Mashia Bahrain (50)
-
Sheikh Adel Al-Shaala:
DuniaKuweka sharti la kupata kibali cha serikali ya Bahrain ili kuwazuru Maimamu (as) ni miongoni mwa makatazo makubwa kabisa
Hawza/ Sheikh Adel Al-Shaala, mwanazuoni wa Kishia wa Bahrain, amesisitiza kwamba; ibada ya kuwazuru Maimamu Maasumina (as) si kama hukumu nyingine za kisheria, bali ni miongoni mwa alama na…
-
Chama cha Haki za Binadamu cha Bahrain:
DuniaViongozi wa Bahrain hawazingatii sheria zozote za kimataifa
Hawza/ Chama cha Haki za Binadamu cha Bahrain kimesisitiza kuendelea kwa kile kilichokitaja kuwa ni sera ya makusudi ya mamlaka ya nchi hiyo ya kuwavunjia heshima maulamaa wa Kishia waliokamatwa,…
-
DuniaHatua mpya za vyombo vya usalama vya Bahrain dhidi ya Maulamaa wa Kishia zafichuliwa
Hawza/ Shirika la Salam la Demokrasia na Haki za Binadamu nchini Bahrain limesikitishwa na kulaani ukiukaji wa haki za binadamu pamoja na vitendo visivyofaa vilivyofanywa dhidi ya idadi ya maulamaa…
-
Muungano wa Vijana wa Mapinduzi wa Bahrain:
DuniaWananchi wa Bahrain wabebe jukumu la kumsimamisha mtawala wa Bahrain!
Hawza/ Muungano wa Vijana wa Mapinduzi ya Februari 14 nchini Bahrain umeionya tena serikali ya Aal Khalifa kwamba; kuendelea kutegemea nguvu za uvamizi na uharibifu zinazoongozwa na watu wanaowataja…
-
DuniaVyama vya Mapinduzi vya Bahrain yvatoa wito wa mshikamano na Maulamaa waliofungwa magerezani
Hawza/ Wawakilishi wa vyama vya mapinduzi vya Bahrain wamesisitiza yaliyopo katika taarifa ya Ayatullah Sheikh Issa Qassim, ambayo imeelezea hali ya Bahrain kuwa ni "tishio la uwepo" dhidi ya…
-
Kauli ya Mtawala wa Bahrain Kulielekea Kundi la Kigaidi la al-Jolani:
DuniaWashambulieni Mashia wa Bahrain na mtapewa uraia!
Hawza/ Rashid Abdullah Al Khalifa, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Bahrain, katika ziara rasmi nchini Syria, alikutana na Abu Mohammad al-Jolani, kiongozi wa Jabhat al-Nusra, ambao wametajwa katika…
-
DuniaMfalme wa Bahrain Aanzisha Operesheni ya Kuwafuta Mashia
Hawza/ Kitendo cha Ayatullah Sheikh Isa Qassim kuvunja ukimya wake na kutangaza kuwa hatima ya madhehebu ya Shia nchini Bahrain inakabiliwa na tishio la kuwepo kwake, kina maana kwamba sehemu…
-
Sheikh Adel Al-Shaala:
DuniaUkiukwaji wa Haki za Raia nchini Bahrain Imekuwa Sera Iliyopangwa Dhidi ya Mashia na Wanazuoni
Hawza/ Sheikh Adel Al-Shaala amesema kuwa; ukiukwaji wa mara kwa mara wa haki za raia wa Kishia unaoshuhudiwa leo nchini Bahrain haujaishia tena katika vikwazo vya kisiasa au kiusalama, bali…
-
Husseiniyyah za Bahrain:
DuniaAlama zetu za Hussein haziko chini ya utawala wa yeyote na si jambo la kufanyiwa mazungumzo!
Hawza/ Marufuku na waraka mbalimbali zinazotolewa na Idara ya Wakfu wa Ja'fari nchini Bahrain hazimdanganyi tena hata Muislamu mmoja wa Kishia wa nchi hiyo.
-
DuniaRipoti Yaibua Hofu: Wanazuoni wa Kishia Bahrain Wadaiwa Kudhalilishwa na Kulazimishwa Kukiri Makosa ya Uongo
Hawza/ Jumuiya ya Al-Wefaq Al-Watani Al-Islamiyyah imefichua kuwa imepata "taarifa hatari na sahihi" kuhusu mazingira ya kuwazuia wanazuoni wa Kishia nchini Bahrain.
