Jumapili 30 Machi 2025 - 11:16
Nchini Iran, siku ya jumatatu ndio itakuwa Sikukuu ya Idd-al-Fitr  

Mjumbe wa kamati ya uchunguzi wa mwandamo wa mwezi katika ofisi ya kiongozi wa mapinduzi amesema kuwa: Kwa mujibu wa utabiri ulio tolewa na wataalamu, jumatatu itakuwa sikukuu ya Idd-al-Fitr.  

Kwa mujibu wa ripoti kutoka katika  Shirika la Habari la HawzaHujjatul Islam wal-Muslimin Mowahhidnejad, ambaye ni mjumbe wa kamati hiyo, alisema kuwa inatarajiwa mwezi mwandamo wa Shawwal utaonekana kwa urahisi jioni ya Jumapili tarehe 30 Machi.  

Ameeleza kuwa: Kutokana na hilo, inatarajiwa kuwa jumatatu tarehe 31 Machi itakuwa siku ya kwanza ya mwezi wa Shawwal na Sikukuu ya Idd-al-Fitr.

Lebo

Maoni yako

You are replying to: .
captcha