Hawza ya Qum (24)
-
HawzaHawza yatoa Shukrani za dhati kutokana na mahudhurio ya mamilioni ya watu kwenye Arubaini pamoja na Ukarimu wa Serikali na Taifa la Iraq
Hawza/ Kituo cha Usimamizi wa Hawza, sambamba na kuthamini uwepo wa mamilioni ya waty katika tukio hili kubwa la kimungu na kistaarabu la Arubaini, na pia kutoa shukrani zake kutokana na ukarimu…
-
DuniaZaidi ya Walimu 2000 wa hawza ya Qom, Waunga Mkono Uongozi, Marjaa na Watu wa Ghaza/ Damu na Mali za Trump, Muuaji na Mhalifu, ni Halali
Hawza/ Zaidi ya mafaqihi na walimu 2000 wa ngazi za juu na za wa hawza Qom, kwa kuunga mkono hadhi ya juu ya marjaa na uongozi wa Uislamu duniani na watu wanyonge wa Gaza, wametaka Netanyahu,…
-
DuniaLebeika; Hawza na Wanazuoni tunaitikia Amri ya Kiongozi wa Waislamu / Tupo tayari kutekeleza wadhifa kwa kuzitoa nafsi zetu
Hawza/ Wanazuoni na wanafunzi wa Hawza wenye ghera (wivu) na dini na mapinduzi, sambamba na kufanya upya kiapo na ahadi yao kwa Kiongozi wa Waislamu wa ulimwengu, wameupa thamani utekelezaji…
-
Jumuiya ya Wawakilishi wa Wanafunzi na Wanazuoni wa Hawza ya Qom:
DuniaEnyi watawala dhaifu na walioshikwa na tamaa ya madaraka, hamuoni njaa zinazo wakabili watoto wa Ghaza?
Hawza/ Enyi watawala dhaifu na walioshikwa na tamaa ya madaraka! Msiziingize nafsi zenu kuwa vinyago vya Mayahudi wa Kizayuni, na jueni kwamba uzembe huu umeifanya ardhi ya Ghaza kuwa mahali…
-
HawzaZaidi ya mafakihi na walimu 400 wa Hawza ya Qom waiunga mkono kikamilifu fatwa ya kihistoria ya maraaji’ wa taqlid
Hawza/ Zaidi ya watu 400 miongoni mwao ni mafakihi na walimu wanachama wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom "J'amiat Mudarisin" wametangaza uungaji mkono wao wa wazi na wa dhati kwa fatwa ya…
-
Maulamaa wakubwa na mamufti wa nchi za kiislamu watoa wito:
DuniaMahakama ya kimataifa iwahukumu Trump na Netanyahu kama wanaoupiga vita uislamu na waharibifu duniani / Mwamko wa kumuunga mkono kiongozi Ayatollah al-udhma Imam Khamenei
Hawzah/ Maulamaa wakubwa, mumuft, wanazuoni na viongozi wa nchi za Kiislamu, huku wakitegemea aya za wazi za Qur’ani Tukufu, Sunna za Mtume Mtukufu (saw), misingi thabiti ya fiqhi ya Kiislamu…
-
HawzaTaarifa ya Walimu 102 wa Masomo ya wazi na Masomo ya Kiwango cha Juu wa Hawza ya Qom, kwa ajili ya kumuunga mkono Imam Khamenei
Hawza/ Kundi la walimu wa masomo ya wazi na ngazi za juu katika Hawza ya Qom wametangaza kwamba: Kwa kufuata na kuiga Marjaa wakubwa wa Taqlid na walimu wetu mashuhuri, tunatangaza kuwa tutalijibu…
-
Katika mahojiano na mkurugenzi (mudir) wa tabligh wa kimataifa wa hawza iliangaliwa:
HawzaMbinu za kutimiza nafasi ya kimataifa ya hawza/ Fursa zisizokuwa na mfano za tabligh ya dini katika kipindi cha sasa
Hawzah/ Hujjatul-Islam wal-Muslimīn Sayyid Ja‘far Musawīzādeh amesema: Ushauri muhimu zaidi wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika ujumbe wake wa kihistoria kutokana na mnasaba wa miaka…
-
HawzaUkuaji na Maendeleo ya chombo cha habari cha hawza katika Miaka mia moja ya hivi karibuni
Hawza/ Mkuu wa Sekretarieti ya Jumuiya za Kitaaluma za Hawza, huku akieleza nafasi ya kimaendelea ya hawza katika kuanzisha na kuendeleza taasisi za vyombo vya habari, amezitaja juhudi za wanazuoni…
-
HawzaMwanafikra wa Kihindi: Hawza ya Qom ndio Mshika Bendera ya Ijtihadi Dhidi ya fikra mgando
Hawza/ Aqil Reza Turabi, mwanafikra wa Kihindi, katika tamko lake ameielezea Hawza ya Elimu ya Qom kuwa ni mfano wa mapinduzi hai, yenye mwanga, kiroho na kiakili.
