Jinai za Israeli Dhidi ya Lebanon (26)
-
DuniaErdoğan: Israel inatenda uhalifu dhidi ya ubinadamu
Hawza/ Rais wa Uturuki amelaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Lebanon, akiutuhumu utawala huo kwa kutenda uhalifu dhidi ya ubinadamu na kusisitiza kuwa; Ankara itaendelea kutoa uungaji mkono…
-
Kamanda wa Jeshi la Lebanon:
DuniaTutakabiliana na njama za uchochezi za utawala vamizi wa Israel
Hawza/ Kamanda wa Jeshi la Lebanon, Jenerali Rodolph Haykal, amesisitiza kuwa; kuchochea fitina za ndani ni miongoni mwa malengo ya utawala vamizi wa Israel, na kwamba ni lazima njama hizo zikabiliwe.
-
Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa:
DuniaNimeshtushwa uharibifu mkubwa uliofanywa nchini Lebanon
Hawza/ Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, baada ya kumaliza ziara yake rasmi ya siku mbili nchini Lebanon, amesema; ameshtushwa na ukubwa wa uharibifu na idadi ya raia waliopoteza…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu:
DuniaKuwatetea Wapiganaji Jihadi wa Lebanon ni Sera ya Kimkakati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika kujibu barua ya Katibu Mkuu na wapiganaji wa Hizbullah, amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kwa kuzingatia msimamo wa Kiongozi Mkuu na…
-
Mjumbe wa Kambi ya Muqawama:
DuniaHakuna hatua yoyote ya adui ya kuondoka; Serikali ya Lebanon inatumia maonesho ya kisiasa kutengeneza ushindi wa kufikirika
Hawza/ Hassan Fadlallah amesisitiza kuwa; adui wa Kizayuni hajaondoka hata kutoka kipande kimoja cha ardhi inayokaliwa kwa mabavu kusini mwa Lebanon.
-
Vyama vya Lebanon:
DuniaTunaunga mkono hatua za Yemen za kumaliza mzingiro wa kidhalimu na kutoa jibu la kulipiza kwa msingi wa haki
Hawza/ Kikao cha vyama, makundi na shakhsia za kitaifa za Lebanon kimesisitiza mshikamano wake na haki ya wananchi wa Yemen ya kumaliza mzingiro wa kidhalimu uliowekwa dhidi yao, pamoja na haki…
-
Sheikh Ali Al-Khatib:
DuniaHatutafanya Makubaliano kwa Damu ya Mashahidi Wetu na Tumnataka Adui Aondoke Kikamilifu katika Ardhi Yetu
Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon amesisitiza: Hatukubali aina yoyote ya mapatano yanayohusu damu ya mashahidi wetu, na tunataka adui wa Kizayuni aondoke…
-
Mbunge wa Kambi ya Muqawama Lebanon:
DuniaUongozi wa Nchi Umewaacha Wananchi Wake na Unasisitiza Kuikokota Lebanon Kwenye Hali Hatari Sana
Hawza/ Ali Fayyadh amesisitiza kuwa; baada ya kumalizika kwa duru ya mazungumzo mjini Roma kati ya ujumbe wa Lebanon na adui Israel, misimamo rasmi ya serikali ya Lebanon imefichuka zaidi kuliko…
-
DuniaUshauri wa Iraq kwa Al-Jolani: Jiepushe na Kujiingiza katika Masuala ya Lebanon
Hawza/ Taarifa zilizopokelewa zinaonesha kuwa "Rais wa Syria", Muhammad Al-Jolani (Ahmad Al-Sharaa), katika siku za hivi karibuni alipokea "ushauri" kutoka kwa serikali ya Iraq ukimtaka kutojiingiza…
-
Mchambuzi wa Masuala ya Kisiasa:
DuniaMarekani na Utawala wa Kizayuni Hawana Dhamira ya Kufanikisha Usitishaji Vita wa Kudumu
Hawza/ Mchambuzi wa masuala ya kisiasa amesema kuwa, utawala wa Kizayuni umeonesha tena kwamba hauheshimu makubaliano wala maazimio yoyote. Alisisitiza kuwa kuendelea kwa uvamizi na uharibifu…
-
Mwanazuoni wa Kisunni wa Lebanon:
DuniaMakubaliano ya “Washington” ni Kinyume cha Sheria na Yanapingana na Maslahi ya Kitaifa ya Lebanon
Hawza/ Jumuiya ya "Qawluna wal-'Amal" ya Lebanon imesisitiza kupinga mazungumzo ya moja kwa moja na adui Mzayuni wa Israel, na kutoa taarifa iliyosomwa na Mwenyekiti wa jumuiya hiyo, Sheikh Ahmad…
-
Sheikh Ahmad Qabalan:
DuniaTuko Katika Hatua Hatari Zaidi ya Kitaifa; Rais Aoun Ameisababishia Lebanon Janga la Kitaifa
Hawza/ Mufti Mkuu wa Jaafaria wa Lebanon amesema katika ujumbe wake: Hatutatoa nafasi kwa utawala wowote kuendeleza mradi wowote unaoitumikia Israel ya kigaidi, kile ambacho Rais Joseph Aoun…
-
Waziri wa Zamani wa Lebanon:
DuniaSerekali Imefanya Mapinduzi Dhidi ya Katiba; Muqawama Utaendelea Muda wa Kuwa Uvamizi Huu Upo
Hawza / Mustafa Bairam amesema: Dola ya Lebanon imejisalimisha kwa kutia saini kile alichokiita "makubaliano ya fedheha na aibu yaliyoandikwa na Benjamin Netanyahu."
