Vita kati ya Irani na Marekani (141)
-
DuniaPendekezo la kutuma ujumbe wa rambirambi kwa Marekani lazua mvutano katika Bunge la Jordan
Hawza/ Pendekezo la mmoja wa wabunge wa Jordan la kutuma ujumbe wa rambirambi kwa Bunge la Marekani (Congress) kufuatia kuuawa kwa wanajeshi kadhaa wa Marekani katika shambulio dhidi ya kambi…
-
Kataib Sayyid al-Shuhadaa (as):
DuniaKisasi cha damu ya Mazuwari wa Imam Hussein (as) kitakuwa jinamizi la mauti kwa wavamizi
Hawza/ Ofisi ya Muqawama wa Kiislamu ya Kataib Sayyid al-Shuhadaa (as) imeeleza kuwa; kitendo cha kigaidi cha Marekani na utawala wa Kizayuni cha kuwalenga mazuwari wasio na ulinzi wa Haram ya…
-
Video ya AI:
VideoWalio asisi vita vya kulazimishwa dhidi ya Iran hawataepuka kisasi cha watu huru duniani
Taswira ya mfano inayowakilisha ahadi ya Ayatullah Sayyid Mujtaba Khamenei kuwahusu wahusika wa uhalifu uliotekelezwa katika vita viwili vya mwisho vilivyolazimishwa dhidi ya wananchi wa Iran,…
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaTuko Pamoja na Jamhuri ya Kiislamu; Tuna Hatima Moja na Maisha Bila Wao Hayana Kheri Wala Maslahi
Hawza/ Hujjatul Islam wal Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanchi amesema: "Tunaitaka Serikali ya eneo la Kurdistan isiruhusu makundi ya wapinzani wa mapinduzi kufanya uvamizi na mashambulizi dhidi…
-
Ayatullah Jawadi Amuli:
DuniaWananchi Kuwepo Uwanjani ni Miongoni mwa Vielelezo vya Nusura ya Mwenyezi Mungu/ Marekani na Israel Wamedhalilika Mbele ya Iran
Hawza/ Ayatullah Jawadi Amuli amesema kuwa; hakuna aliyedhani kwamba kwa miezi kadhaa wanawake na wanaume wangekuwa na uwepo mkubwa kiasi hicho katika maeneo mbalimbali na kuwa watetezi wa Mapinduzi…
-
Mchambuzi wa Masuala ya Kisiasa:
DuniaMarekani na Utawala wa Kizayuni Hawana Dhamira ya Kufanikisha Usitishaji Vita wa Kudumu
Hawza/ Mchambuzi wa masuala ya kisiasa amesema kuwa, utawala wa Kizayuni umeonesha tena kwamba hauheshimu makubaliano wala maazimio yoyote. Alisisitiza kuwa kuendelea kwa uvamizi na uharibifu…
-
DuniaWakati Kukosa Adabu na Jeuri Vinapokuwa Ngome ya Mwisho ya Mwanasiasa wa Marekani Aliyeshindwa
Hawza/ Kushuhudia umoja wa kipekee wa watu wa Iran katika kumsindikiza Imam Shahidi wao kulisababisha mshtuko mkubwa kwa maadui wa taifa hili, kiasi kwamba Trump asiyeheshimu ahadi alijikuta…
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad:
DuniaVita vya Hivi Karibuni vya Marekani na Israel dhidi ya Iran si Vita vya Nchi Moja, Bali ni Mapambano ya Umma Mzima wa Kiislamu
Hawza/ Ayatullah Sayyid Yasin Mousawi, Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad, huku akisisitiza kuhusu sura pana ya makabiliano ya hivi karibuni kati ya Marekani na Israel dhidi ya Iran, ameeleza…
-
Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni wa Ahlul-Bayt (as) nchini Uturuki:
DuniaMaadui wa Iran Hawakufanikiwa Kufikia Lengo Lolote Walilotangaza
Hawza / Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni wa Ahlul-Bayt (as) nchini Uturuki, katika kipindi cha televisheni, alitoa tathmini kuhusu mwezi wa Muharram na kile alichokitaja kuwa ni ushindi wa Iran.
