Lebanon (102)
-
Rais wa Lebanon:
DuniaNawashukuru wale wote waliojitahidi kuijumuisha Lebanon katika juhudi za kumaliza ongezeko la mvutano na kusitisha hatua za kijeshi
Hawza/ Joseph Aoun amesema: Kwa uangalifu mkubwa nimefuatilia kutangazwa kwa hati ya makubaliano iliyofikiwa kati ya Marekani na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, pamoja na msisitizo wake juu ya kusitishwa…
-
DuniaWananchi wa Lebanon Wakusanyika Mbele ya Ubalozi wa Iran, kama Ishara ya Uaminifu na Shukrani kwa Kusimama Iran Pamoja na Lebanon
Hawza/ Wananchi wa Lebanon walikusanyika mbele ya Ubalozi wa Iran mjini Beirut kama ishara ya kutoa shukrani kwa hatua ya Iran ya kujibu mashambulizi ya utawala wa Kizayuni na kuiunga mkono Lebanon.
-
DuniaJumuiya ya Maulamaa wa Beirut Yapongeza Msimamo wa Dhati wa Iran katika Kuisaidia Lebanon
Hawza/ Jumuiya ya Maulamaa wa Beirut imesisitiza kwamba; haiwezekani kuachana na muqawama ambao uliikomboa ardhi na kumzuia adui; Muqawama upo na utaendelea kuwepo maadamu hakuna mbadala unaoweza…
-
Hizbullah:
DuniaJinai inayofanywa na adui dhidi ya jeshi la taifa imekuwa ni matokeo ya kawaida na ya kupuuzwa kwa mamlaka ya nchi
Hawza / Hizbullah katika taarifa yake imesema: Shambulio la kijinai na la woga ambalo adui Mzayuni amelifanya dhidi ya jeshi letu la taifa ni jinai ya kweli na ya makusudi.
-
DuniaMkusanyiko wa Wanazuoni wa Jabal Amil umesisitiza kushikamana na uchaguzi wa kusimama imara, Muqawama na kuimarisha umoja wa Lebanon
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Jabal Amil nchini Lebanon katika ujumbe wake kwa mnasaba wa “Eidul Ghadir” umesisitiza kwamba; Lebanon chini ya mwendelezo wa mashambulizi na vitisho vya Israel,…
-
DuniaSheikh Qabalan amwambia Aoun: Kama kusingekuwa na Muqawama, adui Muisraeli angefika hadi Ikulu ya Rais
Hawza / Mwanazuoni mashuhuri wa Lebanon, katika ujumbe wake kwa Rais wa Lebanon, amesema: Yeyote anayehimiza Muqawama kujiondoa kusini mwa mto huku wakati huohuo asidai kuondoka kwa jeshi la…
-
Hizbullah ya Lebanon:
DuniaAyatullah al-Udhma Fayyadh alikuwa nguzo ya Marjaiyya na mtumishi wa Uislamu
Hawza/ Hizbullah ya Lebanon imetoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Ayatullah al-Udhma Sheikh Is'haq Fayyadh na kusisitiza kwamba; alikuwa miongoni mwa nguzo za Marjaiyya ya kidini ndani…
-
Mwakilishi wa Kambi ya Muqawama:
DuniaKusisitiza Muqawama kunyang'anywa silaha ni sawa na kusisitiza kuondoa nguvu ya jamii hii
Hawza/ Ihab Hamada amesema: Kusisitiza kuvuliwa silaha kwa Muqawama, kwa hakika ni kusisitiza kuondoa sehemu ya nguvu ya jamii hii; hatua hii inalenga kuifanya jamii iwe dhaifu na iwe rahisi…
-
Harakati ya Umma:
DuniaNia ya mataifa yanayoamini haki na uhuru wao ina nguvu zaidi kuliko mashine zote za kivita
Hawza/ Harakati ya Umma ya Lebanon imelaani mashambulizi ya mara kwa mara ya Kizayuni yanayofanywa kusini mwa Lebanon na eneo la Biqaa pamoja na ukiukwaji wa kila siku wa mamlaka ya Lebanon,…
-
Mkuu wa Baraza la Kisheria la Hizbullah:
DuniaHatutaachana na msimamo wetu, hata kama utasababisha makabiliano ya Hussein
Hawza/ Sheikh Muhammad Yazbak, Mkuu wa Baraza la Kisheria la Hizbullah, amesema katika ujumbe wake: “Tunawashukuru wote wanaotunyoshea mkono wa msaada na utetezi, na kwa namna ya pekee tunaishukuru…
-
Sheikh Ali Al-Khatib:
DuniaMaadamu Uvamizi Unaendelea, Muqawama Nao Utaendelea Kuwepo
Hawza/ Sheikh Ali Al-Khatib amewataka viongozi kutoweka matumaini yao kwa Marekani, ambayo inalenga kupitia mazungumzo ya moja kwa moja kuanzisha fitna ya ndani kwa ajili ya kumuokoa adui wa…