-
DuniaKikao Kilicho na Anuani “Lebanon Ina Nguvu Zaidi Kupitia Uhusiano Wake na Iran” Chafanyika Baalbek
Hawza/ Harakati ya “Utamaduni wa Kuunga Mkono Muqawama” imeandaa kikao cha kitaifa kilichobeba anuani: “Lebanon Ina Nguvu Zaidi Kupitia Uhusiano Wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran”.
-
Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon:
Dunia“Makubaliano ya Washington” ni hati ya kujisalimisha inayowajibisha kuondolewa madarakani utawala
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon umesisitiza kwamba: “Makubaliano ya Washington” yaliyotiwa saini kati ya utawala wa Lebanon na utawala vamizi wa Israel ni ukiukaji wa…
-
Sheikh Ahmad Qabalan:
DuniaMwenye Kumshikamana na Imam Hussein (as) Hataijua Kamwe Maana ya Kushindwa
Hawza/ Mufti Mkuu wa Jaafaria nchini Lebanon amesisitiza kwamba; suala kuu ni kulinda mamlaka ya kitaifa ya Lebanon, mfumo wake wa maridhiano na ushirikiano wa Kiislamu na Kikristo, ambao unapingana…
-
Ihab Hamadeh:
DuniaMuqawama Utaendelea Kukabiliana na Adui, na Israel Inaelewa Lugha ya Nguvu Pekee
Hawza/ Mwanachama wa Kambi ya “Uaminifu kwa Muqawama” amesisitiza kwamba; silaha ya Muqawama, ambayo imekuwa kiwakilishi cha uwepo wetu, imethibitisha ufanisi wake katika kukabiliana na adui…
-
Mwanachama wa Kambi ya Muqawama:
DuniaIsrael Imethibitisha Mara Nyingi Kutoheshimu Makubaliano na Sheria za Kimataifa
Hawza/ Ali Ammar amesisitiza kwamba; mashambulizi ya hivi karibuni ya Israel dhidi ya Lebanon na juhudi zake za kusonga mbele kuelekea eneo la “Ali al-Tahir” yanafanyika katika mfumo wa sera…
-
Katibu Mkuu wa Hizbullah Lebanon:
DuniaMpango wa Kuuangamiza Muqawama na Hizbullah Umeshindwa
Hawza/ Sheikh Naim Qassim, Katibu Mkuu wa Hizbullah, amesema kuwa; kulikuwa na mpango wa kuiangamiza Hizbullah na Muqawama katika eneo la Mashariki ya Kati, lakini mpango huo umeshindwa.
-
DuniaStockholm Yapaza Sauti ya Lebanon
Hawza/ Mamia ya watu waliokuwa wakipinga jinai za utawala wa Israel dhidi ya ubinadamu nchini Lebanon walikusanyika katikati ya jiji la Stockholm.
-
Ayatullah A'rafi:
HawzaOngezeni Utukufu wa Uwepo wa Wananchi na Vijana wa Iran Mitaani, na Imarisheni Zaidi Utamaduni wa Kishujaa na Roho ya Muqawama/ Taifa la Iran Limeandika Ukurasa wa Dhahabu Katika Historia ya Nchi Hii kwa Zaidi ya Siku Mia Moja
Hawza/ Taifa tukufu na lenye heshima la Iran, hususan vijana wapendwa, kwa uwepo wao kwa zaidi ya siku mia moja katika viwanja na maeneo mbalimbali, wameandika ukurasa wa dhahabu katika historia…
-
DuniaMsafara mkubwa wa magari katika mji wa Iğdır nchini Uturuki wafanyika kwa nia ya kuiunga mkono Iran na Lebanon/ “Sauti moja dhidi ya dhulma”
Hawza/ Mamia ya wananchi katika mji wa Iğdır nchini Uturuki, kwa kuunda msafara mkubwa wa magari, walionesha uungaji mkono wao kwa Iran na Lebanon; msafara ambao uliendelea hadi kwenye mpaka…
-
DuniaAyatulla Nouri Hamadani aonesha mshikamano wake kwa Hizbullah ya Lebanon/ Viongozi wa nchi za eneo waache kuwanyanyasa na kuwatesa Mashia
Mtukufu Ayatullah Nouri Hamadani, kwa kusisitiza umuhimu wa kuwaunga mkono wapiganaji wa muqawama hususan Hizbullah ya Lebanon, amewataka viongozi wa nchi za eneo waache kufuata ubeberu na Uzayuni,…
-
DuniaUkatili mkubwa wa Waisraeli kusini mwa Lebanon waacha idadi kubwa zaidi ya mashahidi na majeruhi
Hawza/ Utawala wa Kizayuni wa Israel unaendelea na mashambulizi yake ya kinyama na yaliyopangwa dhidi ya kusini mwa Lebanon.
-
Barua ya wazi ya wanazuoni wa Ahl al-Sunnah nchini Iran kwa Muungano wa Umoja wa Kiislamu:
DuniaKwa nini Radi Amali ya Iran Dhidi ya Uvamizi Yalaaniwa, Lakini Jinai ya Mvamizi Inapuuziwa?
Hawza/ Wanazuoni wa Ahl al-Sunnah nchini Iran, katika barua ya wazi kwa Katibu Mkuu wa Muungano wa Umoja wa Kiislamu, wamesisitiza juu ya kutokuwa sahihi kwa baadhi ya taarifa za hivi karibuni…
-