Lebanon (41)
-
DuniaAjenda ya Marekani na Wazayuni dhidi ya waandishi wa habari wa Lebanon; kuanzia kuitwa mahakamani wakurugenzi wa vyombo vya habari vinavyounga mkono Muqawama hadi kuuawa waandishi wa habari
Hawza/ Wanahabari na waandishi wa habari wa Lebanon wanaounga mkono Muqawama katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita wamekuwa chini ya shinikizo la kisiasa, kufuatiliwa kisheria bila sababu halali,…
-
Harakati ya Amali ya Kiislamu:
DuniaKutishia kumuua Ayatollah udhma Khamenei ni njama ya kishetani; makelele ya Trump hayadumu na hatima yake ni pipa la taka la historia
Hawza/ Harakati ya Amali ya Kiislamu ya Lebanon, kwa kulaani vikali vitisho vya Donald Trump dhidi ya Ayatollah Khamenei, ilisema hatua hiyo kuwa ni njama ya kishetani na uonevu wa Kimarekani-Kizayuni…
-
DuniaKwa uzinduzi wa bango uliofanywa na Katibu Mkuu wa Hizbullah Lebanon; Harakati ya Qur’ani “Maisha kwa Aya” yafika Lebanon
Hawza/ Kwa kuzinduliwa kwa bango la Kiarabu la harakati ya Qur’ani "Maisha kwa Aya" kwa uwepo wa Sheikh Naim Qassem, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, harakati hii ya Qur’ani ilianza rasmi…
-
DuniaSheikh Ahmad Qablan aikosoa vikali Serikali ya Lebanon
Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh Ahmad Qablan, Mufti Mkuu wa Jaafari wa Lebanon, amesema: “Tumejikuta katikati ya nchi ambayo inaendelea kuporomoka kila siku.”
-
Sheikh Ahmad Al-Qattan:
DuniaTunasimama pamoja na harakati zote za muqawama dhidi ya udikteta wa Kizayuni–Marekani
Hawza/ Kiongozi wa kidini wa Kisunni kutoka Lebanon amesisitiza kuwa, Harakati ya Hamas itaendelea kusimama imara, kama zilivyo harakati nyingine zote za muqawama, maadamu bado kuna uvamizi na…
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Beirut:
DuniaHijabu ni miongoni mwa vielelezo vya kujitolea kufuata amri za Mwenyezi Mungu
Hawza/ Jumuiya ya Kheri ya Al-Mabarrat iliandaa hafla katika Ukumbi wa Zahraa, uliopo ndani ya Jumuia ya Imamain Hasanayn (amani iwe juu yao) huko Haret Hreik, kwa ajili ya zaidi ya wasichana…
-
Mjumbe wa Muungano wa Uaminifu kwa Muqawama:
DuniaKinachopangwa kwa ajili ya Lebanon ni zaidi ya suala la silaha na kinaelekezwa kwenye mkondo wa kisiasa, kiusalama na kiuchumi
Hawza/ Ali Fayyadh alisema: Hizbullah ni chama kikubwa zaidi cha kisiasa kwa kuzingatia uungwaji mkono wa wananchi nchini Lebanon, na uzito pamoja na nafasi yake haviwezi kupuuzwa.
-
Mjumbe wa Baraza Kuu la Hizbullah Lebanon:
DuniaMuqawama unaendelea kwa nguvu hadi itakapotimia ahadi ya Mwenyezi Mungu / Maktaba ya Shahidi Suleimani ni nguzo ya kifikra kwa Muqawama wa Kiislamu
Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh al-Baghdadi alisisitiza kuwa: Muqawama unaendelea kwa nguvu na kwa kushikamana na maktaba ya mashahidi na uongozi, katika njia ya kusimama imara na kupambana na adui…
-
DuniaMazishi ya Mwanazuoni Sheikh Ridha Mahmoud Mahdi, yafanyika katika mji wa Khartoum nchini Lebanon
Hawza/ Hizbullah na watu wa Muqawama waliuaga mwili wa Mwanazuoni, Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Ridha Mahmoud Mahdi.
-
DuniaKiongozi mwandamizi wa Hizbullah: Muqawama hautapambana na jeshi na hautaruhusu fitina ya ndani
Hawza/ Sheikh Ali Damoush amesema: hapo awali ilielezwa kwamba kukamilishwa kwa hatua za jeshi kusini mwa Mto Litani kulitegemea kusitishwa kwa mashambulizi na kujiondoa kwa adui “Muisraeli”…
-
Ali Fayyadh Akiihutubia Serikali ya Lebanon:
DuniaIkiwa adui anaendelea kuwaua Walebanon, mazungumzo naye yana thamani gani?
