Ghaza (111)
-
DuniaSimulizi yenye Majeraha ya Watoto wa Ghaza; Waandishi wa Habari Walioshinda Tuzo Wataka Ukweli Usikike
Hawza/ Waandishi wawili wa habari kutoka Uholanzi ambao walifanikiwa kupata Tuzo ya Vyombo vya Habari ya Ulaya kwa kuandaa kumbukumbu za majeraha mabaya yaliyowaua watoto wa Ghaza, wameutaka…
-
DuniaWataliano walaani mauaji ya watoto yanayofanywa na Israel
Hawza/ Mamia ya watu walikusanyika mjini Milan nchini Italia ili kuenzi majina na kumbukumbu za watoto wa Palestina waliouawa, ambapo walionesha katikati ya jiji bango kubwa lililokuwa na majina…
-
DuniaHotuba ya afisa wa Israel katika mkutano wa kimataifa ilisimamishwa kabla ya kukamilika kutokana na upinzani wa kumpinga
Hawza / Wakati wa kikao cha Mkutano wa 114 wa Kimataifa wa Kazi mjini Geneva, hotuba ya mwanadiplomasia wa Israel ilisitishwa kutokana na upinzani mkubwa wa wawakilishi wa nchi mbalimbali na…
-
DuniaPakistan yatangaza kuendelea kuiunga mkono Palestina licha ya shinikizo la Israel
Hawza/ Pakistan, kwa lengo la kuzuia kuwepo kwa utata kuhusu msimamo wake kuhusiana na Israel, ilisisitiza kwamba; msimamo wake wa kuliunga mkono taifa huru la Palestina bado unaendelea kuwa…
-
DuniaWito wa Papa wa Kuiokoa Ghaza; Wananchi Bado Wako Katika Mateso
Hawza/ Papa Leo wa Kumi na Nne ameonya kuhusu kuendelea kwa mgogoro wa kibinadamu huko Ghaza na kuwataka viongozi wote wenye dhamana kuwezesha haraka njia za utoaji misaada na ujenzi upya wa…
-
DuniaRais wa Cyprus Kaskazini: Sitafanya Mazungumzo na Serikali Inayoua Watoto
Hawza/ Rais wa Jamhuri ya Cyprus Kaskazini amekosoa vikali ushirikiano wa kijeshi na kisiasa wa Cyprus Kusini na Israel, na kusisitiza kuwa; serikali ya Benjamin Netanyahu kutokana na mauaji…
-
DuniaGhaza Yamsindikiza Muhammad Odeh, Mmoja wa Makamanda wa “Vikosi vya Qassam”
Hawza/ Wapalestina katika mji wa Ghaza wameusindikiza mwili wa Muhammad Odeh maarufu kwa jina la “Abu Amr”, mmoja wa makamanda waandamizi wa “vikosi vya Izzuddin Qassam”, pamoja na mwili wa mke…
-
DuniaSauti ya Mafunzo ya Qur’ani Yavuma Ndani ya Magofu ya Ghaza
Hawza/ Katikati ya magofu yaliyosababishwa na vita na mauaji ya kimbari ya utawala wa Israel huko Ghaza, Shule ya Qur’ani ya Nur katika mji wa Khan Yunis imeunda mazingira ya utulivu wa kiroho…
-
DuniaRekodi ya Wiki 129 za Mfululizo ya Kuiunga Mkono Ghaza yawekwa nchini Tunisia
Hawza/ Kwa kaulimbiu ya “Pamoja kwa ajili ya kuvunja mzingiro”, mapigo ya moyo ya mitaa ya Tunisia yanaendelea kwa uthabiti na bila kuyumba, yakisisitiza kwamba; dira ya Palestina katika nyoyo…
-
DuniaMgomo wa pamoja nchini Italy
Hawza/ Italia wiki hii imeshuhudia mgomo wa kitaifa uliogusa sekta za usafiri, elimu na usafirishaji wa bidhaa, mgomo huu ulifanyika kufuatia wito wa vyama vya wafanyakazi kwa lengo la kupinga…
-
DuniaRaia wa Indonesia wainu bendera mahakamani kuonesha jinsi wanyoiunga mkono Iran
