tanzania (8)
-
DuniaRais Mwinyi azindua rasmi kamati ya kusimamia Madrasa Zanzibar
Hawaza/ Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameizindua rasmi Kamati ya Kitaifa ya Kusimamia Madrasa Zanzibar.
-
sheikh mkuu wa Jumuiya ya Shia nchini Tanzanzania (TIC):
DuniaFalsafa ya Arafa kwa mtazamo wa Imam Khomeini (ra)
Hawza/ sheikh mkuu wa Jumuiya ya Shia nchini Tanzanzania (TIC), katika hotuba yake ya swala ya ijumaa alielezea falsafa ya kisimamo cha Arafa kutokana na mtazamo wa Imam Khomeini (ra).
-
DuniaKongamano kubwa la Qurani lafanyika Daresalam katika Viwanja vya Mnazi Mmoja
Hawza/ Kongamano kubwa la Qurani limefanyika leo hii jiji Daresalamu katika viwanja vya Mnazi Mmoja huku viongozi wa dini mbalimbali na Taasisi tofauti wakihudhuria kwenye kongamano hilo.
-
DuniaKwa mara nyengine tena Mahafali kubwa ya kimataifa ya Qur'ani yafanyika Tanzania
Hawza/ Mahafali kubwa ya Qur'ani ya kimataifa imefanyika Tanzania, huku maelfu ya waumini wakimiminika kushuhudia mahafali hiyo.
-
DuniaKongamano Kubwa la Qur'ani lafanyika Tanzani huku likihudhuriwa na watu Mashuhuri
Hawza/ Kongamano kubwa na la aina yake lemefanyika nchini Tanzania huku sura za watu mbalimbali mashuhuri zikijitokeza kuonesha ushiriki wake.
-
DuniaRaisi Mwinyi: Kipaumbele chetu kiwe ni Madrasa pamoja na kuwasaidia Masheikh na Walimu
Hawza/ Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewasisitiza Waislamu, wahisani na wafadhili kuelekeza nguvu zao katika kuziimarisha Madrassa pamoja…
-
DuniaTamasha la kimataifa la Qur'ani kufanyika nchini Tanzania
Hawza/ Tamasha la kimataifa la Qur'ani limepangwa kufanyika nchini Tanzania huku likishirikisha Taasisi nne mashuhuri nchini humo.
-
DuniaUshirikiano wa Kimataifa kwenye Taasisi za Kiislamu ni jambo la ulazima kwa ajili ya Kuimarisha Uislamu na Maendeleo katika Jamii
Hawza/ Mkuu wa Taasisi ya Kielimu na Kitaaluma ya Bilal ya Tanzania amesisitiza juu ya nafasi muhimu ya ushirikiano wa kimataifa katika kusambaza ujumbe sahihi wa Uislamu, na kwa kubainisha shughuli…