-
DuniaMahakama ya Bahrain na Kuwakusudia Waislamu wa Madhehebu ya Shia
Hawza/ Haijalishi utawala wa Bahrain utajaribu kwa kiasi gani kuficha kufungwa kwa makumi ya wanazuoni na maulamaa wa Kishia kwa kuwabandika tuhuma za "uhaini" ili kuharibu heshima na hadhi yao,…
-
DuniaKubeba Vifaa vya Kidini Kwapigwa Marufuku Katika Magereza ya Bahrain
Hawza/ Kwa mtazamo wa kila anayefuatilia masuala ya Bahrain, imekuwa wazi kuwa utawala wa Aal Khalifa umejengwa juu ya msingi wa ubaguzi na mateso ya kidini. Serikali hiyo hutoa madai yasiyoendana…
-
DuniaVikosi vya Mapinduzi vya Bahrain: Utawala wa Bahrain Unacheza na Moto
Hawza/ Vikosi vya Mapinduzi vya Bahrain vimelaani kuendelea kwa vitendo vya uchokozi na uhalifu wa kimadhehebu vinavyotekelezwa na utawala unaoitawala Bahrain.
-
Jumuiya ya Haki za Binadamu Bahrain:
DuniaUkiukaji Mkubwa wa Sheria katika Kesi ya Wanazuoni 19 wa Dini; Kanuni ya Kutokuwa na Hatia na Mahakama ya Uadilifu Vimekiukwa
Hawza/ Jumuiya ya Haki za Binadamu ya Bahrain imezituhumu mamlaka za nchi hiyo kwa kufanya ukiukaji mkubwa wa sheria na haki za binadamu katika kesi ya wanazuoni 19 wa dini wanaoshtakiwa.
-
DuniaUkweli na Taarifa za Kipekee Kuhusu Yanayowakumba Maulamaa Waliozuiliwa nchini Bahrain
Hawza/ Kesi ya maulamaa 41 wa dini iliyoanza tangu mwezi Mei uliopita ilianzishwa kwa taarifa na kampeni kubwa za kiusalama zilizotiwa chumvi, zilizotoa tuhuma zinazovuka mipaka ya nchi, kisha…
-
Jumuiya ya Kiislamu ya Al-Wefaq Bahrain:
DuniaMwenendo wa Vyombo vya Usalama Ndani ya Mwezi wa Muharram Umefichua Ukweli wa Dhulma ya Kidini na Kuzorota kwa Hali ya Haki za Binadamu Nchini Bahrain
Hawza/ Jumuiya ya Kitaifa ya Al-Wefaq ya Kiislamu nchini Bahrain imesisitiza kwamba; mwenendo wa utawala unaotawala umeathiri vibaya uhuru wa kidini nchini humo na umegeuza msimu wa Ashura (maombolezo…
-
DuniaHatua ya Fedheha ya Mfalme wa Bahrain ya Kuunga Mkono Ukandamizaji Dhidi ya Waombolezaji wa Imam Hussein (as)
Hawza/ Mfalme wa Bahrain, Hamad Issa Al Khalifa, ameunga mkono hatua za serikali, mikakati ya kiusalama na sera za ukandamizaji zilizotekelezwa dhidi ya waombolezaji wa Imam Hussein (as) wakati…
-
DuniaKauli ya ajabu kutoka kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain
Hawza/ Wakati serikali ya Bahrain ikiendelea kwa nguvu kubwa na ukandamizaji wa kikatili dhidi ya Mashia wa nchi hiyo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain, amedai kuwa nchi hiyo inaheshimu utofauti…
-
DuniaVikwazo na Hatua za Kikatili Dhidi ya Mashia wa Bahrain Vyaongezeka
Hawza/ Vikosi vya wanamgambo vimeongeza uwepo wao katika maeneo yanayozunguka Msikiti wa Imam Sadiq (as) kwa lengo la kuzuia maandamano ya wananchi yanayofanyika sambamba na siku za Muharram.
