Vita kati ya Israeli na Lebanon (48)
-
Rais wa Lebanon:
DuniaNawashukuru wale wote waliojitahidi kuijumuisha Lebanon katika juhudi za kumaliza ongezeko la mvutano na kusitisha hatua za kijeshi
Hawza/ Joseph Aoun amesema: Kwa uangalifu mkubwa nimefuatilia kutangazwa kwa hati ya makubaliano iliyofikiwa kati ya Marekani na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, pamoja na msisitizo wake juu ya kusitishwa…
-
Mwanazuoni wa Kisunni wa Lebanon:
DuniaChaguo la Muqawama Limechaguliwa Kwa Msingi wa Kushikamana na Qur’ani Tukufu
Hawza/ Sheikh Ahmad Al-Qattan amesisitiza wa kusema: “Muqawama nchini Lebanon ni uhai wetu, na adui Muisraeli, licha ya kuendelea na mashambulizi yake, ameshindwa kufikia malengo yake.”
-
DuniaWananchi wa Baalbek Wakusanyika kwa Ajili ya Kuonesha Shukrani Zao na Uaminifu kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Hawza/ Mji wa Baalbek ulishuhudia mkusanyiko mkubwa wa mshikamano; hatua iliyofanyika kama ishara ya shukrani na uaminifu kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kwa ushiriki mkubwa wa wananchi wanaouunga…
-
Mwandishi wa Uturuki Aishambulia Vikali Beirut:
DuniaSerikali ya Lebanon Imesimama Pamoja na Muqawama au Pamoja na Israel?
Hawza/ Ahmad Varol, mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka Uturuki, amekosoa misimamo ya serikali ya Lebanon kuhusu Hizbullah na Iran, akisisitiza kwamba viongozi wa Lebanon, badala ya kukabiliana…
-
Sheikh Ahmad Qabalan:
DuniaHatuitoi Lebanon kwa Wazayuni na Mawakala Wao
Hawza/ Mufti Mkuu wa Ja'faria na mwanazuoni mashuhuri wa Lebanon amesema: Kinachotokea leo kinaiweka mamlaka ya Lebanon mikononi mwa wale walioigeuza kuwa mtaji wa kisiasa na zawadi ya kiusalama…
-
Wataalamu na Wachambuzi:
DuniaMabadiliko ya Kivita na “Umoja wa Medani za Mapambano” Vamevuruga Hesabu za Kizayuni na Kimarekani nchini Lebanon na katika Ukanda Mzima
Hawza/ Mapambano katika eneo dhidi ya utawala wa Kizayuni yameingia katika hatua ngumu zaidi, dalili za kushindwa kwa utawala huo wa uvamizi zinazidi kujitokeza siku baada ya siku.
-
DuniaWananchi wa Lebanon Wakusanyika Mbele ya Ubalozi wa Iran, kama Ishara ya Uaminifu na Shukrani kwa Kusimama Iran Pamoja na Lebanon
Hawza/ Wananchi wa Lebanon walikusanyika mbele ya Ubalozi wa Iran mjini Beirut kama ishara ya kutoa shukrani kwa hatua ya Iran ya kujibu mashambulizi ya utawala wa Kizayuni na kuiunga mkono Lebanon.
-
DuniaJumuiya ya Maulamaa wa Beirut Yapongeza Msimamo wa Dhati wa Iran katika Kuisaidia Lebanon
Hawza/ Jumuiya ya Maulamaa wa Beirut imesisitiza kwamba; haiwezekani kuachana na muqawama ambao uliikomboa ardhi na kumzuia adui; Muqawama upo na utaendelea kuwepo maadamu hakuna mbadala unaoweza…
-
DuniaMkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon wakosoa vikali misimamo ya viongozi wakuu wa nchi hiyo kuhusu mazungumzo ya Washington
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon umeelezea matokeo ya mazungumzo yaliyofanyika kati ya Lebanon na adui Mzayuni chini ya usimamizi wa Shetani Mkuu, Marekani, kuwa ni ya kukatisha…
-
Sheikh al-Khatib:
DuniaTaarifa ya mazungumzo ya Washington inafungua milango ya fitna ambayo adui ananuia kuizalisha
Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon amesema: Kukubali kwa serekali ya Lebanon kupitia wanadiplomasia wake maudhui ya taarifa ya Washington na kukubali…
-
Hizbullah:
DuniaJinai inayofanywa na adui dhidi ya jeshi la taifa imekuwa ni matokeo ya kawaida na ya kupuuzwa kwa mamlaka ya nchi
Hawza / Hizbullah katika taarifa yake imesema: Shambulio la kijinai na la woga ambalo adui Mzayuni amelifanya dhidi ya jeshi letu la taifa ni jinai ya kweli na ya makusudi.
