Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qum amesema: Kwa kuzingatia historia ya Marekani, tunajua kwamba haitekelezi ahadi zake, lakini kwa kuheshimu maelekezo ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi, tumedumisha…
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon katika taarifa yake umesema: Iran ilitoka katika vita hivi ikiwa mshindi na hatimaye iliilazimisha Marekani kukubali na kutekeleza masharti…
Hawza/ Mchambuzi wa Kizayuni katika makala iliyochapishwa na gazeti la Yedioth Ahronoth amesema kuwa; makubaliano yaliyofikiwa kati ya Marekani na Iran kwa ajili ya kusitisha vita yanaashiria…
Hawza/ Kwa mnasaba wa kuadhimisha kumbukumbu ya Ashura ya Imam Hussein (as), Hizbullah imeandaa na kuendesha majlisi za maombolezo ya mwezi wa Muharram katika maeneo mbalimbali ya kusini mwa…
Hawza/ Kwa kuanza kwa msimu wa huzuni na maombolezo ya Imam Hussein (as), macho yalielekezwa kwenye majlisi za maombolezo na Husseiniyya za Bahrain ambazo, kama ilivyo kila mwaka, huvutia hisia…
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Mashia Tanzania, Maulana Sheikh Hemed Jalala, amewahimiza vijana kutumia akili na fikra zao katika kutafakari masuala mbalimbali ya dini na maisha ili waweze…
Hawza/ Ayatullah Sayyid Mujtaba Husseini Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika ujumbe aliouelekeza kwa taifa lenye hamasa na uaminifu la Iran kuhusu mkataba wa maelewano uliotiwa…
Hawza/ Sheikh Khalid Al-Mulla, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlus-Sunnah nchini Iraq, katika mkutano wa kimataifa wenye anuani ya “Watoto Mashahidi, Kushindwa kwa Tawwla ya Marekani…
Hawza/ Katibu Mkuu wa Kataib Sayyid al-Shuhadaa (as) nchini Iraq, akisisitiza kwamba; leo sauti ya “فُزنا وربّ الكعبة” imetanda katika uwanja mzima wa muqawama, amesema: Kupitia kutimia kwa “Ahadi…
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Ali Al-Khatib, Makamu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia wa Lebanon, ametoa taarifa maalumu kwa mnasaba wa maombolezo ya mwezi wa Muharram.
Hawza/ Serikali ya Bahrain haijaacha tena njia yoyote ya kufikia maridhiano au kuishi pamoja na Mashia, na imekata nyuzi za mwisho za mawasiliano na uhusiano nao.
Hawza/ Kufuatia kuibuka kwa taarifa zinazodai kuwepo kwa kukamatwa, mateso na vitendo vya udhalilishaji dhidi ya baadhi ya wanaharakati wa “Msafara wa Kimataifa wa Sumud”, serikali ya Australia…
Hawza/ Dkt. Abdulhadi Awang, Rais wa Chama cha Kiislamu cha Malaysia, huku akitumia ibara ya “المغضوب عليهم” iliyotajwa katika Suratul-Hamd, amewataja maadui wa leo wa Jamhuri ya Kiislamu ya…
Hawza/ Umoja wa Vijana wa Uturuki (TGB) umekosoa vikali kufanyika kwa mkutano wa NATO mjini Ankara na umetangaza kuandaa maandamano makubwa ya kupinga mkutano huo tarehe 4 Julai, huku ukitaka…