Vita kati ya Israeli na Lebanon (69)
-
Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa:
DuniaNimeshtushwa uharibifu mkubwa uliofanywa nchini Lebanon
Hawza/ Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, baada ya kumaliza ziara yake rasmi ya siku mbili nchini Lebanon, amesema; ameshtushwa na ukubwa wa uharibifu na idadi ya raia waliopoteza…
-
Vyama vya Lebanon:
DuniaTunaunga mkono hatua za Yemen za kumaliza mzingiro wa kidhalimu na kutoa jibu la kulipiza kwa msingi wa haki
Hawza/ Kikao cha vyama, makundi na shakhsia za kitaifa za Lebanon kimesisitiza mshikamano wake na haki ya wananchi wa Yemen ya kumaliza mzingiro wa kidhalimu uliowekwa dhidi yao, pamoja na haki…
-
Sheikh Ali Al-Khatib:
DuniaHatutafanya Makubaliano kwa Damu ya Mashahidi Wetu na Tumnataka Adui Aondoke Kikamilifu katika Ardhi Yetu
Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon amesisitiza: Hatukubali aina yoyote ya mapatano yanayohusu damu ya mashahidi wetu, na tunataka adui wa Kizayuni aondoke…
-
Mbunge wa Kambi ya Muqawama Lebanon:
DuniaUongozi wa Nchi Umewaacha Wananchi Wake na Unasisitiza Kuikokota Lebanon Kwenye Hali Hatari Sana
Hawza/ Ali Fayyadh amesisitiza kuwa; baada ya kumalizika kwa duru ya mazungumzo mjini Roma kati ya ujumbe wa Lebanon na adui Israel, misimamo rasmi ya serikali ya Lebanon imefichuka zaidi kuliko…
-
Mchambuzi wa Masuala ya Kisiasa:
DuniaMarekani na Utawala wa Kizayuni Hawana Dhamira ya Kufanikisha Usitishaji Vita wa Kudumu
Hawza/ Mchambuzi wa masuala ya kisiasa amesema kuwa, utawala wa Kizayuni umeonesha tena kwamba hauheshimu makubaliano wala maazimio yoyote. Alisisitiza kuwa kuendelea kwa uvamizi na uharibifu…
-
Mwanazuoni wa Kisunni wa Lebanon:
DuniaMakubaliano ya “Washington” ni Kinyume cha Sheria na Yanapingana na Maslahi ya Kitaifa ya Lebanon
Hawza/ Jumuiya ya "Qawluna wal-'Amal" ya Lebanon imesisitiza kupinga mazungumzo ya moja kwa moja na adui Mzayuni wa Israel, na kutoa taarifa iliyosomwa na Mwenyekiti wa jumuiya hiyo, Sheikh Ahmad…
-
Sheikh Ahmad Qabalan:
DuniaTuko Katika Hatua Hatari Zaidi ya Kitaifa; Rais Aoun Ameisababishia Lebanon Janga la Kitaifa
Hawza/ Mufti Mkuu wa Jaafaria wa Lebanon amesema katika ujumbe wake: Hatutatoa nafasi kwa utawala wowote kuendeleza mradi wowote unaoitumikia Israel ya kigaidi, kile ambacho Rais Joseph Aoun…
-
Waziri wa Zamani wa Lebanon:
DuniaSerekali Imefanya Mapinduzi Dhidi ya Katiba; Muqawama Utaendelea Muda wa Kuwa Uvamizi Huu Upo
Hawza / Mustafa Bairam amesema: Dola ya Lebanon imejisalimisha kwa kutia saini kile alichokiita "makubaliano ya fedheha na aibu yaliyoandikwa na Benjamin Netanyahu."
-
DuniaKikao Kilicho na Anuani “Lebanon Ina Nguvu Zaidi Kupitia Uhusiano Wake na Iran” Chafanyika Baalbek
Hawza/ Harakati ya “Utamaduni wa Kuunga Mkono Muqawama” imeandaa kikao cha kitaifa kilichobeba anuani: “Lebanon Ina Nguvu Zaidi Kupitia Uhusiano Wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran”.