-
HawzaTaarifa ya Hawza Kuhusiana na Kauli za dhihaka za Trump / Serikali za ukanda huu zisiingie katika mitego ya upuuzi Huo
Uongozi wa hawza, sambamba na kulaani upuuzi wa Rais mwenye dhalili wa Marekani — ambao umetolewa kwa nia ya kuiunga mkono serikali ya Kizayuni na kuchochea mifarakano baina ya nchi za Kiislamu…
-
Ayatollah A'rafi asema kuwa:
HawzaHawza ya Qom imeenea katika nchi zaidi ya 100 duniani
Mkurugenzi (Mudir) wa Hawza nchini Irani alisema: Katika zaidi ya nchi 100 duniani, vijana wanaopenda maarifa ya kimungu wamejitokeza na kwa kunufaika na maarifa waliyojifunza katika Hawza ya…
-
HawzaJe! Kwa nini Kiongozi wa Mapinduzi aliunganisha Hawza na Historia?
Kiongozi wa Mapinduzi katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa kutimia miaka mia moja tangu kuanzishwa upya kwa Hawza ya Qom, kwa kusisitiza nafasi kuu ya historia katika uelewa wa dini, alikumbushia…
-
HawzaBarua ya Ayatollah Arafi kumuelekea Imam Khamenei / Ahadi na Kiaga cha Wanahawza kwa Ajili ya Kutekeleza Azimio la “Hawza Inayosonga mbele na Iliyopo Kileleni”
Mkurugenzi wa Hawza nchi Irani, ametoa shukrani na pongezi kutokana ujumbe wa kihistoria na muhimu ulio tolewa na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwenye kongamano la kumbukumbu ya miaka…
-
Ayatollah A'arafi amesema:
HawzaUtekelezaji wa Mpango wa awamu ya pili ya Miaka Mitano ya Hawza kwa mujibu wa ujumbe wa kihistoria wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi
Mkurugenzi (Mudir) wa Hawza nchini Irani, huku akitoa shukrani kutokana na ujumbe wa kimkakati na wa kihistoria uliotelewa na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi, ametangaza kuwa mpango wa awamu ya pili…
-
HawzaUjumbe wa Ayatollah al-‘Udhma Nuri Hamedānī kwenye Kongamano la Karne Moja tangia Kuanzishwa Upya Hawza ya Qom
Hawza/ Ayatollah Nurī Hamedānī ametuma ujumbe kwa ajili ya kongamano la kimataifa la kuadhimisha miaka mia moja tangu kuanzishwa upya Hawza ya Qom.
-
Sheikh Naim Qasim:
DuniaAthari kubwa za Hawza ya Qum zimeenea duniani kote
Katibu Mkuu wa Hizbullah Lebanon ameeleza athari na baraka za Hawza ya Qum zimeenea katika uwanja wa kitamaduni na kijamii, hasa katika suala la kuunda Mapinduzi ya Kiislamu na mhimili wa muqawama.
