Mashia Bahrain (25)
-
DuniaMtawala wa Bahrain Amechukua Msimamo Mkali dhidi ya Maombolezo ya Muharram ya Mashia
Hawza/ Waziri wa Mambo ya Ndani wa Bahrain, kama ilivyo desturi yake ya kila mwaka, kabla ya kuanza kwa mwezi wa Muharram al-Haram, aliwaita viongozi wa takiya, huseinia na waandaaji wa majlisi…
-
Kupitia makala:
DuniaMtazamo kuhusu ukandamizaji wa Mashia wa Lebanon na Bahrain baada ya Vita vya Ramadhani
Hawza/ Ali al-Husseini: Mashia wana mizizi ya kina katika eneo hili, popote walipo ndani ya Asia Magharibi, watakuwa kundi lenye idadi kubwa na wengi zaidi, popote waendapo na popote watokapo,…
-
DuniaMalengo ya siri ya watawala wa Bahrain yaliyo sababisha kupiga marufuku maombolezo ya Muharram nchini humo
Hawza/ Latifa al-Husseini, mwandishi wa habari kutoka Lebanon, amesema: Serikali ya Bahrain katika miezi ya hivi karibuni haijaacha kuwafuatilia na kuwakamata raia wa Kishia kwa visingizio vya…
-
DuniaBahrain yaongeza hatua zake kali dhidi ya Mashia
Hawza/ Nchini Bahrain, wimbi la hivi karibuni la kukamatwa, kuvuliwa uraia na kufuatiliwa kwa misingi ya kisiasa na kidini limezua mijadala mikubwa kuhusu hali ambayo nchi hiyo inaipitia.
-
DuniaManyanyaso na ukandamizaji dhidi ya Mashia wa Bahrain zaongezeka
Hawza/ Maafisa wa Bahrain wameendelea na uhalifu wao na kutekeleza mfululizo wa ukamataji dhidi ya idadi ya raia.
-
DuniaJumuiya ya “Al-Wefaq” ya Bahrain Yatoa Onyo Kuhusu Kuingiliwa kwa Mambo ya Kidini ya Mashia
Hawza/ Jumuiya ya “Al-Wefaq Al-Watani Al-Islami” nchini Bahrain imesisitiza kwamba; utawala umechukua hatua ambayo imeielezea kuwa ni “hatari na ya kulazimisha,” kwa kuivunja taasisi ya “Waqfu…
-
DuniaSerikali ya Bahrain imeingia katika vita vya wazi dhidi ya Mashia
Hawza/ Kuharibiwa kwa utambulisho halisi wa Kishia nchini Bahrain si tuhuma inayotolewa dhidi ya mfumo tawala, bali ni mradi hatari ambao unaendelea kutekelezwa bila kuchelewa.
-
Ayatullah Qassim:
DuniaKuhamisha wakfu kutoka mikononi mwa mwaminifu kwenda mikononi mwa msaliti ni kinyume na mwenendo wa Uislamu
Hawza/ Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Bahrain amelaani udhibiti wa mfumo tawala juu ya mali za wakfu wa Kiislamu, hususan mali na ardhi za wakfu zinazomilikiwa na taasisi za Mashia nchini…
-
DuniaWananchi wa Bahrain walilaani uporaji wa mali za wakfu wa Mashia unaofanywa na watawala wa nchi hiyo
Hawza/ Vikosi vya mamluki na wanamgambo wa kiraia wanaohusishwa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Bahrain viliweka mzingiro mkali wa kiusalama katika mji wa Al-Diraz.
-
DuniaWanazuoni wa Bahrain wazindua kaulimbiu ya Muharram ya mwaka huu
Hawza/ Wanazuoni wa Bahrain wamezindua kaulimbiu ya mwezi wa Muharram na siku za maombolezo ya Imam Abu Abdillah Al-Hussein (as) kwa mwaka 1448 Hijria Qamaria.
-
DuniaNaibu Waziri Mkuu wa Imarati aunga mkono mashambulizi dhidi ya Mashia nchini Bahrain
Hawza/ “Fahd Al-Amiri”, balozi wa Imarati nchini Bahrain, aliwasilisha barua iliyoandikwa kutoka kwa “Saif bin Zayed Al Nahyan”, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Ndani wa Imarati, kwa…
-
DuniaHukumu nzito ya mahakama ya Bahrain dhidi ya raia wa Kishia
Hawza/ Mahakama Kuu ya Jinai nchini Bahrain imetoa hukumu nzito ya pamoja dhidi ya makumi ya raia wa Kishia, akiwemo mwanazuoni mmoja wa dini na wanawake wawili katika kesi tofauti.
-
DuniaLengo la Serikali ya Bahrain ni Kuondoa Madhehebu ya Shia Nchini Bahrain
Hawza/ Jumuiya ya Kiislamu ya Al-Wefaq ya Taifa la Bahrain imesisitiza kwamba; juhudi za utawala wa Bahrain za kuonyesha ibada na nembo za dini kuwa ni vitendo vya uhalifu, pamoja na kuhusisha…
-
DuniaUkandamizaji wa Mfululizo Dhidi ya Mashia wa Bahrain; Maombolezo katika Kisiwa Hiki Kidogo Yamepigwa Marufuku
Hawza/ Ukandamizaji huu mkali umeelekezwa dhidi ya shakhsia mashuhuri na wafuasi wa jamii ya kidini ya Mashia katika kisiwa hiki kidogo cha Ghuba ya Uajemi.
