Hawza/ Mwenyezi Mungu amewaahidi waumini na watu wema ahadi ya utawala juu ya ardhi, utukufu wa dini ya haki, na usalama kamili. Hata hivyo, miongoni mwa wafasiri kuna mjadala kuhusiana na kuwa;…
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza Iran, Ayatullah Alireza A‘rafi, akifafanua kuhusu vipengele vitatu muhimu vya kazi ya kitamaduni, alisema: “Ikhlasi ni kipimo kinachoinua thamani ya kazi. Kufanya biashara…
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimīn Rafi‘ī katika kongamano la mafunzo na maelekezo la “Karīmah Ahl al-Bayt (a.s.)” lililohusisha wawakilishi wa shule za Amin na viongozi wa masuala ya tablighi…
Hawza/ Seneta Raja Nasir Abbas Jafari, sambamba na kuupokea mkataba wa kusitisha mapigano kati ya Pakistan na Afghanistan, ameutaja kuwa ni hatua ya kimsingi katika njia ya kuleta amani ya kudumu…
Hawza/ Generali mkuu wa Sepah Pasdaran Muhammad Pakpour alielezea utayari kamili wa Iran kutoa jibu thabiti kwa aina yoyote ya uvamizi na kusisitiza: tutamuwashia adui jahanamu
Hawza/ Mwalimu wa Chuo cha Jāmi‘atuz-Zahrā (a.s) amesema: Kupambana na dhuluma ni wajibu wa kimsingi kwa mwanamke. Nafasi ya mwanamke katika jamii ina athari kubwa sana, na ushiriki wa wanawake…
Hawza/ Mtukufu Ayatullah al-Udhma Khamenei amejibu swali la kifiqhi (istifataa) kuhusiana na hukumu ya kisheria, pale ambapo wizi utatokea katika makazi ya watu na ilihali kuna walinzi katika…
Hawza/ Kutokana na juhudi na ufuatiliaji endelevu wa Jumuiya ya Waislamu wa Kishia nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo – Kinshasa, mkutano mkubwa wa kimataifa kati ya dini mbalimbali uliohusishwa…
Hawza/ Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, kwa kurejelea maneno ya Rais wa Marekani ambaye kwa kujigamba alisema kwamba ameibomoa sekta ya nyuklia ya Iran, alisemaa: “Hakuna tatizo, endelea kuamini…
Hawza/ Naibu wa masuala ya kimataifa wa hawza amesema kuwa; maandalizi maalumu ya maadhimisho ya miaka 1500 tangu kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (s.a.w.w) ni fursa adhimu kwa ajili ya kuikuza fikra…
Hawza/ Ayatullah Sheikh Jawad Khaalisiy amezionya baadhi ya harakati za kisiasa za Iraq kujiunga na “mradi wa Marekani”, akisisitiza kuwa taasisi za kiusalama zinatawaliwa na watu wanaotumikia…
Hawza/ Kwa mujibu wa mipango mipya ya Ataba Tukufu ya Imam Hussein (a.s), eneo la Haram linapanuliwa kwa kuchukua eneo jirani na haram hiyo, hatua ambayo inalenga kuboresha huduma kwa mazuwari…
Hawza/ Maandamano makubwa yakiwa na kaulimbiu isemayo “Hapana kwa Ufalme!” yamefanyika katika miji mikubwa kadhaa ya Marekani, ambapo wananchi wameonyesha hasira na upinzani wao dhidi ya sera…
Hawza/ Wafanyakazi na wanafunzi wa Hispania walifanya maandamano makubwa ya kuiunga mkono Palestina tarehe 15 Oktoba, ambapo takriban maelfu ya watu walishiriki kutoka sehemu mbalimbali za Hispania.
Hawza/ Hujjatul-Islam Maqsood Ali Domki alisema katika hotuba yake kwamba; Marekani na Israel lazima ziwajibike kuhusiana na damu za maelfu ya Wapelestina na kwamba ni watu wa Palestina pekee…
Hawzah/ Baadhi ya aya katika Qur’ani Tukufu zinahusiana na ushindi wa wenyekudhoofishwa dhidi ya wenye nguvu, na zinabainisha kwamba hatimaye dunia itakuwa ya wale wanaostahiki — yaani wacha…