Muqawama (4)
-
Katika kumbukumbu ya kuadhimisha mwaka wa ukombozi kusini mwa Lebanon:
DuniaAnsarullah Yemen wamehakikisha kuendeleza njia ya Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah
Hawza/ Ansarullah Yemen imetoa salamu za pongezi kwa Katibu Mkuu wa Hizbullah, muqawama wa Kiislamu wa Lebanon, na wananchi wa nchi hiyo, kwa mnasaba wa siku ya mapambano na ukombozi wa kusini…
-
DuniaZakariya al-Sinwar, ndugu wa Shahidi Yahya al-Sinwar, auwawa kishahidi katika kambi ya al-Nusairat.
Hawza/ Zakariya al-Sinwar, ndugu yake Yahya al-Sinwar, ameuawa kishahidi pamoja na wanawe watatu katika shambulio lililo fanywa na utawala wa Kizayuni kwenye kambi ya al-Nusairat katikati mwa…
-
Sheikh Naim Qasim:
DuniaAthari kubwa za Hawza ya Qum zimeenea duniani kote
Katibu Mkuu wa Hizbullah Lebanon ameeleza athari na baraka za Hawza ya Qum zimeenea katika uwanja wa kitamaduni na kijamii, hasa katika suala la kuunda Mapinduzi ya Kiislamu na mhimili wa muqawama.
-
Rais wa umoja wa wanazuoni wa Muqawama:
DuniaKurejesha uhusiano wa kawaida ni mradi ulioshindwa, na msimamo wa muqawama utashinda
Sheikh Maher Hammoud amesema: Dalili za kurejeshwa kwa uhusiano wa kawaida na ushawishi wa Wazayuni zimefikia kikomo.