Hawza / Ayatollah Sayyid Abdullah Ghuraifi, mmoja wa maulamaa mashuhuri wa Bahrain, amesisitiza kuwa ujumbe wa Ashura ni kukataa ufisadi, dhulma, uovu, upotovu, batili na utumwa.
Hawza; Nakala hii ya kipekee ya Qur'ani Tukufu iliyohifadhiwa kwa maandishi ya mkono ina urefu wa mita 1,250, na imetolewa kama zawadi kuielekea Haram ya Imamu Husein (a.s).