Muqawama (215)
-
Mjumbe wa Kambi ya Muqawama:
DuniaHakuna hatua yoyote ya adui ya kuondoka; Serikali ya Lebanon inatumia maonesho ya kisiasa kutengeneza ushindi wa kufikirika
Hawza/ Hassan Fadlallah amesisitiza kuwa; adui wa Kizayuni hajaondoka hata kutoka kipande kimoja cha ardhi inayokaliwa kwa mabavu kusini mwa Lebanon.
-
Mbunge wa Kambi ya Muqawama Lebanon:
DuniaUongozi wa Nchi Umewaacha Wananchi Wake na Unasisitiza Kuikokota Lebanon Kwenye Hali Hatari Sana
Hawza/ Ali Fayyadh amesisitiza kuwa; baada ya kumalizika kwa duru ya mazungumzo mjini Roma kati ya ujumbe wa Lebanon na adui Israel, misimamo rasmi ya serikali ya Lebanon imefichuka zaidi kuliko…
-
Ihab Hamadeh:
DuniaMuqawama Utaendelea Kukabiliana na Adui, na Israel Inaelewa Lugha ya Nguvu Pekee
Hawza/ Mwanachama wa Kambi ya “Uaminifu kwa Muqawama” amesisitiza kwamba; silaha ya Muqawama, ambayo imekuwa kiwakilishi cha uwepo wetu, imethibitisha ufanisi wake katika kukabiliana na adui…
-
Mwanachama wa Kambi ya Muqawama:
DuniaIsrael Imethibitisha Mara Nyingi Kutoheshimu Makubaliano na Sheria za Kimataifa
Hawza/ Ali Ammar amesisitiza kwamba; mashambulizi ya hivi karibuni ya Israel dhidi ya Lebanon na juhudi zake za kusonga mbele kuelekea eneo la “Ali al-Tahir” yanafanyika katika mfumo wa sera…
-
Mjumbe wa Kambi ya “Maendeleo na Uhuru” ya Lebanon:
DuniaKatika Dunia Inayojinasibu kwa Haki na Haki za Binadamu, Uhalifu wa Israel Haupaswi Kufichwa
Hawza/ Qasim Hashim amesema kuwa kuendelea kwa uchokozi wa Israel huku ulimwengu ukinyamaza kunathibitisha tabia ya kiuchokozi ya utawala huo.
-
Katibu Mkuu wa Hizbullah Lebanon:
DuniaMpango wa Kuuangamiza Muqawama na Hizbullah Umeshindwa
Hawza/ Sheikh Naim Qassim, Katibu Mkuu wa Hizbullah, amesema kuwa; kulikuwa na mpango wa kuiangamiza Hizbullah na Muqawama katika eneo la Mashariki ya Kati, lakini mpango huo umeshindwa.
-
Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon:
DuniaTunaishukuru Iran na Muqawama
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon katika taarifa yake umesema: Iran ilitoka katika vita hivi ikiwa mshindi na hatimaye iliilazimisha Marekani kukubali na kutekeleza masharti…
-
DuniaHafla za Maombolezo ya Imam Hussein (as) Zafanyika Kusini mwa Beirut
Hawza/ Kwa mnasaba wa kuadhimisha kumbukumbu ya Ashura ya Imam Hussein (as), Hizbullah imeandaa na kuendesha majlisi za maombolezo ya mwezi wa Muharram katika maeneo mbalimbali ya kusini mwa…
-
Rais wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlus-Sunnah Iraq:
DuniaDamu ya Mashahidi Iliuvunja Ushawishi wa Marekani na Uzayuni
Hawza/ Sheikh Khalid Al-Mulla, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlus-Sunnah nchini Iraq, katika mkutano wa kimataifa wenye anuani ya “Watoto Mashahidi, Kushindwa kwa Tawwla ya Marekani…
-
DuniaAbu Alaa Al-Wala’i: Sauti ya “فُزنا وربّ الكعبة” Imesikika Katika Uwanja Mzima wa Muqawama
Hawza/ Katibu Mkuu wa Kataib Sayyid al-Shuhadaa (as) nchini Iraq, akisisitiza kwamba; leo sauti ya “فُزنا وربّ الكعبة” imetanda katika uwanja mzima wa muqawama, amesema: Kupitia kutimia kwa “Ahadi…
-
Mwanazuoni wa Kisunni wa Lebanon:
DuniaChaguo la Muqawama Limechaguliwa Kwa Msingi wa Kushikamana na Qur’ani Tukufu
Hawza/ Sheikh Ahmad Al-Qattan amesisitiza wa kusema: “Muqawama nchini Lebanon ni uhai wetu, na adui Muisraeli, licha ya kuendelea na mashambulizi yake, ameshindwa kufikia malengo yake.”
