Jumanne 8 Julai 2025 - 11:18
Hivi ndivyo walivyo adhimisha matembezi ya Ashura mwaka huu mkoani Singida Tanzania

Hawza/ Mamia ya wafuasi wa madhehemu ya Ahlulbayt wamemiminika barabarani kwa ajili ya kuadhimisha maombolezo ya kuwawa Imam Husein (as) mkoani Singida Tanzania

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Hawza Umati mkubwa usio na kifani ulimiminika barabarani mkoani Singida kwa ajili ya kudhimisha maombolezo ya kuuwawa mjukuu wa Mtume Muhamad (saw), ambae ni Imam Husein (as) aliye uwawa kikatili katika ardhi ya karbala, nyuso hizi zikiwa zimegubikwa na huzuni kubwa ziliweza kuwasilisha ujumbe wa Imam Husein (as) kwa vitendo zaidi na kuonesha ni jinsi gani haki inapaswa kupambaniwa kwa hali yeyote ile.

Hivi ndivyo walivyo adhimisha matembezi ya Ashura mwaka huu mkoani Singida Tanzania

Baadhi ya waumini wa kike ambao nao pia waliweza kushiriki katika matembezi hayo

Hivi ndivyo walivyo adhimisha matembezi ya Ashura mwaka huu mkoani Singida Tanzania

Sehemu nyengine ya wumini ambao pia walishiriki katiaka matembezi hayo mkoani Singida

Lebo

Maoni yako

You are replying to: .
captcha