Mwezi wa Muharram (25)
-
DuniaMwakilishi wa Ayatollah Al-Udhma Sistani Ulaya: Arubaini ya Husseini; Ujumbe wa mwamko, uaminifu na kusimama imara mbele ya dhulma
Hawza/ Hujjat al-Islam wal-Muslimin Sayyid Murtadha Kashmiri, mwakilishi wa Ayatollah Al-Udhma Sayyid Ali Sistani katika bara la Ulaya, katika ujumbe wake kwa mazuwari wa Arubaini amesisitiza…
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amuli:
HawzaTaifa la Iran halitaachana na heshima na akili
Hawza/ Hazrat Ayatollah Jawadi Amuli katika kikao na wanajumuiya wa kundi la Mu’talifeye Islami alisisitiza kwamba: Sisi ni warithi wa utamaduni na fikra ambazo si tu kwamba zilikuwa ni zenye…
-
Ayatollah Ghuraifi:
DuniaUjumbe wa Ashura utaendelea muda wa kuwa kuna dhulma, udikteta na ufisadi
Hawza / Ayatollah Sayyid Abdullah Ghuraifi, mmoja wa maulamaa mashuhuri wa Bahrain, amesisitiza kuwa ujumbe wa Ashura ni kukataa ufisadi, dhulma, uovu, upotovu, batili na utumwa.
-
Mwanazuoni Mashuhuri wa India:
DuniaKumtaja Imam Husein (as) ni nuru ya muongozo wa maisha na ni andao bora kabisa kwa ajili ya Akhera
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Ahmad Ali Abidi, katika hotuba zake alisisitiza juu ya thamani ya kiroho ya majlisi za maombolezo na kumbukumbu ya Imam Husein (as), na akasema kwamba…
-
Mtafiti wa Kiislamu kutoka Pakistan amebainisha:
DuniaKumlaani Yazid kwa mujibu wa mtazamo wa wanazuoni wa Ahl al-Sunnah
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Dhia al-Hasan Najafi katika khutba za Sala ya Ijumaa alisema kuwa: Kumlaani Yazid kwa mtazamo wa Ahl al-Sunnah pia kunajuzu, na kumsafisha Yazid ni kupotosha historia…
-
DuniaMaadhimisho ya Siku ya Husein (as) yafanyika na kufana katika Chuo Kikuu cha Karachi
Hawza/ Hafla iliyofana ya "Siku ya Husein (as)" ilifanyika katika Chuo Kikuu cha Shirikisho cha Karachi huku wahadhiri, wahariri, wanafunzi, na wanazuoni wa Kishia na Kisunni wakishiriki kwa…
-
DiniKumbukumbu | Mwanamke aliyeteuliwa kwa ajili ya siku ngumu
Hawza / Ni kweli kuwa binadamu ameumbwa kwa taabu; lakini baadhi ya watu ni kama kioo cha dhahiri cha uvumilivu wa Mwenyezi Mungu duniani, na bibi Zainabu (sa) alikuwa wa aina hiyo.
-
DuniaMwanazuoni wa Ahlu-Sunnah wa Lebanon: Tunaposema tuna mafungamano na kisimamo cha Imamu Hussain (a.s), tunajihisi Heshima
Hawza / Sheikh Ahmed Al-Qattan alisisitiza kuwa sisi Lebanon, muda wa kuwa viongozi thabiti kama Sheikh Naeem Qasim na Nabih Berri wapo, hatuogopi.
-
DuniaDesturi njema nchini Pakistan ikiambatana na Mwezi wa Muharram
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Nusrat Abbas Bukhari, katika hafla ya kugawa miche ya miti iliyopewa jina la "Sabil Ashjar" katika siku za Muharram, alieleza kuwa ubunifu huu ni jibu la kishujaa…
-
Makamu wa Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Waislamu Pakistan:
DuniaKesi za dhulma dhidi ya waombolezaji wa Muharram zinapaswa kufutwa mara moja
Hawza/ Hujjat al-Islam Sayyid Ahmad Iqbal Rizvi, katika taarifa yake, amelaani vikali kufunguliwa kwa kesi zisizo na msingi dhidi ya waombolezaji wa Muharram, na ametoa wito wa kufutwa mara moja…
-
Msomi wa Dini kutoka India:
DuniaKarbala ni ufunuo wa milele wa ukweli katika kioo cha fasihi na utu
Hawza/ Hujjat al-Islam Sayyid Abbas B'aqeri, katika hotuba yake, akiwa amesisitiza nafasi isiyoweza kulinganishwa ya Ashura katika dhamiri ya kibinadamu na historia ya fasihi, amesema kuwa Karbala…
-
Mkurugenzi wa Ofisi ya Ayatollah al-‘Uzma Hafidh Bashir Najafi:
DuniaKuhuisha alama za Husseini ni jukumu la kidini na njia ya kuelekea kwenye kujikurubisha na Mwenyezi Mungu
Hawza/ Hujjat al-Islam wal-Muslimin Sheikh Ali Najafi, katika hotuba yake huku akisisitiza upande wa islah (urekebishaji) wa harakati ya Imam Husayn (as), amekitambua kisimamo hicho kuwa ni mfano…
-
Ayatollah A'rafi:
HawzaLengo la juu kabisa la kuwa faqihi katika dini ni kuwaonya watu / Uhusiano wa kina kati ya muqawama wa taifa la Iran na harakati ya damu ya Ashura