-
DuniaUtekelezaji wa Aina Mpya ya ubaguzi nchini Bahrain; Kufungwa Jela kwa Sababu ya Madhehebu
Hawza/ Latifa Al-Husseini, mwandishi na mwanahabari wa Lebanon, aliandika: Nchini Bahrain, ili kugusa maumivu na mapigo ya mioyo ya watu si lazima mtu awe na uraia wa nchi hiyo au awe raia wa…
-
DuniaMuungano wa Mapinduzi ya Februari 14 wa Bahrain: Vita vya usafishaji Bahrain ni mwendelezo wa mauaji ya kimbari yanayofanyika Ghaza na Lebanon
Hawza/ Baraza la Kisiasa la Muungano wa Vijana wa Mapinduzi ya Februari 14 wa Bahrain limesisitiza kwamba; kile kinachoendelea kwa sasa nchini Bahrain ni vita vya usafishaji wa kikabila na kimadhehebu…
-
DuniaMakundi ya waombolezaji wa Bahrain yapinga vitisho na vitendo vya kutishia vya viongozi wa Kidini wa Bahrain
Hawza/ Kwa mara nyingine, wananchi wa Bahrain wamethibitisha kuwa ni watu wa wilaya na msimamo thabiti kwa kuandaa misafara na makundi ya maombolezo, hawakujali vitisho na maonyo yaliyotolewa…
-
DuniaKundi la wanazuoni wa Bahrain wakutana na Ayatullah al-Udhma Shubayri Zanjani
Hawza/ Vita vya Ramadhani viliupiga pigo kubwa uso na hadhi ya utawala wa Aal Khalifa, hivyo baada ya kumalizika kwa vita hivyo, ulianza kuwabana Mashia kwa lengo la kulipiza kisasi dhidi ya…
-
Mwakilishi wa Hizbullah ya Lebanon mjini Qum Iran:
DuniaKuitegemea Marekani haijawahi kuwa njia ya wokovu wala haitakuwa hivyo kamwe
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Muin Daqiq, katika mkusanyiko mkubwa wa wanazuoni wa Hawza na Umma wa Hizbullah, huku akisisitiza kuwa; ushindi wa kambi ya haki ni jambo la uhakika,…
-
Ayatullah Araki katika mkusanyiko wa wanazuoni wa Hawza na wananchi:
DuniaWatawala vibaraka wa eneo hili wachukue funzo kutokana na hatima ya Saddam/ Subira ya Iran inakaribia kuisha
Hawza/ Mjumbe wa kamati ya uongozi ya Baraza la Wataalamu wa Uongozi aliwaonya watawala vibaraka wa eneo hili kwa kusema: Sisi tutawapa tena fursa ndogo, ihesabuni kuwa ni neema, siku ipo karibu…
-
Katika mazungumzo na rais wa Jumuiya ya Haki za Binadamu ya Bahrain ilijadiliwa:
DuniaKwa nini ukoo wa Aal Khalifa unachukua hatua ya ukandamizaji mkubwa dhidi ya wanazuoni na maulamaa wa Kishia? / Nafasi ya Emirates katika mauaji ya kimbari dhidi ya Mashia wa Bahrain
Hawza/ Rais wa Jumuiya ya Haki za Binadamu ya Bahrain alisema: Maafisa wa usalama wa Bahrain, kwa kuchochewa na Umoja wa Falme za Kiarabu, wako katika juhudi za kuiangamiza jamii ya Mashia; miongoni…
-
DuniaJumuiya ya Al-Amal Al-Islami ya Bahrain yatoa wito wa kuonesha hasira za amani
Hawza/ Jumuiya ya Al-Amal Al-Islami imewataka wananchi wote watukufu wa Bahrain kuonesha hasira za wazi za kitaifa katika maeneo yote ya Bahrain, na imesisitiza kuongezwa kwa harakati za kitaifa…
-
DuniaMkurugenzi wa Hawza ya Wabahrain nchini Iran alaani kukamatwa kiholela wanazuoni wa dini nchini Bahrain
Hawza/ Hujjatul Islam wal-Muslimin Sheikh Abdullah al-Daqqaq, mkurugenzi wa Hawza ya Wabahrain nchini Iran, amelaani vikali kukamatwa kiholela kwa wanazuoni wa dini nchini Bahrain na ametaka…
-
DuniaUtawala wa Aal Khalifa nchini Bahrain, washambulia nyumba za wanazuoni wa Kishia na kuwakamata
Hawza/ Tovuti ya “Muungano wa Vijana wa Mapinduzi ya Februari 14” nchini Bahrain imeripoti kuwa; vikosi vya utawala wa Aal Khalifa alfajiri ya tareh 9 May 2026, vimefanya operesheni kubwa ya…
-
DuniaVikwazo vya kisiasa dhidi ya Mashia vyashika kasi nchini Bahrain
Hawza/ Dkt. Rashid Al-Rashid, mwanachama wa Baraza Kuu la Chama cha Amal ya Kiislamu cha Bahrain, aliandika katika mitandao ya kijamii: Kunyang’anywa uraia kwa raia 69 kwa mkupuo mmoja kunatuma…