imam mahdi (23)
-
Kuielekea jamii Bora: Mfululizo wa Utafiti kuhusiana na Imam Mahdi (as) – 41
DuniaHuruma ya Imam wa Zama (as)
Hawza / Imam, kutokana na wingi wa huruma na mapenzi aliyo nayo kwa wafuasi wake, ana uhusiano na mawasiliano makubwa zaidi kwa wao, Na kwa sababu ya mapenzi na urafiki huu, yeye hushiriki katika…
-
“Kuielekea Jamii Bora” (mkusanyiko wa utafiti kuhusiana na Imam Mahdi (as) – 40
DiniImam ni kioo cha rehema isiyo na kikomo ya Mwenyezi Mungu
Hawza/ Imam zaman (as) ingawa yupo kwenye ghaiba, lakini ni wingu la rehema linaloendelea kunyesha daima na kulipa uhai na bashasha jangwa kavu la watu, na ni mwenye kunyimika yule ambaye hatanusa…
-
Ayatullah Saidi katika khutba za Sala ya Ijumaa:
Dunia"Kumuitikia Imam Hussein ni sawa na kumuitikia Imam Mahdi / Mjumuiko mkubwa wa Arubaini ni fursa bora ya kubainisha na kutangaza Uislamu safi wa Muhammadi"
Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom Irani, amesema: Arubaini ni harakati ya pamoja kuelekea kwa Imamu na Hujjat wa Mwenyezi Mungu, Arubaini ina uhusiano wa karibu mno na Mahdawiyya kiasi kwamba kusema…
-
DiniKama Dhulma ni Njia ya Kuandaa Mazingira ya kudhihiri Imam, Basi Kwa Nini Tunapaswa Kupambana Nayo?
Hawza/ Uhusiano kati ya kuenea kwa dhulma na kudhihiri Imam Mahdi (aj) imekuwa mada ya mjadala na maswali, je! dhulma zaidi inaandaa mazingira ya kudhihiru au ni ishara ya ulazima wa maandalizi…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 30
DiniSifa za Imam wa zama (aj) Katika Dua
Hawza/ Kwa kuzingatia sifa na tabia za Imam wa zama (a.f) kunaweza kuongeza na kuimarisha zaidi uhusiano wa kiroho na wa ndani kati ya mja na Yeye.
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 25
DiniKurejeshwa kwa Wafu (raj'a) kwa mujibu wa Qur’ani na Riwaya
Hawza/ Kwa mujibu wa aya za Qur'ani na riwaya za Ahlulbayt as, kundi la watu waliokufa watarudi duniani katika zama za kudhihiri Imam Mahdi (as).
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 22
DiniMwenendo wa Kiserikali wa Imam Mahdi (as)
Hawza/ Mwenendo wa Imam Mahdi (as) ni ule ule wa Mtume Muhammad (saw), na jinsi ambavyo Mtume (saw) katika zama zake alipambana na ujahili kwa kila sura yake, na akausimamisha Uislamu Safi –…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 21
DiniEneo la Utawala wa Imam Mahdi (a.s.) na Kituo chake
Hawza/ Kuna riwaya nyingi zilizopokelewa ambazo kwa uwazi zinabainisha kwamba utawala wa Imam Mahdi (as) utakuwa wa kidunia.
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 19
DiniMafanikio ya Dola ya Imam Mahdi (a.s)
Hawza | Mafanikio ya serikali ya Imam Mahdi (a.s) ni ya kuvutia sana na yenye umuhimu mkubwa. Kwa kifupi, tunaweza kusema kuwa mafanikio haya yatakidhi mahitaji yote ya kiroho na kimwili ya mwanadamu…
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 18
DiniMalengo ya Dola ya Imamu Mahdi (as)
Hawza/ Mwanadamu ameumbwa kutokana na vipengele viwili: mwili na roho, na mahitaji yake pia yamegawanyika katika sehemu mbili: ya kimada na ya kiroho. Kwa hivyo, ili afikie ukamilifu, ni lazima…
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 16
DiniKubainisha Wakati kwa ajili ya Kudhihiri
Hawza/ Daima wamekuwepo watu walioainisha wakati wa kudhihiri kwa kutumia nia za kishetani, na watu wa aina hiyo wataendelea kuwepo hata katika siku zijazo. Hivyo basi, viongozi maasumu (as)…
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 15
DiniAlama za Kudhihiri Imamu Mahdi (A.S.)