-
HawzaAyatullah Kaabi Aeleza Masharti Yanayopaswa Kuzingatiwa kwa Ajili ya Kumaliza Vita vya Kulazimishwa
Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom amesema: Mfumo Mtakatifu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kamwe hautavuka mistari myekundu inayohusiana na haki za taifa la Iran, na…
-
DuniaRais wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlul-Bayt wa Uturuki Asifu Uthabiti na Nguvu ya Watu wa Iran
Hawza/ Rais wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlul-Bayt wa Uturuki amesema kuwa; kizazi kipya cha Iran, kufuatia matokeo ya vita vya hivi karibuni dhidi ya Iran, kimeuishi “utamaduni wa Muqawama” si…
-
Wataalamu na Wachambuzi:
DuniaMabadiliko ya Kivita na “Umoja wa Medani za Mapambano” Vamevuruga Hesabu za Kizayuni na Kimarekani nchini Lebanon na katika Ukanda Mzima
Hawza/ Mapambano katika eneo dhidi ya utawala wa Kizayuni yameingia katika hatua ngumu zaidi, dalili za kushindwa kwa utawala huo wa uvamizi zinazidi kujitokeza siku baada ya siku.
-
Ayatullah A'rafi:
HawzaOngezeni Utukufu wa Uwepo wa Wananchi na Vijana wa Iran Mitaani, na Imarisheni Zaidi Utamaduni wa Kishujaa na Roho ya Muqawama/ Taifa la Iran Limeandika Ukurasa wa Dhahabu Katika Historia ya Nchi Hii kwa Zaidi ya Siku Mia Moja
Hawza/ Taifa tukufu na lenye heshima la Iran, hususan vijana wapendwa, kwa uwepo wao kwa zaidi ya siku mia moja katika viwanja na maeneo mbalimbali, wameandika ukurasa wa dhahabu katika historia…
-
DuniaMchambuzi wa Kipalestina: Mwamko wa Kisiasa katika Nchi za Ghuba Umeanza
Hawza/ Abdul Bari Atwan, mchambuzi na mwandishi mashuhuri wa Kipalestina huku akirejelea upinzani wa Saudi Arabia dhidi ya matumizi ya anga yake na Marekani kwa ajili ya kushambulia Iran, alisema…
-
DuniaMtawala wa Bahrain Amechukua Msimamo Mkali dhidi ya Maombolezo ya Muharram ya Mashia
Hawza/ Waziri wa Mambo ya Ndani wa Bahrain, kama ilivyo desturi yake ya kila mwaka, kabla ya kuanza kwa mwezi wa Muharram al-Haram, aliwaita viongozi wa takiya, huseinia na waandaaji wa majlisi…
-
Ayatullah Araki:
DuniaKushambulia maslahi ya Marekani na wafuasi wake ni wajibu wa kisheria/ Hatua yoyote inayosababisha kudhoofika ari ya mapambano ni haramu
Hawza/ Mjumbe wa Baraza Kuu la Hawza, akisisitiza kwamba; hatua yoyote inayosababisha kudhoofika ari ya mapambano kwa mtazamo wa kisheria ni haramu, alisema: Kushambulia maslahi ya Marekani popote…
-
Kupitia makala:
DuniaMtazamo kuhusu ukandamizaji wa Mashia wa Lebanon na Bahrain baada ya Vita vya Ramadhani
Hawza/ Ali al-Husseini: Mashia wana mizizi ya kina katika eneo hili, popote walipo ndani ya Asia Magharibi, watakuwa kundi lenye idadi kubwa na wengi zaidi, popote waendapo na popote watokapo,…
-
DuniaMalengo ya siri ya watawala wa Bahrain yaliyo sababisha kupiga marufuku maombolezo ya Muharram nchini humo
Hawza/ Latifa al-Husseini, mwandishi wa habari kutoka Lebanon, amesema: Serikali ya Bahrain katika miezi ya hivi karibuni haijaacha kuwafuatilia na kuwakamata raia wa Kishia kwa visingizio vya…
-
Ayatullah al-Udhma Jawadi Amuli:
Dunia“Kumwaga damu ya Trump na Wazayuni ni matakwa ya Imam Mahdi (a.f)”
Imechapishwa tena/ Ayatullah Jawadi Amuli, huku akisisitiza umuhimu wa kuhifadhi umoja na mshikamano, alisema: “Kumwaga damu ya Wazayuni na Trump na mfano wa hao kwa sasa ni kauli ya Imam Mahdi…
-
DuniaBahrain yaongeza hatua zake kali dhidi ya Mashia
Hawza/ Nchini Bahrain, wimbi la hivi karibuni la kukamatwa, kuvuliwa uraia na kufuatiliwa kwa misingi ya kisiasa na kidini limezua mijadala mikubwa kuhusu hali ambayo nchi hiyo inaipitia.
