Palestine (46)
-
DuniaNyota wa Soka wa Tunisia wajiunga na safu ya wanao ikingia kifua Ghaza
Hawza/ Nyota wa soka wa Tunisia pia wamejiunga na kampeni ya kulaani utawala wa Kizayuni wa Israel na kuwatetea watu wa Ghaza wanaodhulumiwa.
-
Vyombo vya habari vya Kiebrania vimeripoti:
DuniaSoko haramu la tiketi za ndege kwa ajili ya kuikimbia Israel
Hawza/ Idadi ya Wazayuni wanaojaribu kukimbia kutoka Palestina iliyokaliwa kwa mabavu imeongezeka kwa kiwango kikubwa. Hata hivyo, kutokana na mashambulizi ya makombora kutoka Yemen, mashirika…
-
DuniaWatu wa Italia Wamiminika Barabarani kwa ajilia ya Kuiunga Mkono Palestina
Hawza/ Maelfu ya waandamanaji waliandamana katika mitaa ya mji mkuu wa Italia, Roma, kupinga vita vya Ghaza, Maandamano haya yaliandaliwa na vyama vikuu vya upinzani nchini Italia ambavyo vimeishutumu…
-
DuniaChuo Kikuu cha Michigan Chaajiri Wapelelezi kwa ajili ya kuwasumbua wanafunzi wanaoiunga Mkono Palestina
Hawza/ Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Michigan nchini Marekani wameripoti kuhusu kuajiriwa kwa watu wanaowafuatilia mchana na usiku, kurekodi mazungumzo yao na kuwapa vitisho.
-
Pendekezo la Mwenyekiti wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan kuhusu Siku ya Kimataifa ya Wazazi:
DuniaDunia haisikii sauti ya wazazi waliopoteza watoto wao huko Ghaza
Hawza/ Hujjat al-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa Siku ya Kimataifa ya Wazazi, amependekeza siku hii ipewe jina la wazazi wa watoto walio dhulumiwa…
-
DuniaMtafiti wa Uingereza: Kadhia ya Palestina Imeonesha Kuwa Kanuni za Kimataifa Hazina Ufanisi!
Hawza/ Kwa mujibu wa Salman Sayyid kutoka Chuo Kikuu cha Leeds, Uingereza, kadhia ya Palestina ni mada inayohusu madai ya haki duniani kote leo hii.
-
DuniaMaulamaa wa Pakistan watoa ombi la Kuzingatiwa kwa viongozi wa Saudia
Hawza/ Maulamaa mashuhuri wa Pakistan, katika khutba za Ijumaa, wameomba kwamba mwaka huu, viongozi wa Hija wa Saudi Arabia wafikishe ujumbe wa kuikomboa Baytul-Maqdis na mwamko wa Umma wa Kiislamu…
-
DuniaBenedict Cumberbatch aungana na waandamanaji dhidi ya mauzo ya silaha kwa Israel
Hawza/ Zaidi ya wasanii 300, madaktari, na wanajumuiya wa chuo kikuu nchini Uingereza, wametia saini barua ambayo inamtaka Waziri Mkuu wa Uingereza kuchukua hatua za haraka kuhusiana na vita…
-
DuniaMwenyekiti wa Jumuiya ya Kisheria ya Waislamu wa Kishia wa Jammu na Kashmir apinga vikali ukimya wa jumuiya ya kimataifa kuhusiana na janga la kibinadamu la Ghaza
Hujjatul-Islam Sayyid Hassan Mousawi Safawi, katika hotuba yake, alilaani vikali uhalifu unaofanywa na Israel huko Ghaza, na akasema kuwa dunia kukaa kimya mbele ya janga hili la kibinadamu haikubalik…
-
DuniaPapa Leo wa Kumi na Nne Atoa Wito wa Kusitishwa Mapigano Mara Moja huko Ghaza
Hawza/ Papa Leo wa Kumi na Nne, katika hotuba yake ya hivi karibuni, kwa mara nyingine ametoa wito wa kusitishwa mapigano mara moja huko Ghaza na kuachiliwa huru kwa wafungwa wote.
