Palestine (31)
-
DuniaZakariya al-Sinwar, ndugu wa Shahidi Yahya al-Sinwar, auwawa kishahidi katika kambi ya al-Nusairat.
Hawza/ Zakariya al-Sinwar, ndugu yake Yahya al-Sinwar, ameuawa kishahidi pamoja na wanawe watatu katika shambulio lililo fanywa na utawala wa Kizayuni kwenye kambi ya al-Nusairat katikati mwa…
-
DuniaRais wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan: Ukombozi wa Quds ni ahadi ya Mwenyezi Mungu
Hawza/ Katika kumbukumbu ya siku ya kukaliwa kimabavu kwa mji mtakatifu wa Quds, Seneta Raja Nasir Abbas Jafari, katika tamko alilolitoa, amelaani jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni na…
-
DuniaNjaa na ukame huko Ghaza ni ishara ya ukosefu wa maadili ya kibinadamu duniani
Hawza/ Mgogoro wa Ghaza ni janga la kibinadamu ambalo athari zake mbaya zinawakumba watu wa tabaka lote, lakini mzigo mkubwa zaidi unabebwa na watoto. Mzigo huu unavunja mifupa yao, kwa hakika,…
-
DuniaWasanii Mashuhuri Duniani watia saini kwenye Waraka mmoja
Hawza/ Zaidi ya watu mashuhuri 350 katika ulimwengu wa sinema na nyota wa Cannes na Hollywood, wakiwemo mastaa kama Richard Gere na Susan Sarandon, wamelaani “mauaji ya halaiki” yanayoendelea…
-
DuniaUvamizi wa Kikatili kwa Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Columbia uliofanywa na Polisi wa Marekani
Polisi wa New York, baada ya kuwashambulia wanafunzi waliokuwa wakiandamana kupinga vitendo vya kinyama vinavyo fanywa na utawala wa Kizayuni huko Gaza, waliwakamata wengi wao.
-
Katika mkutano na maelfu ya wafanyakazi kutoka maeneo mbalimbali ya nchi imesemwa hivi:
DuniaMsaada kamili wa Kiongozi wa Mapinduzi kwa wafanyakazi / Kadhia ya Palestina haipaswi kusahaulika; Marekani na Uingereza ni waungaji mkono jinai zinazofanywa na Wazayuni
Maelfu ya wafanyakazi kutoka maeneo mbalimbali ya nchi ya Irani walikutana asubuhi ya leo Jumamosi na Ayatullah Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
DuniaPingamizi kutoka kwenye Familia za Mateka wa Kizayuni dhidi ya Netanyahu: Malizeni Vita
Familia za mateka wa utawala batili wa Kizayuni kupitia maandamano, walidai kuachiliwa kwa mateka hao na kusema: "Hatuafikiani na kauli za Netanyahu zinazopendelea kuendelezwa kwa vita badala…
-
DuniaKamata kamata ya kimabavu kati ya Polisi wa Uholanzi dhidi ya waandamanaji wanaopinga Vita dhidi ya Ghaza
Waandamanaji waliokuwa wakionesha upinzani wao dhidi ya vitendo vya utawala wa Kizayuni wa Israel na waliokuwa wakitaka serikali ya Uholanzi isifungamane na utawala huo dhalimu, walikamatwa katika…
-
DuniaTunaihesabu Uingereza kama mshirika mkuu wa Israel/ Simamisheni uuzaji wa silaha kwa Israel!
Israel tangia tarehe 2 Machi imefunga njia zote za kuingilia Ukanda wa Ghaza, na licha ya ripoti nyingi kuhusiana na njaa kali inayosababishwa na kivuli cha vita, Israel bado imezuia kuingia…
-
Video:
VideoMwanamke mwenye Miaka 70 Nchini Ujerumani akamatwa kwa kosa la kuwaunga mkono wapalestina
Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 70 alikamatwa kwa nguvu na polisi wakati wa maandamano ya kuwaunga mkono wapalestina huko Berlin, tukio hilo lilitokea baada ya kunyanyua juu ya kichwa chake…
-
DuniaIsrael yaishambulia kwa mabomu meli iliyokuwa imebeba misaada ya kibinadamu kwa ajili ya watu wa Ghaza
Wanaharakati wa Kiswidi wa haki za binadamu wamethibitisha kuwa meli hiyo imeshambuliwa kwa mabomu na ndege za kivita za Israel, na kwamba akiba yote ya chakula Ghaza imekwisha kabisa, hali ya…
-
DuniaMadaktari wanaoiunga mkono Palestina: Mkate si Bomu! Waacheni watoto wale chakula!
Hawza/ Muungano wa “Madaktari uliopo dhidi ya mauaji ya Kimbari” siku ya Jumatano walitoa kauli ya kuunga mkono watu wanyonge wa Ghaza na wakatoa wito wa kuondolewa haraka kabisa vizuizi huko…
-
DuniaWanafunzi wa Texas wafungua mashtaka dhidi ya ukandamizaji unao fanywa kwa waandamanaji wanao watetea wapalestina
Wanafunzi kutoka vyuo vikuu vinne vya jimbo la Texas, kwa msaada wa muungano unaopinga ubaguzi nchini Marekani, wamewasilisha mashtaka dhidi ya ukandamizaji unaowalenga wale wanaounga mkono watu…
-
Raisi wa Baraza la Maulamaa wa kishia Pakistan:
DuniaNafasi ya vyombo vya habari katika kuonesha uhalifu unao fanywa na Israel ni ya kupongezwa
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, Raisi wa Baraza la Maulamaa wa kishia nchini Pakistan, katika ujumbe wake ulioandikwa kwa ajili ya kuadhimisha siku ya mnasaba wa Kimataifa…
-
DuniaIkiwa leo hatutaupazia sauti Umoja wa Ulaya, basi tutakuwa tumekubali kushirikiana na Israel
Mmoja wa maafisa wa ngazi za juu katika Umoja wa Ulaya amesema: Kufanya biashara na Israel ni fedheha ya hali ya juu kabisa, umoja wa Ulaya hapaswi kufanya tendo hili ovu. Msiwauzie silaha Israel.