Hawza/ Kwa kuwa alama na ishara za kudhihiri Imamu Mahdi (a.s.) ni bishara ya faraja ya Mahdi ahli wa Mtume Muhammad (s.a.w), kutokea kwa kila mojawapo kati ya alama hizo huifanya nuru ya matumaini…
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 13
HawzaUmri wa Imamu wa zama (a.s)
Hawza | Kwa mujibu wa itikadi ya wafuasi wa dini zote za mbinguni, vitu vyote ulimwenguni viko chini ya mamlaka ya Mwenyezi Mungu, na athari zitokanazo na vitu hivyo zinategemea matakwa Yake.…
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 12
DiniJua Nyuma ya Wingu
Masuala ya ghaiba hayapingani na falsafa ya ulazima wa kuwepo kwa Imamu Maasumu (as); kwani Imamu Maasumu, hata katika hali ya ghaiba, yupo, na manufaa yake yanawafikia wengine. Ni sehemu tu…
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 10
DiniAina za Ghaiba ya Imam Mahdi (a.s.)
Kuwasiliana na Mawakili wanne wa kipekee (Nuwwāb Arbaʿa) pamoja na kufanikiwa kwa baadhi ya Mashia kufika mbele ya Imam wao katika kipindi cha Ghaiba ndogo, kulikuwa na athari kubwa katika kuthibitish…
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 9
DiniFalsafa ya Ghaiba (kutoweka) kwa Imam Mahdi (a.s)
Kwa hakika, ni kwa nini Imam yupo katika pazia la ghaiba, na ni sababu ipi iliyopelekea watu kunyimwa baraka za kudhihiri kwake?
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 8
DiniDhana na historia ya Ghaiba (kutoweka)
Ghaiba au maisha ya kifichoni si jambo jipya lililotokea kwa mara ya kwanza tu kuhusu hujjah wa mwisho wa Mola Mlezi, bali kutokana na riwaya nyingi inaonekana kwamba baadhi ya Manabii wakubwa…
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 7
DiniImam Mahdi (a.f) kwa Mtazamo wa Haraka
Baada ya kipindi cha ghaiba kupita, kwa mapenzi ya Mola wa ulimwengu, Imam wa Kumi na Mbili (a.s) atadhihiri na kuja kuijaza dunia wema na uzuri. Hakuna anayejua wakati wa kudhihiri kwake, na…
-
Kuielekea Jamii iliyo Bora | Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s) - 5
DiniSifa za Imam: "Kuisimamia jamii na Kupambika katika maadili yaliyo kamilika"
Imam, ambaye ni kiongozi na muongozaji wa jamii, ni lazima ajiepushe na maovu yote pamoja na tabia potofu kimaadili, na badala yake awe ni mwenye sifa zote bora na maadili ya kiwango cha juu…
-
“Kuielekea Jamii Bora” (mfululizo wa utafiti kuhusu Imam Mahdi, amani iwe juu yake) - 4
HawzaSifa za Imam: «‘Iṣmah»
Iwapo Imām hatokuwa ni mwenye kuhifadhiwa dhidi ya makosa, basi itawapasa watu wamtafute Imām mwingine ili awajibu mahitaji yao. Na iwapo na huyo pia hatokuwa ni mwenye kuhifadhiwa dhidi ya makosa,…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 4
DiniSifa za Imam; “Isma” (Kuhifadhiwa na kufanya makosa)
Hawza/ Kama Imam hato hifadhiwa kutokana na kukosea, basi itakuwa ni lazima kumtafuta Imam mwingine ili kukidhi mahitaji ya watu, na ikiwa naye pia hatakuwa salama kutokana na makosa, basi Imam…
-
“Kuielekea Jamii Bora” (mfululizo wa utafiti kuhusu Imam Mahdi, amani iwe juu yake) - 3
DiniSifa za Imam; Mwenye elimu kubwa zaidi na uelewa mpana zaidi miongoni mwa watu
Hawzah/ Imam ambaye anachukua nafasi ya uongozi na uwatawala kwa watu, ni lazima aijue dini kwenye nyanja zake zote na awe na uelewa kamili wa sheria zake, vilevile aweze kujibu maswali yote…
-
Kuelekea Jamii Bora (mfululizo wa utafiti kuhusu Imam Mahdi - amani iwe juu yake) - 2
DiniUdharura wa kuwepo kwa Imam ni upi?
Mashia wanaamini kuwa njia ya uongofu kwa waja wa Mwenyezi Mungu baada ya mitume wa Mwenyezi Mungu, na hasa Mtume Muhammad - rehma za Mungu ziwe juu yao wote - inaendelea kupitia “uimamu wa Maimamu…