-
DuniaYemen yafunga njia za baharini na angani kwa Israeli; Bei za bidhaa zapanda
Hawza/ Vyombo vya habari vya Israeli vimeripoti juu ya ongezeko kubwa la bei za vyakula katika miji iliyokaliwa kimabavu, huku wachumi wakithibitisha jambo hili.
-
DuniaUingereza kinyume na kauli zake bado inaendelea kuwauzia Israeli Silaha!
Hawza/ Maelfu ya waandamanaji wa Uingereza katika matembezi makubwa, waliitaka serikali kuacha kueneza kauli zisizo na vitendo na kusitisha mauzo ya silaha kwa Israel, hasa vipuri vya ndege ya…
-
DuniaViongozi na Taasisi za Kiislamu Uingereza Wamemtaka Waziri Mkuu Kusitisha Mazungumzo ya Kibiashara na Israel
Hawzah/ Viongozi na taasisi za Kiislamu nchini Uingereza wametaka kusitishwa kwa mazungumzo ya kibiashara kati ya Uingereza na Israel, na katika barua ya pamoja kwa Waziri Mkuu, wameelezea hali…
-
DuniaMitaa ya Lahaia yazingirwa na wapinzani dhidi ya vita
Hawza/ Waandamanaji waliovaa mavazi mekundu waliandamana siku ya Jumapili katika mji mkuu wa Uholanzi kwa lengo la kuitaka serikali yao kusitisha utekelezaji wa mikataba ya kibiashara na utawala…
-
HawzaMaandamano makubwa yafanyika: Takriban Nusu Milioni ya watu Jijini London waandamana kwa Ajili ya Kuiunga Mkono Palestina
Hawzah/ zaidi ya watu nusu milioni walijitokeza mitaani jijini London kuonesha kuwa wanaitaka serikali yao kusitisha kushiriki katika mauaji ya kimbari dhidi ya watu wasio na ulinzi huko Ghaza.
-
DuniaZakariya al-Sinwar, ndugu wa Shahidi Yahya al-Sinwar, auwawa kishahidi katika kambi ya al-Nusairat.
Hawza/ Zakariya al-Sinwar, ndugu yake Yahya al-Sinwar, ameuawa kishahidi pamoja na wanawe watatu katika shambulio lililo fanywa na utawala wa Kizayuni kwenye kambi ya al-Nusairat katikati mwa…
-
DuniaRais wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan: Ukombozi wa Quds ni ahadi ya Mwenyezi Mungu
Hawza/ Katika kumbukumbu ya siku ya kukaliwa kimabavu kwa mji mtakatifu wa Quds, Seneta Raja Nasir Abbas Jafari, katika tamko alilolitoa, amelaani jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni na…
-
DuniaNjaa na ukame huko Ghaza ni ishara ya ukosefu wa maadili ya kibinadamu duniani
Hawza/ Mgogoro wa Ghaza ni janga la kibinadamu ambalo athari zake mbaya zinawakumba watu wa tabaka lote, lakini mzigo mkubwa zaidi unabebwa na watoto. Mzigo huu unavunja mifupa yao, kwa hakika,…
-
DuniaWasanii Mashuhuri Duniani watia saini kwenye Waraka mmoja
Hawza/ Zaidi ya watu mashuhuri 350 katika ulimwengu wa sinema na nyota wa Cannes na Hollywood, wakiwemo mastaa kama Richard Gere na Susan Sarandon, wamelaani “mauaji ya halaiki” yanayoendelea…
-
DuniaUvamizi wa Kikatili kwa Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Columbia uliofanywa na Polisi wa Marekani
Polisi wa New York, baada ya kuwashambulia wanafunzi waliokuwa wakiandamana kupinga vitendo vya kinyama vinavyo fanywa na utawala wa Kizayuni huko Gaza, waliwakamata wengi wao.