-
DuniaMaombolezo ya 'Sanabis' Yadhihirisha Muharram nchini Bahrain; Mapenzi kwa Imam Hussein (as) Hayawezi Kuzuiliwa
Hawza/ Kwa kuanza kwa msimu wa huzuni na maombolezo ya Imam Hussein (as), macho yalielekezwa kwenye majlisi za maombolezo na Husseiniyya za Bahrain ambazo, kama ilivyo kila mwaka, huvutia hisia…
-
DuniaWanazuoni wa Bahrain Watoa Tahadhari kwa Watawala wa Nchi Hiyo: Msizuie Maombolezo ya Muharram
Hawza/ Wanazuoni wa Bahrain wameonya kuhusu matokeo ya kuendeleza sera ya kulenga na kuweka vikwazo dhidi ya jamii ya Mashia.
-
DuniaJuhudi Kubwa za Serikali ya Bahrain za Kuwafuta Mashia; Kuwa Mshia Imekuwa ni Jinai
Hawza/ Serikali ya Bahrain haijaacha tena njia yoyote ya kufikia maridhiano au kuishi pamoja na Mashia, na imekata nyuzi za mwisho za mawasiliano na uhusiano nao.
-
DuniaUkandamizaji wa Kikatili Dhidi ya Mashia wa Bahrain Waendelea
Hawza/ Katika maeneo mengi ya Bahrain, licha ya mzingiro mkali wa kiusalama, maandamano ya wananchi yalifanyika, waandamanaji katika mikusanyiko hiyo walitaka kuachiwa huru mara moja wanazuoni…
-
Shirika la SALAM:
DuniaUingereza Inashirikiana na Watawala wa Bahrain katika Kuwakandamiza Mashia wa Nchi Hiyo
Hawza/ Shirika la “SALAM” limesisitiza kwamba; sera za Uingereza zimechangia kuimarisha mifumo ya ukandamizaji na kutoadhibiwa kwa wahusika nchini Bahrain, badala ya kuleta mageuzi ya kweli katika…
-
DuniaMuharram 1448 H nchini Bahrain; Msimu wa Kusimama Imara na Kudumu Katika Ustahimilivu Chini ya Vikwazo na Vitisho
Hawza/ Ashura ya mwaka huu nchini Bahrain itakuwa tofauti, macho yote yameelekezwa kuona jinsi Wabahrain watakavyohuisha msimu wa maombolezo ya Husseini ambapo Waislamu wengi na Mashia wa Ahlul-Bayt…
-
DuniaMtawala wa Bahrain Amechukua Msimamo Mkali dhidi ya Maombolezo ya Muharram ya Mashia
Hawza/ Waziri wa Mambo ya Ndani wa Bahrain, kama ilivyo desturi yake ya kila mwaka, kabla ya kuanza kwa mwezi wa Muharram al-Haram, aliwaita viongozi wa takiya, huseinia na waandaaji wa majlisi…
-
Kupitia makala:
DuniaMtazamo kuhusu ukandamizaji wa Mashia wa Lebanon na Bahrain baada ya Vita vya Ramadhani
Hawza/ Ali al-Husseini: Mashia wana mizizi ya kina katika eneo hili, popote walipo ndani ya Asia Magharibi, watakuwa kundi lenye idadi kubwa na wengi zaidi, popote waendapo na popote watokapo,…
-
DuniaMalengo ya siri ya watawala wa Bahrain yaliyo sababisha kupiga marufuku maombolezo ya Muharram nchini humo
Hawza/ Latifa al-Husseini, mwandishi wa habari kutoka Lebanon, amesema: Serikali ya Bahrain katika miezi ya hivi karibuni haijaacha kuwafuatilia na kuwakamata raia wa Kishia kwa visingizio vya…
-
DuniaBahrain yaongeza hatua zake kali dhidi ya Mashia
Hawza/ Nchini Bahrain, wimbi la hivi karibuni la kukamatwa, kuvuliwa uraia na kufuatiliwa kwa misingi ya kisiasa na kidini limezua mijadala mikubwa kuhusu hali ambayo nchi hiyo inaipitia.
-
DuniaManyanyaso na ukandamizaji dhidi ya Mashia wa Bahrain zaongezeka
Hawza/ Maafisa wa Bahrain wameendelea na uhalifu wao na kutekeleza mfululizo wa ukamataji dhidi ya idadi ya raia.