Lebanon (115)
-
Sheikh Ali Al-Khatib:
DuniaHatutafanya Makubaliano kwa Damu ya Mashahidi Wetu na Tumnataka Adui Aondoke Kikamilifu katika Ardhi Yetu
Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon amesisitiza: Hatukubali aina yoyote ya mapatano yanayohusu damu ya mashahidi wetu, na tunataka adui wa Kizayuni aondoke…
-
Imamu wa Ijumaa wa Beirut:
DuniaMashia Hawatakuwa Chombo cha Fitna; Lebanon Haina Njia ya Wokovu Isipokuwa Umoja wa Kitaifa
Hawza/ Hujjatul Islam Sayyid Ali Fadlullah, Imamu wa Ijumaa wa Beirut, amesema kuwa, Mashia hawatakuwa chombo cha kuchochea fitna, akisisitiza kwamba Lebanon haina njia nyingine ya kuokoka isipokuwa…
-
DuniaMkutano Mkubwa wa Wanazuoni wa Lebanon, Wafanyika kwa Kumuenzi Imam Shahidi Sayyid Ali Khamenei
Hawza/ Nchini Lebanon, hafla kubwa na ya kitaifa iliyoandaliwa kwa ushiriki wa wanazuoni wa dini kutoka madhehebu na makundi mbalimbali imefanyika kwa ajili ya kumuenzi na kutoa rambirambi kufuatia…
-
DuniaHafla ya "Imamu wa Mashahidi" Yafanyika huko Al-Hermel, Lebanon kwa Kumuenzi Imam Khamenei
Hawza / Harakati ya Hizbullah ya Lebanon pamoja na Jumuiya ya Vituo vya Utamaduni vya Imam Khomeini (qs) zimeandaa hafla iliyopewa jina la "Imamu wa Mashahidi" kwa ajili ya kumuenzi Kiongozi…
-
Sheikh Jabri:
DuniaMazishi Makubwa ya Imam Khamenei Yameonesha Nafasi Yake Kubwa kwa Umma
Hawza/ Sheikh Abdullah Jabri amesisitiza kuwa: "Uaminifu kwa mashahidi unapatikana kwa kushikamana na njia ya jihadi na muqawama, kuimarisha umoja wa Umma na kuendelea kujitahidi kwa ajili ya…
-
Mwanazuoni wa Kisunni wa Lebanon:
DuniaMakubaliano ya “Washington” ni Kinyume cha Sheria na Yanapingana na Maslahi ya Kitaifa ya Lebanon
Hawza/ Jumuiya ya "Qawluna wal-'Amal" ya Lebanon imesisitiza kupinga mazungumzo ya moja kwa moja na adui Mzayuni wa Israel, na kutoa taarifa iliyosomwa na Mwenyekiti wa jumuiya hiyo, Sheikh Ahmad…
-
Sheikh Ahmad Qabalan:
DuniaTuko Katika Hatua Hatari Zaidi ya Kitaifa; Rais Aoun Ameisababishia Lebanon Janga la Kitaifa
Hawza/ Mufti Mkuu wa Jaafaria wa Lebanon amesema katika ujumbe wake: Hatutatoa nafasi kwa utawala wowote kuendeleza mradi wowote unaoitumikia Israel ya kigaidi, kile ambacho Rais Joseph Aoun…
-
Waziri wa Zamani wa Lebanon:
DuniaSerekali Imefanya Mapinduzi Dhidi ya Katiba; Muqawama Utaendelea Muda wa Kuwa Uvamizi Huu Upo
Hawza / Mustafa Bairam amesema: Dola ya Lebanon imejisalimisha kwa kutia saini kile alichokiita "makubaliano ya fedheha na aibu yaliyoandikwa na Benjamin Netanyahu."
-
DuniaKikao Kilicho na Anuani “Lebanon Ina Nguvu Zaidi Kupitia Uhusiano Wake na Iran” Chafanyika Baalbek
Hawza/ Harakati ya “Utamaduni wa Kuunga Mkono Muqawama” imeandaa kikao cha kitaifa kilichobeba anuani: “Lebanon Ina Nguvu Zaidi Kupitia Uhusiano Wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran”.
