Ghaza (13)
-
DuniaZakariya al-Sinwar, ndugu wa Shahidi Yahya al-Sinwar, auwawa kishahidi katika kambi ya al-Nusairat.
Hawza/ Zakariya al-Sinwar, ndugu yake Yahya al-Sinwar, ameuawa kishahidi pamoja na wanawe watatu katika shambulio lililo fanywa na utawala wa Kizayuni kwenye kambi ya al-Nusairat katikati mwa…
-
DuniaRais wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan: Ukombozi wa Quds ni ahadi ya Mwenyezi Mungu
Hawza/ Katika kumbukumbu ya siku ya kukaliwa kimabavu kwa mji mtakatifu wa Quds, Seneta Raja Nasir Abbas Jafari, katika tamko alilolitoa, amelaani jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni na…
-
DuniaNjaa na ukame huko Ghaza ni ishara ya ukosefu wa maadili ya kibinadamu duniani
Hawza/ Mgogoro wa Ghaza ni janga la kibinadamu ambalo athari zake mbaya zinawakumba watu wa tabaka lote, lakini mzigo mkubwa zaidi unabebwa na watoto. Mzigo huu unavunja mifupa yao, kwa hakika,…
-
DuniaRais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan: Israeli ni utawala wa kimabavu, usio halali na ni tishio kwa amani ya dunia
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake kwenye mnasaba wa Siku ya Nakba (15 Mei), amelieleza utawala wa Kizayuni kuwa ni utawala wa kunyang’anya kwa nguvu…
-
DuniaPingamizi kutoka kwenye Familia za Mateka wa Kizayuni dhidi ya Netanyahu: Malizeni Vita
Familia za mateka wa utawala batili wa Kizayuni kupitia maandamano, walidai kuachiliwa kwa mateka hao na kusema: "Hatuafikiani na kauli za Netanyahu zinazopendelea kuendelezwa kwa vita badala…
-
DuniaKamata kamata ya kimabavu kati ya Polisi wa Uholanzi dhidi ya waandamanaji wanaopinga Vita dhidi ya Ghaza
Waandamanaji waliokuwa wakionesha upinzani wao dhidi ya vitendo vya utawala wa Kizayuni wa Israel na waliokuwa wakitaka serikali ya Uholanzi isifungamane na utawala huo dhalimu, walikamatwa katika…
-
DuniaTunaihesabu Uingereza kama mshirika mkuu wa Israel/ Simamisheni uuzaji wa silaha kwa Israel!
Israel tangia tarehe 2 Machi imefunga njia zote za kuingilia Ukanda wa Ghaza, na licha ya ripoti nyingi kuhusiana na njaa kali inayosababishwa na kivuli cha vita, Israel bado imezuia kuingia…
-
DuniaMaandamano Makubwa yafanyika katika Miji ya Marekani yakilenga Kusitishwa Mara Moja vita vinavyo endelea huko Ghaza
Maandamano makubwa yamefanyika siku ya Ijumaa katika miji kadhaa nchini Marekani huku yakihudhuriwa na watu wengi, watu hao walidai kusitishwa mara moja kwa vita huko Ghaza na kusema kuwa njia…
-
DuniaWanafunzi wa Kifaransa wadai kuekewa vikwazo vya kiuchumi Israel, kwa ajili ya kuwakingia kifua watu wa Ghaza
Wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya Ufaransa siku ya Ijumaa huko Paris waliandamana kwa ajili ya kuwaunga mkono watu wa Ghaza.
-
DuniaBaadhi ya viongozi wa nchi za Kiislamu hawana ujasiri hata wa mtoto mdogo wa Ghaza
Baadhi ya viongozi wa nchi za Kiislamu, siku moja watalazimika kutoa majibu. Naam, sisi tunawauliza watu wenye nidhamu za woga: Je, hamna hata ujasiri wa kiwango cha mtoto aliyesimama mbele ya…
-
Ayatollah Al-Jawahiri:
HawzaGhaza haitashindwa kamwe
Ayatollah al-Jawahiri amesisitiza “nafasi isiyo na mfano ya maulamaa katika kuilinda Umma”, ameuita ushindi wa Gaza kuwa hauepukiki, na aina yoyote ya kujisalimisha mbele ya adui ni khiyana kwa…
-
Nasir Abu Sharif katika Msikiti wa Jamkaran:
DuniaKwa siku 44 hakuna maji, chakula wala dawa vilivyoingia Ghaza / Wanazuoni katika ulimwengu wa Kiislamu wako wapi?
Mwakilishi wa Harakati ya Jihad ya Kiislamu ya Palestina alisema: “Kwa kipindi cha miezi 18 tumeshuhudia dhulma, mauaji ya halaiki, mauaji ya watoto, njaa na kiu huko Gaza. Kwa siku 44 hakuna…
-
DuniaUlamaa wa Yemen wamesisitiza kuhamasisha umma kukabiliana na mashambulizi mapya ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Ghaza
Taasisi ya Ulamaa wa Yemen imesema: "Katika kukabiliana na kuvunjwa kwa makubaliano na adui Muisraeli na uvunjwaji wa masharti ya mkataba, kutokana na kuanza tena vita vya uharibifu na kutekeleza…