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amuli:
HawzaKuendelezwa elimu za kiakili katika Hawza ni miongoni mwa masuala aliyoyapa umuhimu mkubwa marehemu Ayatollah al-Udhma Hairi / kuzamia katika bahari ya Qur'ani na Ahlul-Bayt ndiyo risala ya Hawza
Kiongozi wa juu wa kidini na mfasiri maarufu wa Qur’ani Tukufu, huku akisisitiza kuwa kuzama katika bahari kuu ya Qur’ani na Ahlul-Bayt ni risala ya Hawza, alisema: Marehemu Ayatollah al-Udhma…
-
Ayatollah al-Udhma Subhani:
HawzaMarehemu Ayatollah al-Udhma Ha’iri alikuwa mfano wa wazi wa "العالم بزمانه" (mwanazuoni katika zama zake), Hawza ya Qom ni muendelezo wa kihistoria wa Hawza ya Madina, Kufa na Khorasan
Mwanachuoni mkubwa katika ulimwengu ya Kishia, sambamba na kuelezea mchakato wa kihistoria wa kuundwa kwa Hawza za fiqhi na hadithi kutoka Madina tukufu hadi Qom, alisema: Marehemu Ayatollah…
-
Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Kongamano la Maadhimisho ya Miaka Mia Moja Tangia Kuasisiwa upya Hawza ya Qum:
HawzaJukumu kuu zaidi la hawza ni "balāgh mubīn" (ufikishaji ulio bayana) na kuandaa mazingira ya ustaarabu mpya wa Kiislamu / Utekelezaji wa hawza yenye kujenga ustaarabu kupitia kulea “mujahid wa kitamaduni aliyejitakashasha kimaadili” na “mbunifu”
Ayatollah Ali Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika ujumbe wake kwa kongamano la “maadhimisho ya miaka mia moja tangu kuasisiwa upya kwa Hawza ya Kielimu ya Qum,” pamoja na kubainisha…
-
Mhubiri wa Kimataifa katika Mazungumzo na Mwandishi wa Habari wa Idara ya Hawza:
HawzaHawza ndio taasisi pekee inayojenga ustaarabu na kumjenga mwanadamu duniani
Suheil As'ad alisisitiza kuwa: Hawza, hasa Hawza ya Qum, ndio taasisi ya kidini duniani ambayo imeweza kuchukua nafasi muhimu katika mchakato wa kujenga ustaarabu mpya wa Kiislamu na kulea watu…
-
HawzaJe, mfumo wa Hawza ya Najaf ulikuwa ni wenye kujiepusha na siasa?
Kinyume na dhana iliyojengeka, maktaba ya Najaf hayajawahi kujitenga na siasa, bali katika historia yake imekuwa na nafasi muhimu katika mageuzi ya kisiasa. Kuanzia ushiriki wake katika harakati…
-
HawzaMwalimu wa Hawza: Hawza ya Qum Ipo Mstari wa Mbele katika Kuipanua Tawhidi na Kupambana na Tw'aghuti (Shet'ani)
Hujjatul Islam Abidiyan amesema: Kinyume na baadhi ya hawza ambazo zimefuata njia potofu ya kisekula na hazikuwa na uelewa sahihi wala basira (maono) ya kina kuhusu misheni asilia, Hawza ya Qum…
-
HawzaHawza ya Qum; Muunganiko ulio na miaka takriban Elfu katika elimu ya kiislamu na ulimwengu wa zama hizi
Hawza ya Qum ikiwa ni urithi wa zaidi ya miaka 1200, siyo tu mojawapo ya vituo vikuu vya uzalishaji na usambazaji wa elimu ya Kiislamu, bali pia kwa kulea wanafunzi wa kimataifa na kuwaunganisha,…