-
DuniaHizbullah Yawapinga Wanaounga Mkono Uhuru wa Lebanon Kupitia Makubaliano ya Maridhiano na Israel
Hawza/ Baada ya kupita siku kadhaa tangu kutangazwa kwa makubaliano ya maridhiano kati ya serikali ya Lebanon na Israel, makundi mbalimbali ya kijamii na vyama vya kisiasa vya Lebanon yameeleza…
-
Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon:
Dunia“Makubaliano ya Washington” ni hati ya kujisalimisha inayowajibisha kuondolewa madarakani utawala
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon umesisitiza kwamba: “Makubaliano ya Washington” yaliyotiwa saini kati ya utawala wa Lebanon na utawala vamizi wa Israel ni ukiukaji wa…
-
Katibu Mkuu wa Hizbullah Lebanon:
DuniaMpango wa Kuuangamiza Muqawama na Hizbullah Umeshindwa
Hawza/ Sheikh Naim Qassim, Katibu Mkuu wa Hizbullah, amesema kuwa; kulikuwa na mpango wa kuiangamiza Hizbullah na Muqawama katika eneo la Mashariki ya Kati, lakini mpango huo umeshindwa.
-
Mwanazuoni wa Kisunni wa Lebanon:
DuniaMadrasah ya Karbala Imeufundisha Umma Jinsi ya Kusimama Imara Juu ya Haki
Hawza/ Sheikh Ahmad Al-Qattan amesisitiza kwamba; Madrasah ya Karbala imeufundisha Umma jinsi ya kusimama imara juu ya haki na jinsi ya kupambana na dhulma.
-
DuniaHafla za Maombolezo ya Imam Hussein (as) Zafanyika Kusini mwa Beirut
Hawza/ Kwa mnasaba wa kuadhimisha kumbukumbu ya Ashura ya Imam Hussein (as), Hizbullah imeandaa na kuendesha majlisi za maombolezo ya mwezi wa Muharram katika maeneo mbalimbali ya kusini mwa…
-
DuniaBaraza Kuu la Kiislamu la Mashia wa Lebanon Latoa Maelekezo Kuhusu Majlisi za Maombolezo ya Muharram
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Ali Al-Khatib, Makamu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia wa Lebanon, ametoa taarifa maalumu kwa mnasaba wa maombolezo ya mwezi wa Muharram.
-
Rais wa Lebanon:
DuniaNawashukuru wale wote waliojitahidi kuijumuisha Lebanon katika juhudi za kumaliza ongezeko la mvutano na kusitisha hatua za kijeshi
Hawza/ Joseph Aoun amesema: Kwa uangalifu mkubwa nimefuatilia kutangazwa kwa hati ya makubaliano iliyofikiwa kati ya Marekani na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, pamoja na msisitizo wake juu ya kusitishwa…
-
DuniaWananchi wa Lebanon Wakusanyika Mbele ya Ubalozi wa Iran, kama Ishara ya Uaminifu na Shukrani kwa Kusimama Iran Pamoja na Lebanon
Hawza/ Wananchi wa Lebanon walikusanyika mbele ya Ubalozi wa Iran mjini Beirut kama ishara ya kutoa shukrani kwa hatua ya Iran ya kujibu mashambulizi ya utawala wa Kizayuni na kuiunga mkono Lebanon.
-
DuniaJumuiya ya Maulamaa wa Beirut Yapongeza Msimamo wa Dhati wa Iran katika Kuisaidia Lebanon
Hawza/ Jumuiya ya Maulamaa wa Beirut imesisitiza kwamba; haiwezekani kuachana na muqawama ambao uliikomboa ardhi na kumzuia adui; Muqawama upo na utaendelea kuwepo maadamu hakuna mbadala unaoweza…
-
Hizbullah:
DuniaJinai inayofanywa na adui dhidi ya jeshi la taifa imekuwa ni matokeo ya kawaida na ya kupuuzwa kwa mamlaka ya nchi
Hawza / Hizbullah katika taarifa yake imesema: Shambulio la kijinai na la woga ambalo adui Mzayuni amelifanya dhidi ya jeshi letu la taifa ni jinai ya kweli na ya makusudi.