Hawza/ Mjumbe wa kundi la wabunge la “Uaminifu kwa Muqāwama” katika Bunge la Lebanon alisema: Leo, damu takatifu za Jeshi shujaa la Lebanon, ambalo tunathamini misimamo na busara za uongozi wake,…
-
Mwakilishi wa Harakati ya Amal Lebanon:
DuniaKujitoa muhanga kwa mashahidi kusini kulikuwa kwa ajili ya Lebanon yote, na baadhi ya viongozi wanazungumza lugha ya adui
Hawza/ Qubaisi alitangaza: Uchaguzi ujao wa Baraza la Wawakilishi ni jihadi sambamba na mashahidi na ni ulinzi wa Lebanon iliyo huru, yenye heshima na yenye kujitegemea.
-
Balozi wa Iran katika kumbukumbu ya Sheikh Abdulnaser Jabri:
DuniaNjia ya mapambano ya muqawa.a ndiyo chaguo lenye mafanikio zaidi
Hawza/ Kutokana na mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa tisa tangia kufariki Sheikh Abdulnaser Jabri, Harakati ya Umma wa Lebanon (Harakat al-Ummah) iliandaa kikao cha kielimu na kisiasa kwenye…
-
Mjumbe wa Kundi la Muqawama:
DuniaMwenendo wa Mazungumzo na Israel ni hatari kubwa kwa Lebanon
Hawza/ Ali Fayyadh ameonesha wasiwasi wake mkubwa kuhusu maendeleo ya mazungumzo ya Lebanon na Israel, akisema kuwa; kwa kuteleza Lebanon kuelekea kufanya mazungumzo na Waisraeli chini ya uongozi…
-
Mwakilishi wa Bunge la Lebanon:
DuniaBaadhi ya wanasiasa wamekuwa chombo cha Marekani
Hawzah/ Ali Fayyadh amesema: Ni wazi kwamba baadhi ya watu walioko madarakani wanatekeleza kwa makusudi siasa ya kuingiza kila kipengele kinacholeta mvutano na uchochezi katika uwanja wa ndani.
-
Harakati Umma ya Lebanon:
DuniaMauaji ya Sabra na Shatila ni ushahidi wa kudumu wa ukatili unaofanywa na Wazayuni pamoja na ushirikiano wa baadhi ya madola katika ukanda huu na ya kimataifa
Hawza/ Harakati Umma ya Lebanon katika tamko lililotolewa kutokana na kumbukumbu ya miaka arobaini na moja ya mauwaji ya kimbari ya Sabra na Shatila, ilibainisha kuwa: mauwaji hayo yenye giza…
-
Mjumbe wa Kundi la Muqawama:
DuniaSilaha za Muqawama ni Sehemu ya Imani, Azma na Maisha Yetu
Hawza/ Hasan Izzuddin, alisrma kuwa: Kila uamuzi unaopingana na makubaliano na mshikamano wa kitaifa na dhidi ya sehemu yoyote ya Lebanon, unachukuliwa kama dosari ya kikatiba na kitaifa na haukubalik…
-
Mwakilishi wa Harakati ya Amal Nchini Iran:
HawzaSilaha za Muqawama wa Hizbullah ni Urithi wa Damu za Mashahidi
Hawza/ Salah Fahsi amesema: Marekani na baadhi ya nchi za Kiarabu bado wanataka kunyang'anywa silaha Jeshi la Hizbullah, lakini shambulizi la utawala wa Kizayuni dhidi ya Qatar liliwafanya wafuasi…
-
DuniaSheikh al-Khatib: Tunatumaini kikao cha Doha kitaishia kwenye maamuzi muhimu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Ali al-Khatib, Makamu wa Rais wa Baraza Kuu la Kiislamu la Kishia la Lebanon, baada ya kukamilisha safari yake katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amerejea…
-
Mbunge wa Lebanon:
DuniaKuanzisha uhusiano wa kawaida kati ya Qatar na Israel hakukulilinda taifa hili
Hawza/ Malham al-Hujayri, mbunge na mwenyekiti wa Harakati "An-Nasr Amal", ameukemea vikali unyonyaji wa kijasiri na uhalifu unaofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya uongozi wa Harakati ya…
-
Rais wa Baraza Kuu la Waislamu wa Kishia nchini Lebanon:
DuniaMshikamano wa Lebanon sasa umesimama imara zaidi kuliko zamani dhidi ya hila za maadui / Shambulizi la Israel dhidi ya Qatar ni funzo kwa tawala zote za Kiarabu na katika ukanda
