Muqawama (145)
-
DuniaAjenda ya Marekani na Wazayuni dhidi ya waandishi wa habari wa Lebanon; kuanzia kuitwa mahakamani wakurugenzi wa vyombo vya habari vinavyounga mkono Muqawama hadi kuuawa waandishi wa habari
Hawza/ Wanahabari na waandishi wa habari wa Lebanon wanaounga mkono Muqawama katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita wamekuwa chini ya shinikizo la kisiasa, kufuatiliwa kisheria bila sababu halali,…
-
Spika wa Bunge la Umoja wa Waislamu wa Pakistan:
DuniaMatusi ya chombo cha habari cha Kizayuni dhidi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ni shambulio dhidi ya muqawama na mwamko wa Kiislamu
Hawza/ Seneta Raja Nasir Abbas Jaafari, Spika wa Bunge la Umoja wa Waislamu wa Pakistan, katika ujumbe wake huku akilaani habari za uongo za mwandishi mmoja wa Kizayuni, alisisitiza kuwa; baadhi…
-
DuniaKiongozi mwandamizi wa Harakati ya Amal: Jeshi, taifa na muqawama bado ni nguzo muhimu na ya lazima
Hawza/ Khalil Hamdan alisisitiza kuwa eneo hili lipo juu ya moto; mahali ambapo misiba na changamoto zinaonekana kila upande—kuanzia Sudan hadi Yemen kuna migogoro ya ndani, na kuanzia Ghaza…
-
Mufti Mkuu wa Jaafaria wa Lebanon:
DuniaSerikali ioneshe ustahiki wake wa kitaifa
Hawza/ Mufti Mkuu wa Jaafaria wa Lebanon alisema: Tupo katika wakati wa machafuko ya kimataifa yanayoongozwa na Washington, huku Ulaya ikisalimu amri, jambo ambalo linaupeleka Umoja wa Mataifa…
-
DuniaMji wa Ghubairi nchini Lebanon wafanya hafla ya kumbukizi ya shahada ya kamanda Haj Qassim Suleimani
Hawza/ Mji wa Ghubairi uliopo katika mji wa Baabda nchini Lebanon uliadhimisha kumbukumbu ya shahada ya kamanda Shahidi Haj Qassim Suleimani kupitia hafla iliyofanyika karibu na mnara wa kumbukumbu…
-
Mwakilishi wa Harakati ya Hamas nchini Iran:
DuniaShahidi Soleimani alikuwa shujaa wa ubinadamu na mbeba-bendera ya umoja wa Umma katika kuitetea Palestina
Hamas/ Khaled Qaddoumi alisisitiza: Lau asingekuwapo Haj Qassem Soleimani, haijulikani msimamo mkali wa Kizayuni na ugaidi wa takfiri vingesababisha janga kubwa kiasi gani kwenye dini na makabila…
-
DuniaSheikh Ahmad Qablan aikosoa vikali Serikali ya Lebanon
Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh Ahmad Qablan, Mufti Mkuu wa Jaafari wa Lebanon, amesema: “Tumejikuta katikati ya nchi ambayo inaendelea kuporomoka kila siku.”
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa ya Najaf Ashraf:
DuniaMashahidi Sulaimani na al-Muhandis ni mfano halisi wa Aya Tukufu isemayo: Watu walio timiza waliyo ahidiana na Mwenyezi Mungu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanchi alisema: “Leo tunaishi katika neema ya usalama kwa baraka ya damu za mashahidi; hakuna kurudi nyuma katika njia hii, wala hakuna hofu…
-
DuniaMwaka Mpya wa Miladia si kituo cha kumalizika muqawama
Hawza/ Abu Alaa al-Walaei, Katibu Mkuu wa Kataib Sayyid al-Shuhada wa Iraq, katika kipindi cha kuelekea Mwaka Mpya wa Miladia, kupitia taarifa aliyotoa, alisisitiza kuwa kuingia mwaka mpya hakutoi…
-
Sheikh Ahmad Al-Qattan:
DuniaTunasimama pamoja na harakati zote za muqawama dhidi ya udikteta wa Kizayuni–Marekani
Hawza/ Kiongozi wa kidini wa Kisunni kutoka Lebanon amesisitiza kuwa, Harakati ya Hamas itaendelea kusimama imara, kama zilivyo harakati nyingine zote za muqawama, maadamu bado kuna uvamizi na…
-
Rais wa Muungano wa Wanazuoni wa Muqawama:
DuniaKuuawa kishahidi Abu Ubaida na makamanda wa Al-Qassam hakutabadilisha mwelekeo wa muqawama
Hawza/ Sheikh Maher Hammoud amesisitiza kuwa; tangazo la kuuawa kishahidi kundi la makamanda wa Vikosi vya Izzuddin Al-Qassam linathibitisha kwamba njia ya muqawama haitasimama.