-
DuniaHizbullah Yawapinga Wanaounga Mkono Uhuru wa Lebanon Kupitia Makubaliano ya Maridhiano na Israel
Hawza/ Baada ya kupita siku kadhaa tangu kutangazwa kwa makubaliano ya maridhiano kati ya serikali ya Lebanon na Israel, makundi mbalimbali ya kijamii na vyama vya kisiasa vya Lebanon yameeleza…
-
Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon:
Dunia“Makubaliano ya Washington” ni hati ya kujisalimisha inayowajibisha kuondolewa madarakani utawala
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon umesisitiza kwamba: “Makubaliano ya Washington” yaliyotiwa saini kati ya utawala wa Lebanon na utawala vamizi wa Israel ni ukiukaji wa…
-
Sheikh Ahmad Qabalan:
DuniaMwenye Kumshikamana na Imam Hussein (as) Hataijua Kamwe Maana ya Kushindwa
Hawza/ Mufti Mkuu wa Jaafaria nchini Lebanon amesisitiza kwamba; suala kuu ni kulinda mamlaka ya kitaifa ya Lebanon, mfumo wake wa maridhiano na ushirikiano wa Kiislamu na Kikristo, ambao unapingana…
-
Ihab Hamadeh:
DuniaMuqawama Utaendelea Kukabiliana na Adui, na Israel Inaelewa Lugha ya Nguvu Pekee
Hawza/ Mwanachama wa Kambi ya “Uaminifu kwa Muqawama” amesisitiza kwamba; silaha ya Muqawama, ambayo imekuwa kiwakilishi cha uwepo wetu, imethibitisha ufanisi wake katika kukabiliana na adui…
-
Mwanachama wa Kambi ya Muqawama:
DuniaIsrael Imethibitisha Mara Nyingi Kutoheshimu Makubaliano na Sheria za Kimataifa
Hawza/ Ali Ammar amesisitiza kwamba; mashambulizi ya hivi karibuni ya Israel dhidi ya Lebanon na juhudi zake za kusonga mbele kuelekea eneo la “Ali al-Tahir” yanafanyika katika mfumo wa sera…
-
Mjumbe wa Kambi ya “Maendeleo na Uhuru” ya Lebanon:
DuniaKatika Dunia Inayojinasibu kwa Haki na Haki za Binadamu, Uhalifu wa Israel Haupaswi Kufichwa
Hawza/ Qasim Hashim amesema kuwa kuendelea kwa uchokozi wa Israel huku ulimwengu ukinyamaza kunathibitisha tabia ya kiuchokozi ya utawala huo.
-
Katibu Mkuu wa Hizbullah Lebanon:
DuniaMpango wa Kuuangamiza Muqawama na Hizbullah Umeshindwa
Hawza/ Sheikh Naim Qassim, Katibu Mkuu wa Hizbullah, amesema kuwa; kulikuwa na mpango wa kuiangamiza Hizbullah na Muqawama katika eneo la Mashariki ya Kati, lakini mpango huo umeshindwa.
-
Mwanazuoni wa Kisunni wa Lebanon:
DuniaMadrasah ya Karbala Imeufundisha Umma Jinsi ya Kusimama Imara Juu ya Haki
Hawza/ Sheikh Ahmad Al-Qattan amesisitiza kwamba; Madrasah ya Karbala imeufundisha Umma jinsi ya kusimama imara juu ya haki na jinsi ya kupambana na dhulma.
-
Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon:
DuniaTunaishukuru Iran na Muqawama
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon katika taarifa yake umesema: Iran ilitoka katika vita hivi ikiwa mshindi na hatimaye iliilazimisha Marekani kukubali na kutekeleza masharti…
-
DuniaHafla za Maombolezo ya Imam Hussein (as) Zafanyika Kusini mwa Beirut
Hawza/ Kwa mnasaba wa kuadhimisha kumbukumbu ya Ashura ya Imam Hussein (as), Hizbullah imeandaa na kuendesha majlisi za maombolezo ya mwezi wa Muharram katika maeneo mbalimbali ya kusini mwa…
-
DuniaBaraza Kuu la Kiislamu la Mashia wa Lebanon Latoa Maelekezo Kuhusu Majlisi za Maombolezo ya Muharram
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Ali Al-Khatib, Makamu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia wa Lebanon, ametoa taarifa maalumu kwa mnasaba wa maombolezo ya mwezi wa Muharram.