-
DuniaIsrael yafanya Mashambulizi Makubwa Upande wa Kusini; Idadi ya Mashahidi na Majeruhi Yaongezeka
Hawza/ Kusini mwa Lebanon tangu usiku wa manane wa Jumamosi hadi Jumapili kumeshuhudiwa mfululizo wa mashambulizi makubwa ya Israel yaliyohusisha mashambulizi ya anga, mashambulizi ya mizinga…
-
Miongoni mwa makamanda wa Hizbullah ya Lebanon:
DuniaTaifa la Lebanon halitarudi nyuma kutoka katika Muqawama
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Ghabris, akisisitiza kwamba taifa la Lebanon licha ya kubeba mizigo ya mashinikizo makubwa zaidi, vita na uharibifu mkubwa, bado halijarudi nyuma kutoka katika…
-
Mwanazuoni wa Kisunni wa Lebanon:
DuniaKufanya mazungumzo ya moja kwa moja na adui Israel ni haramu kisheria
Hawza/ Sheikh Ahmad Al-Qattan aliisifu Iran kwa kusimama imara mbele ya mashinikizo na uchokozi, na akautaja ushindi wake kuwa ni ushindi wa watu wote huru duniani, bila kujali dini, madhehebu…
-
Ali Fayyadh:
DuniaUwepo wa Israel Katika Ardhi yetu ni Uwepo Haram na Lazima Upingwe kwa Hali Yeyote ile
Hawza/ Mwanachama wa kambi ya “Uaminifu kwa Muqawama” katika Bunge la Lebanon alisisitiza: Kanuni ya kudumu ambayo inapaswa kuwa wazi na kuwepo mbele ya kila mtu ni kwamba; uwepo wowote wa Israel…
-
DuniaMwakilishi wa Hizbullah: Muqawama utaivuruga mipango ya Israel
Hawza/ Hassan Fadhlallah, mwakilishi wa Harakati ya Uaminifu kwa Muqawama wa Hizbullah, alisisitiza kwamba; adui Israeli inaendelea kutekeleza mashambulizi yanayoongezeka kusini mwa Lebanon na…
-
Makamu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon:
DuniaVita vya uchokozi vya Marekani na Israel dhidi ya Iran na Lebanon vimeshindwa
Hawza/ Sheikh Ali Al-Khatib alisisitizia misingi isiyobadilika ya msimamo kuhusu uchokozi wa Israel, ikiwemo kuondoka kikamilifu, kurejea kwa wakazi, kuanza upya ujenzi, kuachiwa huru kwa wafungwa…
-
DuniaHizbullah Yaadhimisha kwa Sherehe Kubwa Kumbukumbu ya “Sikukuu ya Muqawama na Ukombozi” katika Mkoa wa Jabal Lebanon
Hawza/ Hizbullah ya Lebanon kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 26 ya “Sikukuu ya Muqawama na Ukombozi”, iliandaa hafla kubwa katika eneo la Majma‘ al-Bihar lililoko Sablin, katika mkoa…
-
DuniaHizbullah; Nguvu Isiyoweza Kutoweka
Hawza/ Ahadi za jeshi la utawala wa Kizayuni kuhusu kuangamiza uwezo wa kivita wa Hizbullah zina tofauti kubwa sana na uhalisia uliopo uwanjani kusini mwa Lebanon. Kuendelea kwa mashambulizi…
-
DuniaWaislamu na watu huru duniani waiunge mkono Hizbullah ya Lebanon
hawza/ Ayatullah Hussein Nouri Hamedani, huku akilaani mashambulizi ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni muuaji wa watoto dhidi ya Lebanon, amewataka Waislamu wote na watu huru duniani kuiunga…
-
DuniaMjumbe wa Kundi la Muqawama: Kipaumbele cha leo ni utekelezaji kamili wa usitishaji mapigano
Hawza/ Ali Fayyadh alisisitiza kwamba: Hatutaki kuingia katika mgongano na mamlaka inayotawala, wala hatutaki kuiingiza nchi katika mgogoro wa ndani, ingawa kundi jingine lisilokubaliana na muqawama…
-
Katibu Mkuu wa Harakat al-Ummah nchini Lebanon:
DuniaUmoja wa Ummah wa Kiislamu na uelewa wa fitna ni sharti la ushindi katika mabadiliko yajayo
Hawza/ Sheikh Abdullah Jabri, Katibu Mkuu wa Harakat al-Ummah nchini Lebanon, katika kipindi cha “Upeo wa Ushindi” cha Majma’ ya Kimataifa ya Qadimun alisisitiza kwamba; umoja wa Ummah wa Kiislamu…
-
DuniaSheikh Qablan alisema nini katika barua yake kali kumuelekea Rais wa Lebanon?