-
DuniaMjumbe wa Hizbullah: Kuondoa nguzo kuu ya Lebanon ni ndoto tu
Hawza/ Sheikh Muhammad Amrū alisisitiza kuwa mashinikizo ya kisiasa dhidi ya Lebanon hayatakuwa na matokeo yoyote maadamu mshikamano wa kitaifa unabaki kuwa nguzo kuu na tegemeo la nchi.
-
Mjumbe wa Muungano wa Uaminifu kwa Muqawama:
DuniaKinachopangwa kwa ajili ya Lebanon ni zaidi ya suala la silaha na kinaelekezwa kwenye mkondo wa kisiasa, kiusalama na kiuchumi
Hawza/ Ali Fayyadh alisema: Hizbullah ni chama kikubwa zaidi cha kisiasa kwa kuzingatia uungwaji mkono wa wananchi nchini Lebanon, na uzito pamoja na nafasi yake haviwezi kupuuzwa.
-
Mwakilishi wa Kiongozi wa Waislamu wa Kishia wa Bahrain:
DuniaMaktaba ya Shahidi Sulaimani ni ramani ya njia ya Qur’ani katika ushindi wa Muqawama
Hawza/ Sheikh al-Daqqaq, akisisitiza misingi ya Qur’ani ya maktaba ya Muqawama, alisema: Maktaba ya Shahidi Haj Qasim Sulaimani, kwa kutegemea uchambuzi wa kimkakati, malezi ya rasilimali watu…
-
Rais wa Jumuiya ya Wahadhiri wa Vyuo vya Serikali vya Pakistan:
DuniaIran ya ni mshika-bendera wa heshima na mpambanaji katika ulimwengu wa Kiislamu
Hawza/ Profesa Munawar Abbas, Rais wa Jumuiya ya Wahadhiri wa Vyuo vya Serikali vya Pakistan, katika warsha ya tano ya kimataifa isemayo: "Iran; Jukwaa la Heshima ya Kiislamu katika kukabiliana…
-
Mjumbe wa Baraza Kuu la Hizbullah Lebanon:
DuniaMuqawama unaendelea kwa nguvu hadi itakapotimia ahadi ya Mwenyezi Mungu / Maktaba ya Shahidi Suleimani ni nguzo ya kifikra kwa Muqawama wa Kiislamu
Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh al-Baghdadi alisisitiza kuwa: Muqawama unaendelea kwa nguvu na kwa kushikamana na maktaba ya mashahidi na uongozi, katika njia ya kusimama imara na kupambana na adui…
-
DuniaMazishi ya Mwanazuoni Sheikh Ridha Mahmoud Mahdi, yafanyika katika mji wa Khartoum nchini Lebanon
Hawza/ Hizbullah na watu wa Muqawama waliuaga mwili wa Mwanazuoni, Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Ridha Mahmoud Mahdi.
-
Ali Fayyadh Akiihutubia Serikali ya Lebanon:
DuniaIkiwa adui anaendelea kuwaua Walebanon, mazungumzo naye yana thamani gani?
Hawza/ Mjumbe wa kundi la wabunge la “Uaminifu kwa Muqāwama” katika Bunge la Lebanon alisema: Leo, damu takatifu za Jeshi shujaa la Lebanon, ambalo tunathamini misimamo na busara za uongozi wake,…
-
Mwakilishi wa Harakati ya Amal Lebanon:
DuniaKujitoa muhanga kwa mashahidi kusini kulikuwa kwa ajili ya Lebanon yote, na baadhi ya viongozi wanazungumza lugha ya adui
Hawza/ Qubaisi alitangaza: Uchaguzi ujao wa Baraza la Wawakilishi ni jihadi sambamba na mashahidi na ni ulinzi wa Lebanon iliyo huru, yenye heshima na yenye kujitegemea.
