Palestine (22)
-
Osama Hamdan:
DuniaKuchaguliwa kwa Khalil al-Hayya ni Ujumbe wa Kuendeleza Njia ya Muqawama
Hawza/ Osama Hamdan, mmoja wa viongozi wa Harakati ya Hamas, amesisitiza kuwa; kuchaguliwa Khalil al-Hayya kuwa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya harakati hiyo ni ishara ya uhai na uimara wa Hamas,…
-
DuniaDunia yapaza sauti moja ikitaka kuachiliwa huru wafungwa wa Kipalestina
Hawza/ Maandamano makubwa yalifanyika katika maeneo mbalimbali duniani kote kwa mnasaba wa Siku ya Wafungwa wa Kipalestina. Maandamano haya yanafanyika katika hali ambayo hasira ya umma imeongezeka…
-
DuniaUchambuzi wa athari za maandamano ya kimataifa kuhusu suala la Ghaza
Hawza/ Sote tumeshuhudia mlipuko wa ghadhabu na chuki dhidi ya Israel kutokana na vita na mauaji ya kimbari yanayoendelea Ghaza, hasa katika kipindi cha miaka miwili iliyopita. Tukio hili limechochea…
-
DuniaMaandamano makubwa yafanyika mjini London kwa ajili ya kuiunga mkono Palestina
Hawza/ Zaidi ya nusu milioni ya waandamanaji waliopinga mauaji ya kimbari yanayoendelea Ghaza waliingia mitaani mjini London, wakitoa wito wa kusitishwa kabisa kwa mapigano na kuanzishwa kwa…
-
Mjumbe Mwandamizi wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaUstahimilivu na kujitolea Wapalestina kumeidhihirisha sura halisi ya Wazayuni
Hawzah/ Hujjatul-Islam Sayyid Nazir Abbas Taqavi katika hotuba yake amesema: “Muqawama wa Kiislamu, kwa kusimama kidete na kustahimili, umeishinda serikali ya Kizayuni katika nyanja za kijeshi…
-
DuniaWanafunzi wa Chuo Kikuu cha Chile katika kumbukumbu ya mwaka wa pili wa shambulio la utawala wa Kizayuni, wametwaa jengo kuu la chuo hicho kwa ajili ya kuiunga mkono Palestina.
Hawzah/ Sambamba na kumbukumbu ya mwaka wa pili tangua mashambulizi ya kijeshi ya Israel dhidi ya wananchi wa Palestina, kundi la wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Chile walitwaa jengo kuu la chuo…
-
Balozi wa Yemen Iran:
DuniaYemen Imezuia Bidhaa 560 Zinazohusiana na Kampuni za Kizayuni na Washirika Wake
Hawza/ Balozi wa Yemen Iran, akizingatia hatua za kuzuia bidhaa za Kizayuni, alisema kuwa: kama jibu kwa wito wa wananchi, serikali ya Yemen imezuia bidhaa 560 zinazohusiana na kampuni za Kizayuni…
-
DuniaTaarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje kuhusu mpango wa kusitisha mapigano huko Ghaza
Hawza/ Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi ya Iran imesisitiza kuwa daima imekuwa ikiunga mkono kila juhudi na mpango unaolenga kusitisha mauaji ya kikabila, uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya…
-
Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaUhalifu wa kikatili unaofanywa na utawala wa Kizayuni ni kofi la fedheha zaidi kwa nyuso za wale wanaodai kuheshimu Siku ya Kimataifa ya Demokrasia
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, kutokana na mnasaba wa Siku ya Kimataifa ya Demokrasia, katika ujumbe wake amesisitiza: Wakati ambapo Ghaza inateketea chini ya moto…
-
Chaneli 13 ya Israeli:
DuniaIsrael inakabiliwa na “tsunami ya kisiasa” na upweke wetu baada ya kushindwa kwa shambulizi letu dhidi ya Qatar unaongezeka
Hawza/ Chaneli 13 ya Israeli imefichua kuhusu mgogoro mkubwa wa kisiasa na kidiplomasia unaoikumba Israel baada ya kushindwa kwa shambulizi dhidi ya Qatar na kuongezeka kwa upweke wa kimataifa.
