Ghaza (97)
-
DuniaIsrael yashambulia ghala la dawa karibu na Hospitali ya Mashahidi wa Al-Aqsa huko Ghaza
Hawza/ Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni alfajiri ya leo zililenga ghala la dawa lililokuwa karibu na Hospitali ya Mashahidi wa Al-Aqsa katika mji wa Deir al-Balah; shambulio ambalo limesababisha…
-
DuniaErdoğan: Israel inatenda uhalifu dhidi ya ubinadamu
Hawza/ Rais wa Uturuki amelaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Lebanon, akiutuhumu utawala huo kwa kutenda uhalifu dhidi ya ubinadamu na kusisitiza kuwa; Ankara itaendelea kutoa uungaji mkono…
-
DuniaZaidi ya Wapalestina 40 wakamatwa katika uvamizi uliofanywa na jeshi la utawala wa Kizayuni huko Ukingo wa Magharibi
Hawza/ Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni, katika kuendeleza mashambulizi yao katika maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi, wamevamia mji wa Tal ulioko magharibi mwa Nablus na kuwakamata zaidi…
-
Spika wa Bunge Kuu la Taifa la Uturuki:
DuniaKukomeshwa kwa Uchokozi wa Israel Ndiko Kutakakoihakikishia Dunia Amani
Hawza / Spika wa Bunge Kuu la Taifa la Uturuki amesema katika ufunguzi wa Mkutano wa Mabunge ya NATO uliofanyika Istanbul kwamba; kusitishwa kwa mashambulizi ya utawala wa Kizayuni ni jambo la…
-
DuniaMaandamano ya Wakati Mmoja Istanbul na Izmir Dhidi ya Mkutano wa NATO; Waandamanaji: Uturuki Ijitoe NATO
Hawza/ Sambamba na kukaribia kufanyika kwa mkutano wa viongozi wa NATO mjini Ankara, mamia ya wanaharakati wa kisiasa na kijamii walifanya maandamano katika miji ya Istanbul na Izmir, wakitaka…
-
DuniaStockholm Yapaza Sauti ya Lebanon
Hawza/ Mamia ya watu waliokuwa wakipinga jinai za utawala wa Israel dhidi ya ubinadamu nchini Lebanon walikusanyika katikati ya jiji la Stockholm.
-
DuniaMaelfu ya Viatu vya Watoto Nchini Uholanzi; Simulizi Kimya cha Watoto wa Ghaza
Hawza/ Mji wa Den Bosch nchini Uholanzi ulikuwa eneo la hafla ya kugusa hisia kwa ajili ya kuwakumbuka watoto na waandishi wa habari wa Kipalestina waliopoteza maisha yao huko Ghaza; ambapo maelfu…
-
DuniaWanatunisi Wajiunga Kwenye Kususia Bidhaa za Israeli
Hawza/ Kampeni za kususia bidhaa za kampuni za kimataifa zinazounga mkono Uzayuni zimejitokeza kama nyenzo ya mapambano na ya kipekee katika shughuli za asasi za kiraia kwa ajili ya kuunga mkono…
-
DuniaSimulizi yenye Majeraha ya Watoto wa Ghaza; Waandishi wa Habari Walioshinda Tuzo Wataka Ukweli Usikike
Hawza/ Waandishi wawili wa habari kutoka Uholanzi ambao walifanikiwa kupata Tuzo ya Vyombo vya Habari ya Ulaya kwa kuandaa kumbukumbu za majeraha mabaya yaliyowaua watoto wa Ghaza, wameutaka…
-
DuniaWataliano walaani mauaji ya watoto yanayofanywa na Israel
Hawza/ Mamia ya watu walikusanyika mjini Milan nchini Italia ili kuenzi majina na kumbukumbu za watoto wa Palestina waliouawa, ambapo walionesha katikati ya jiji bango kubwa lililokuwa na majina…
-
DuniaHotuba ya afisa wa Israel katika mkutano wa kimataifa ilisimamishwa kabla ya kukamilika kutokana na upinzani wa kumpinga