-
DuniaMkusanyiko wa Wanazuoni wa Jabal Amil umesisitiza kushikamana na uchaguzi wa kusimama imara, Muqawama na kuimarisha umoja wa Lebanon
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Jabal Amil nchini Lebanon katika ujumbe wake kwa mnasaba wa “Eidul Ghadir” umesisitiza kwamba; Lebanon chini ya mwendelezo wa mashambulizi na vitisho vya Israel,…
-
DuniaSheikh Qabalan amwambia Aoun: Kama kusingekuwa na Muqawama, adui Muisraeli angefika hadi Ikulu ya Rais
Hawza / Mwanazuoni mashuhuri wa Lebanon, katika ujumbe wake kwa Rais wa Lebanon, amesema: Yeyote anayehimiza Muqawama kujiondoa kusini mwa mto huku wakati huohuo asidai kuondoka kwa jeshi la…
-
Hizbullah ya Lebanon:
DuniaAyatullah al-Udhma Fayyadh alikuwa nguzo ya Marjaiyya na mtumishi wa Uislamu
Hawza/ Hizbullah ya Lebanon imetoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Ayatullah al-Udhma Sheikh Is'haq Fayyadh na kusisitiza kwamba; alikuwa miongoni mwa nguzo za Marjaiyya ya kidini ndani…
-
Mwakilishi wa Kambi ya Muqawama:
DuniaKusisitiza Muqawama kunyang'anywa silaha ni sawa na kusisitiza kuondoa nguvu ya jamii hii
Hawza/ Ihab Hamada amesema: Kusisitiza kuvuliwa silaha kwa Muqawama, kwa hakika ni kusisitiza kuondoa sehemu ya nguvu ya jamii hii; hatua hii inalenga kuifanya jamii iwe dhaifu na iwe rahisi…
-
Harakati ya Umma:
DuniaNia ya mataifa yanayoamini haki na uhuru wao ina nguvu zaidi kuliko mashine zote za kivita
Hawza/ Harakati ya Umma ya Lebanon imelaani mashambulizi ya mara kwa mara ya Kizayuni yanayofanywa kusini mwa Lebanon na eneo la Biqaa pamoja na ukiukwaji wa kila siku wa mamlaka ya Lebanon,…
-
Mkuu wa Baraza la Kisheria la Hizbullah:
DuniaHatutaachana na msimamo wetu, hata kama utasababisha makabiliano ya Hussein
Hawza/ Sheikh Muhammad Yazbak, Mkuu wa Baraza la Kisheria la Hizbullah, amesema katika ujumbe wake: “Tunawashukuru wote wanaotunyoshea mkono wa msaada na utetezi, na kwa namna ya pekee tunaishukuru…
-
Sheikh Ali Al-Khatib:
DuniaMaadamu Uvamizi Unaendelea, Muqawama Nao Utaendelea Kuwepo
Hawza/ Sheikh Ali Al-Khatib amewataka viongozi kutoweka matumaini yao kwa Marekani, ambayo inalenga kupitia mazungumzo ya moja kwa moja kuanzisha fitna ya ndani kwa ajili ya kumuokoa adui wa…
-
DuniaIsrael yafanya Mashambulizi Makubwa Upande wa Kusini; Idadi ya Mashahidi na Majeruhi Yaongezeka
Hawza/ Kusini mwa Lebanon tangu usiku wa manane wa Jumamosi hadi Jumapili kumeshuhudiwa mfululizo wa mashambulizi makubwa ya Israel yaliyohusisha mashambulizi ya anga, mashambulizi ya mizinga…
-
Miongoni mwa makamanda wa Hizbullah ya Lebanon:
DuniaTaifa la Lebanon halitarudi nyuma kutoka katika Muqawama
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Ghabris, akisisitiza kwamba taifa la Lebanon licha ya kubeba mizigo ya mashinikizo makubwa zaidi, vita na uharibifu mkubwa, bado halijarudi nyuma kutoka katika…
-
Mwanazuoni wa Kisunni wa Lebanon:
DuniaKufanya mazungumzo ya moja kwa moja na adui Israel ni haramu kisheria
Hawza/ Sheikh Ahmad Al-Qattan aliisifu Iran kwa kusimama imara mbele ya mashinikizo na uchokozi, na akautaja ushindi wake kuwa ni ushindi wa watu wote huru duniani, bila kujali dini, madhehebu…
-
Ali Fayyadh:
DuniaUwepo wa Israel Katika Ardhi yetu ni Uwepo Haram na Lazima Upingwe kwa Hali Yeyote ile
Hawza/ Mwanachama wa kambi ya “Uaminifu kwa Muqawama” katika Bunge la Lebanon alisisitiza: Kanuni ya kudumu ambayo inapaswa kuwa wazi na kuwepo mbele ya kila mtu ni kwamba; uwepo wowote wa Israel…