Palestine (86)
-
DuniaUchambuzi wa athari za maandamano ya kimataifa kuhusu suala la Ghaza
Hawza/ Sote tumeshuhudia mlipuko wa ghadhabu na chuki dhidi ya Israel kutokana na vita na mauaji ya kimbari yanayoendelea Ghaza, hasa katika kipindi cha miaka miwili iliyopita. Tukio hili limechochea…
-
DuniaMaandamano makubwa yafanyika mjini London kwa ajili ya kuiunga mkono Palestina
Hawza/ Zaidi ya nusu milioni ya waandamanaji waliopinga mauaji ya kimbari yanayoendelea Ghaza waliingia mitaani mjini London, wakitoa wito wa kusitishwa kabisa kwa mapigano na kuanzishwa kwa…
-
Mjumbe Mwandamizi wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaUstahimilivu na kujitolea Wapalestina kumeidhihirisha sura halisi ya Wazayuni
Hawzah/ Hujjatul-Islam Sayyid Nazir Abbas Taqavi katika hotuba yake amesema: “Muqawama wa Kiislamu, kwa kusimama kidete na kustahimili, umeishinda serikali ya Kizayuni katika nyanja za kijeshi…
-
DuniaWanafunzi wa Chuo Kikuu cha Chile katika kumbukumbu ya mwaka wa pili wa shambulio la utawala wa Kizayuni, wametwaa jengo kuu la chuo hicho kwa ajili ya kuiunga mkono Palestina.
Hawzah/ Sambamba na kumbukumbu ya mwaka wa pili tangua mashambulizi ya kijeshi ya Israel dhidi ya wananchi wa Palestina, kundi la wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Chile walitwaa jengo kuu la chuo…
-
Balozi wa Yemen Iran:
DuniaYemen Imezuia Bidhaa 560 Zinazohusiana na Kampuni za Kizayuni na Washirika Wake
Hawza/ Balozi wa Yemen Iran, akizingatia hatua za kuzuia bidhaa za Kizayuni, alisema kuwa: kama jibu kwa wito wa wananchi, serikali ya Yemen imezuia bidhaa 560 zinazohusiana na kampuni za Kizayuni…
-
DuniaTaarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje kuhusu mpango wa kusitisha mapigano huko Ghaza
Hawza/ Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi ya Iran imesisitiza kuwa daima imekuwa ikiunga mkono kila juhudi na mpango unaolenga kusitisha mauaji ya kikabila, uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya…
-
Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaUhalifu wa kikatili unaofanywa na utawala wa Kizayuni ni kofi la fedheha zaidi kwa nyuso za wale wanaodai kuheshimu Siku ya Kimataifa ya Demokrasia
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, kutokana na mnasaba wa Siku ya Kimataifa ya Demokrasia, katika ujumbe wake amesisitiza: Wakati ambapo Ghaza inateketea chini ya moto…
-
Chaneli 13 ya Israeli:
DuniaIsrael inakabiliwa na “tsunami ya kisiasa” na upweke wetu baada ya kushindwa kwa shambulizi letu dhidi ya Qatar unaongezeka
Hawza/ Chaneli 13 ya Israeli imefichua kuhusu mgogoro mkubwa wa kisiasa na kidiplomasia unaoikumba Israel baada ya kushindwa kwa shambulizi dhidi ya Qatar na kuongezeka kwa upweke wa kimataifa.
-
Imamu wa Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaWalitaka suala la Palestina lisahaulike, lakini sasa limekuwa suala la kimataifa
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanchi amesema: Shambulizi la Israeli dhidi ya Doha na mabomu yaliyorushwa Yemen yamekabiliwa na ukimya wa dunia, isipokuwa baadhi ya matamko…
-
Jumuiya ya Wanazuoni Waislamu:
DuniaShambulizi la adui huko Doha linadhoofisha mamlaka ya Qatar, na Jumuiya ya kimataifa lazima ilaani tendo hili la kigaidi
Hawza/ Jumuiya ya Wanazuoni Waislamu wa Lebanon imesema kuwa: adui Mzayuni anaendelea na uvamizi wake na umefikia hatua ya kutaka kuwaua viongozi wa Hamas waliokuwa na jukumu la kusimamia mazungumzo.
