Ghaza (102)
-
DuniaKiongozi mwandamizi wa Harakati ya Amal: Jeshi, taifa na muqawama bado ni nguzo muhimu na ya lazima
Hawza/ Khalil Hamdan alisisitiza kuwa eneo hili lipo juu ya moto; mahali ambapo misiba na changamoto zinaonekana kila upande—kuanzia Sudan hadi Yemen kuna migogoro ya ndani, na kuanzia Ghaza…
-
DuniaMaandamano ya Uturuki kwenye Mwaka Mpya wa Miladia kwa ajili ya kuiunga mkono Ghaza; wanasoka wa Uturuki nao waliingia uwanjani
Hawza/ Vilabu vya soka nchini Uturuki viliunga mkono maandamano ya Istanbul yaliyoandaliwa kupinga mauaji ya kimbari yanayoendelea nchini Palestina.
-
DuniaHamas: Uhalifu wa Israel dhidi ya wanahabari hautaweza kunyamazisha sauti ya ukweli
Hawza/ Hamas ilisema: “Baada ya miaka miwili ya vita na mauaji ya kimbari yaliyojaa umwagaji damu katika Ukanda wa Ghaza tangia tarehe 7 Oktoba 2023 hadi sasa, wanahabari na waandishi wa habari…
-
DuniaUhalifu wa Israel umefanya Papa aungane na wanaoiunga mkono Ghaza
Hawza/ Papa Leo wa Kumi na Nne huko Vatican alitoa wito wa kukomesha mateso na manyanyaso dhidi ya watu wa Ukanda wa Ghaza, hususan wale wanaoishi katika mahema na maeneo ya makazi ya muda chini…
-
DuniaWananchi wa Italia wafanya maandamano makubwa kwa ajili ya kuiunga mkono Palestina
Hawza/ Italia katika siku mbili zilizopita ilishuhudia migomo mikubwa ya kitaifa kwa wingi, pamoja na maandamano makubwa katika miji yake mikuu. Maandamano haya yalifanyika kwa lengo la kuonesha…
-
DuniaYanayojiri Ghaza ni mauaji ya halaiki yaliyo wazi na jinai dhidi ya ubinadamu
Hawza/ Sheikh Sayyid Bahauddin Naqshbandi, kiongozi wa twariqa ya Naqshbandiyya, katika warsha ya tano ya kimataifa isemayo: "Iran Jukwaa la Heshima ya Kiislamu katika kukabiliana na utawala…
-
Rais wa Jumuiya ya Wahadhiri wa Vyuo vya Serikali vya Pakistan:
DuniaIran ya ni mshika-bendera wa heshima na mpambanaji katika ulimwengu wa Kiislamu
Hawza/ Profesa Munawar Abbas, Rais wa Jumuiya ya Wahadhiri wa Vyuo vya Serikali vya Pakistan, katika warsha ya tano ya kimataifa isemayo: "Iran; Jukwaa la Heshima ya Kiislamu katika kukabiliana…
-
Mwenyekiti wa Kitengo cha Vijana cha Harakati ya Hamas – Ghaza:
DuniaMuqawama wa Kiislamu hautarudi nyuma mbele ya mashambulizi ya adui/ Ujasiri wa Shahidi Nasrullah ulijengwa juu ya elimu na busara
Hawza/ Al-Koumi, akisisitiza kuwa muqawama wa Kiislamu kamwe hautarejea nyuma mbele ya vitisho, vikwazo na mashinikizo ya kila aina, alisema: ujasiri wa Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah ulitokana…
-
DuniaUmoja wa Mataifa Wapitisha Mpango wa Marekani; Hamas Yakataa
Hawza/ Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha mpango wa Marekani wa kusitisha mapigano unaojumuisha uwepo wa majeshi ya uvamizi kwa jina la vikosi vya uthabiti wa kimataifa huko Gbaza,…
-
DuniaMuhammad Hannoun Afukuzwa Milan
Hawza/ Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wapalestina nchini Italia amezuiwa kuingia katika jiji la Milan kwa muda wa mwaka mmoja. Uamuzi huu umeelezwa kuwa si tu unakandamiza uhuru wa kujieleza, bali…
-
Ujumbe wa Kongamano la Kimataifa “Wito wa Palestina”:
DuniaWajibu wa kuisaidia Palestina ni zaidi ya itikadi na siasa
Hawza/ Kwa juhudi za mtandao wa “SNN”, kongamano la kimataifa liitwalo "Mwito wa Palestina" limefanyika kwa njia ya mtandao (Zoom) kutoka mji wa Lucknow, India, kwa ushiriki wa kundi la wanazuoni…
