Jumamosi 22 Machi 2025 - 23:48
Dua za kila siku za Mwezi wa Ramadhani; siku ya ishirini na moja

Ee Mwenyezi Mungu! Nioneshe njia ya kuifikia Radhi yako, wala Usimpe Shetani nafasi ya kunihangaisha katika mwezi huu. Uijaalie Pepo iwe ndiyo mashukio yangu na mapumziko. Ewe Mwenye kuzitekeleza haja za wakuombao.

Shirika la Habari la Hawza - Dua za kila siku za Mwezi wa Ramadhani; siku ya ishirini na moja:

اللّهُمَّ اجْعَلْ لِی فِیهِ إِلی مَرْضاتِک دَلِیلاً، وَلَا تَجْعَلْ لِلشَّیطانِ فِیهِ عَلَی سَبِیلاً، وَاجْعَلِ الْجَنَّةَ لِی مَنْزِلاً وَمَقِیلاً، یا قاضِی حَوائِجِ الطَّالِبِینَ.

Ee Mwenyezi Mungu! Nioneshe njia ya kuifikia Radhi yako, wala Usimpe Shetani nafasi ya kunihangaisha katika mwezi huu. Uijaalie Pepo iwe ndiyo mashukio yangu na mapumziko. Ewe Mwenye kuzitekeleza haja za wakuombao.

Sikia

Lebo

Maoni yako

You are replying to: .
captcha