Uturuki (27)
-
DuniaUturuki Yajibu Kauli za Netanyahu
Hawza/ Kufuatia matamshi makali ya Benjamin Netanyahu dhidi ya Recep Tayyip Erdoğan, Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki pamoja na baadhi ya viongozi waandamizi wa nchi hiyo wamekosoa vikali kauli…
-
Wafuasi wa Muqawama Mbele ya Ubalozi Mdogo wa Israel mjini Istanbul:
DuniaMhimili wa Muqawama Hauko Peke Yake
Hawza/ Kundi la “Marafiki wa Muqawama wa Uturuki” limefanya mkusanyiko wa maandamano mbele ya ubalozi mdogo wa Israel mjini Istanbul na kutangaza uungaji mkono wake kwa Ghaza na Lebanon, washiriki…
-
Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlul-Bayt Uturuki:
DuniaIran Bila Kurudi Nyuma, Imeuonesha Ulimwengu Mfano wa Muqawama wa Hussein
Hawza/ Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlul-Bayt nchini Uturuki katika ujumbe wake wa Idi ya Adh-ha, huku ikisisitiza umoja wa Umma wa Kiislamu na kuunga mkono mkondo wa muqawama, imelaani uvamizi wa…
-
DuniaKundi la Wadukuzi Linalohusishwa na Iran Katika Shirika Rasmi la Habari la Uturuki
Hawza/ Shirika rasmi la habari la Uturuki limeripoti kwamba; kundi la wadukuzi la Hanzala limechapisha taarifa binafsi za wanajeshi 69 wa Israel ambao walishiriki katika shambulio dhidi ya Msafara…
-
DuniaHasira ya Uturuki kutokana na namna walivyoshughulikiwa wanaharakati wa “Msafara wa Kimataifa wa Sumud”; “Ushenzi huu utaandikwa katika historia”
Hawza/ Maafisa wakuu wa Uturuki, huku wakilaani namna waziri mmoja wa Israel alivyowafanyia vurugu za maneno na kimwili wanaharakati wa “Msafara wa Kimataifa wa Sumud”, alieleza hatua hiyo kuwa…
-
DuniaMalalamiko dhidi ya uwepo wa kampuni zinazohusiana na viwanda vya kijeshi vya Israel katika maonesho ya ulinzi ya Istanbul
Hawza/ Sambamba na kufanyika kwa Maonesho ya Kimataifa ya Viwanda vya Ulinzi ya SAHA 2026 mjini Istanbul, uwepo wa baadhi ya kampuni zinazotuhumiwa kusambaza silaha na teknolojia za kijeshi kwa…
-
DuniaUchunguzi wa Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Istanbul kuhusu shambulio la Israel dhidi ya msafara wa kimataifa wa “Sumud” waanza kufanyika
Hawza/ Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Istanbul, kufuatia shambulio la jeshi la Israel dhidi ya msafara wa kimataifa wa “Sumud” katika maji ya kimataifa, imeanza moja kwa moja uchunguzi wa…
-
DuniaHafla ya kuwakumbuka mashahidi wa shule ya Minab yafanyika mjini Istanbul
Hawza/ Hafla ya kuwakumbuka mashahidi wa shule ya Shajarat Tayyiba Minab ilifanyika jioni ya tarehe 25 April 2026, kwa ushiriki wa Wairani wanaoishi Istanbul katika Husseinia ya mji huo; hafla…
-
Rais wa zamani wa Uturuki:
DuniaIsrael ndiyo mhusika mkuu wa migogoro na mateso yanayoendelea katika eneo
Hawza/ Rais wa kumi na moja wa Uturuki katika Jukwaa la Kiuchumi la Delphi, huku akirejea maendeleo ya vita katika Asia Magharibi, alizungumzia kudhoofika kwa nafasi ya Marekani, kupotea kwa…
