Hawza/ Madrasa na hawza ya Imaam Swadiq (as) leo hii imepokea ugeni mzito kutoka katika Maktaba ya Sayyid Hakim (ra), na ugeni huo umekaribishwa vizuri katika hawza hiyo.
Kikao cha kubadilishana fikra cha Viongozi, wanaharakati, na muballeghina wa Sekta ya Kimataifa, kikiwa na maudhui isemayo "Ulazima wa tablighi ya Kimataifa katika Arbain ya Imam Hussein (a.s.)",…
Hawza/ Kufuatana na sheria ya dini, kuepuka mambo yaliyoharamishwa na Mwenyezi Mungu, kushikamana na mila za kidini, kujitahidi kutekeleza kaulimbiu ya mwaka, na kupambana kwa dhati na kwa pamoja…
Hawza/ Akili ya mwanadamu pekee haiwezi kutambua viwango vya mema na mabaya kwa kina, na pia haina uwezo wa kuelewa lengo la maisha ya mwanadamu; kwa hivyo, kwa ajili ya mwongozo, tunahitaji…
Hawza/ Ansarullah Yemen imetoa salamu za pongezi kwa Katibu Mkuu wa Hizbullah, muqawama wa Kiislamu wa Lebanon, na wananchi wa nchi hiyo, kwa mnasaba wa siku ya mapambano na ukombozi wa kusini…
Hawza/ Mfumo wa haki na uadilifu ambao Imam Mahdi (a.s) atauanzisha utakuwa ni serikali ambayo baada yake hakutakuwa na serikali nyingine yoyote. Kwa hakika, historia mpya ya maisha ya mwanadamu…
Hawza/ Naibu wa Masuala ya Kiutamaduni na Kijamii wa Kituo cha Kushughulikia Masuala ya Misikiti ametangaza kuhusu kutolewa kwa wito wa usajili wa misikiti ya Tehran (mji mkuu wa Iran) kwa ajili…
Hawza/ Bwana Haji Muhammad Sidiq Rahimun, mkazi wa kijiji cha Radhkhar kilicho karibu na eneo la Dahili, hivi karibuni amekamilisha tarjama ya Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Dhatki. Dhatki ni lugha…
Hawza:/ Bw. "Shahbaz Sharif", Waziri Mkuu wa Pakistan, pamoja na ujumbe wake, jioni ya Jumatatu, wamekutana na Ayatullah Udhma Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Hawza/ Mkuu wa Sekretarieti ya Jumuiya za Kitaaluma za Hawza, huku akieleza nafasi ya kimaendelea ya hawza katika kuanzisha na kuendeleza taasisi za vyombo vya habari, amezitaja juhudi za wanazuoni…
Hawza/ kuhusu lakabu ya "Jawaad", ikimaanisha kuwa ni “mtoaji mno” au “mkarimu sana”, inafaa kufahamu kwamba jambo hili haliko tu katika mapokezi na kauli za Kishia. Watu kadhaa miongoni mwa…
Hawza/ Kituo cha kwanza maalumu cha kupambana na chuki dhidi ya Uislamu "Islamophobia", kwa kuzingatia mihimili minne mikuu ambayo ni: uangalizi na uthibitishaji wa kumbukumbu, msaada wa kisheria…
Hawza/ Maelfu ya waandamanaji wa Uingereza katika matembezi makubwa, waliitaka serikali kuacha kueneza kauli zisizo na vitendo na kusitisha mauzo ya silaha kwa Israel, hasa vipuri vya ndege ya…
Katika kauli yake Mwenyezi Mungu alotukuka utajo wake "Jiokoeni nafsi zenu na familia zenu na moto" wakauliza: Vipi tutaokoa (tutazikinga) familia zetu? akasema: Mnawaamrisha (yale ayapendayo…
Hawza | Mafanikio ya serikali ya Imam Mahdi (a.s) ni ya kuvutia sana na yenye umuhimu mkubwa. Kwa kifupi, tunaweza kusema kuwa mafanikio haya yatakidhi mahitaji yote ya kiroho na kimwili ya mwanadamu…
Hawzah/ Viongozi na taasisi za Kiislamu nchini Uingereza wametaka kusitishwa kwa mazungumzo ya kibiashara kati ya Uingereza na Israel, na katika barua ya pamoja kwa Waziri Mkuu, wameelezea hali…