-
Mshauri wa Waziri Mkuu wa Iraq Katika Maswala ya Utamaduni:
DuniaKusimama imara kwa Waislamu ndio siri ya mafanikio ya Muqawama
Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh Nouri, katika kongamano la kimataifa la “Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah; Siri ya Muqawama na Umahiri wa Uongozi”, alisisitiza kuwa: kusimama imara kwa pande zote…
-
Rais wa Chuo Kikuu cha Ilya cha Iraq:
DuniaNjia ya mapambano ya Kiislamu inawezekana kwa kufuata mafundisho ya Qur’ani na Sunna
Hawza/ Rais wa Chuo Kikuu cha Ilya cha Iraq, katika kongamano la kimataifa la “Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah”, alisisitiza kuwa njia ya mapambano ya Kiislamu inawezekana tu kwa kushikamana…
-
Balozi wa Iran katika kumbukumbu ya Sheikh Abdulnaser Jabri:
DuniaNjia ya mapambano ya muqawa.a ndiyo chaguo lenye mafanikio zaidi
Hawza/ Kutokana na mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa tisa tangia kufariki Sheikh Abdulnaser Jabri, Harakati ya Umma wa Lebanon (Harakat al-Ummah) iliandaa kikao cha kielimu na kisiasa kwenye…
-
Mjumbe wa Kundi la Muqawama:
DuniaMwenendo wa Mazungumzo na Israel ni hatari kubwa kwa Lebanon
Hawza/ Ali Fayyadh ameonesha wasiwasi wake mkubwa kuhusu maendeleo ya mazungumzo ya Lebanon na Israel, akisema kuwa; kwa kuteleza Lebanon kuelekea kufanya mazungumzo na Waisraeli chini ya uongozi…
-
Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon walaani kudharauliwa Qur’ani Tukufu:
DuniaKuitukana Qur’ani ni Sawa na Kuwashambulia Waislamu Wote
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon, katika taarifa rasmi, umelaani vikali kitendo cha “Jake Lang”, mgombea wa Chama cha Republican cha Marekani, cha kuidharau Qur’ani Tukufu.
-
DuniaSheikh Al-Rifa‘i: Kuhalalisha mahusiano si tu ni Usaliti kwa Umma, Bali Kunahatarisha Uwepo Wetu
Hawza/ Sheikh Mu’min al-Rifa‘i, mshauri wa masuala ya uhusiano wa kidiplomasia wa Lebanon, katika taarifa yake alisisitiza kuwa kuweka kawaida mahusiano si tu usaliti kwa Umma, bali ni usaliti…
-
Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia wa Lebanon:
DuniaAdui Muisraeli Hataki Utulivu Upatikane Katika Ukanda Huu
Hawza/ Sheikh Ali al-Khatib, Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia wa Lebanon, alisisitiza: Tunaupa umuhimu uthabiti katika nchi zote za eneo hili, lakini adui Mzayuni haachi nafasi…
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya 'Kuhuisha Turathi za Wanazuoni' wa Lebanon, Katika Kongamano la kimataifa la “Muqawama”:
DuniaMuqawama ni Jibu la Kihistoria kwa Uislamu Dhidi ya Uvamizi na Ubeberu
Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh Baghdadi, huku akisisitiza kuwa; muqawama una mizizi yake katika mafundisho halisi ya Uislamu, alisema wazi kuwa: Muqawama ni jibu la kihistoria na la kimkakati la…
-
Waziri wa Zamani wa Lebanon:
DuniaHakuna Nafasi ya Kujisalimisha Katika Kamusi Yetu, Muqawama ni Utamaduni wa Maisha
Hawza/ Mustafa Bairam alisisitiza kuwa muqawama nchini Lebanon, sambamba na watu wake, umefikia viwango vya juu kabisa vya wajibu wa kibinadamu na kitaifa katika kusimama upande wa wanyonge,…
-
Mwakilishi wa Hizbullah:
DuniaLicha ya Mashinikizo Yote, Muqawama Utaendelea Kumiliki Silaha
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Faisal Shukr alisisitiza kuwa; bendera ya muqawama itaendelea kuinuliwa, na silaha zake, licha ya mashinikizo yote, silaha zitaendelea kubakia mikononi mwa wapiganaji…
-
Sheikh Ahmad Qabalan:
DuniaHistoria Imethibitisha Kwamba Sisi ni Watu Wakubwa Kuliko Migawanyiko
Hawza/ Mufti Mkuu wa Jaafari wa Lebanon amesema: Mwanadamu ndiye kitu kitakatifu zaidi miongoni mwa vitakatifu vya Mwenyezi Mungu, na hakuna utakatifu wowote kwa maslahi ya mwanadamu isipokuwa…