Ghaza (86)
-
DuniaUchambuzi wa athari za maandamano ya kimataifa kuhusu suala la Ghaza
Hawza/ Sote tumeshuhudia mlipuko wa ghadhabu na chuki dhidi ya Israel kutokana na vita na mauaji ya kimbari yanayoendelea Ghaza, hasa katika kipindi cha miaka miwili iliyopita. Tukio hili limechochea…
-
DuniaMaandamano makubwa yafanyika mjini London kwa ajili ya kuiunga mkono Palestina
Hawza/ Zaidi ya nusu milioni ya waandamanaji waliopinga mauaji ya kimbari yanayoendelea Ghaza waliingia mitaani mjini London, wakitoa wito wa kusitishwa kabisa kwa mapigano na kuanzishwa kwa…
-
Katibu Mkuu wa Baraza la Umoja wa Waislamu Pakistan:
DuniaMarekani na Israeli wamepoteza katika vita vya Ghaza — ushindi ni wa Upande wa Muqawama
Hawzah/ Hujjatul Islam Sayyid Hasan Zafar Naqvi katika hotuba yake alisema kwamba: Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israeli wameshindwa katika vita hii, na ushindi wa mwisho utakuwa wa taifa…
-
Rais wa Kolombia:
DuniaTunataraji kushuhudia uundwaji wa taifa la Palestina
Hawza/ Rais wa Kolombia amepongeza makubaliano kati ya Israel na Hamas kuhusu awamu ya kwanza ya mpango wa amani katika Ukanda wa Ghaza, akieleza matumaini yake kwamba usitishaji huu wa mapigano…
-
DuniaMaandamano Makubwa yafanyika kila pembe ya Cuba kwa ajili ya Kuwaunga Mkono Watu wa Palestina na Kupinga Uhalifu Ghaza
Hawza/ Maelfu ya wananchi wa Cuba Jumatano waliandaa maandamano makubwa katika sehemu mbalimbali za nchi hiyo, wakionyesha uungaji wao mkono watu wa Palestina na kudai kusimamishwa mara moja…
-
DuniaMashabiki wa Timu za Hispania, Bilbao na Mallorca wawaunga mkono Wapalestina
Mashabiki wa Timu za Hispania, Bilbao na Mallorca waonesha mshikamano wao na Wapalestina katika ligi ya La Liga.
-
DuniaSababu zilizo chochea kufanyika Operesheni ya Mafuriko ya Aqsa “Tufan al-Aqsa” kwa kauli ya daktari wa Kipalestina
Hawza/ “Munaim” — daktari wa Kipalestina — ameandika: Sisi kabla ya tarehe 7 Oktoba tulihisi hatari; bali tuliiona kwa macho yetu wenyewe. Hatari ya kutoweka kabisa haki zetu; hatari ya kusahauliwa…
-
DuniaMikusanyiko na shughuli za kitamaduni za kuunga mkono Palestina yafanyika nchini Argentina
Hawza/ Makundi na mashirika mbalimbali mjini Buenos Aires yamefanya mikusanyiko, vipindi vya redio na shughuli za kitamaduni ili kuonesha uungaji wao mkono watu wa Palestina na kutangaza upinzani…
-
DuniaWataliano wataka mechi kati yao dhidi ya Israel Ifutwe
Hawza/ waandamanaji siku ya Ijumaa waliingia kwenye mazoezi ya timu ya taifa ya kandanda ya Italia, na baada ya kukaribia lango na uwanja, walitangaza kuwa wanataka mchezo wa timu yao dhidi ya…
-
Mwanachuoni wa Kidini wa Pakistan:
DuniaKujitolea kwa Harakati ya Muqāwama ya Palestina Hatimaye Kutausambaratisha Utawala wa Israel
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Nāzir Abbas Taqvī, katika hotuba yake, huku akisisitiza uimara wa Muqāwama wa Palestina alisema: “Kujitolea kwa wananchi na wapiganaji wa Palestina hatimaye kutausambarati…
-
Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi Asghariyya Pakistan:
DuniaKukandamizwa kwa Sauti za Wanaotetea Haki Kumeufichua Uso wa Kweli wa Utawala wa Kizayuni
Hawza/ Thaqalain Ali Jafari, katika taarifa yake iliyo laani vikali shambulio la utawala wa Kizayuni dhidi ya “Flotilla ya Kimataifa ya Ṣumūd”, alisisitiza kuwa mwenendo wa Israel dhidi ya wanaharaka…
-
DuniaRadi amali kali kutoka Chama cha Refah-e Melli Afghanistan dhidi ya hotuba ya Trump katika Umoja wa Mataifa
Hawza/ Chama cha Refah-e Melli Afghanistan kimekosoa vikali maneno ya hivi karibuni ya Donald Trump katika Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Mataifa kuhusu amani na kusitishwa kwa mapigano…
