushirikisha shakhsia mashuhuri za kisiasa, kidini na vyombo vya habari…
-
Makamu wa Rais wa baraza la umoja wa waislamu Pakistan:
DuniaKuwazuia wanao uwawa Parachinar kunaendelea chini ya kivuli kinacho tokana na ukimya wa serikali
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Ahmad Iqbal Rizvi, katika hotuba yake aliyoitoa kwa kuashiria kuzingirwa miezi minane watu wa Parachinar, aliikosoa vikali serikali na taasisi husika kutokana…
-
Rais wa Shura ya Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaUtata katika mwenendo wa Marekani ndio chanzo cha vita sehemu mbali mbali
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika taarifa kuhusu mazungumzo yake kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Marekani, amesisitiza kuwa: Mazungumzo haya yanaweza tu kuzaa…
-
HawzaMaulamaa wa Pakistan wasisitiza kuhusu mapambano dhidi ya Israel na kuzuiwa kikamilifu Bidhaa za mazayuni
Kikao cha Kitaifa cha Palestina kimefanyika kwa ushiriki wa maulamaa mashuhuri na viongozi wa kidini katika Kituo cha Kitamaduni cha Urafiki kati ya Pakistan na China mjini Islamabad.
-
DuniaWaislamu wa Kishia wa Hyderabad Pakistan, wakusanyika kupinga uharibifu wa Pakistan , katika mnasaba wa kumbukizi ya Kubomolewa makaburi hayo
Katika kumbukumbu ya siku ya kubomolewa kwa makaburi matukufu ya Jannatul Baqi', Waislamu wa madhehebu ya Shia mjini Hyderabad, Pakistan walifanya maandamano ya kuonesha upingaji wao dhidi ya…
-
DuniaKongamano la kuwaunga mkono Palestina lafanyika Karachi, Pakistan
Kutokana na uvamizi unaofanywa mara kwa mara na Marekani wakishirikiana na utawala wa Kizayuni dhidi ya taifa la Palestina, {kongamano la kuwaunga mkono Palestina} limefanyika katika jiji la…
-
DuniaKudhihirisha Upendo wa Wapakistani kwa Imam Ali (a.s)
Nchini Pakistan; Kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya kifo cha Imam Ali (a.s), miji ya nchi hiyo iligubikwa na hali ya majonzi. Makundi maalum ya kuomboleza yaliyo andaliwa kwa heshima maalum…