-
DuniaKufuatia kauli zenye utata za balozi wa Marekani nchini Uturuki, maafisa na vyama vya nchi hiyo wataka afukuzwe kama “mtu asiyehitajika”
Hawza/ Kauli za Tom Barrack, balozi wa Marekani mjini Ankara, kuhusu mifumo ya utawala ndani ya Asia Magharibi, zimekabiliwa na raddi amali kali kutoka kwa vyama na sura za kisiasa za Uturuki;…
-
DuniaMwanaharakati wa kike kutoka Uturuki: Wairani wana nafasi katika nyoyo zetu
Hawza/ Kitengo cha wanawake cha taasisi ya “Kawthar” mjini Istanbul, kwa kuandaa soko la hisani, kilitangaza kuliunga mkono taifa la Iran; programu ambayo ilifanyika kwa ushiriki wa hiari na…
-
DuniaKampeni ya kitaifa nchini Uturuki dhidi ya Israel imeanzishwa
Hawza/ Chama cha Yeniden Refah (Refah Mpya) cha Uturuki, kwa kuanzisha kampeni ya kitaifa ya kukusanya saini, kimetaka kufungwa kwa kituo cha rada cha Kürecik na kusimamishwa kwa mtiririko wa…
-
DuniaSimulizi ya kuvutia ya mwanachama wa msafara wa watu 72 kutoka Uturuki kuhusu Iran
Hawza/ Muhammad Shahid Karaz, mmoja wa wajumbe wa msafara wa “Marafiki wa Muqawama wa Uturuki” ambao wamesafiri kwenda Iran kwa ajili ya kuonesha mshikamano na nchi hiyo, katika maandishi yake…
-
Rais wa Bunge la Uturuki:
DuniaUanachama wa Israel katika Umoja wa Mataifa unapaswa kusimamishwa
Hawza/ Rais wa Bunge la Uturuki katika mkutano wa kimataifa wa Umoja wa Mabunge (Inter-Parliamentary Union) uliofanyika Istanbul, huku akikosowa kutofanya kazi kwa taasisi za kimataifa, alitoa…
-
DuniaMsafara mkubwa wa magari katika mji wa Iğdır nchini Uturuki wafanyika kwa nia ya kuiunga mkono Iran na Lebanon/ “Sauti moja dhidi ya dhulma”
Hawza/ Mamia ya wananchi katika mji wa Iğdır nchini Uturuki, kwa kuunda msafara mkubwa wa magari, walionesha uungaji mkono wao kwa Iran na Lebanon; msafara ambao uliendelea hadi kwenye mpaka…
-
DuniaHafla ya kumbukumbu ya mashahidi wa Iran yafanyika Halkalı Istanbul kwa ushiriki mpana wa shakhsia mbalimbali na maelfu ya wapenzi wa mhimili wa muqawama
Hawza/ Hafla ya kumbukumbu ya mashahidi wa Iran ilifanyika katika eneo la Halkalı, Istanbul, kwa ushiriki mpana wa wanazuoni, viongozi, wawakilishi wa taasisi za kidini na maelfu ya wapenzi wa…
-
Kiongozi wa Chama cha Saadat cha Uturuki:
DuniaHatuitetei Iran, bali zaidi ya hapo, tuko kwenye mstari mmoja na Iran
Hawza/ Mahmoud Arıkan, Kiongozi wa Chama cha Saadet cha Uturuki, katika hotuba yake, huku akikosoa mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran na maendeleo ya hivi karibuni katika Mashariki…
-
DuniaSpika wa Bunge la Uturuki Amekosoa Vikali Baadhi ya Watu Wanao Fungamana na Maslahi ya Marekani na Israel
Hawza/ Mustafa Şentop, Spika wa Bunge la Uturuki, katika hotuba yake amesisitiza juu ya nafasi na misimamo ya kisiasa kama kipimo cha kutathmini uzalendo wa watu, na amekosoa mwelekeo wa baadhi…