Hawza/ Sheikh Ali Al-Khatib, akisisitiza juu ya ulazima wa kudumisha mshikamano baina ya mataifa ya eneo hili, amesema: Shambulizi la Israel dhidi ya Qatar ni kengele ya hatari kwa tawala zote…
-
DuniaHarakati ya Tawhidi al-Islami: Shambulio dhidi ya Qatar ni mwendelezo wa siasa ya uhalifu ulioandaliwa na ugaidi wa kiserikali unaoungwa mkono na Marekani
Hawza / Harakati ya Tawhidi al-Islami ya Lebanon katika tamko lake imesema: “Shambulio la Israel ni mwendelezo wa siasa ya uhalifu ulioandaliwa na hatua inayoeleweka kuelekea ugaidi wa kiserikali…
-
Sheikh Ali Al-Khatib katika ufunguzi wa Mkutano wa Umoja:
DuniaUshindi wa muqawama umeilazimisha dola ya Kizayuni kukiri kushindwa kwake
Hawza/ Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Kishia nchini Lebanon alisisitiza: Adui anataka kuutenga umma wa Kiislamu na malengo yake ya kimungu, lakini ushindi wa muqawama umeilazimisha…
-
DuniaHarakati ya Tauhidi ya Kiislamu: Adui ameshindwa vibaya mbele ya azma na kujitolea kwa Palestina
Hawza/ Harakati ya Tauhidi ya Kiislamu nchini Lebanon imetoa pongezi kwa mapigo makali na ya kuumiza ambayo adui wa Kizayuni anaendelea kuyapokea kutoka kwa wapiganaji mashujaa wa muqawama.
-
DuniaImamu wa Ijumaa wa Beirut: Kutoweka kwa Imam Musa Sadr kutokana na nafasi yake ya kuunganisha na kuunga mkono malengo ya haki ni pigo kubwa
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Ali Fadhlallah alisema: “Kutoweka kwa Imam Musa Sadr, kutokana na nafasi yake ya kuleta umoja wa kitaifa na Kiislamu, pamoja na kuunga mkono malengo…
-
Ayatullah Rajabi:
DuniaHizbullah ya Lebanon ni alama ya heshima na hadhi kwa Umma wa Kiislamu / Ndoto ya kuivua silaha Hizbullah kamwe haitatimia
Hawzah/ Mjumbe wa Baraza Kuu la Hawzah, kufuatia mpango ovu wa utawala wa kigaidi wa Marekani dhidi ya taifa tukufu na lenye kusimama imara la Lebanon, alitoa ujumbe na akasema: “Hizbullah ni…
-
DuniaMbunge wa Lebanon: Harakati ya Amal itabakia kuwa mwaminifu kwenye njia ya Imam Musa Sadr na kusalia thabiti katika njia ya muqawama
Hawza/ Ali Khreis alisema: “Tupo ukingoni mwa kumbukumbu ya kutoweka kwa Imam Musa Sadr, jinai ambayo maadui Waarabu, Waislamu, na muqawama walishiriki ndani yake
-
DuniaMjumbe Mwandamizi wa Harakati ya Amal: Lebanon imelipa gharama ya kutochukua hatua kwa serikali, na Muqawama ndio mbadala wa ulinzi wa ardhi na watu
Hawza/ Khalil Hamdan amesema: Lebanon kwa ujumla, na kusini hususan, imelipa gharama ya kuachwa na kutotetewa na viongozi, jambo ambalo linakwenda sambamba na kauli mbiu ya “nguvu ya Lebanon…
-
DuniaRaisi wa Umoja wa Maulama wa Muqawama: Msimamo wa Muqawama na Uaminifu Wake kwa Silaha Ni wa Kutosheleza Zaidi Kuliko Msimamo Dhaifu wa Serekali na Unaopingana
Hawza/ Sheikh Maher Hammoud amesema: “Wakati wanataka Muqawama, pamoja na manufaa yote uliyoyaleta Lebanon, utoe silaha zake kwa ajili ya mradi wa kubuni serikali imara, ni sawa na kuuza chuma…
-
DuniaWanazuoni wa Sunni wa Lebanon Wameunga Mkono Muqawama kikamilifu
Hawza / Sheikh Ahmed Al-Qattan, kiongozi wa dini wa Sunni na Rais wa Jumuiya ya “Qoulna wa Al-Amal” nchini Lebanon, amesema: “Tunasema kwamba silaha zilizopo Lebanon na sehemu yoyote ambapo silaha…