Ayatollah Udhma Jawadi Amoli (28)
-
Ayatullah al-Udhma Jawadi Amuli:
Dunia“Kumwaga damu ya Trump na Wazayuni ni matakwa ya Imam Mahdi (a.f)”
Imechapishwa tena/ Ayatullah Jawadi Amuli, huku akisisitiza umuhimu wa kuhifadhi umoja na mshikamano, alisema: “Kumwaga damu ya Wazayuni na Trump na mfano wa hao kwa sasa ni kauli ya Imam Mahdi…
-
Ayatullah al-Udhma Jawadi Amoli katika mkutano na Waziri wa Barabara na Mipango Miji:
DuniaBendera ya Iran ni utambulisho wa wananchi/ Umoja ni sharti la kusimama dhidi ya mfumo wa utawala wa mabavu
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Jawadi Amoli alisisitiza: Uwepo wa wananchi wenye mitazamo tofauti—kuanzia wanawake na wanaume hadi kizazi cha vijana—chini ya bendera ya Iran, unaonesha kina cha kupenya…
-
DuniaRadi amali ya Ayatullah Jawadi Amoli kuhusu kumdhalilisha Papa/ Heshima ya viongozi wa kidini duniani lazima ihifadhiwe
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Jawadi Amoli katika ujumbe wake alielezea masikitiko yake juu ya dharau iliyofanywa na Rais wa Marekani dhidi ya Papa Leo wa Kumi na Nne, kiongozi mkuu wa Wakatoliki…
-
Ayatullah al-‘Udhma Jawadi Amoli:
DuniaWatu wote washiriki katika harakati ya pamoja ya kuwepo uwanjani/ Kusimamishwa masomo hadi taarifa nyingine
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Jawadi Amoli amesisitiza kuwa: Inafaa watu wote washiriki katika harakati ya pamoja ya kuwepo uwanjani, na kila mtu, hasa wanazuoni wakubwa wa dini, wawe na mchango mkubwa…
-
Sheikh Zakzaky:
DuniaKambi za Marekani katika nchi za Ghuba ya Uajemi ni sehemu ya mpango wa kulinda mradi wa “Israeli Kubwa”
Hawza/ Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Ya‘qub Zakzaky, katika kikao na baadhi ya wanafunzi wake mjini Abuja, alisisitiza kwamba; Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndiyo…
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amoli:
DiniMwenyezi Mungu ameamrisha “jihad maalum” dhidi ya wanafiki
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Jawadi Amoli amesisitiza kuwa; Mwenyezi Mungu anakosoa vikali mwenendo wa jamii ya wanafiki na ametoa amri ya “jihad maalum” dhidi yao.
-
DuniaAyatullah udhma Jawad A'moli atuma ujumbe wa pongezi kutokana na kuchaguliwa Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Iran
Hawza/ Mtukufu Ayatullah udhma Jawad A'moli kutokana na kuchaguliwa Sayyid Mujtaba Khamenei kama Kiongozi wa tatu wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran, amesema kuwa: Mfumo wa Uimamu na ummah ni zawadi…
-
Ayatullah Al-udhma Jawad Amuli:
DuniaHivi sasa maneno ya Imam Zamani (aj) ni haya; Piganeni na Wazayuni na Marekani madhalimu, damu yao ipo juu yangu
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Jawad Amuli, katika ujumbe muhimu huku akibainisha kwamba tumepata mtihani mkubwa alisema: Hivi sasa maneno ya Imam Zamani (aj) ni haya; Piganeni na Wazayuni na Marekani…
-
HawzaPendekezo la Ayatollah al-Udhma Javadi Amoli kwa Walinganiaji (Moballeghena); Hakikisheni Mnaendesha Somo la Tafsiri
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Javadi Amoli akiwahutubia walinganiaji alisisitiza kuwa: Ninyi waheshimiwa mnaokwenda kwa ajili ya tablighi (ulinganiaji), hakikisheni mnaendesha somo la tafsiri.