-
DuniaHarakati ya Umma yalaani kukengwa viongozi wa Hamas huko Doha
Hawza/ Harakati ya Umma nchini Lebanon imelaani vikali uvamizi wa Kizayuni dhidi ya kikao cha viongozi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu Hamas kilichofanyika mjini Doha, mji mkuu wa Qatar.
-
DuniaMashabiki wa Timu ya Italia Wapinga Wimbo wa Israel
Hawza/ Mashabiki wa timu ya mpira wa miguu ya Italia, wakati unaimbwa wimbo wa utawala wa Kizayuni, katika hatua ya ishara ya kupinga jinai za kikatili zinazofanywa na utawala huo, waliupa mgongo…
-
DuniaWizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki yailaani vikali Israel kutokana na shambulio lake dhidi ya Qatar
Hawza / Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki imetoa tamko rasmi ikilaani vikali shambulio la Israel dhidi ya ujumbe wa mazungumzo wa Hamas mjini Doha, mji mkuu wa Qatar.
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Palestina katika ufunguzi wa Mkutano wa Umoja:
DuniaIwapo Ghaza itaanguka, hakuna nchi ya Kiislamu itakayokuwa salama
Hawza/ Sheikh Hassan Muhammad Qasim akiwahutubia Waislamu alisema: Ingieni mkono Palestina, kwani iwapo Ghaza itaanguka, hakika nyinyi pia mtaanguka.
-
Barua ya Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza Tukufu ya Qum kwa Wanazuoni wa Al-Azhar:
DuniaWanazuoni wa Kiislamu wawasaidie wanyonge wa Ghaza
Hawza/ Watu wasio na hatia na wanaokabiliwa na njaa huko Ghaza wanachinjwa hadharani mbele ya macho ya dunia, hata wakiwa wamesimama kwenye foleni za chakula, ni wajibu na ni jambo zuri kwamba…
-
DuniaAyatullah Issa Q'asim: Kutengeneza uhusiano na utawala wa Kizayuni ni kujisalimisha kwenye mradi wa “Israili Kubwa”
Hawza/ Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Bahrain ameelezea kwamba kufanya uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni ni kujisalimisha kwenye mradi wa “Israili Kubwa”.
-
DuniaMkusanyiko wa kikundi cha waendesha pikipiki wanaoiunga mkono Palestina mbele ya Mahakama ya The Hague
Hawza/ Mamia ya waendesha pikipiki waliandamana mbele ya Mahakama ya The Hague kwa ajili ya kuwaunga mkono watu wa Palestina
-
DuniaChama cha Ustawi wa Kitaifa cha Afghanistan: Kunyamaza dhidi ya ugaidi waliofanyiwa viongozi wa Yemen, kunachochea uvamizi unaoendelezwa na Israeli
Hawza/ Katibu Mkuu wa Chama cha Ustawi wa Kitaifa cha Afghanistan amelaani mauaji ya kigaidi dhidi ya Waziri Mkuu na mawaziri wa Yemen, na akaonya kwamba endapo ulimwengu wa Kiislamu hautachukua…
-
DuniaKuitambua Rasmi Palestina; Udanganyifu Mpya wa Magharibi na Wazayuni
Hawza/ Kuitambua dola ya Palestina na baadhi ya nchi za Magharibi na Kiarabu, si zaidi ya msaada wa kweli, bali ni maonesho ya kisiasa kwa ajili ya kupunguza shinikizo la mitazamo ya umma na…
-
DuniaUstadh Rashad: Pendekezo la Uhuru wa Palestina kutoka kwa Mbweha Mzee na Ufaransa ni “Mchezo wa Kejeli na wa Kichekesho”
Hawza/ Ustadh Rashad amesisitiza kuwa: kutoa pendekezo la uhuru wa Palestina kutoka kwenye serikali kama ya Ufaransa ni “kejeli ya kuchekesha”! Ni jambo la kuchekesha mno kwamba serikali hii…
-
DuniaHali Mbaya Sana ya Ghaza Yamshtua Papa
Hawza/ Papa, katika hotuba yake, alieleza wasiwasi wake mkubwa kuhusu hali ya Ghaza na kusema kuwa; daima anaomba hili suala la Ghaza liishe kwa heri
-
