Muqawama (40)
-
Imam wa Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaKuuwawa kishahidi Waziri Mkuu na viongozi mashuhuri wa Yemen hakukuathiri mwendelezo wa mapambano ya Yemen
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanji alisema: Kuuwawa kishahidi Waziri Mkuu wa Yemen pamoja na viongozi wengine 21 mashuhuri wa Yemen hakukuathiri mwendelezo wa mapambano…
-
DuniaAyatullah Issa Q'asim: Kutengeneza uhusiano na utawala wa Kizayuni ni kujisalimisha kwenye mradi wa “Israili Kubwa”
Hawza/ Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Bahrain ameelezea kwamba kufanya uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni ni kujisalimisha kwenye mradi wa “Israili Kubwa”.
-
Ayatullah Saidi katika Swala ya Ijumaa Qom, nchi Iran:
DuniaUshirikiano wa wananchi umeangamiza njama za Marekani na utawala wa Kizayuni / “Umoja” ndii suluhisho katika kuueneza Uislamu duniani
Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom alisema: “Utawala wa Kizayuni ulidhani kwamba, kwa kudhoofisha imani ya wananchi na kuchichea kukata tamaa ungeweza kutikisa misingi ya serikali, lakini mshikamano…
-
DuniaKiongozi wa Jamaat-e-Islami Pakistan: Kujitolea kwa Iran katika kuiunga mkono Palestina ni fahari kwa Umma wa Kiislamu
Hawza/ Hafiz Naeemur Rehman katika hotuba yake alisisitiza kwamba kujitolea kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuliunga mkono taifa la Palestina ni chanzo cha fahari kwa umma wa Kiislamu…
-
Balozi wa Yemen nchini Iran:
DuniaChanzo cha matatizo katika ukanda huu ni uvimbe wa saratani wa Kizayuni
Hawza/ Ibrahim Muhammad al-Daylami, huku akilaani ukimya wa nchi za Kiarabu na Kiislamu mbele ya uvamizi wa utawala wa Kizayuni, ameitaja Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kama mlinzi pekee wa kweli…
-
DuniaRais wa Kituo cha Utafiti cha Bunge: Mikakati ya pamoja ya Yemen imedhoofisha biashara ya baharini ya utawala wa Kizayuni
Hawza/ Babak Negahdari alibainisha kuwa hatua za Yemen si tu zimeongeza gharama za utawala wa Kizayuni na Marekani katika eneo, bali pia zimeutikisa ubeberu kwenye sekta ya kiuchumi hasa Marekani,…
-
DuniaImamu wa Ijumaa wa Beirut: Kutoweka kwa Imam Musa Sadr kutokana na nafasi yake ya kuunganisha na kuunga mkono malengo ya haki ni pigo kubwa
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Ali Fadhlallah alisema: “Kutoweka kwa Imam Musa Sadr, kutokana na nafasi yake ya kuleta umoja wa kitaifa na Kiislamu, pamoja na kuunga mkono malengo…
-
DuniaSheikh Ahmad Qabalan: Dhamira ya Imam Musa Sadr ilikuwa ni mamlaka ya Lebanon, ushirikiano wa Kiislamu na Kikristo na maelewano kati yao
Hawzah/ Sheikh Ahmad Qabalan, Mufti mashuhuri wa Ja‘fari, kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya kutekwa Imam Sayyid Musa Sadr na wenzake wawili, ametoa ujumbe
-
DuniaSheikh Hassan Abdullah: Imam Musa Sadr katika maisha yake aliakisi dhana ya Karbala na njia ya Mitume na Mawalii
Hawzah/ Harakati ya Amal, kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya kutoweka kwa Imam Sayyid Musa Sadr, iliandaa hafla katika mji wa Burj Rahal
-
DuniaUmoja wa Ulamaa wa Muqawama Ulimwenguni: Jinai zinazofanywa na Wazayuni Haziwezi Kudhoofisha Azma ya Taifa la Yemen
