Kuielekea Jamii Bora (25)
-
Kuielekea Jamii ya Bora (Mkusanyiko wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (as) - 38
DiniHoja za wilayat Faqihi (Hoja ya Kinakili)
Hawza /Wafuasi wa Imam wa zama (as) katika kipindi cha ghaiba ya huyo mtukufu wanapaswa katika masuala yanayojitokeza kumrejea mpokezi wa hadithi, ni wazi kuwa kuelewa maneno ya Ma‘sumiin (as)…
-
Kuielekea Jamii Bora: Mfululizo wa Utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (as) - 37
DiniHoja za wilayat Faqihi (Hoja ya Kiakili)
Hawza/ Hoja ya wilayat faqihi inaweza kuchambuliwa kwa mtazamo wa kiakili na vilevile wa kinakini; yaani, akili inamuamrisha Muislamu kumtii faqihi katika zama za ghaiba, na vivyo hivyo riwaya…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 36
DiniKuuongoza umma katika Kipindi cha Ghayba Kubra (kubwa)
Hawza/ Baada ya ghaiba ya Imam wa kumi na mbili (as), ni nani mwenye dhamana ya uongozi na uimamu juu ya umma? Je, mtu mmoja au watu fulani wana mamlaka juu ya umma? Ikiwa kuna mamlaka, mipaka…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 35
DiniNamna ya Ghaiba ya Imam Mahdi (as)
Hawzah/ Je, ghaiba ya Bwana wa Amri as iko vipi? Je, mwili wake mtukufu umefichika machoni mwa watu? Au kwamba mwili wake huonekana lakini hakuna anayemjua?
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 34
DiniUwezekano wa kufuzu kuonana na kuhudhuria mbele ya Imam wa zama (aj)
Hawza/ Kufuzu baadhi ya watu kuweza kuonana na Imam huyo mtukufu ni jambo lililothibiti, na uwongo na batili ya madai ya wale wanaodai uwakala na uwakilishi maalumu baina ya Imam huyo na watu…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 33
DiniMakazi ya Imam Mahdi (as) katika Kipindi cha Ghaiba Kubwa
Hawza/ Ikiwa katika mada ya "ghaiba", mambo kama mahali alipo Imam (as), chakula chake n.k. yasibainike wazi, hilo halileti shaka wala dhana yoyote; vivyo hivyo, kubainika kwa mambo hayo hakuhusiki…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 32
DiniMfumo wa Uimamu ni mfumo wa kimungu usiokatika
Hawza/ Mfumo wa Uimamu ni mfumo wa kimungu, usiokatika, na hauna kipindi cha mapumziko (fatra); upo katika kila zama na kila wakati. Kuanzia zama za Mtume Mtukufu Muhammad (saw) hadi leo umeanzishwa,…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 31
DiniHadhi na Vyeo vya Imamu Mahdi (aj) katika Dua
Hawzah/ Kuzingatia vyeo na nafasi za Imamu wa zama (aj) katika ulimwengu kunaweza kuwa sababu ya kumkaribisha zaidi mja kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu.
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 30
DiniSifa za Imam wa zama (aj) Katika Dua
Hawza/ Kwa kuzingatia sifa na tabia za Imam wa zama (a.f) kunaweza kuongeza na kuimarisha zaidi uhusiano wa kiroho na wa ndani kati ya mja na Yeye.
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 29
DiniDua na Ziara Kuhusiana na Mahdawia
Hawza/ Moja kati ya nyenzo muhimu sana kwa wafuasi wa Imamu Mahdi (as) katika kipindi cha ghaiba yake ni dua na kuwa na mafungamano naye, ili wasimsahau, na kwa njia ya dhikri, dua na ziara,…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 27
DiniKurudi kwa Mitume, Maimamu na Waumini wa kweli
Hawza/ Kwa mujibu wa hadithi, Mitume, Maimamu watoharifu (as), na waumini wa kweli – katika zama za "raj‘a" – watarudi tena duniani.
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 26
DiniBaadhi ya Sifa za Kurejea Duniani (raj'a)
Hawza/ Kwa waumini wote na wanaosubiri kwa dhati kudhihiri kwa Imam Mahdi (as), ambao wamefariki kabla ya kudhihiri kwake, kuna uwezekano wa kurudi duniani na kumsaidia Imam huyo.
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 22
DiniMwenendo wa Kiserikali wa Imam Mahdi (as)
Hawza/ Mwenendo wa Imam Mahdi (as) ni ule ule wa Mtume Muhammad (saw), na jinsi ambavyo Mtume (saw) katika zama zake alipambana na ujahili kwa kila sura yake, na akausimamisha Uislamu Safi –…
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 14
DiniMasharti na Mazingira ya Kudhihiri kwa Imam Mahdi (as)
Hawzah/ Kila tukio katika ulimwengu huu linatokea pale masharti na mazingira yake yanapotimia, na bila kutimia kwa mazingira hayo, hakuna kitu chochote kinachoweza kuwepo.