-
HawzaUjumbe wa Ayatollah al-Udhma Javadi Amoli katika Kongamano la Kitabu Bora cha Hawza/ Vitabu vyenye baraka na kina cha kielimu ni alama ya mafanikio ya Hawza
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Javadi Amoli katika ujumbe wake wa video kwenye Kongamano la Ishirini na Saba la Kitabu Bora cha Hawza, alisisitiza kuwa: Hawza, kwa fadhila za Mwenyezi Mungu, imefanikiwa…
-
Ayatullah al-Udhma Jawadi Amoli:
DuniaIdd ya Nusu ya Shaaban ni “mahali pa ibada”/ Tuijue kwa kina zaidi hadhi ya Imam
Hawza/ Ayatullah al-Udhma Jawadi Amoli amesisitiza kuwa; matukio kama vile maadhimisho ya kuzaliwa kwa Heri Hadhrat Walii wa Zama (a.j) yanapaswa kuadhimishwa ipasavyo. Alieleza kuwa ni lazima…
-
Ayatullah al-‘Udhmaa Jawadi Amoli:
DiniUsiku wa nusu ya Sha‘ban ni “Laylatul Qadr”
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Jawadi Amoli wamesema: Imam al-Baqir (a.s.) amesema kuwa usiku wenye fadhila kubwa zaidi baada ya Laylatul Qadr ni usiku wa nusu ya Sha‘ban, usiku ambao Mwenyezi Mungu…
-
Ayatullah udhma Jawadi Amoli katika somo la juu la fiqhi:
HawzaMarekani na utawala wa Kizayuni hawana uwezo wa kuidhuru Iran
Hawza/ Ayatullah Jawadi Amoli, huku akiongoza dua kwa ajili ya kulindwa mfumo wa Kiislamu, alisisitiza kuwa: Marekani na utawala wa Kizayuni hawana uwezo wa kuidhuru njia hii, na kwa idhini ya…
-
Kutokana na mnasaba wa maadhimisho ya siku ya kuzaliwa kwa Qamar Bani Hashim (a.s.):
DiniMtukufu Abul-Fadhl al-Abbas (a.s.) na fadhila ya kufufuliwa pamoja na Malaika
Hawza/ Fadhila ya kufufuliwa pamoja na malaika, ambayo hakuna ladha iliyo juu yake, imetajwa katika riwaya pia kwa mja mwema wa Mwenyezi Mungu, Mtukufu Abul-Fadhl al-Abbas (a.s.). Malipo ya aina…
-
Ayatullah Al-‘Udhma Jawadi Amoli:
HawzaMwanadamu yatakikana awe chemchemi katika jamii/ Msisitizo juu ya umuhimu wa itikafu katika mwezi wa Rajabu
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Al-‘Udhma Jawadi Amoli, katika kipindi cha darsa ya maadili kilichofanyika katika Msikiti Mkuu wa Qum Iran, kwa kufafanua “njia ya tatu ya dini” katika kukabiliana na…
-
Ayatollah Al-Udhma Jawadi Amoli:
DiniVijana na Mabinti Wawe ni Wenye Shukrani Kutokana na Jitihada Walizo Zifanya Wazazi Wao Kwao
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Jawadi Amoli aliwashauri wasichana na wavulana kuwa wenye shukrani kwa juhudi zilizofanywa na baba na mama kuwaelekea wao.
-
DiniRafiki Mwenye Hekima kwa Mtazamo wa Ayatullah al-‘Udhma Jawadi Amoli
Hawza/ Ayatullah al-‘Udhma Jawadi Amoli amesema: uhusiano wa kindugu kwa kiwango cha jumla si jambo baya, na ni vyema kila Mwislamu awe na uhusiano mwema na Mwislamu mwenzake; lakini inapofikia…
-
DiniKumswalia Mtume na Athari Zake Katika Kutimizwa Haja kwa Mtazamo wa Ayatullah Udhma Jawadi Amoli
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Jawadi Amoli amesema: kumswalia Mtume na thawabu zake ni miongoni mwa kheri na malipo bora na ya juu kabisa.