-
DuniaSheikh Qabalan amwambia Aoun: Kama kusingekuwa na Muqawama, adui Muisraeli angefika hadi Ikulu ya Rais
Hawza / Mwanazuoni mashuhuri wa Lebanon, katika ujumbe wake kwa Rais wa Lebanon, amesema: Yeyote anayehimiza Muqawama kujiondoa kusini mwa mto huku wakati huohuo asidai kuondoka kwa jeshi la…
-
Sheikh Naim Qasim:
DuniaTunajivunia kwamba tulimfanya Imam Khomeini kuwa mfano wa maisha yetu na tukaunga mkono uthabiti na haki
Hawza/ Sheikh Naim Qasim, Katibu Mkuu wa Hizbullah, katika taarifa iliyotolewa kufuatia kumbukumbu ya mwaka wa kufariki kwa Imam Khomeini, alisisitiza kwamba; Mapinduzi ya Iran yalianza kutoka…
-
Mwakilishi wa Kambi ya Muqawama:
DuniaKusisitiza Muqawama kunyang'anywa silaha ni sawa na kusisitiza kuondoa nguvu ya jamii hii
Hawza/ Ihab Hamada amesema: Kusisitiza kuvuliwa silaha kwa Muqawama, kwa hakika ni kusisitiza kuondoa sehemu ya nguvu ya jamii hii; hatua hii inalenga kuifanya jamii iwe dhaifu na iwe rahisi…
-
Harakati ya Umma:
DuniaNia ya mataifa yanayoamini haki na uhuru wao ina nguvu zaidi kuliko mashine zote za kivita
Hawza/ Harakati ya Umma ya Lebanon imelaani mashambulizi ya mara kwa mara ya Kizayuni yanayofanywa kusini mwa Lebanon na eneo la Biqaa pamoja na ukiukwaji wa kila siku wa mamlaka ya Lebanon,…
-
Ujumbe wa Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon kwenye Kongamano la Pili la Kimataifa la Ghadir na Muqawama:
DuniaHizbullah imesimama dhidi ya utawala wa Kizayuni kwa kuhamasishwa na Wilayah na utamaduni wa Ashura
Hawza/ Sheikh Naim Qassem katika ujumbe wake kwenye Kongamano la Pili la Kimataifa la Ghadir na Muqawama alisisitiza: Hizbullah ya Lebanon, kwa kuhamasishwa na madhehebu ya Imam Ali (as) na harakati…
-
Mkuu wa Baraza la Kisheria la Hizbullah:
DuniaHatutaachana na msimamo wetu, hata kama utasababisha makabiliano ya Hussein
Hawza/ Sheikh Muhammad Yazbak, Mkuu wa Baraza la Kisheria la Hizbullah, amesema katika ujumbe wake: “Tunawashukuru wote wanaotunyoshea mkono wa msaada na utetezi, na kwa namna ya pekee tunaishukuru…
-
Sheikh Ali Al-Khatib:
DuniaMaadamu Uvamizi Unaendelea, Muqawama Nao Utaendelea Kuwepo
Hawza/ Sheikh Ali Al-Khatib amewataka viongozi kutoweka matumaini yao kwa Marekani, ambayo inalenga kupitia mazungumzo ya moja kwa moja kuanzisha fitna ya ndani kwa ajili ya kumuokoa adui wa…
-
DuniaIsrael yafanya Mashambulizi Makubwa Upande wa Kusini; Idadi ya Mashahidi na Majeruhi Yaongezeka
Hawza/ Kusini mwa Lebanon tangu usiku wa manane wa Jumamosi hadi Jumapili kumeshuhudiwa mfululizo wa mashambulizi makubwa ya Israel yaliyohusisha mashambulizi ya anga, mashambulizi ya mizinga…
-
Miongoni mwa makamanda wa Hizbullah ya Lebanon:
DuniaTaifa la Lebanon halitarudi nyuma kutoka katika Muqawama
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Ghabris, akisisitiza kwamba taifa la Lebanon licha ya kubeba mizigo ya mashinikizo makubwa zaidi, vita na uharibifu mkubwa, bado halijarudi nyuma kutoka katika…
-
Mwanazuoni wa Kisunni wa Lebanon:
DuniaKufanya mazungumzo ya moja kwa moja na adui Israel ni haramu kisheria