Hawza/ “Sisi tunaiunga mkono Iran!” Haya ni maneno aliyoyasema Pedro, mmoja wa waungaji mkono wa muqawama na wanaharakati wa kupinga Uzayuni, siku ya Ijumaa katika Mahakama ya Wilaya ya Kati…
-
Kamanda Mkuu wa Sepah:
DuniaKupata shahada Izzuddin Al-Haddad kumeweka wazi uvunjaji wa ahadi na usaliti wa wavamizi
Hawza/ Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa kupata shahada Izzuddin Al-Haddad, kamanda wa Brigedi ya Izzuddin Al-Qassam, alisisitiza:…
-
DuniaKivuli cha mateso ya Kizayuni juu ya Wapalestina katika ukimya wa vyombo vya habari na mazingira ya vita vya Marekani dhidi ya Iran
Hawza/ Wakati dunia kila siku inatangaza habari zinazohusiana na vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran pamoja na mashauriano ya kisiasa ya kikanda na kimataifa, katika kona nyingine ya dunia…
-
DuniaMsafara wa kimataifa wa meli za “Sumud” kwa mara nyingine umeelekea Ghaza kwa lengo la kuvunja mzingiro wa baharini
Hawza/ Makumi ya meli zilizobeba wanaharakati wa kimataifa na misaada ya kibinadamu ya mfano, katika mfumo wa msafara wa kimataifa wa “Sumud”, zimeondoka kutoka Ugiriki na bandari ya Marmaris…
-
DuniaMaandamano ya wananchi wa Stockholm dhidi ya jinai za Israel huko Ghaza na Lebanon
Hawza/ Mamia ya waandamanaji walikusanyika katika mji mkuu wa Sweden ili kupinga operesheni za kijeshi za utawala wa Israel za kuwaua watu wa Ghaza na Lebanon, na wakataka kusitishwa kwa mauaji…
-
DuniaBerlin yaandamana tena kwa ajili ya kuiunga mkono Ghaza
Hawza/ Maelfu ya watu waliopinga jinai za utawala wa Israel waliandamana katika mitaa ya Berlin ili katika maandamano ya pamoja waoneshe mshikamano wao na Wapalestina, na wakataka kusitishwa…
-
DuniaSimulizi ya mmoja wa wasafiri wa msafara wa “Sumud” kuhusu ukatili wa vikosi vya Israel: Walitutesa na mali zetu zilipotea
Hawza/ Mmoja wa wasafiri wa msafara wa “Sumud”, akielezea kwa kina maelezo ya kukamatwa kwa meli hiyo na vikosi vya Israel, alizungumzia kuhamishwa kwa lazima kwa abiria kwenda kwenye meli nyingine,…
-
DuniaMalalamiko dhidi ya uwepo wa kampuni zinazohusiana na viwanda vya kijeshi vya Israel katika maonesho ya ulinzi ya Istanbul
Hawza/ Sambamba na kufanyika kwa Maonesho ya Kimataifa ya Viwanda vya Ulinzi ya SAHA 2026 mjini Istanbul, uwepo wa baadhi ya kampuni zinazotuhumiwa kusambaza silaha na teknolojia za kijeshi kwa…
-
Rais wa zamani wa Uturuki:
DuniaIsrael ndiyo mhusika mkuu wa migogoro na mateso yanayoendelea katika eneo
Hawza/ Rais wa kumi na moja wa Uturuki katika Jukwaa la Kiuchumi la Delphi, huku akirejea maendeleo ya vita katika Asia Magharibi, alizungumzia kudhoofika kwa nafasi ya Marekani, kupotea kwa…
-
Mufti wa Iraq:
DuniaUmuhimu wa kuimarisha vyombo vya habari vya haki mbele ya mashambulizi ya propaganda dhidi ya Iran/ Vita vya vyombo vya habari ni uwanja mkuu wa mapambano kati ya haki na batili katika zama za leo
Hawza/ Sheikh Mahdi al-Sumaida'i, Mufti wa Iraq, katika kikao cha “Mustakbali wa Mapambano” alisisitiza umuhimu wa kuimarisha vyombo vya habari vya kambi ya haki, na akavielezea vita vya vyombo…