-
DuniaWafanyakazi wa Google wameandamana kupinga ushirikiano wa Kampuni hiyo na Israel
Wafanyakazi wa kitengo cha Akili mnemba cha Google, nchini Uingereza wamefanya maandamano kupinga ushirikiano wa kampuni hiyo na utawala wa Kizayuni.
-
DuniaMaandamano Makubwa yafanyika katika Miji ya Marekani yakilenga Kusitishwa Mara Moja vita vinavyo endelea huko Ghaza
Maandamano makubwa yamefanyika siku ya Ijumaa katika miji kadhaa nchini Marekani huku yakihudhuriwa na watu wengi, watu hao walidai kusitishwa mara moja kwa vita huko Ghaza na kusema kuwa njia…
-
DuniaWanafunzi wa Kifaransa wadai kuekewa vikwazo vya kiuchumi Israel, kwa ajili ya kuwakingia kifua watu wa Ghaza
Wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya Ufaransa siku ya Ijumaa huko Paris waliandamana kwa ajili ya kuwaunga mkono watu wa Ghaza.
-
DuniaWananchi wa Korea Kusini wakusanyika kulaani uwepo ubalozi wa Israel
Wafuasi wa Palestina na wanaharakati wa haki za binadamu nchini Korea Kusini walikusanyika mbele ya mgahawa mmoja jijini Seoul, mahali ambapo balozi wa Israel alikuwa amefika kwa ajili ya chakula…
-
DuniaMwanafunzi wa Kipalestina aendelea kuzuiliwa Vermont huku kikao cha kusikiliza kesi yake kikitarajiwa wiki ijayo
Umati mkubwa wa wafuasi na watetezi wa haki walikusanyika nje ya mahakama moja katika jimbo la Vermont siku ya Jumatano kumuunga mkono kijana wa Kipalestina aliyekuwa akiongoza maandamano dhidi…
-
DuniaMaandamano Makubwa yafanyika Katika Jiji la Rotterdam, Uholanzi, kwa Ajili ya Kuiunga Mkono Ghaza
Maelfu ya watu katika jiji la Rotterdam, Uholanzi, wameandamana kwa ajili ya kupinga mashambulizi ya mara kwa mara yanayofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Ghaza. Maandamano haya…
-
DuniaBaadhi ya viongozi wa nchi za Kiislamu hawana ujasiri hata wa mtoto mdogo wa Ghaza
Baadhi ya viongozi wa nchi za Kiislamu, siku moja watalazimika kutoa majibu. Naam, sisi tunawauliza watu wenye nidhamu za woga: Je, hamna hata ujasiri wa kiwango cha mtoto aliyesimama mbele ya…
-
DuniaBalozi wa Marekani Jakarta, ashuhudia maandamano ya Wananchi wa Indonesia
Jakarta, mji mkuu wa Indonesia, ulishuhudia maandamano ya wananchi yaliyolenga kuunga mkono watu wa Palestina wanaoteseka. Waandamanaji walikusanyika mbele ya ubalozi wa Marekani huku wakiimba,…
-
DuniaKuuawa kishahidi mpiga picha Mpalestina mwenye umri wa miaka 25 saa chache baada ya kupokelewa katika tamasha
Fatma Hassouneh, mpiga picha wa Kipalestina, aliuawa kishahidi pamoja na watu wengine 10 wa familia yake katika mashambulizi yaliyo fanywa na utawala haram wa Kizayuni, tukio hilo limetokea saa…
-
DuniaHii ndio picha bora zaidi iliyo chaguliwa Mwaka 2025
Hawzah; Picha hii, ambayo ilipigwa na mpiga picha wa Kipalestina anayeishi Qatar aitwaye Samar Abu Al-Wafa kwa ajili ya shirika la New York Times, picha hii inaonyesha mtoto wa kiume aitwaye…
-
DuniaBendera ya Palestina yainuliwa kwenye mahafali iliyo fanyika chuo kikuu cha Harvard
Bendera za Palestina zimeinuliwa kwenye sherehe ya mahafali ya wanafunzi wa chuo kikuu cha Harvard.
-
Rais wa Shura ya Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaUtata katika mwenendo wa Marekani ndio chanzo cha vita sehemu mbali mbali
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika taarifa kuhusu mazungumzo yake kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Marekani, amesisitiza kuwa: Mazungumzo haya yanaweza tu kuzaa…
-
DuniaKongamano la kuwaunga mkono Palestina lafanyika Karachi, Pakistan
Kutokana na uvamizi unaofanywa mara kwa mara na Marekani wakishirikiana na utawala wa Kizayuni dhidi ya taifa la Palestina, {kongamano la kuwaunga mkono Palestina} limefanyika katika jiji la…
-
DuniaWanazuoni wa Kiislamu Watoa Fatwa ya Jihad Dhidi ya Israel
Kamati ya Ijtihad na Fatwa ya taasisi moja ya kimataifa ya wanazuoni Kiislamu imesisitiza kuwa kuanzisha Jihad dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Isarel unaoendeleza mauaji ya kimbari dhidi ya watu…
-
Katuni:
DuniaMvua ya makombora kutoka katika utawala wa kizayuni inawanyeshea wakimbizi wa Ghaza
Makombora ya utawala wa kizayuni yanaendelea kuwamiminikia wakimbizi wa Palestina walio na njaa katika ukanda wa Ghaza.