-
DuniaJumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu Lebanon: Kauli za Imam Khamenei Zinaleta Utulivu na Fakhari
Hawza/ Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon imesema kwamba maneno ya Mtukufu Ayatullah Imam Sayyid Ali Khamenei kuhusiana na matamshi ya Rais wa Marekani aliyedai kwamba alishambulia…
-
Antonio Guerrero:
DuniaWafungwa wa Kipalestina ni nembo ya uthabiti dhidi ya watawala dhalimu
Hawza/ Antonio Guerrero, shujaa wa Jamhuri ya Cuba na mmoja wa wanachama wa kundi la “Mashujaa Watano wa Cuba”, katika ujumbe wake wa kibinadamu na wa kina kuwaelekea wafungwa wa Kipalestina,…
-
Mwanazuoni wa Pakistani:
DuniaMataifa Huru Duniani yamegundua uwongo na hila za Marekani na Israeli
Hawza/ Hujjatul-Islam Maqsood Ali Domki katika hotuba yake alisema: damu safi ya mashahidi wa muqawama imefunua uso wa udanganyifu wa Marekani na Israeli na kuonesha ukweli wa dhulma inayoyakabili…
-
DuniaWafanyakazi na Wanafunzi Nchini Hispania wafanya Mgomo kwa ajili ya kuwakingia kifua Wapalestina
Hawza/ Wafanyakazi na wanafunzi wa Hispania walifanya maandamano makubwa ya kuiunga mkono Palestina tarehe 15 Oktoba, ambapo takriban maelfu ya watu walishiriki kutoka sehemu mbalimbali za Hispania.
-
Mwanazuoni wa Pakistan:
DuniaMarekani na Israel lazima watoe majibu kuhusiana na damu za mashahidi wa Ghaza
Hawza/ Hujjatul-Islam Maqsood Ali Domki alisema katika hotuba yake kwamba; Marekani na Israel lazima ziwajibike kuhusiana na damu za maelfu ya Wapelestina na kwamba ni watu wa Palestina pekee…
-
DuniaUchambuzi wa athari za maandamano ya kimataifa kuhusu suala la Ghaza
Hawza/ Sote tumeshuhudia mlipuko wa ghadhabu na chuki dhidi ya Israel kutokana na vita na mauaji ya kimbari yanayoendelea Ghaza, hasa katika kipindi cha miaka miwili iliyopita. Tukio hili limechochea…
-
DuniaMaandamano makubwa yafanyika mjini London kwa ajili ya kuiunga mkono Palestina
Hawza/ Zaidi ya nusu milioni ya waandamanaji waliopinga mauaji ya kimbari yanayoendelea Ghaza waliingia mitaani mjini London, wakitoa wito wa kusitishwa kabisa kwa mapigano na kuanzishwa kwa…
-
Katibu Mkuu wa Baraza la Umoja wa Waislamu Pakistan:
DuniaMarekani na Israeli wamepoteza katika vita vya Ghaza — ushindi ni wa Upande wa Muqawama
Hawzah/ Hujjatul Islam Sayyid Hasan Zafar Naqvi katika hotuba yake alisema kwamba: Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israeli wameshindwa katika vita hii, na ushindi wa mwisho utakuwa wa taifa…
-
Rais wa Kolombia:
DuniaTunataraji kushuhudia uundwaji wa taifa la Palestina
Hawza/ Rais wa Kolombia amepongeza makubaliano kati ya Israel na Hamas kuhusu awamu ya kwanza ya mpango wa amani katika Ukanda wa Ghaza, akieleza matumaini yake kwamba usitishaji huu wa mapigano…
-
DuniaMaandamano Makubwa yafanyika kila pembe ya Cuba kwa ajili ya Kuwaunga Mkono Watu wa Palestina na Kupinga Uhalifu Ghaza
Hawza/ Maelfu ya wananchi wa Cuba Jumatano waliandaa maandamano makubwa katika sehemu mbalimbali za nchi hiyo, wakionyesha uungaji wao mkono watu wa Palestina na kudai kusimamishwa mara moja…
-
DuniaMashabiki wa Timu za Hispania, Bilbao na Mallorca wawaunga mkono Wapalestina
Mashabiki wa Timu za Hispania, Bilbao na Mallorca waonesha mshikamano wao na Wapalestina katika ligi ya La Liga.