Hawza/ Mufti wa Ja‘fari mashuhuri na mwanazuoni wa Kishia wa Lebanon, katika barua ya wazi aliyomwandikia Joseph Aoun, alibainisha kuwa; Lebanon inashikamana na hati yake ya kitaifa na misingi…
-
DuniaKatika “mkutano wa kitaifa” mjini Beirut ilielezwa: Kupinga uvamizi na kukabiliana na uchokozi ni haki halali
Hawza/ Vyama na nguvu za kitaifa za Lebanon, chini ya anuani isemayo; “Lebanon inayopinga, huru na yenye kujitegemea”, vilikusanyika katika makao makuu ya “Sindiketi ya Waandishi wa Habari wa…
-
DuniaSheikh Ahmad Qabalan: Hatutaruhusu Lebanon kuuzwa kwa kisingizio chochote
Hawza/ Sheikh Ahmad Qabalan, amesema kuwa; kwa hali yeyote ile tunasimama na Lebanon na hatutaruhusu iuzwe kwa kisingizio chochote kile.
-
Sheikh Ali al-Khatib:
DuniaTunaunga mkono mazungumzo ya ndani nchini Lebanon
Hawza/ Naibu Rais wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon, katika makao ya baraza hilo huko Al-Hazmiyya, alimkaribisha “Jeanine Hennis-Plasschaert”, Mratibu Maalum wa Umoja wa Mataifa…
-
DuniaMsimamo thabiti wa Sheikh Maher Hammoud katika kuunga mkono mhimili wa muqawama
Hawza/ Rais wa Umoja wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Muqawama nchini Lebanon amesema: Sisi tuko pamoja na Iran na mhimili wa muqawama, kwa sababu wao wamesimama katika upande wa haki pamoja na Palestina…
-
DuniaKiongozi mwandamizi wa Hizbullah: Mazungumzo ya moja kwa moja ya sasa ni “mazungumzo ya kudhalilisha na ya kufedhehesha”
Hawza/ Mahmoud Qomati alitangaza upinzani wake mkali dhidi ya aina yoyote ya mazungumzo ya moja kwa moja na adui Muisraeli, na akasema kuwa; mazungumzo hayo yanapingana na sheria ya kumpiga marufuku…
-
Mjumbe mwandamizi wa kambi ya muqawama:
DuniaMazungumzo ya moja kwa moja na Israel ni kosa kubwa linalosababisha kuongezeka kwa mpasuko wa ndani
Hawza/ Hassan Fadhlullah alibainisha kuwa; mazungumzo ya moja kwa moja na Israel ni kosa kubwa ambalo linasababisha kuongezeka kwa tofauti za ndani.
-
Muungano wa Al-Wafaa Lebanon:
DuniaUshujaa wa muqawama na msaada wa Iran ni nguzo mbili kuu za kurejea kwa wananchi
Hawza/ “Muungano wa Al-Wafaa wa Vyama vya Wafanyakazi na Waajiriwa nchini Lebanon” ulisisitiza kwamba; kile ambacho Lebanon imeshuhudia ni hatua ya kihistoria na yenye maamuzi, ambapo mizania…