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan:
DuniaGhaza imekuwa makaburi ya ubinadamu na dhamiri ya ulimwengu
Hawza/ Ishaq Dar, katika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, alionya kwamba Ghaza imegeuka kuwa makaburi ya ubinadamu na dhamiri ya ulimwengu, kutokana na vifo vingi na hali mbaya…
-
DuniaMfalme wa Hispania azitaja hatua za Israel kuwa “za kuchukiza na kinyume na dhamiri ya kibinadamu”
Hawza/ Felipe wa Sita, Mfalme wa Uhispania, katika hotuba yake kwenye Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa, akizungumza kwa msimamo mkali dhidi ya hatua za utawala wa Kizayuni huko Ghaza, alitoa…
-
DuniaMgomo mfululizo nchini Italia kwa ajili ya kuiunga mkono Ghaza
Hawza/ Vyama vya wafanyakazi na vikundi vya haki za binadamu nchini Italia vimezindua mradi wa kuandaa mgomo mfululizo kwa ajili ya kuiunga mkono Ghaza, chini ya kauli mbiu: “Chagua umesimama…
-
DuniaMaandamano makubwa yakibeba kaulimbiu isemayo “Watoto wa Ghaza” yamefanyika katika mji wa Karachi, Pakistan
Hawza / Maandamano makubwa yaliyobeba kaulimbiu isemayo “Watoto wa Ghaza” yamefanyika mjini Karachi, Pakistan; mamilioni ya watoto, wanafunzi wa shule na wanafunzi wa vyuo walishiriki kwa wingi…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaBila ya kutatuliwa suala la Palestina, amani ya dunia ni ndoto isiyo na maana
Hawza/ Hujjat al-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqwi, katika ujumbe wake, huku akikosoa viwango viwili vya jumuiya ya kimataifa kuhusiana na suala la Palestina, alisisitiza: Amani ya kweli…
-
DuniaImamu wa Ijumaa Baghdad ataka msimamo mmoja wa Kiislamu na Kiarabu kuhusiana na Ghaza
Hawzah/ Ayatullah Sayyid Yasin Musawi, huku akikosoa ukimya na kutofanya lolote kwa baadhi ya nchi za Kiislamu na Kiarabu mbele ya mauaji ya Wapalestina, amesisitiza juu ya ulazima wa kuchukua…
-
DuniaEric Cantona awajia juu FIFA na UEFA kutokana na kuiruhu timu ya Israel huku wakiwabania Urusi
Hawza/ Mwanasoka wa zamani wa kimataifa wa timu ya Taifa ya Ufaransa na nyota wa zamani wa Manchester United, Eric Cantona, ameibua mjadala mkali baada ya kuikosoa FIFA na UEFA kwa kile alichokiita…
-
Raisi wa Baraza la Waislamu wa Kishia nchini Pakistan:
DuniaMauaji ya Kimbari ya Wapalestina ni Matokeo ya Utendaji wa Ukoloni Duniani
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Seyyed Sajid Ali Naqvi, Raisi wa Baraza la Waislamu wa Kishia nchini Pakistan, katika tamko lake alieleza kwamba; Israel ni zana tu ya ukoloni wa dunia, na…
-
Rais wa Shirika la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu Iran:
DuniaMauaji ya halaiki huko Ghaza yanafichwa kupitia simulizi za kubuniwa
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Imani-Pour alisema: Yale yanayotokea Ghaza yanakutana na upotoshaji na kufichwa, wanafanya mauaji ya halaiki na jinai kisha wanadai amani, wanaua watoto wasio…
-
Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaUhalifu wa kikatili unaofanywa na utawala wa Kizayuni ni kofi la fedheha zaidi kwa nyuso za wale wanaodai kuheshimu Siku ya Kimataifa ya Demokrasia
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, kutokana na mnasaba wa Siku ya Kimataifa ya Demokrasia, katika ujumbe wake amesisitiza: Wakati ambapo Ghaza inateketea chini ya moto…
-
DuniaWakazi wa New York na New Zealand wameandamana kudai vita vya Ghaza vifikie hatam
Hawza/ Watu wa New York na New Zealand katika maandamano makubwa wameitaka Israel isimamishiwe kikamilifu na kwa upana wote kuhusiana na mauzo ya silaha.