-
DuniaStockholm Yapaza Sauti ya Lebanon
Hawza/ Mamia ya watu waliokuwa wakipinga jinai za utawala wa Israel dhidi ya ubinadamu nchini Lebanon walikusanyika katikati ya jiji la Stockholm.
-
Rais wa Lebanon:
DuniaNawashukuru wale wote waliojitahidi kuijumuisha Lebanon katika juhudi za kumaliza ongezeko la mvutano na kusitisha hatua za kijeshi
Hawza/ Joseph Aoun amesema: Kwa uangalifu mkubwa nimefuatilia kutangazwa kwa hati ya makubaliano iliyofikiwa kati ya Marekani na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, pamoja na msisitizo wake juu ya kusitishwa…
-
Mwanazuoni wa Kisunni wa Lebanon:
DuniaChaguo la Muqawama Limechaguliwa Kwa Msingi wa Kushikamana na Qur’ani Tukufu
Hawza/ Sheikh Ahmad Al-Qattan amesisitiza wa kusema: “Muqawama nchini Lebanon ni uhai wetu, na adui Muisraeli, licha ya kuendelea na mashambulizi yake, ameshindwa kufikia malengo yake.”
-
DuniaWananchi wa Baalbek Wakusanyika kwa Ajili ya Kuonesha Shukrani Zao na Uaminifu kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Hawza/ Mji wa Baalbek ulishuhudia mkusanyiko mkubwa wa mshikamano; hatua iliyofanyika kama ishara ya shukrani na uaminifu kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kwa ushiriki mkubwa wa wananchi wanaouunga…
-
Mwandishi wa Uturuki Aishambulia Vikali Beirut:
DuniaSerikali ya Lebanon Imesimama Pamoja na Muqawama au Pamoja na Israel?
Hawza/ Ahmad Varol, mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka Uturuki, amekosoa misimamo ya serikali ya Lebanon kuhusu Hizbullah na Iran, akisisitiza kwamba viongozi wa Lebanon, badala ya kukabiliana…
-
Sheikh Ahmad Qabalan:
DuniaHatuitoi Lebanon kwa Wazayuni na Mawakala Wao
Hawza/ Mufti Mkuu wa Ja'faria na mwanazuoni mashuhuri wa Lebanon amesema: Kinachotokea leo kinaiweka mamlaka ya Lebanon mikononi mwa wale walioigeuza kuwa mtaji wa kisiasa na zawadi ya kiusalama…
-
Wataalamu na Wachambuzi:
DuniaMabadiliko ya Kivita na “Umoja wa Medani za Mapambano” Vamevuruga Hesabu za Kizayuni na Kimarekani nchini Lebanon na katika Ukanda Mzima
Hawza/ Mapambano katika eneo dhidi ya utawala wa Kizayuni yameingia katika hatua ngumu zaidi, dalili za kushindwa kwa utawala huo wa uvamizi zinazidi kujitokeza siku baada ya siku.
-
DuniaWananchi wa Lebanon Wakusanyika Mbele ya Ubalozi wa Iran, kama Ishara ya Uaminifu na Shukrani kwa Kusimama Iran Pamoja na Lebanon
Hawza/ Wananchi wa Lebanon walikusanyika mbele ya Ubalozi wa Iran mjini Beirut kama ishara ya kutoa shukrani kwa hatua ya Iran ya kujibu mashambulizi ya utawala wa Kizayuni na kuiunga mkono Lebanon.
-
DuniaJumuiya ya Maulamaa wa Beirut Yapongeza Msimamo wa Dhati wa Iran katika Kuisaidia Lebanon
Hawza/ Jumuiya ya Maulamaa wa Beirut imesisitiza kwamba; haiwezekani kuachana na muqawama ambao uliikomboa ardhi na kumzuia adui; Muqawama upo na utaendelea kuwepo maadamu hakuna mbadala unaoweza…
-
DuniaMkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon wakosoa vikali misimamo ya viongozi wakuu wa nchi hiyo kuhusu mazungumzo ya Washington
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon umeelezea matokeo ya mazungumzo yaliyofanyika kati ya Lebanon na adui Mzayuni chini ya usimamizi wa Shetani Mkuu, Marekani, kuwa ni ya kukatisha…