Jinai za Israeli Dhidi ya Lebanon (6)
-
Ayatullah A'rafi:
HawzaOngezeni Utukufu wa Uwepo wa Wananchi na Vijana wa Iran Mitaani, na Imarisheni Zaidi Utamaduni wa Kishujaa na Roho ya Muqawama/ Taifa la Iran Limeandika Ukurasa wa Dhahabu Katika Historia ya Nchi Hii kwa Zaidi ya Siku Mia Moja
Hawza/ Taifa tukufu na lenye heshima la Iran, hususan vijana wapendwa, kwa uwepo wao kwa zaidi ya siku mia moja katika viwanja na maeneo mbalimbali, wameandika ukurasa wa dhahabu katika historia…
-
DuniaMsafara mkubwa wa magari katika mji wa Iğdır nchini Uturuki wafanyika kwa nia ya kuiunga mkono Iran na Lebanon/ “Sauti moja dhidi ya dhulma”
Hawza/ Mamia ya wananchi katika mji wa Iğdır nchini Uturuki, kwa kuunda msafara mkubwa wa magari, walionesha uungaji mkono wao kwa Iran na Lebanon; msafara ambao uliendelea hadi kwenye mpaka…
-
DuniaAyatulla Nouri Hamadani aonesha mshikamano wake kwa Hizbullah ya Lebanon/ Viongozi wa nchi za eneo waache kuwanyanyasa na kuwatesa Mashia
Mtukufu Ayatullah Nouri Hamadani, kwa kusisitiza umuhimu wa kuwaunga mkono wapiganaji wa muqawama hususan Hizbullah ya Lebanon, amewataka viongozi wa nchi za eneo waache kufuata ubeberu na Uzayuni,…
-
DuniaUkatili mkubwa wa Waisraeli kusini mwa Lebanon waacha idadi kubwa zaidi ya mashahidi na majeruhi
Hawza/ Utawala wa Kizayuni wa Israel unaendelea na mashambulizi yake ya kinyama na yaliyopangwa dhidi ya kusini mwa Lebanon.
-
Barua ya wazi ya wanazuoni wa Ahl al-Sunnah nchini Iran kwa Muungano wa Umoja wa Kiislamu:
DuniaKwa nini Radi Amali ya Iran Dhidi ya Uvamizi Yalaaniwa, Lakini Jinai ya Mvamizi Inapuuziwa?
Hawza/ Wanazuoni wa Ahl al-Sunnah nchini Iran, katika barua ya wazi kwa Katibu Mkuu wa Muungano wa Umoja wa Kiislamu, wamesisitiza juu ya kutokuwa sahihi kwa baadhi ya taarifa za hivi karibuni…
-