Hawza / Wakati wa kikao cha Mkutano wa 114 wa Kimataifa wa Kazi mjini Geneva, hotuba ya mwanadiplomasia wa Israel ilisitishwa kutokana na upinzani mkubwa wa wawakilishi wa nchi mbalimbali na…
-
DuniaPakistan yatangaza kuendelea kuiunga mkono Palestina licha ya shinikizo la Israel
Hawza/ Pakistan, kwa lengo la kuzuia kuwepo kwa utata kuhusu msimamo wake kuhusiana na Israel, ilisisitiza kwamba; msimamo wake wa kuliunga mkono taifa huru la Palestina bado unaendelea kuwa…
-
DuniaWito wa Papa wa Kuiokoa Ghaza; Wananchi Bado Wako Katika Mateso
Hawza/ Papa Leo wa Kumi na Nne ameonya kuhusu kuendelea kwa mgogoro wa kibinadamu huko Ghaza na kuwataka viongozi wote wenye dhamana kuwezesha haraka njia za utoaji misaada na ujenzi upya wa…
-
DuniaRais wa Cyprus Kaskazini: Sitafanya Mazungumzo na Serikali Inayoua Watoto
Hawza/ Rais wa Jamhuri ya Cyprus Kaskazini amekosoa vikali ushirikiano wa kijeshi na kisiasa wa Cyprus Kusini na Israel, na kusisitiza kuwa; serikali ya Benjamin Netanyahu kutokana na mauaji…
-
DuniaGhaza Yamsindikiza Muhammad Odeh, Mmoja wa Makamanda wa “Vikosi vya Qassam”
Hawza/ Wapalestina katika mji wa Ghaza wameusindikiza mwili wa Muhammad Odeh maarufu kwa jina la “Abu Amr”, mmoja wa makamanda waandamizi wa “vikosi vya Izzuddin Qassam”, pamoja na mwili wa mke…
-
DuniaSauti ya Mafunzo ya Qur’ani Yavuma Ndani ya Magofu ya Ghaza
Hawza/ Katikati ya magofu yaliyosababishwa na vita na mauaji ya kimbari ya utawala wa Israel huko Ghaza, Shule ya Qur’ani ya Nur katika mji wa Khan Yunis imeunda mazingira ya utulivu wa kiroho…
-
DuniaRekodi ya Wiki 129 za Mfululizo ya Kuiunga Mkono Ghaza yawekwa nchini Tunisia
Hawza/ Kwa kaulimbiu ya “Pamoja kwa ajili ya kuvunja mzingiro”, mapigo ya moyo ya mitaa ya Tunisia yanaendelea kwa uthabiti na bila kuyumba, yakisisitiza kwamba; dira ya Palestina katika nyoyo…
-
DuniaMgomo wa pamoja nchini Italy
Hawza/ Italia wiki hii imeshuhudia mgomo wa kitaifa uliogusa sekta za usafiri, elimu na usafirishaji wa bidhaa, mgomo huu ulifanyika kufuatia wito wa vyama vya wafanyakazi kwa lengo la kupinga…
-
DuniaRaia wa Indonesia wainu bendera mahakamani kuonesha jinsi wanyoiunga mkono Iran
Hawza/ “Sisi tunaiunga mkono Iran!” Haya ni maneno aliyoyasema Pedro, mmoja wa waungaji mkono wa muqawama na wanaharakati wa kupinga Uzayuni, siku ya Ijumaa katika Mahakama ya Wilaya ya Kati…
-
Kamanda Mkuu wa Sepah:
DuniaKupata shahada Izzuddin Al-Haddad kumeweka wazi uvunjaji wa ahadi na usaliti wa wavamizi
Hawza/ Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa kupata shahada Izzuddin Al-Haddad, kamanda wa Brigedi ya Izzuddin Al-Qassam, alisisitiza:…
-
DuniaKivuli cha mateso ya Kizayuni juu ya Wapalestina katika ukimya wa vyombo vya habari na mazingira ya vita vya Marekani dhidi ya Iran
Hawza/ Wakati dunia kila siku inatangaza habari zinazohusiana na vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran pamoja na mashauriano ya kisiasa ya kikanda na kimataifa, katika kona nyingine ya dunia…