Hawza/ Mkurugenzi wa vyuo vya kidini (hawza) Irani amebainisha kuwa: Katika hali ya hatari ya sasa ambapo maadui wameushambulia kwa nguvu zote na kila upande mfumo mtukufu wa Jamhuri ya Kiislamu…
-
DuniaKiongozi wa Harakati ya Minhaj-ul-Qur’an ya Pakistan: Mapenzi kwa Ahlul-Bayt (as) ni sehemu isiyoepukika ya imani kwa mujibu wa Mtume Mtukufu (saw)
Hawza/ Katika kipindi cha kukaribia siku za maombolezo ya Muharram, mkutano wa “Ujumbe wa Imam Hussein (as) na Umoja wa Umma” ulifanyika katika mji wa Lahore, Pakistan kwa ushiriki mkubwa wa…
-
HawzaUmuhimu wa kutambua nyakati kwa mtazamo wa Sheikh Ibrahim Zakzaky
Hawzah/ Ayatollah Sheikh Ibrahim Zakzaky amesema: “Hata kama chaguo la mwisho katika njia ya muqawama ni kufa kishahidi, bado hiyo ni furaha kubwa zaidi, kama alivyochagua Imam Hussein (as) katika…
-
DuniaWaislamu wa Georgia wakiwa wamebeba picha za Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi, wametangaza mshikamano wao na Taifa la Iran
Hawza/ Imamu wa jamaa wa Msikiti wa Imam Ali (as) wa Marneuli, katika maandamano ya siku ya Tasu'a na Ashur'a ya Husein (as) ya Waislamu wa Kishia wa Georgia alisisitiza kuwa: Waislamu wa nchi…
-
DuniaMatembezi ya Ashura mwaka huu Arusha yavunja rekodi
Hawza/ Jiji la Arusha yamefanyika matembezi yaliyo fana mwaka huu, matembezi ambayo hayajawahi tokea katika miaka iliyopita.
-
DuniaHivi ndivyo walivyo adhimisha matembezi ya Ashura mwaka huu mkoani Singida Tanzania
Hawza/ Mamia ya wafuasi wa madhehemu ya Ahlulbayt wamemiminika barabarani kwa ajili ya kuadhimisha maombolezo ya kuwawa Imam Husein (as) mkoani Singida Tanzania
-
Katibu Mkuu wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia wa Pakistan:
DuniaKarbala ni dhihirisho la kusimama imara dhidi ya nguvu dhalimu katika njia ya haki
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Shabbir Hassan Maithamī, katika hotuba yake akielezea ujumbe wa milele wa harakati ya Ashura, alisema: Tukio la Karbala ni alama ya upinzani dhidi ya dhulma…
-
DuniaHafla ya maombolezo ya usiku wa Ashura ya Husseini (as) katika Husainia ya Imam Khomeini huku ikihudhuriwa na Kiongozi wa Mapinduzi
Hawza/ Wakati huo huo na usiku wa Ashura ya Husseini (as), hafla ya maombolezo ilifanyika katika Huseinia ya Imam Khomeini (ra) huku ikihudhuriwa na Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Mtukufu…
-
DuniaKupanuka kwa wigo wa maandamano dhidi ya kuvunjiwa heshima maombolezo ya Bwana wa Mashahidi (as) nchini Pakistan
Hawza/ Baadhi ya maafisa wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan, katika mkutano na wanahabari uliofanyika Lahore, Pakistan, walieleza wasiwasi wao kuhusu vikwazo vinavyowekwa dhidi ya alama…
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (as) (Majm'a Jahanii):
DuniaMaombolezo ya Muharram yanapaswa kubadilika kuwa uwanja wa mapambano dhidi ya dhulma
Hawza/ Ustadh Ramadhanii amesema kuwa: Iwapo vikao vya Imam Hussein (as) havitahusisha matatizo ya leo ya Uislamu na masaibu ya Maimamu (as), basi havijatumika ipasavyo kwa uwezo wake kamili.
-
Ayatollah A‘raafi katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa mwezi wa Muharram:
HawzaMaombolezo ya Muharram ya mwaka huu yafanyike kwa namna ya adhama zaidi kuliko miaka iliyopita / Hawza na maulamaa daima wamesimama imara juu ya ahadi yao kwa raia
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza amesisitiza kuwa: Maombolezo ya mwezi wa Muharram mwaka huu yanapaswa kufanyika kwa namna ya adhama zaidi kuliko zamani kwa lengo la kuimarisha hamasa ya Ashura na…
-
DuniaRais Mwinyi azindua rasmi kamati ya kusimamia Madrasa Zanzibar
Hawaza/ Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameizindua rasmi Kamati ya Kitaifa ya Kusimamia Madrasa Zanzibar.
-
Raisi wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan:
DuniaImam Hussein (as) ni kielelezo cha uhuru na haki; maombolezo ni haki ya raia na urithi wa muqawama
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa kuwadia kwa mwezi mtukufu wa Muharram al-Haram, amesisitiza kuwa uendeshaji wa maombolezo…