Ghaza (46)
-
DiniJe, Viongozi wa Israel Wana “Heshima ya Kibinadamu”?
Hawza/ Heshima ya mwanadamu katika Uislamu ni neema ya Mwenyezi Mungu, lakini heshima hii hubakia pale ambapo mtu ataidumisha kutokana na mienendo yake, wahalifu wanaomwaga damu ya wasio na hatia…
-
Ayatollah A’rafi katika Mkutano wa Mtandaoni wa Kimataifa kuhusu Ghaza na Wanazuoni wa Umma:
HawzaMipango ya uvamizi na uharibifu inayofanywa na utawala wa Kizayuni itashindwa na kusukumwa nyuma.
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza Irani alisema: Tuna imani ya hakika kwamba mipango ya uvamizi na uharibifu inayofanywa na utawala huu, kwa baraka ya uelewa wa umma wa Kiislamu, hatua za serikali huru…
-
DuniaUNICEF: Watoto wa Gaza wanapumua pumzi za mwisho
Hawza/ Shirika la Afya Duniani limewaomba watu dunianj kuchukua hatua za haraka kwa ajili ya Ghaza, kwani Ghaza kwa sasa ni mahali ambapo watoto wanakufa kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa…
-
DuniaJe, Kuona Picha za Njaa huko Ghaza Kunaathiri Fikra za watu nchini Israel?
Hawza/ Kwa mara ya kwanza tangia kuanza kwa vita vya sasa vya Ghaza, Kituo cha Televisheni cha Channel 12 cha utawala wa Kizayuni kimeonyesha video yenye picha na filamu za watoto waliokonda…
-
DuniaAnsarullah: Msaada wa baadhi ya nchi za Kiislamu na Kiarabu kutokana na kuzingirwa Ghaza ni aibu kubwa!
Hawza/ Mmoja wa wajumbe wa kisiasa wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amekosoa vikali baadhi ya serikali za Kiarabu na Kiislamu kwa kushirikiana na utawala wa Kizayuni wenye damu mikononi mwake…
-
DuniaMwanasiasa wa Kanada: Propaganda za Israel dhidi ya Hamas zimeimarisha chuki dhidi ya Uislamu nchini Kanada
Hawza/ Bi. Amira Alghawabi, mwakilishi maalumu wa Kanada kwa ajili ya kupambana na chuki dhidi ya Uislamu katika nchi hiyo, ameonya kwamba; kwa masikitiko propaganda za jinai za Israel dhidi…
-
DuniaZaidi ya Walimu 2000 wa hawza ya Qom, Waunga Mkono Uongozi, Marjaa na Watu wa Ghaza/ Damu na Mali za Trump, Muuaji na Mhalifu, ni Halali
Hawza/ Zaidi ya mafaqihi na walimu 2000 wa ngazi za juu na za wa hawza Qom, kwa kuunga mkono hadhi ya juu ya marjaa na uongozi wa Uislamu duniani na watu wanyonge wa Gaza, wametaka Netanyahu,…
-
DuniaMarekani na Israel Wameususia Mkutano wa Umoja wa Mataifa kwa Ajili ya Kuiunga Mkono Palestina
Hawza/ Mawaziri wa nchi kadhaa walikusanyika katika Umoja wa Mataifa ili kutafuta suluhisho la pande mbili kwa ajili ya kumaliza vita vya Ghaza na Israel, lakini Marekani na Israel walisusia…
-
DuniaSheikh Ibrahim Zakzaky: Quds ni alama ya imani na mapambano kwa ajili ya Umma wa Kiislamu
Hawza/ Kufuatia matukio ya hivi karibuni katika Ukanda wa Ghaza na dunia kuwaunga mkono wananchi wanyonge wa Palestina, pamoja na kulaaniwa kwa jinai za kibinadamu zinazofanywa na utawala wa…
-
DuniaMakamu wa Rais wa Bunge la Umoja wa Waislamu wa Pakistan: Janga la Kibinadamu Ghaza, ni mtihani wa aibu kwa uwepo wa Dunia
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Ahmad Iqbal Ridhwi, katika tamko lake akirejelea vifo vya makumi ya watoto wasio na hatia kwa sababu ya njaa huko Ghaza, amesisitiza kuwa: Janga hili siyo tu mzozo…
-
DuniaRais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan: Ubinadamu Unakata Roho Ghaza na Dunia Inatazama
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika tamko lake huku akionyesha wasiwasi mkubwa kuhusiana na janga la kibinadamu huko Ghaza, amelaani vikali ukimya mzito wa jumuiya…
-
Barua ya wazi ya Jumuiya ya Walimu wa Hawza (J'amiatul-Mudrrisin) kwa Maulamaa wa Ulimwengu wa Kiislamu:
HawzaLeo ni wajibu kwa maulamaa wa umma kupaza sauti kwa ajili ya kuwaokoa watu wa Palestina
Hawza/ Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom: Leo ni wajibu na jukumu juu ya maulamaa wa umma kuvunja ukimya dhidi ya jinai hii ya wazi na ukimya wa madola ya kisiasa ya nchi za Kiislamu, pamoja…
-
Ayatollah al-Udhma Nouri Hamedani:
HawzaMheshimiwa Papa; Je, ikiwa Nabii Isa (as) angelikuwepo, angeweza kustahimili hali ya kutisha ya Ghaza na jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni?