-
DiniUtukufu wa ibada ya Bibi Zahraa (a.s) Kulingana na Mtazamo wa Ayatullah A-Udhma Javadi Amoli
Hawza/ Ayatullah Javadi Amoli amebainisha kuwa: Bibi Zahraa (a.s) alipokuwa akisimama kuswali alikuwa akijikita kiasi kikubwa kwenye utukufu wa Mwenyezi Mungu na kupotea kabisa katika jalali…
-
DiniHijabu ya Mwanamke ni Haki ya Mwenyezi Mungu, Haina Mafungamano na Mtu Binafsi, Mwanaume Wala Familia
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Javadi Amuli amesema: “Mwanamke anatakiwa kuelewa kikamilifu kwamba hijabu yake si jambo linalomhusu yeye peke yake hadi aseme, ‘nimeachana na haki yangu’; hijabu ya…
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amuli:
DiniWito wa kuonana na Malakuti ni heshima ya juu kabisa kwa mwanadamu/ kufunguliwa njia ya kuwa arif
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Jawadi Amuli amesisitiza: Qur’ani ni kitabu cha adabu na kinaonesha heshima kamili kwa mwanadamu. Mwenyezi Mungu anasema: (فَاتَّبِعُوا مِلَّةَ إِبْرَاهِيمَ حَنِيفًا),…
-
DiniAyatullahul-‘Uzma Jawadi Amuli: Jamii inaongozwa na maadili, si kwa elimu pekee
Hawza/ Mtume Mtukufu (saww) pamoja na kuwa na elimu pana, alisifiwa kwa sababu ya maadili yake adhim; kwani jamii inaongozwa na maadili, si kwa elimu pekee. Watu waliongozwa na mwenendo wa Mtume,…
-
DiniMtazamo wa Mar'aji‘ taql'id Kuhusiana na Sherehe ya mwezi Tisa Rabi‘u al-Awwal na Kutoheshimu wanavyo vitukuza Ahlus-Sunna
Hawzah/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu na Maraji‘ wakubwa wa taql'id, kupitia tamko na fatwa zao, wanazingatia kwamba; kutusi matakatifu ya madhehebu ya Kiislamu, ni kitendo haramu, chenye…
-
Jawabu kutoka kwa Ayatullah Jawadi:
DiniJe, Wilayatul-Faqiih inalingana na demokrasia na uhuru?
Hawza/ Wilayatul-Faqiih ni uongozi wenye hekima katika mipaka ya sheria ya Mwenyezi Mungu, na uhuru katika Uislamu unakuwa na maana tu ndani ya mipaka hiyo, uhalali wa faqihi unatokana na dini,…
-
Ayatullah al-Udhma Jawadi Amuli:
HawzaShia ni wajuzi wa Uislamu wa kweli
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Jawadi Amuli amesisitiza juu ya umuhimu wa nafasi ya Hawza katika kukuza elimu na maarifa kwenye jamii, na akabainisha kuwa: Vitabu kama “Maktab al-Tashayyu’” vinapaswa…
-
Ayatullah Al-Udhma Jawad Amuli:
Dunia Lengo Kuu la Sayyid al-Shuhadaa (a.s.) Lilikuwa ni Kufundisha na Kuwatakasha watu
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Al-Udhma Jawadi Amuli amesema: Ziara ya Arubaini humwondoa mwanadamu katika tabia ya kuwa na huzuni ya kupita kiasi, pupa na ubinafsi wa kuzuia mema, na lengo kuu la…
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amuli:
DiniElimu ya “chumba cha baridi” haimjengi mwanadamu
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Jawadi Amuli alibainisha kuwa: “Kile kilichopo leo katika baadhi ya jamii za kielimu za vyuo vikuu ni elimu iliyokufa na ya chumba cha baridi; elimu hii ya chumba cha…
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amuli:
HawzaTaifa la Iran halitaachana na heshima na akili
Hawza/ Hazrat Ayatollah Jawadi Amuli katika kikao na wanajumuiya wa kundi la Mu’talifeye Islami alisisitiza kwamba: Sisi ni warithi wa utamaduni na fikra ambazo si tu kwamba zilikuwa ni zenye…