Hawza/ Ayatullah al-dhma Makarim Shirazi, huku akisisitiza umuhimu wa kueneza utamaduni wa kujitolea na jihadi, amesema kuwa kuhifadhi hai kumbukumbu na kueleza mwenendo wa mashahidi wanazuoni…
Hawza/ Sheikh Rasul Ramishovich, mwanaharakati wa vyombo vya habari nchini Urusi, akirejea mateso ya wananchi wa Palestina na matukio ya eneo hilo, amesisitiza kwamba wakati wa Waislamu kuungana…
Hawza/ Hujjatul-Islam Bagheri, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Qademoun, amesema kuwa; leo Umma wa Kiislamu unapaswa kushikana mikono na kusimama pamoja dhidi ya utawala wa Kizayuni na…
Hawzah/ Sheikh Muhammad Qadura, Rais wa Kituo cha Badr al-Kubra cha Palestina, akisisitiza umuhimu wa umoja wa Ulimwengu wa Kiislamu, ametoa wito kwa Waislamu na wanazuoni wa Umma kuchukua msimamo…
Hawzah/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Murtadha al-Sindi, huku akisisitiza kwamba umoja na mshikamano wa Umma wa Kiislamu ni miongoni mwa misingi muhimu zaidi ya kukabiliana na mfumo wa kibeberu,…
Hawzah/ Samir Ayoub amesisitiza kwamba njia sahihi ya Saudi Arabia na nchi za eneo hilo kujinasua kutoka kwenye mtego wa Yemen ni kuanzisha mawasiliano na mazungumzo na kushughulikia sababu za…
Hawzah/ Mahdi Muhammad al-Mashat, amesema kwamba; madai yasiyo na msingi ya utawala wa Saudi Arabia kwamba Yemen imelenga Makka, ni jaribio la kukata tamaa la kuyachochea mataifa ambayo yamefikia…
Hawzah/ Anwar al-Tawil, akieleza vipengele vya kibinadamu na kisheria vya vita vya Ghaza na kurejelea kukatwa maji, umeme, chakula na nishati katika eneo hilo, amesema: “Mgogoro wa Ghaza umeweka…
Hawzah/ Mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi katika Mkoa wa Khorasan Razavi (Mash-had) Iran, huku akisisitiza kwamba umoja kati ya Shia na Ahlus-Sunna leo umegeuka kuwa uhalisia uliotekelezwa,…
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Sheikh Hassan Kabeke, amesema kuwa; Waislamu wenye asili ya Kishirazi kutoka Uajemi walikuwa miongoni mwa watu wa mwanzo waliofika katika maeneo ya Tanganyika…
Sheikh Saleh Malbi, mhadhiri wa chuo kikuu nchini Tanzania, akirejea uzoefu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ameieleza nchi hiyo kuwa ni mfano wa jamii ambayo imeweza kupiga hatua katika njia…
Hawza/ Hujatul-Islam wal-Muslimin Muhsen Qara’ati amesema kuwa “taffaquh katika dini na uhubiri” ni majukumu mawili makuu ya wanafunzi na wanazuoni wa Hawzah, akisisitiza kwamba lengo la Hawza…
Hawza/ Waislamu ni nguvu inayochipuka mjini New York, na Palestina ina umuhimu mkubwa kwao; jambo ambalo linachukuliwa kuwa kengele ya tahadhari kwa matajiri na Wazayuni.
Hawza/ Hatua ya mpinzani wa dini katika mitandao ya kijamii katika jiji la Reggio Emilia nchini Italia ya kuirarua na kisha kuichoma nakala ya Qur’ani Tukufu imekabiliwa na radi amali ya kisiasa…
Hawza/ Hujatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sa'jid Ali Naqvi, katika ujumbe wake wa kuikosoa jumuiya ya kimataifa kwa kunyamazia jinai za utawala wa Kizayuni huko Ghaza, amesisitiza kwamba: Siku…
Hawza/ Muhammad Al-Farah, mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Ansarullah, amesema kuwa; wananchi wa Yemen hawakuchagua vita wala hawakuvifuata, bali walilazimishwa kuingia katika vita hivyo kutokana…