DuniaMakamu wa Rais wa Bunge la Umoja wa Waislamu wa Pakistan: Janga la Kibinadamu Ghaza, ni mtihani wa aibu kwa uwepo wa Dunia
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Ahmad Iqbal Ridhwi, katika tamko lake akirejelea vifo vya makumi ya watoto wasio na hatia kwa sababu ya njaa huko Ghaza, amesisitiza kuwa: Janga hili siyo tu mzozo…
-
DuniaRais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan: Ubinadamu Unakata Roho Ghaza na Dunia Inatazama
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika tamko lake huku akionyesha wasiwasi mkubwa kuhusiana na janga la kibinadamu huko Ghaza, amelaani vikali ukimya mzito wa jumuiya…
-
HawzaMwanachama wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom: Ukimya unaofanywa na nchi za kiislamu mbele ya mauaji ya kimbari ya watu wa Ghaza ni aibu
Hawza/ Ayatullah Tabasi amesema: Hii leo ukimya mbele ya jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni muuaji wa watoto ni usaliti, ukimya unaofanywa na baadhi ya nchi za Kiislamu mbele ya mauaji…
-
DuniaOfisi ya Ayatollah al-Udhma Najafi imewaomba wapenda haki ulimwenguni kuchukua hatua za haraka kuiokoa Ghaza kutoka katika mauti
Hawza/ Ofisi ya Hadhrat Ayatollah Sheikh Bashir Hussein Najafi, imelaani jinai zinazoendelezwa na Wazayuni dhidi ya watu wa Ghaza.
-
Jumuiya ya Wawakilishi wa Wanafunzi na Wanazuoni wa Hawza ya Qom:
DuniaEnyi watawala dhaifu na walioshikwa na tamaa ya madaraka, hamuoni njaa zinazo wakabili watoto wa Ghaza?
Hawza/ Enyi watawala dhaifu na walioshikwa na tamaa ya madaraka! Msiziingize nafsi zenu kuwa vinyago vya Mayahudi wa Kizayuni, na jueni kwamba uzembe huu umeifanya ardhi ya Ghaza kuwa mahali…
-
DuniaAyatollah Al-Udhma Sistani azitaka Nchi za Kiarabu na Kiislamu Kukomesha Janga la Ghaza
Hawza/ Katika kilele cha janga la kibinadamu linalozidi kuenea huko Ghaza, ambapo watoto na raia wasio na hatia wanahiliki kutokana na janga la njaa, Ofisi ya Ayatollah Al-Udhma Sayyid Ali Sistani…
-
Barua ya wazi ya Jumuiya ya Walimu wa Hawza (J'amiatul-Mudrrisin) kwa Maulamaa wa Ulimwengu wa Kiislamu:
HawzaLeo ni wajibu kwa maulamaa wa umma kupaza sauti kwa ajili ya kuwaokoa watu wa Palestina
Hawza/ Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom: Leo ni wajibu na jukumu juu ya maulamaa wa umma kuvunja ukimya dhidi ya jinai hii ya wazi na ukimya wa madola ya kisiasa ya nchi za Kiislamu, pamoja…
-
Ayatollah al-Udhma Nouri Hamedani:
HawzaMheshimiwa Papa; Je, ikiwa Nabii Isa (as) angelikuwepo, angeweza kustahimili hali ya kutisha ya Ghaza na jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni?
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Nouri Hamedani katika barua yake kwa Papa amesema: Katika hali hii ya kutisha ya Ghaza, je, ikiwa Manabii wa Mwenyezi Mungu kama Nabii Isa (as) na Nabii Muhammad (saw)…
-
Ayatollah al-Udhma Nouri Hamedani katika tamko lake rasmi amebainisha kuwa:
HawzaWatu wote waaminifu katika Ulimwengu wa Kiislamu watimize wajibu wao wa Kiislamu na kibinadamu kwa ajili ya watu wa Ghaza / Mwamko wa Umma wa Kiislamu unahitaji kilio cha kudai haki na hatua ya pamoja
Hawza/ Ayatollah Nouri Hamedani amesisitiza kuwa: Sasa ni wakati ambapo watu wote waaminifu wa ulimwengu wa Kiislamu—wakiwemo wanazuoni, wasomi na viongozi wa serikali—waweke kando tofauti za…