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Nouri Hamedani katika barua yake kwa Papa amesema: Katika hali hii ya kutisha ya Ghaza, je, ikiwa Manabii wa Mwenyezi Mungu kama Nabii Isa (as) na Nabii Muhammad (saw)…
-
Ayatollah al-Udhma Nouri Hamedani katika tamko lake rasmi amebainisha kuwa:
HawzaWatu wote waaminifu katika Ulimwengu wa Kiislamu watimize wajibu wao wa Kiislamu na kibinadamu kwa ajili ya watu wa Ghaza / Mwamko wa Umma wa Kiislamu unahitaji kilio cha kudai haki na hatua ya pamoja
Hawza/ Ayatollah Nouri Hamedani amesisitiza kuwa: Sasa ni wakati ambapo watu wote waaminifu wa ulimwengu wa Kiislamu—wakiwemo wanazuoni, wasomi na viongozi wa serikali—waweke kando tofauti za…
-
DuniaMaulamaa mashuhuri wa Bahrain: Umma wa Kiislamu na Umoja wa Kimataifa wana wajibu wa kimaadili na kisheria kuondosha vizuizi na Klkuwasaidia watu wa Ghaza
Hawza/ Maulamaa mashuhuri wa Bahrain wamelaani vikali kuzingirwa Ghaza na kuwaacha wakiwa na njaa wakazi wake, kitendo ambacho kinafanywa na utawala wa Kizayuni, na pia wamekosoa hali ya baadhi…
-
DuniaJe, Brazil kujiunga na safu ya waungaji mkono Palestina ni hatua ya mabadiliko?
Hawza/ Katika hatua yenye mvumo mkubwa wa kidiplomasia, nchi ya Brazil imeungana na wanaounga mkono kuishtaki Israel, mashtaka ambayo yaliwasilishwa hivi karibuni katika Mahakama ya Kimataifa…
-
DuniaHali ya janga la Njaa Ghaza
Hawza/ Ukanda wa Ghaza, chini ya kuzingirwa vikali na utawala wa Kizayuni pamoja na Misri, unakabiliwa na janga kubwa la kibinadamu, ambapo jambo kuu kabisa ni njaa ya kiwango cha juu na uhaba…
-
Ayatollah A’rafi katika barua yake kuwaelekea maulamaa wakubwa wa nchi za Kiislamu:
HawzaKatika kati ya moto na njaa, tumaini la Ghaza limeelekezwa kuuelekea Umma wa Kiislamu / Hatua ya haraka kwa Umma wa Kiislamu na taasisi za kimataifa kuvunja kuzingirwa na kufikishwa misaada ya dharura
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Irani, katika barua mbalimbali amewaomba maulamaa wa ulimwengu wa Kiislamu wamkabili twaghuti wa dhulma, walie njaa ya wanyonge, wapaze sauti zao dhidi ya tawala…
-
DuniaPapa ataka kukomeshwa unyama unaofanywa na utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza
Hawza/ Papa Leo wa kumi na nne, huku akielezea masikitiko yake juu ya shambulio la anga lililofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya kanisa la Kikatoliki katika Ukanda wa Ghaza, ametoa wito wa…
-
DuniaMaandamano ya kupinga Uzayuni yameendelea nchini Jordan
Hawza/ Mitaa ya maeneo kadhaa ya Jordan tangia jana imeshuhudia maandamano ya wananchi dhidi ya mauaji ya kimbari yanayofanywa na Israel huko Ghaza, wananchi wa Jordan, licha ya hatua kali za…
-
DuniaGolan Amshutumu Netanyahu kwa Kuzuia Mazungumzo ya Usitishaji Vita Ghaza