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 13
HawzaUmri wa Imamu wa zama (a.s)
Hawza | Kwa mujibu wa itikadi ya wafuasi wa dini zote za mbinguni, vitu vyote ulimwenguni viko chini ya mamlaka ya Mwenyezi Mungu, na athari zitokanazo na vitu hivyo zinategemea matakwa Yake.…
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 12
DiniJua Nyuma ya Wingu
Masuala ya ghaiba hayapingani na falsafa ya ulazima wa kuwepo kwa Imamu Maasumu (as); kwani Imamu Maasumu, hata katika hali ya ghaiba, yupo, na manufaa yake yanawafikia wengine. Ni sehemu tu…
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 11
DiniFaida za Imamu Aliye Mafichoni
Je, nafasi ya Imamu katika mfumo wa kuwepo kwa viumbe ni ipi? Je, athari zote za uwepo wake zinategemea kudhihiri kwake? Je, yeye yupo tu kwa ajili ya kuwaongoza watu au uwepo wake ni chanzo…
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 10
DiniAina za Ghaiba ya Imam Mahdi (a.s.)
Kuwasiliana na Mawakili wanne wa kipekee (Nuwwāb Arbaʿa) pamoja na kufanikiwa kwa baadhi ya Mashia kufika mbele ya Imam wao katika kipindi cha Ghaiba ndogo, kulikuwa na athari kubwa katika kuthibitish…
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 9
DiniFalsafa ya Ghaiba (kutoweka) kwa Imam Mahdi (a.s)
Kwa hakika, ni kwa nini Imam yupo katika pazia la ghaiba, na ni sababu ipi iliyopelekea watu kunyimwa baraka za kudhihiri kwake?
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 8
DiniDhana na historia ya Ghaiba (kutoweka)
Ghaiba au maisha ya kifichoni si jambo jipya lililotokea kwa mara ya kwanza tu kuhusu hujjah wa mwisho wa Mola Mlezi, bali kutokana na riwaya nyingi inaonekana kwamba baadhi ya Manabii wakubwa…
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 7
DiniImam Mahdi (a.f) kwa Mtazamo wa Haraka
Baada ya kipindi cha ghaiba kupita, kwa mapenzi ya Mola wa ulimwengu, Imam wa Kumi na Mbili (a.s) atadhihiri na kuja kuijaza dunia wema na uzuri. Hakuna anayejua wakati wa kudhihiri kwake, na…
-
"Kuielekea jamii iliyo bora" (mfululizo wa utafiti kuhusu Imamu al-Mahdi (a.s) - 6
DiniNi Mwenyezi Mungu pekee tu ndie mwenye haki ya kumchagua Imaam
Mwenye mamlaka ya juu kabisa juu ya kila kitu ni Mwenye Mungu, na wote wanapaswa kumtii Yeye peke yake. Kwa hivyo ni wazi kabisa kwamba mamlaka hii inaweza kutolewa na Allah kwa yeyote yule kulingana…
-
“Kuielekea Jamii Bora” (mfululizo wa utafiti kuhusu Imam Mahdi, amani iwe juu yake) - 4
HawzaSifa za Imam: «‘Iṣmah»
Iwapo Imām hatokuwa ni mwenye kuhifadhiwa dhidi ya makosa, basi itawapasa watu wamtafute Imām mwingine ili awajibu mahitaji yao. Na iwapo na huyo pia hatokuwa ni mwenye kuhifadhiwa dhidi ya makosa,…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 4
DiniSifa za Imam; “Isma” (Kuhifadhiwa na kufanya makosa)
Hawza/ Kama Imam hato hifadhiwa kutokana na kukosea, basi itakuwa ni lazima kumtafuta Imam mwingine ili kukidhi mahitaji ya watu, na ikiwa naye pia hatakuwa salama kutokana na makosa, basi Imam…
-
“Kuielekea Jamii Bora” (mfululizo wa utafiti kuhusu Imam Mahdi, amani iwe juu yake) - 3
DiniSifa za Imam; Mwenye elimu kubwa zaidi na uelewa mpana zaidi miongoni mwa watu
Hawzah/ Imam ambaye anachukua nafasi ya uongozi na uwatawala kwa watu, ni lazima aijue dini kwenye nyanja zake zote na awe na uelewa kamili wa sheria zake, vilevile aweze kujibu maswali yote…