-
Imamu wa Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaWalitaka suala la Palestina lisahaulike, lakini sasa limekuwa suala la kimataifa
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanchi amesema: Shambulizi la Israeli dhidi ya Doha na mabomu yaliyorushwa Yemen yamekabiliwa na ukimya wa dunia, isipokuwa baadhi ya matamko…
-
Jumuiya ya Wanazuoni Waislamu:
DuniaShambulizi la adui huko Doha linadhoofisha mamlaka ya Qatar, na Jumuiya ya kimataifa lazima ilaani tendo hili la kigaidi
Hawza/ Jumuiya ya Wanazuoni Waislamu wa Lebanon imesema kuwa: adui Mzayuni anaendelea na uvamizi wake na umefikia hatua ya kutaka kuwaua viongozi wa Hamas waliokuwa na jukumu la kusimamia mazungumzo.
-
DuniaHarakati ya Umma yalaani kukengwa viongozi wa Hamas huko Doha
Hawza/ Harakati ya Umma nchini Lebanon imelaani vikali uvamizi wa Kizayuni dhidi ya kikao cha viongozi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu Hamas kilichofanyika mjini Doha, mji mkuu wa Qatar.
-
DuniaMashabiki wa Timu ya Italia Wapinga Wimbo wa Israel
Hawza/ Mashabiki wa timu ya mpira wa miguu ya Italia, wakati unaimbwa wimbo wa utawala wa Kizayuni, katika hatua ya ishara ya kupinga jinai za kikatili zinazofanywa na utawala huo, waliupa mgongo…
-
DuniaWizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki yailaani vikali Israel kutokana na shambulio lake dhidi ya Qatar
Hawza / Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki imetoa tamko rasmi ikilaani vikali shambulio la Israel dhidi ya ujumbe wa mazungumzo wa Hamas mjini Doha, mji mkuu wa Qatar.
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Palestina katika ufunguzi wa Mkutano wa Umoja:
DuniaIwapo Ghaza itaanguka, hakuna nchi ya Kiislamu itakayokuwa salama
Hawza/ Sheikh Hassan Muhammad Qasim akiwahutubia Waislamu alisema: Ingieni mkono Palestina, kwani iwapo Ghaza itaanguka, hakika nyinyi pia mtaanguka.
-
Barua ya Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza Tukufu ya Qum kwa Wanazuoni wa Al-Azhar:
DuniaWanazuoni wa Kiislamu wawasaidie wanyonge wa Ghaza
Hawza/ Watu wasio na hatia na wanaokabiliwa na njaa huko Ghaza wanachinjwa hadharani mbele ya macho ya dunia, hata wakiwa wamesimama kwenye foleni za chakula, ni wajibu na ni jambo zuri kwamba…
-
DuniaAyatullah Issa Q'asim: Kutengeneza uhusiano na utawala wa Kizayuni ni kujisalimisha kwenye mradi wa “Israili Kubwa”
Hawza/ Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Bahrain ameelezea kwamba kufanya uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni ni kujisalimisha kwenye mradi wa “Israili Kubwa”.
-
DuniaMkusanyiko wa kikundi cha waendesha pikipiki wanaoiunga mkono Palestina mbele ya Mahakama ya The Hague
Hawza/ Mamia ya waendesha pikipiki waliandamana mbele ya Mahakama ya The Hague kwa ajili ya kuwaunga mkono watu wa Palestina
-
DuniaChama cha Ustawi wa Kitaifa cha Afghanistan: Kunyamaza dhidi ya ugaidi waliofanyiwa viongozi wa Yemen, kunachochea uvamizi unaoendelezwa na Israeli
Hawza/ Katibu Mkuu wa Chama cha Ustawi wa Kitaifa cha Afghanistan amelaani mauaji ya kigaidi dhidi ya Waziri Mkuu na mawaziri wa Yemen, na akaonya kwamba endapo ulimwengu wa Kiislamu hautachukua…
-
DuniaKuitambua Rasmi Palestina; Udanganyifu Mpya wa Magharibi na Wazayuni
Hawza/ Kuitambua dola ya Palestina na baadhi ya nchi za Magharibi na Kiarabu, si zaidi ya msaada wa kweli, bali ni maonesho ya kisiasa kwa ajili ya kupunguza shinikizo la mitazamo ya umma na…
-
DuniaUstadh Rashad: Pendekezo la Uhuru wa Palestina kutoka kwa Mbweha Mzee na Ufaransa ni “Mchezo wa Kejeli na wa Kichekesho”
Hawza/ Ustadh Rashad amesisitiza kuwa: kutoa pendekezo la uhuru wa Palestina kutoka kwenye serikali kama ya Ufaransa ni “kejeli ya kuchekesha”! Ni jambo la kuchekesha mno kwamba serikali hii…