-
DuniaMsafara wa kimataifa wa meli za “Sumud” kwa mara nyingine umeelekea Ghaza kwa lengo la kuvunja mzingiro wa baharini
Hawza/ Makumi ya meli zilizobeba wanaharakati wa kimataifa na misaada ya kibinadamu ya mfano, katika mfumo wa msafara wa kimataifa wa “Sumud”, zimeondoka kutoka Ugiriki na bandari ya Marmaris…
-
DuniaMaandamano ya wananchi wa Stockholm dhidi ya jinai za Israel huko Ghaza na Lebanon
Hawza/ Mamia ya waandamanaji walikusanyika katika mji mkuu wa Sweden ili kupinga operesheni za kijeshi za utawala wa Israel za kuwaua watu wa Ghaza na Lebanon, na wakataka kusitishwa kwa mauaji…
-
DuniaBerlin yaandamana tena kwa ajili ya kuiunga mkono Ghaza
Hawza/ Maelfu ya watu waliopinga jinai za utawala wa Israel waliandamana katika mitaa ya Berlin ili katika maandamano ya pamoja waoneshe mshikamano wao na Wapalestina, na wakataka kusitishwa…
-
DuniaSimulizi ya mmoja wa wasafiri wa msafara wa “Sumud” kuhusu ukatili wa vikosi vya Israel: Walitutesa na mali zetu zilipotea
Hawza/ Mmoja wa wasafiri wa msafara wa “Sumud”, akielezea kwa kina maelezo ya kukamatwa kwa meli hiyo na vikosi vya Israel, alizungumzia kuhamishwa kwa lazima kwa abiria kwenda kwenye meli nyingine,…
-
DuniaMalalamiko dhidi ya uwepo wa kampuni zinazohusiana na viwanda vya kijeshi vya Israel katika maonesho ya ulinzi ya Istanbul
Hawza/ Sambamba na kufanyika kwa Maonesho ya Kimataifa ya Viwanda vya Ulinzi ya SAHA 2026 mjini Istanbul, uwepo wa baadhi ya kampuni zinazotuhumiwa kusambaza silaha na teknolojia za kijeshi kwa…
-
Rais wa zamani wa Uturuki:
DuniaIsrael ndiyo mhusika mkuu wa migogoro na mateso yanayoendelea katika eneo
Hawza/ Rais wa kumi na moja wa Uturuki katika Jukwaa la Kiuchumi la Delphi, huku akirejea maendeleo ya vita katika Asia Magharibi, alizungumzia kudhoofika kwa nafasi ya Marekani, kupotea kwa…
-
Mufti wa Iraq:
DuniaUmuhimu wa kuimarisha vyombo vya habari vya haki mbele ya mashambulizi ya propaganda dhidi ya Iran/ Vita vya vyombo vya habari ni uwanja mkuu wa mapambano kati ya haki na batili katika zama za leo
Hawza/ Sheikh Mahdi al-Sumaida'i, Mufti wa Iraq, katika kikao cha “Mustakbali wa Mapambano” alisisitiza umuhimu wa kuimarisha vyombo vya habari vya kambi ya haki, na akavielezea vita vya vyombo…
-
DuniaMexico kwa kisingizio cha kutokuwepo Palestina yakataa uanachama katika “Kamati ya Amani ya Ghaza” / Yatuma mwakilishi kama mwangalizi wa Washington
Hawza/ Rais wa Mexico kwa kukataa mwaliko binafsi wa Donald Trump wa kujiunga rasmi na “Kamati ya Amani katika Ukanda wa Ghaza”, ametangaza kuwa nchi yake itatuma tu mwakilishi kama mwangalizi…
-
DuniaKuondoa uwezo wa uzazi kwa wanawake wa Kipalestina; hatua mpya ya mashambulizi ya Israel dhidi ya Waislamu
Hawza/ Mtafiti mwandamizi wa masuala ya Mashariki ya Kati katika ripoti ya kina, kwa kuchunguza vipengele vya kihistoria na vya uwanjani vya mabadiliko ya Palestina, alidai kuwa; ukatili wa kingono…