-
Chaneli 13 ya Israeli:
DuniaIsrael inakabiliwa na “tsunami ya kisiasa” na upweke wetu baada ya kushindwa kwa shambulizi letu dhidi ya Qatar unaongezeka
Hawza/ Chaneli 13 ya Israeli imefichua kuhusu mgogoro mkubwa wa kisiasa na kidiplomasia unaoikumba Israel baada ya kushindwa kwa shambulizi dhidi ya Qatar na kuongezeka kwa upweke wa kimataifa.
-
DuniaMajibu ya Watu wa Ghaza kuijibu barua ya Israeli iliyowataka kuwahamasisha kwa nguvu: Hatutaondoka Ghaza kamwe
Hawza/ Watu wa Ghaza katika kukabiliana na karatasi ambazo utawala wa kikoloni ulizimwaga kwa watu wa Ghaza nazo na kuwalazimisha kuacha nyumba na makazi yao, walikusanyika kwa ajili ya kufanya…
-
DuniaUhispania yachukua kwa Hatua Kubwa ajili ya Kuuwekea Vikwazo Utawala wa Kizayuni
Hawza/ Bwana Sánchez katika hotuba yake ya hivi karibuni, sambamba na kutangaza mipango yake ya baadaye kwa ajili ya nchi ya Uhispania, pia alitangaza kuwa nchi hii inalaani jinai zinazofanywa…
-
DuniaShambulio la droni lililofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya moja ya meli za msafara wa “Sumud”
Shambulio la droni la utawala wa Kizayuni dhidi ya moja ya meli za msafara wa “Sumud” ambayo ilikuwa imebeba watu kutoka nchi 44 duniani limezidisha wasiwasi kuhusiana na hali ya Ghaza.
-
DuniaWaziri Mkuu wa Pakistan: Shambulio lililofanywa na Israel dhidi ya Qatar ni uvunjaji wa wazi wa uhuru wa taifa na tishio kwa amani ya ukanda huu
Hawza / Mian Muhammad Shehbaz Sharif, katika tamko lake, amelaani vikali shambulio la Israel dhidi ya Qatar na kulieleza kuwa ni uvunjaji wa wazi wa uhuru wa taifa hilo na tishio kubwa kwa amani…
-
DuniaWizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki yailaani vikali Israel kutokana na shambulio lake dhidi ya Qatar
Hawza / Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki imetoa tamko rasmi ikilaani vikali shambulio la Israel dhidi ya ujumbe wa mazungumzo wa Hamas mjini Doha, mji mkuu wa Qatar.
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Palestina katika ufunguzi wa Mkutano wa Umoja:
DuniaIwapo Ghaza itaanguka, hakuna nchi ya Kiislamu itakayokuwa salama
Hawza/ Sheikh Hassan Muhammad Qasim akiwahutubia Waislamu alisema: Ingieni mkono Palestina, kwani iwapo Ghaza itaanguka, hakika nyinyi pia mtaanguka.