-
Katika mkutano na maelfu ya wafanyakazi kutoka maeneo mbalimbali ya nchi imesemwa hivi:
DuniaMsaada kamili wa Kiongozi wa Mapinduzi kwa wafanyakazi / Kadhia ya Palestina haipaswi kusahaulika; Marekani na Uingereza ni waungaji mkono jinai zinazofanywa na Wazayuni
Maelfu ya wafanyakazi kutoka maeneo mbalimbali ya nchi ya Irani walikutana asubuhi ya leo Jumamosi na Ayatullah Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
DuniaPingamizi kutoka kwenye Familia za Mateka wa Kizayuni dhidi ya Netanyahu: Malizeni Vita
Familia za mateka wa utawala batili wa Kizayuni kupitia maandamano, walidai kuachiliwa kwa mateka hao na kusema: "Hatuafikiani na kauli za Netanyahu zinazopendelea kuendelezwa kwa vita badala…
-
DuniaKamata kamata ya kimabavu kati ya Polisi wa Uholanzi dhidi ya waandamanaji wanaopinga Vita dhidi ya Ghaza
Waandamanaji waliokuwa wakionesha upinzani wao dhidi ya vitendo vya utawala wa Kizayuni wa Israel na waliokuwa wakitaka serikali ya Uholanzi isifungamane na utawala huo dhalimu, walikamatwa katika…
-
DuniaTunaihesabu Uingereza kama mshirika mkuu wa Israel/ Simamisheni uuzaji wa silaha kwa Israel!
Israel tangia tarehe 2 Machi imefunga njia zote za kuingilia Ukanda wa Ghaza, na licha ya ripoti nyingi kuhusiana na njaa kali inayosababishwa na kivuli cha vita, Israel bado imezuia kuingia…
-
Video:
VideoMwanamke mwenye Miaka 70 Nchini Ujerumani akamatwa kwa kosa la kuwaunga mkono wapalestina
Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 70 alikamatwa kwa nguvu na polisi wakati wa maandamano ya kuwaunga mkono wapalestina huko Berlin, tukio hilo lilitokea baada ya kunyanyua juu ya kichwa chake…
-
DuniaIsrael yaishambulia kwa mabomu meli iliyokuwa imebeba misaada ya kibinadamu kwa ajili ya watu wa Ghaza
Wanaharakati wa Kiswidi wa haki za binadamu wamethibitisha kuwa meli hiyo imeshambuliwa kwa mabomu na ndege za kivita za Israel, na kwamba akiba yote ya chakula Ghaza imekwisha kabisa, hali ya…
-
DuniaMadaktari wanaoiunga mkono Palestina: Mkate si Bomu! Waacheni watoto wale chakula!
Hawza/ Muungano wa “Madaktari uliopo dhidi ya mauaji ya Kimbari” siku ya Jumatano walitoa kauli ya kuunga mkono watu wanyonge wa Ghaza na wakatoa wito wa kuondolewa haraka kabisa vizuizi huko…
-
DuniaWanafunzi wa Texas wafungua mashtaka dhidi ya ukandamizaji unao fanywa kwa waandamanaji wanao watetea wapalestina
Wanafunzi kutoka vyuo vikuu vinne vya jimbo la Texas, kwa msaada wa muungano unaopinga ubaguzi nchini Marekani, wamewasilisha mashtaka dhidi ya ukandamizaji unaowalenga wale wanaounga mkono watu…
-
Raisi wa Baraza la Maulamaa wa kishia Pakistan:
DuniaNafasi ya vyombo vya habari katika kuonesha uhalifu unao fanywa na Israel ni ya kupongezwa
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, Raisi wa Baraza la Maulamaa wa kishia nchini Pakistan, katika ujumbe wake ulioandikwa kwa ajili ya kuadhimisha siku ya mnasaba wa Kimataifa…
-
DuniaIkiwa leo hatutaupazia sauti Umoja wa Ulaya, basi tutakuwa tumekubali kushirikiana na Israel
Mmoja wa maafisa wa ngazi za juu katika Umoja wa Ulaya amesema: Kufanya biashara na Israel ni fedheha ya hali ya juu kabisa, umoja wa Ulaya hapaswi kufanya tendo hili ovu. Msiwauzie silaha Israel.