-
Spika wa Bunge la Uturuki:
DuniaNimepokea kwa huzuni kubwa kuuawa kishahidi Dkt. Ali Larijani
Hawza/ Mustafa Şentop, Spika wa Bunge la Uturuki, kufuatia kuuawa kishahidi Dkt. Ali Larijani katika mashambulizi yiyofanywa na Marekani na Israel, katika ujumbe wake huku akionesha masikitiko…
-
DuniaUjumbe wa Rambirambi kutoka kwa Swalahuddin Özgündüz, Mwanafalsafa maarufu kutoka Uturuki, Kufuatia Shahada ya Dkt. Ali Larijani
Hawza/ Swalahuddin Özgündüz, mwanafalsafa maarufu kutoka Uturuki, ametuma ujumbe wa Rambirambi kufuatia shahada ya Dkt. Ali Larijani, mmoja wa viongozi muhimu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran,…
-
DuniaZaidi ya bandari 20 za Mediterania zagoma kwa ajili ya kuonesha mshikamano na Palestina
Hawza/ Wafanyakazi katika gati za Bahari ya Mediterania walianzisha mgomo mkubwa, na kusimamisha shughuli katika zaidi ya bandari 20 kupinga mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina yanayofanywa…
-
DuniaMaandamano ya Uturuki kwenye Mwaka Mpya wa Miladia kwa ajili ya kuiunga mkono Ghaza; wanasoka wa Uturuki nao waliingia uwanjani
Hawza/ Vilabu vya soka nchini Uturuki viliunga mkono maandamano ya Istanbul yaliyoandaliwa kupinga mauaji ya kimbari yanayoendelea nchini Palestina.
-
Mjumbe mwanzilishi wa Chama cha Haki Uturuki:
DuniaIrani kuikingia kifua Palestina, kumejengeka katika msingi na imani ya Dini
Hawza/ Bi. Dkt. Fatemeh Bostan, mjumbe mwanzilishi wa Chama cha Haki cha Uturuki, katika warsha-pepe ya tano ya kimataifa isemayo: "Iran; Jukwaa la Heshima ya Kiislamu katika kukabiliana na utawala…
-
Tafsiri ya Kituruki ya “Joto lisiloisha” Yachapishwa Nchini Uturuki:
DuniaSimulizi ya Mama Muirani Alie Sababisha Sauti ya Kujitolea Isikike Ulimwenguni
Hawza/ Fasihi ya kujitolea ya Iran imepiga hatua mpya kuwaelekea hadhira wa kimataifa baada ya kuchapishwa kwa tarjama ya Kituruki cha Istanbul.
-
DuniaKuonyeshwa Filamu ya “Mtume wa Rehema 571” iliyoandaliwa na Shirika la Dini la Uturuki
Hawza / Filamu ya katuni ya “Mtume wa Rehema 571,” ambayo imeandaliwa na Shirika la Dini la Uturuki kwa heshima ya mwaka wa elfu moja mia tano tangu kuzaliwa Mtume Muhammad (swww), hivi karibuni…
-
DuniaMaimamu wa Kiislamu duniani wametaka kuundwa umoja wa Kiislamu kwa ajili ya kuwaunga mkono watu wa Ghaza
Hawza/ Mkutano wa “Wajibu wa Kiislamu na Kibinadamu; Ghaza” kwa ushirikiano wa Jumuiya ya Kimataifa ya Wanazuoni wa Kiislamu na Taasisi ya Wanazuoni wa Kiislamu ya Uturuki na kwa kuhudhuriwa…
-
DuniaSehemu ya kuabudia Waislamu yenye umri wa miaka 600 yagunduliwa chini ya ardhi
Hawzah/ Sehemu ya kuabudia Waislamu ya kale yenye umri wa takribani miaka 600 imegunduliwa katika moja ya maghala ya chini ya ardhi ya kuhifadhia mbao nchini Uturuki.