Hawza/ Ali Al-Miqdad alisisitiza kuwa: “Silaha za Muqawama hazitawasilishwa, zina idhaminj Lebanon dhidi ya maadui wa Kizayuni, na jitihada zote za kudhoofisha nafasi zao zitaangukia
Hawza/ Ofisi ya vyombo vya habari ya Rais wa Muungano wa Vikosi vya Kitaifa vya Iraq imekataa uvumi unaosema kwamba Sayyid Ammar Hakim, kiongozi wa muungano huo, ana msimamo tofauti kuhusu vikosi…
Hawzah/ Sheikh Ali D’amoush amesisitiza kwamba uamuzi wa kijinga ambao serikali imechukua wa kutaifisha silaha za Muqawama si tu kwamba umekosea sehemu ya kanuni, bali pia umelikosea Taifa na…
Hawza/ Maulana Fazlur Rahman, Amir wa Jumuiya ya Maulamaa wa Kiislamu Pakistan, katika barua yake kwa Ayatollah A’rafi, aliusifu msimamo wa Iran kuhusu Ghaza na kusisitiza juu ya umoja wa Umma…
Hawza/ Sayyid Zawar Hussein Naqawi, katika tamko lake, amelaani vikali mashambulizi ya kinyama yanayofanywa na utawala ghasibu wa Kizayuni dhidi ya Yemen
Hawza/ Hujjatul-Islam Aslam Rizwi katika Mkutano wa Kimataifa wa Chicago alisisitiza kwamba; kukaa kimya mbele ya uharibifu wa makaburi ya Baqi‘ ni sawa na kupuuza heshima ya Ahlul-Bayt (a.s.),…
Hawza/ Hawza ya Imam Ally (as) iliyopo Zanzibar nayo pia ilifanya Majlisi na baada ya majlisi hiyo wakafanya matembezi ya amani kwa ajili ya kuadhimisha kifo cha Mtume Muhammad (saw)
Hawzah/ Ayatullah Sayyid Yasin Musawi alisisitiza kwamba kuondoka kwa majeshi ya Marekani kutoka Iraq ni matokeo ya “shinikizo la wananchi, bunge na muqawama” na wala si matakwa ya Washington,…
Hawzah/ Haishangazi tena kwamba nchi ya Saudi Arabia, kwa sababu zisizo na mantiki na kwa kutumia vibaya ukimya wa serikali ya Iraq na kutojali kwa Wizara ya Mambo ya Nje kuhusu haki za Wairaq…
Hawzah/ Makundi ya kijamii katika mkoa wa Sweida nchini Syria, makazi ya Wadrusi, katika siku za hivi karibuni wametangaza kuungana kwao katika Gadi ya Kitaifa kwa lengo la kuunganisha jitihada…
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu leo asubuhi katika hafla ya maombolezo ya kumbukumbu ya Shahada ya Imam Ridha (a.s) akiwa pamoja na makundi mbalimbali ya wananchi, alisisitiza kuwa:…
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza nchini Irani, Ayatollah Alireza A‘rafi, akizungumza kuhusu mwenendo wa kina wa Mtume Mtukufu (s.a.w.) alisema: Mtume wa Mwenyezi Mungu pamoja na elimu na jihadi katika…
Hawza/ Waumini wa Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma nao hawakuwa nyuma katika kumuenzi Mtukufu wa Daraja, Mtume Muhammad (saw) kwa kufanya matembezi yaliyofana, chini ya usimamizi wa Sheikh Abdulatif…