Hawza/ Yair Golan, kiongozi wa chama cha Demokrasia cha Israel, amemshutumu Benjamin Netanyahu kwa kuweka vikwazo katika usitishaji wa vita na mazungumzo Ghaza kuhusiana na ubadilishanaji wa…
-
DuniaRais wa Brazil aitaka Jumuiya ya kimataifa iiunge mkono Palestina
Hawzah/ Rais wa Brazil, Luiz Inácio Lula da Silva, ametoa wito kwa serikali duniani kuchukua hatua madhubuti na ya pamoja dhidi ya Israel, akisema kuwa dunia haiwezi kukaa kimya mbele ya mauaji…
-
DuniaMkusanyiko wa wananchi Lisbon kwa ajili ya kuiunga mkono Palestina na amani mashariki ya kati
Hawza/ Maandamano makubwa yalifanyika katika mji mkuu wa Ureno, Lisbon yakiwa na lengo la kupinga mauaji ya halaiki yanayoendelea katika Ukanda wa Ghaza na kwa ajili ya kuwatetea wananchi wa…
-
DuniaMaelfu ya Wazayuni waandamana kulalamikia kushindwa kwa Netanyahu kuwaokoa mateka
Hawza/ Makumi ya maelfu ya Wazayuni waliandamana kupinga hali yao ya sasa na kushindwa kwa serikali yao kuwaokoa mateka walioko katika Ukanda wa Ghaza.
-
DuniaNyota wa Soka wa Tunisia wajiunga na safu ya wanao ikingia kifua Ghaza
Hawza/ Nyota wa soka wa Tunisia pia wamejiunga na kampeni ya kulaani utawala wa Kizayuni wa Israel na kuwatetea watu wa Ghaza wanaodhulumiwa.
-
Vyombo vya habari vya Kiebrania vimeripoti:
DuniaSoko haramu la tiketi za ndege kwa ajili ya kuikimbia Israel
Hawza/ Idadi ya Wazayuni wanaojaribu kukimbia kutoka Palestina iliyokaliwa kwa mabavu imeongezeka kwa kiwango kikubwa. Hata hivyo, kutokana na mashambulizi ya makombora kutoka Yemen, mashirika…
-
Pendekezo la Mwenyekiti wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan kuhusu Siku ya Kimataifa ya Wazazi:
DuniaDunia haisikii sauti ya wazazi waliopoteza watoto wao huko Ghaza
Hawza/ Hujjat al-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa Siku ya Kimataifa ya Wazazi, amependekeza siku hii ipewe jina la wazazi wa watoto walio dhulumiwa…
-
DuniaMwenyekiti wa Jumuiya ya Kisheria ya Waislamu wa Kishia wa Jammu na Kashmir apinga vikali ukimya wa jumuiya ya kimataifa kuhusiana na janga la kibinadamu la Ghaza
Hujjatul-Islam Sayyid Hassan Mousawi Safawi, katika hotuba yake, alilaani vikali uhalifu unaofanywa na Israel huko Ghaza, na akasema kuwa dunia kukaa kimya mbele ya janga hili la kibinadamu haikubalik…
-
DuniaPapa Leo wa Kumi na Nne Atoa Wito wa Kusitishwa Mapigano Mara Moja huko Ghaza
Hawza/ Papa Leo wa Kumi na Nne, katika hotuba yake ya hivi karibuni, kwa mara nyingine ametoa wito wa kusitishwa mapigano mara moja huko Ghaza na kuachiliwa huru kwa wafungwa wote.
-
DuniaUingereza kinyume na kauli zake bado inaendelea kuwauzia Israeli Silaha!
Hawza/ Maelfu ya waandamanaji wa Uingereza katika matembezi makubwa, waliitaka serikali kuacha kueneza kauli zisizo na vitendo na kusitisha mauzo ya silaha kwa Israel, hasa vipuri vya ndege ya…