-
DuniaWananchi wa Baalbek Wakusanyika kwa Ajili ya Kuonesha Shukrani Zao na Uaminifu kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Hawza/ Mji wa Baalbek ulishuhudia mkusanyiko mkubwa wa mshikamano; hatua iliyofanyika kama ishara ya shukrani na uaminifu kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kwa ushiriki mkubwa wa wananchi wanaouunga…
-
Sheikh Ahmad Qabalan:
DuniaHatuitoi Lebanon kwa Wazayuni na Mawakala Wao
Hawza/ Mufti Mkuu wa Ja'faria na mwanazuoni mashuhuri wa Lebanon amesema: Kinachotokea leo kinaiweka mamlaka ya Lebanon mikononi mwa wale walioigeuza kuwa mtaji wa kisiasa na zawadi ya kiusalama…
-
Wafuasi wa Muqawama Mbele ya Ubalozi Mdogo wa Israel mjini Istanbul:
DuniaMhimili wa Muqawama Hauko Peke Yake
Hawza/ Kundi la “Marafiki wa Muqawama wa Uturuki” limefanya mkusanyiko wa maandamano mbele ya ubalozi mdogo wa Israel mjini Istanbul na kutangaza uungaji mkono wake kwa Ghaza na Lebanon, washiriki…
-
DuniaJumuiya ya Maulamaa wa Beirut Yapongeza Msimamo wa Dhati wa Iran katika Kuisaidia Lebanon
Hawza/ Jumuiya ya Maulamaa wa Beirut imesisitiza kwamba; haiwezekani kuachana na muqawama ambao uliikomboa ardhi na kumzuia adui; Muqawama upo na utaendelea kuwepo maadamu hakuna mbadala unaoweza…
-
Sheikh al-Khatib:
DuniaTaarifa ya mazungumzo ya Washington inafungua milango ya fitna ambayo adui ananuia kuizalisha
Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon amesema: Kukubali kwa serekali ya Lebanon kupitia wanadiplomasia wake maudhui ya taarifa ya Washington na kukubali…
-
Hizbullah:
DuniaJinai inayofanywa na adui dhidi ya jeshi la taifa imekuwa ni matokeo ya kawaida na ya kupuuzwa kwa mamlaka ya nchi
Hawza / Hizbullah katika taarifa yake imesema: Shambulio la kijinai na la woga ambalo adui Mzayuni amelifanya dhidi ya jeshi letu la taifa ni jinai ya kweli na ya makusudi.
-
DuniaMkusanyiko wa Wanazuoni wa Jabal Amil umesisitiza kushikamana na uchaguzi wa kusimama imara, Muqawama na kuimarisha umoja wa Lebanon
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Jabal Amil nchini Lebanon katika ujumbe wake kwa mnasaba wa “Eidul Ghadir” umesisitiza kwamba; Lebanon chini ya mwendelezo wa mashambulizi na vitisho vya Israel,…
-
DuniaSheikh Qabalan amwambia Aoun: Kama kusingekuwa na Muqawama, adui Muisraeli angefika hadi Ikulu ya Rais
Hawza / Mwanazuoni mashuhuri wa Lebanon, katika ujumbe wake kwa Rais wa Lebanon, amesema: Yeyote anayehimiza Muqawama kujiondoa kusini mwa mto huku wakati huohuo asidai kuondoka kwa jeshi la…
-
DuniaSheikh Ahmad Qabalan: Tunajivunia uhusiano wetu wa milele na Iran
Hawza/ Mufti Mkuu wa Jaafaria na mwanazuoni wa Kishia wa Lebanon amesema kuwa: Sitisho lolote la vita au njia yoyote itakayotufikisha kwenye matokeo haya, pamoja na mambo yanayohitajika kwa ajili…
-
Mwakilishi wa Kambi ya Muqawama:
DuniaKusisitiza Muqawama kunyang'anywa silaha ni sawa na kusisitiza kuondoa nguvu ya jamii hii
Hawza/ Ihab Hamada amesema: Kusisitiza kuvuliwa silaha kwa Muqawama, kwa hakika ni kusisitiza kuondoa sehemu ya nguvu ya jamii hii; hatua hii inalenga kuifanya jamii iwe dhaifu na iwe rahisi…
