Hawza/ Akili ya mwanadamu pekee haiwezi kutambua viwango vya mema na mabaya kwa kina, na pia haina uwezo wa kuelewa lengo la maisha ya mwanadamu; kwa hivyo, kwa ajili ya mwongozo, tunahitaji…
Katika mfumo wa maisha, mwanadamu siku zote hutafuta nuru itakayomwonyesha njia sahihi na kumtenganisha na upotovu. Lakini je, nuru hii hupatikana tu katika taa ya dini? Au yawezekana kufikia…
Ee Mwenyezi Mungu! Nioneshe njia ya kuifikia Radhi yako, wala Usimpe Shetani nafasi ya kunihangaisha katika mwezi huu. Uijaalie Pepo iwe ndiyo mashukio yangu na mapumziko. Ewe Mwenye kuzitekeleza…