-
DuniaSababu zilizo chochea kufanyika Operesheni ya Mafuriko ya Aqsa “Tufan al-Aqsa” kwa kauli ya daktari wa Kipalestina
Hawza/ “Munaim” — daktari wa Kipalestina — ameandika: Sisi kabla ya tarehe 7 Oktoba tulihisi hatari; bali tuliiona kwa macho yetu wenyewe. Hatari ya kutoweka kabisa haki zetu; hatari ya kusahauliwa…
-
DuniaMikusanyiko na shughuli za kitamaduni za kuunga mkono Palestina yafanyika nchini Argentina
Hawza/ Makundi na mashirika mbalimbali mjini Buenos Aires yamefanya mikusanyiko, vipindi vya redio na shughuli za kitamaduni ili kuonesha uungaji wao mkono watu wa Palestina na kutangaza upinzani…
-
DuniaWataliano wataka mechi kati yao dhidi ya Israel Ifutwe
Hawza/ waandamanaji siku ya Ijumaa waliingia kwenye mazoezi ya timu ya taifa ya kandanda ya Italia, na baada ya kukaribia lango na uwanja, walitangaza kuwa wanataka mchezo wa timu yao dhidi ya…
-
Mwanachuoni wa Kidini wa Pakistan:
DuniaKujitolea kwa Harakati ya Muqāwama ya Palestina Hatimaye Kutausambaratisha Utawala wa Israel
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Nāzir Abbas Taqvī, katika hotuba yake, huku akisisitiza uimara wa Muqāwama wa Palestina alisema: “Kujitolea kwa wananchi na wapiganaji wa Palestina hatimaye kutausambarati…
-
Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi Asghariyya Pakistan:
DuniaKukandamizwa kwa Sauti za Wanaotetea Haki Kumeufichua Uso wa Kweli wa Utawala wa Kizayuni
Hawza/ Thaqalain Ali Jafari, katika taarifa yake iliyo laani vikali shambulio la utawala wa Kizayuni dhidi ya “Flotilla ya Kimataifa ya Ṣumūd”, alisisitiza kuwa mwenendo wa Israel dhidi ya wanaharaka…
-
DuniaRadi amali kali kutoka Chama cha Refah-e Melli Afghanistan dhidi ya hotuba ya Trump katika Umoja wa Mataifa
Hawza/ Chama cha Refah-e Melli Afghanistan kimekosoa vikali maneno ya hivi karibuni ya Donald Trump katika Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Mataifa kuhusu amani na kusitishwa kwa mapigano…
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan:
DuniaGhaza imekuwa makaburi ya ubinadamu na dhamiri ya ulimwengu
Hawza/ Ishaq Dar, katika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, alionya kwamba Ghaza imegeuka kuwa makaburi ya ubinadamu na dhamiri ya ulimwengu, kutokana na vifo vingi na hali mbaya…
-
DuniaMfalme wa Hispania azitaja hatua za Israel kuwa “za kuchukiza na kinyume na dhamiri ya kibinadamu”
Hawza/ Felipe wa Sita, Mfalme wa Uhispania, katika hotuba yake kwenye Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa, akizungumza kwa msimamo mkali dhidi ya hatua za utawala wa Kizayuni huko Ghaza, alitoa…