-
Harakati ya Umma:
DuniaNia ya mataifa yanayoamini haki na uhuru wao ina nguvu zaidi kuliko mashine zote za kivita
Hawza/ Harakati ya Umma ya Lebanon imelaani mashambulizi ya mara kwa mara ya Kizayuni yanayofanywa kusini mwa Lebanon na eneo la Biqaa pamoja na ukiukwaji wa kila siku wa mamlaka ya Lebanon,…
-
Ujumbe wa Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon kwenye Kongamano la Pili la Kimataifa la Ghadir na Muqawama:
DuniaHizbullah imesimama dhidi ya utawala wa Kizayuni kwa kuhamasishwa na Wilayah na utamaduni wa Ashura
Hawza/ Sheikh Naim Qassem katika ujumbe wake kwenye Kongamano la Pili la Kimataifa la Ghadir na Muqawama alisisitiza: Hizbullah ya Lebanon, kwa kuhamasishwa na madhehebu ya Imam Ali (as) na harakati…
-
Mkuu wa Baraza la Kisheria la Hizbullah:
DuniaHatutaachana na msimamo wetu, hata kama utasababisha makabiliano ya Hussein
Hawza/ Sheikh Muhammad Yazbak, Mkuu wa Baraza la Kisheria la Hizbullah, amesema katika ujumbe wake: “Tunawashukuru wote wanaotunyoshea mkono wa msaada na utetezi, na kwa namna ya pekee tunaishukuru…
-
Mwanazuoni wa Kisunni wa Lebanon:
DuniaKufanya mazungumzo ya moja kwa moja na adui Israel ni haramu kisheria
Hawza/ Sheikh Ahmad Al-Qattan aliisifu Iran kwa kusimama imara mbele ya mashinikizo na uchokozi, na akautaja ushindi wake kuwa ni ushindi wa watu wote huru duniani, bila kujali dini, madhehebu…
-
DuniaMwakilishi wa Hizbullah: Muqawama utaivuruga mipango ya Israel
Hawza/ Hassan Fadhlallah, mwakilishi wa Harakati ya Uaminifu kwa Muqawama wa Hizbullah, alisisitiza kwamba; adui Israeli inaendelea kutekeleza mashambulizi yanayoongezeka kusini mwa Lebanon na…
-
Sheikh Al-Khazali:
DuniaMuqawama haujajikita katika kazi za kijeshi pekee, bali umefunguka hadi katika kulijenga taifa lenye nguvu
Hawza/ Katibu Mkuu wa Harakati ya Asa'ib Ahl al-Haq amesema kuwa; Muqawama haupaswi kutazamwa kuwa umefungika katika shughuli za kijeshi pekee, bali ni mwelekeo unaoendelea kuelekea katika ujenzi…
-
Sheikh Ahmad Qabalan:
DuniaIsrael Imeshindwa katika “Vita Vyake Vikubwa” na Hakuna Dhamana ya Kulinda Mamlaka ya Lebanon Isipokuwa Muqawama
Hawza/ Mufti Mkuu wa Kijaafari na mwanazuoni wa Kishia nchini Lebanon, akirejelea kushindwa kwa kimkakati kwa Marekani na utawala wa Kizayuni, aliongeza: Leo ni wakati wa kihistoria sana.
-
DuniaWanazuoni wa Lebanon Wasisitiza Umuhimu wa Kuhifadhi Umoja wa Ndani na Kuimarisha Mshikamano kati ya Nguvu za Kidini na Kitaifa
Hawza/ Kwa mnasaba wa “Sikukuu ya Muqawama na Ukombozi”, Sheikh Ahmad Al-Qattan, rais wa Jumuiya ya “Qawluna wal-‘Amal”, alipokea ujumbe kutoka kwa “Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu” wa Lebanon…
-
Sheikh Ali Al-Khatib:
DuniaShukrani nyingi kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran/ Tunakataa aina yoyote ya mazungumzo ya moja kwa moja na Israel
Hawza/ Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon, katika taarifa yake amesema kuwa; kumbukumbu ya miaka ishirini na sita ya ukombozi inakuja katika mazingira magumu…