Hawza/ Sheikh Ahmad Al-Qattan aliisifu Iran kwa kusimama imara mbele ya mashinikizo na uchokozi, na akautaja ushindi wake kuwa ni ushindi wa watu wote huru duniani, bila kujali dini, madhehebu…
-
Ali Fayyadh:
DuniaUwepo wa Israel Katika Ardhi yetu ni Uwepo Haram na Lazima Upingwe kwa Hali Yeyote ile
Hawza/ Mwanachama wa kambi ya “Uaminifu kwa Muqawama” katika Bunge la Lebanon alisisitiza: Kanuni ya kudumu ambayo inapaswa kuwa wazi na kuwepo mbele ya kila mtu ni kwamba; uwepo wowote wa Israel…
-
DuniaMwakilishi wa Hizbullah: Muqawama utaivuruga mipango ya Israel
Hawza/ Hassan Fadhlallah, mwakilishi wa Harakati ya Uaminifu kwa Muqawama wa Hizbullah, alisisitiza kwamba; adui Israeli inaendelea kutekeleza mashambulizi yanayoongezeka kusini mwa Lebanon na…
-
Makamu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon:
DuniaVita vya uchokozi vya Marekani na Israel dhidi ya Iran na Lebanon vimeshindwa
Hawza/ Sheikh Ali Al-Khatib alisisitizia misingi isiyobadilika ya msimamo kuhusu uchokozi wa Israel, ikiwemo kuondoka kikamilifu, kurejea kwa wakazi, kuanza upya ujenzi, kuachiwa huru kwa wafungwa…
-
Sheikh Ahmad Qabalan:
DuniaIsrael Imeshindwa katika “Vita Vyake Vikubwa” na Hakuna Dhamana ya Kulinda Mamlaka ya Lebanon Isipokuwa Muqawama
Hawza/ Mufti Mkuu wa Kijaafari na mwanazuoni wa Kishia nchini Lebanon, akirejelea kushindwa kwa kimkakati kwa Marekani na utawala wa Kizayuni, aliongeza: Leo ni wakati wa kihistoria sana.
-
DuniaWanazuoni wa Lebanon Wasisitiza Umuhimu wa Kuhifadhi Umoja wa Ndani na Kuimarisha Mshikamano kati ya Nguvu za Kidini na Kitaifa
Hawza/ Kwa mnasaba wa “Sikukuu ya Muqawama na Ukombozi”, Sheikh Ahmad Al-Qattan, rais wa Jumuiya ya “Qawluna wal-‘Amal”, alipokea ujumbe kutoka kwa “Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu” wa Lebanon…
-
Sheikh Ali Al-Khatib:
DuniaShukrani nyingi kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran/ Tunakataa aina yoyote ya mazungumzo ya moja kwa moja na Israel
Hawza/ Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon, katika taarifa yake amesema kuwa; kumbukumbu ya miaka ishirini na sita ya ukombozi inakuja katika mazingira magumu…
-
DuniaMuqawama wa Lebanon Umejengwa Juu ya Msingi wa Kuutetea Uzalendo
Hawza/ Sherehe ya kuadhimisha ushindi wa Lebanon dhidi ya uvamizi wa utawala wa Kizayuni mwaka 2000 imefanyika, baada ya miaka mingi ya muqawama wa kishujaa wa watu wa kusini mwa Lebanon, sasa…
-
DuniaHizbullah Yaadhimisha kwa Sherehe Kubwa Kumbukumbu ya “Sikukuu ya Muqawama na Ukombozi” katika Mkoa wa Jabal Lebanon
Hawza/ Hizbullah ya Lebanon kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 26 ya “Sikukuu ya Muqawama na Ukombozi”, iliandaa hafla kubwa katika eneo la Majma‘ al-Bihar lililoko Sablin, katika mkoa…
-
Mbunge wa Lebanon:
DuniaYeyote Atakaye Kubaliana na Mipango ya Sasa ya Adui Mzayuni Atakuwa Mshirika Mkuu Katika Kumwaga Damu za Mashahidi
Hawza/ Rami Abou Hamdan alisema: Kinachoendelea leo ni zaidi ya madai ya kujaribu kufanikisha usitishaji vita kupitia makubaliano dhaifu; bali ni juhudi za kuisukuma Lebanon kuelekea kwenye “uanzishaj…