Ijumaa 1 Agosti 2025 - 23:45
Zaidi ya Walimu 2000 wa hawza ya Qom, Waunga Mkono Uongozi, Marjaa na Watu wa Ghaza/ Damu na Mali za Trump, Muuaji na Mhalifu, ni Halali

Hawza/ Zaidi ya mafaqihi na walimu 2000 wa ngazi za juu na za wa hawza Qom, kwa kuunga mkono hadhi ya juu ya marjaa na uongozi wa Uislamu duniani na watu wanyonge wa Gaza, wametaka Netanyahu, jambazi na muuaji wa watoto, pamoja na Trump, muuaji na mwenye kumwaga damu, wafikishwe mahakamani kama wahalifu wa kivita.

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Hawza, andiko la taarifa ya mafaqihi na walimu 2000 wa hawza ya Qom ni kama ifuatavyo:

Bismillahir Rahmanir Rahim

"وَقَاتِلُواْ أَئِمَّةَ الْکُفْرِ إِنَّهُمْ لَا أَیْمَانَ لَهُمْ لَعَلَّهُمْ یَنتَهُونَ"

basi piganeni na waongozi wa ukafiri. Hakika hao hawana viapo vya kweli. Huenda (kwa hayo) wakaacha

(Surat Tawba: 12)

Enyi walioamka mioyo duniani! Enyi watu huru wa ulimwengu! Enyi wapenzi wa haki na uadilifu!

Leo dunia, ikiwa katika mshangao na butwaa, inashuhudia mauaji ya kimbari ya kinyama yanayofanywa na utawala wa Kizayuni, na kuzuiwa chakula watoto, wanawake na watu wasio na ulinzi wa Ghaza, na sambamba na hayo dharau na ujeuri wa kijinga na wa aibu wa rais mzembe wa Marekani.

Sasa ni wajibu juu ya Waislamu wote walioamka na wapenda uhuru wenye dhamira duniani kusimama na kuvunja vikwazo vya watu wanyonge wa Palestina na kuwaokoa watu wenye njaa, kiu, wasio na makazi na waliotupwa.

Kwa upande mwingine, ujeuri usio wa kawaida wa rais mcheza kamari wa Marekani na mpango wa kutaka kumuua na kuidhuru hadhi tukufu ya uongozi wa juu na uongozi wa Kiislamu wa duniani, unaonyesha nia zao chafu za kupima kiwango cha joto la dunia ya Kiislamu. Maneno haya ya kipuuzi ni dhihaka ya wazi kwa mamilioni ya Waislamu na watu huru duniani kote na yanaonyesha kiwango cha kukata tamaa na woga wa maadui kutokana na nguvu ya kiroho na ushawishi wa kipekee wa uongozi wa kimungu.

Tunamwambia rais mjinga wa Marekani kuwa uongozi na marjaa ni mstari mwekundu wa umma wa Kiislamu.

Sasa watu wa hawza walio macho katika ngazi zote, wakiwemo marjaa wakubwa wa taqlid, walimu waheshimiwa, watafiti mashuhuri na wanafunzi mashujaa kote nchini, sambamba na kuamka na ghadhabu isiyo ya kawaida ya umma wa Kiislamu na wapenda uhuru wote wa dunia, pamoja na kulaani dharau hii ya aibu kwa njia kali kabisa, wanatangaza kwa uthabiti kwamba shambulio dogo lolote au jaribio la kuidhuru hadhi takatifu ya uongozi wa Faqihi, uongozi na marjaa ya Kishia, ni sawa na kutangaza vita vya wazi na vya jumla dhidi ya Uislamu na Waislamu wote duniani.

Jibu la njama hii mbaya litakuwa ni jihad ya pamoja na thabiti ya umma wa Kiislamu kwa ajili ya kuangamiza kabisa viongozi wa serikali ya kiistikbari ya Marekani, utawala muuaji wa watoto na mchukuaji wa ardhi wa Kizayuni, na washirika wao wote wa kifedhuli na vibaraka wa kikanda. Katika njia hii tukufu, ruhusa ya kisheria na ya kiakili kwa kushambulia nafsi, mali na maslahi ya maadui waliokula kiapo cha uadui dhidi ya Uislamu katika eneo na duniani kote, imetolewa.

Maneno ya kipuuzi ya dikteta mwendawazimu wa Marekani hayataweza kubaki bila majibu, anatakiwa ajue kwamba mataifa ya Kiislamu na yenye heshima yatavunja midomo inayothubutu kutishia hadhi ya juu ya uongozi na uongozi wa Kiislamu wa dunia kwa ngumi zao za chuma.

Trump, mhalifu, kwa kumwaga damu takatifu ya kamanda mpenzi wetu, shahidi Luteni Jenerali Haj Qasem Soleimani, anatudai uhai mmoja na anatudai kisasi kikubwa.

Sasa tunawatangazia wapenda uhuru wote duniani na wafuasi wote wa njia angavu ya shahidi Soleimani mpendwa: kipindi cha uvumilivu na subira ya kimapinduzi kimefika mwisho, kuanzia sasa, damu na mali ya muuaji huyo katili na mhalifu, Donald Trump, ni halali, na kisasi cha damu safi ya shahidi huyo ni wajibu wa kisheria na kimaadili juu ya kila mwanamume na mwanamke Mwislamu na mpigania uhuru katika kila kona ya dunia.

Hatua hii, ni katika daraja ya kisasi cha haki na ulinzi halali wa dini, taifa na heshima ya umma wa Kiislamu. 

Tunaliomba kwa msisitizo jeshi la heshima la mahakama ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kushughulikia kwa bidii kamili uwasilishaji wa kesi na ufuatiliaji katika mahakama za kimataifa dhidi ya Donald Trump na Benjamin Netanyahu, jambazi na mwenye kumwaga damu, ambao mikono yao imejaa damu ya maelfu ya watu wasio na ulinzi wa Ghaza, Lebanon, Syria, Yemen, Iraq na Iran, kwa kosa la uhalifu wa kivita na uharibifu mkubwa duniani. Ushahidi na vielelezo vingi vipo kuthibitisha uhalifu huu wa kutisha, na haki ya kimataifa inataka kesi na adhabu kwa viumbe hawa wa ufisadi.

Kisasi cha uhalifu mwingine mwingi wa wafisadi hawa wateketezaji wa dunia, kipo palepale, na umma wa Kiislamu kamwe hautasamehe damu ya wanyonge.

"Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu, Mwenye kisasi."

Sekretarieti ya Umoja wa Walimu wa hawza Qom

Mwisho wa taarifa.

Lebo

Maoni yako

You are replying to: .
captcha