-
Mwanazuoni wa Ahlu Sunna wa Misri:
DuniaKuisaidia Iran dhidi ya uvamizi ni wajibu wa kisheria
Hawza/ Sheikh Salama Abdulqawi, mwanazuoni wa Ahlu Sunna kutoka Misri na mmoja wa maafisa wa zamani wa Wizara ya Wakfu ya Misri, akisisitiza kwamba; Iran ni nchi ya Kiislamu, ameeleza kuwa kuiunga…
-
DuniaMtangazaji wa televisheni wa Kuwait ahukumiwa kifungo cha miaka mitatu kwa tuhuma za kuiunga mkono Iran
Hawza / Mamlaka ya mahakama ya Kuwait imethibitisha hukumu iliyotolewa dhidi ya Zainab Dashti, mtangazaji wa televisheni rasmi ya Kuwait.
-
Mwanauchumi mkuu wa taasisi ya Moody's atoa tahadhari:
DuniaMarekani imebakiwa na wiki moja tu kabla ya kuingia katika mdororo wa uchumi
Hawza/ Mark Zandi, mwanauchumi mkuu wa taasisi ya Moody's Analytics, ameonya kwamba; iwapo juhudi za kidiplomasia na Iran hazitafanikiwa katika siku zijazo, kuongezeka kwa bei ya mafuta na nishati…
-
DuniaImamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad atahadharisha kuhusu kuongezeka kwa mpasuko kati ya tabaka la kisiasa na wananchi wa Iraq
Hawza/ Ayatullah Sayyid Yasin Mousawi ameonya kuhusu kuwepo kwa mpasuko mkubwa kati ya tabaka la kisiasa na wananchi wa Iraq, huku akisisitiza kuwa; nchi ipo katika njia panda kati ya mamlaka…
-
DuniaHukumu nzito ya mahakama ya Bahrain dhidi ya raia wa Kishia
Hawza/ Mahakama Kuu ya Jinai nchini Bahrain imetoa hukumu nzito ya pamoja dhidi ya makumi ya raia wa Kishia, akiwemo mwanazuoni mmoja wa dini na wanawake wawili katika kesi tofauti.
-
Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlul-Bayt Uturuki:
DuniaIran Bila Kurudi Nyuma, Imeuonesha Ulimwengu Mfano wa Muqawama wa Hussein
Hawza/ Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlul-Bayt nchini Uturuki katika ujumbe wake wa Idi ya Adh-ha, huku ikisisitiza umoja wa Umma wa Kiislamu na kuunga mkono mkondo wa muqawama, imelaani uvamizi wa…
-
Mkurugenzi Mtendaji na Utawala wa Baraza la Ribat Muhammadi la Iraq:
DuniaJamhuri ya Kiislamu ndio mstari wa mbele wa Umma katika kukabiliana na dhulma/ Mauaji ya watoto mashuleni ni jinai ya hivi karibuni ya Wazayuni
Hawza/ Dkt. Abdul-Jabbar Al-Fahdawi, Mkuu wa Idara ya Baraza la Ribat Muhammadi la Iraq, amesema katika kipindi cha “Mashahidi Watoto wa Minab” kwamba; Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndio mstari…
-
Mchambuzi wa Kisiasa wa Iraq:
DuniaVita vyovyote dhidi ya Iran vitakuwa vita vya kikanda na vya nyanja nyingi
Hawza/ Muhammad Ali Al-Hakim, mchambuzi wa kisiasa wa Iraq, amesema kuwa; vitisho vya Donald Trump Rais wa Marekani, vinafanywa kwa lengo la kuilazimisha Iran kupatana na kufanya makubaliano…
-
DuniaXi na Putin walaani mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran
Hawza/ Rais wa China na mwenzake wa Urusi katika taarifa ya pamoja kuhusu hali ya Mashariki ya Kati, wamelaani mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran.
-
Ayatullah Saidii katika Swala ya Ijumaa ya Qum Iran:
DuniaKhorramshahr yetu ya leo ni kuulinda Mlango wa Hormuz na kuvunja utukufu wa Marekani/ Adui anajitahidi kuigawanya jamii katika makundi mawili na kueneza mifarakano katika mikusanyiko
Hawza/Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qum alisisitiza kuwa: Imam mtukufu marehemu alisema: “Khorramshahr aliikomboa Mwenyezi Mungu.” Hii ni kanuni kwamba kila mahali tuliposimama kwa mapambano…