Muqawama (8)
-
DuniaSheikh Yasin: Wale wanapaza sauti zao wakidai kusalimisha silaha zao, hawana hisia za uzalendo
Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh Ali Yasin al-Amili amesisitiza kuwa kujadili suala la kusalimisha silaha za muqawama, katika hali ambayo serikali haiwezi kujibu hata moja ya hujuma za Kizayuni,…
-
HawzaUmuhimu wa kutambua nyakati kwa mtazamo wa Sheikh Ibrahim Zakzaky
Hawzah/ Ayatollah Sheikh Ibrahim Zakzaky amesema: “Hata kama chaguo la mwisho katika njia ya muqawama ni kufa kishahidi, bado hiyo ni furaha kubwa zaidi, kama alivyochagua Imam Hussein (as) katika…
-
Mwanazuoni Mashuhuri wa Pakistani:
DuniaShambulio dhidi ya Iran ni shambulio dhidi ya ulimwengu wa kiislamu
Hawza/ Hujjatul-Islam Maqsuud Ali Domki, katika khutba ya Swala ya Ijumaa, huku akilaani mashambulizi yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran, alitaja hatua hizo kuwa ni uvamizi dhidi…
-
Mwanazuoni Mashuhuri wa Kihindi:
DuniaIran ni nchi pekee ya Kiislamu iliyosimama kwa ujasiri dhidi ya Marekani na Israel
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Kalb Jawad Naqawi, Imamu wa Ijumaa wa Lucknow, huku akilaani vikali shambulio la Wazayuni dhidi ya Iran, alisisitiza kuwa Iran ndiyo nchi pekee ya Kiislamu…
-
Katika kumbukumbu ya kuadhimisha mwaka wa ukombozi kusini mwa Lebanon:
DuniaAnsarullah Yemen wamehakikisha kuendeleza njia ya Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah
Hawza/ Ansarullah Yemen imetoa salamu za pongezi kwa Katibu Mkuu wa Hizbullah, muqawama wa Kiislamu wa Lebanon, na wananchi wa nchi hiyo, kwa mnasaba wa siku ya mapambano na ukombozi wa kusini…
-
DuniaZakariya al-Sinwar, ndugu wa Shahidi Yahya al-Sinwar, auwawa kishahidi katika kambi ya al-Nusairat.
Hawza/ Zakariya al-Sinwar, ndugu yake Yahya al-Sinwar, ameuawa kishahidi pamoja na wanawe watatu katika shambulio lililo fanywa na utawala wa Kizayuni kwenye kambi ya al-Nusairat katikati mwa…
-
Sheikh Naim Qasim:
DuniaAthari kubwa za Hawza ya Qum zimeenea duniani kote
Katibu Mkuu wa Hizbullah Lebanon ameeleza athari na baraka za Hawza ya Qum zimeenea katika uwanja wa kitamaduni na kijamii, hasa katika suala la kuunda Mapinduzi ya Kiislamu na mhimili wa muqawama.
-
Rais wa umoja wa wanazuoni wa Muqawama:
DuniaKurejesha uhusiano wa kawaida ni mradi ulioshindwa, na msimamo wa muqawama utashinda
Sheikh Maher Hammoud amesema: Dalili za kurejeshwa kwa uhusiano wa kawaida na ushawishi wa Wazayuni zimefikia kikomo.