-
DuniaMexico kwa kisingizio cha kutokuwepo Palestina yakataa uanachama katika “Kamati ya Amani ya Ghaza” / Yatuma mwakilishi kama mwangalizi wa Washington
Hawza/ Rais wa Mexico kwa kukataa mwaliko binafsi wa Donald Trump wa kujiunga rasmi na “Kamati ya Amani katika Ukanda wa Ghaza”, ametangaza kuwa nchi yake itatuma tu mwakilishi kama mwangalizi…
-
DuniaKuondoa uwezo wa uzazi kwa wanawake wa Kipalestina; hatua mpya ya mashambulizi ya Israel dhidi ya Waislamu
Hawza/ Mtafiti mwandamizi wa masuala ya Mashariki ya Kati katika ripoti ya kina, kwa kuchunguza vipengele vya kihistoria na vya uwanjani vya mabadiliko ya Palestina, alidai kuwa; ukatili wa kingono…
-
DuniaUhispania yataka Umoja wa Ulaya kutumia nyenzo za shinikizo dhidi ya utawala wa Kizayuni
Hawza/ José Manuel Albares, Waziri wa Mambo ya Nje wa Spain, katika hotuba yake kuhusu kuendelea mgogoro wa kibinadamu huko Ghaza na kuendelea kwa ujenzi wa makazi ya walowezi wa utawala wa Israel…
-
DuniaWaswiden wajitokeza mitaani kuiunga mkono Palestina
Hawza/ Mamia ya watu walifanya maandamano huko Stockholm, mji mkuu wa Sweden, na kulaani hatua za karibuni za Israel zenye lengo la kuunganisha (kuambatanisha) Ukingo wa Magharibi na ardhi zinazokaliw…
-
DuniaWapalestina 80,000 waswali Swala ya Ijumaa katika Msikiti wa Al-Aqsa
Hawza/ Takribani Wapalestina 80,000, licha ya hatua za kuzuia na masharti makali ya utawala wa kinyama wa Israel kwa lengo la kupunguza upatikanaji — hasa kwa waumini kutoka Ukingo wa Magharibi…
-
Kumbukumbu ya mama wa Kipalestina:
DuniaHatima ya wafungwa wa Kipalestina na Walebanon walioko mikononi mwa maafisa wa “Epstein”
Hawza/ “Widad al-Barghouthi”, mwandishi wa Kipalestina, aliandika katika makala yake: Maelfu ya wafungwa waliokuwa wakisubiri kuachiwa huru kupitia makubaliano ya kubadilishana wafungwa, pamoja…
-
DuniaMatangazo ya kufunguliwa kivuko cha Rafah ni habari za upotoshaji kutoka Israel
Hawza/ Israel imetangaza kuwa imefungua kivuko cha Rafah kwa ajili ya Wapalestina kusafiri, lakini licha ya maombi ya baadhi ya wananchi, uwezekano wa kuvuka haupo, na ni watu 180 tu walioweza…
-
DuniaOnyo kuhusu ongezeko la vurugu zisizo na kifani za Israel katika vita vya kimya kimya vinavyo endelea Ukingo wa Magharibi
Hawza/ Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetoa onyo kwamba Ukingo wa Magharibi unashuhudia “vita vya kimya kimya” na kiwango cha vurugu ambacho hakijawahi…
-
DuniaMpango unaojirudia wa Israel kwa kuishambulia Palestina
Hawza/ Msemaji wa harakati ya Hamas, huku akikanusha madai ya utawala wa Kizayuni kuhusu kukiukwa kwa makubaliano ya kusitisha mapigano na harakati hiyo, alisisitiza kuwa madai hayo ni ya uongo…
-
DuniaMwaka 2026 umeshuhudia ongezeko la uungaji mkono kwa watu wa Palestina duniani
Hawza/ Tangia kuanza kwa mauaji ya halaiki yanayofanywa na Israel wamwagaji damu huko Ghaza, maandamano ya wananchi ya kuunga mkono taifa hili linalodhulumiwa yameendelea kote duniani, na waungaji…