Hawza/ Umoja wa Ulamaa wa Muqawama Ulimwenguni, kufuatia shambulizi la anga lililofanywa na utawala wa Kizayuni lililolenga kikao rasmi cha kiserikali mjini Sana’a, mji mkuu wa Yemen, umetuma…
-
DuniaChama cha Ustawi wa Kitaifa cha Afghanistan: Kunyamaza dhidi ya ugaidi waliofanyiwa viongozi wa Yemen, kunachochea uvamizi unaoendelezwa na Israeli
Hawza/ Katibu Mkuu wa Chama cha Ustawi wa Kitaifa cha Afghanistan amelaani mauaji ya kigaidi dhidi ya Waziri Mkuu na mawaziri wa Yemen, na akaonya kwamba endapo ulimwengu wa Kiislamu hautachukua…
-
Taarifa ya Jumuiya ya Walimu wa Hawza Tukufu ya Qum, Kuhusu Kulaani Mauaji ya Kigaidi Dhidi ya Baadhi ya Mawaziri wa Yemen:
DuniaUhalifu unaofanywa na Utawala wa Kizayuni Hauwezi Kudhoofisha Kudai Haki na Kusimama Imara Watu wa Yemen
Hawza/ Jumuiya ya Walimu wa Hawza Tukufu ya Qum (J'amiatul-Mudarrisin) imetoa taarifa na kulaani shambulio la kinyama lililofanywa na utawala muhalifu wa Kizayuni mjini Sanaa, na kupelekea kuuawa…
-
DuniaHizbullah: Uvamizi wa kinyama dhidi ya Yemen ni jinai mpya iliyoongezwa kwenye jalada la jinai za Wazayuni
Hawza/ Hizbullah katika tamko lake imetoa rambirambi zake za dhati na pole za kina kwa taifa ndugu la Yemen na uongozi wake wa mapambano chini ya uongozi wa Sayyid Abdulmalik Badruddin Al-Houthi
-
DuniaAl-Wala’i: Kupata Shahada viongozi wa Yemen ni Sanadi ya utiifu wa taifa hili kwa dhamira ya Palestina
Hawza/ Katibu Mkuu wa Kataib Sayyid al-Shuhada, ameeleza kuwa kuuawa kishahidi kwa viongozi wa Yemen katika shambulio la hivi karibuni lililofanywa na utawala wa Kizayuni ni ushahidi wa utiifu…
-
Imamu wa Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaTunataka Wa-Iraq waliokamatwa Saudi Arabia waachiwe huru
Hawzah/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanchi alisema: makumi ya Wairaqi wamekuwa wakishikiliwa katika magereza ya Saudi Arabia kwa zaidi ya mwaka mmoja, baadhi yao, kosa lao…
-
DuniaVikosi vya Marekani kuondoka Makao ya Operesheni za Pamoja Baghdad
Hawzah/ Kwa mujibu wa taarifa kutoka vyanzo mbali mbali, katika utekelezaji wa makubaliano ya pande mbili kati ya nchi hizo mbili, inatarajiwa kuwa vikosi vya Marekani siku ya Jumamosi vitaanza…
-
Ayatullah Rajabi:
DuniaHizbullah ya Lebanon ni alama ya heshima na hadhi kwa Umma wa Kiislamu / Ndoto ya kuivua silaha Hizbullah kamwe haitatimia
Hawzah/ Mjumbe wa Baraza Kuu la Hawzah, kufuatia mpango ovu wa utawala wa kigaidi wa Marekani dhidi ya taifa tukufu na lenye kusimama imara la Lebanon, alitoa ujumbe na akasema: “Hizbullah ni…
-
DuniaMbunge wa Lebanon: Harakati ya Amal itabakia kuwa mwaminifu kwenye njia ya Imam Musa Sadr na kusalia thabiti katika njia ya muqawama
Hawza/ Ali Khreis alisema: “Tupo ukingoni mwa kumbukumbu ya kutoweka kwa Imam Musa Sadr, jinai ambayo maadui Waarabu, Waislamu, na muqawama walishiriki ndani yake
-
DuniaMjumbe Mwandamizi wa Harakati ya Amal: Lebanon imelipa gharama ya kutochukua hatua kwa serikali, na Muqawama ndio mbadala wa ulinzi wa ardhi na watu
Hawza/ Khalil Hamdan amesema: Lebanon kwa ujumla, na kusini hususan, imelipa gharama ya kuachwa na kutotetewa na viongozi, jambo ambalo linakwenda sambamba na kauli mbiu ya “nguvu ya Lebanon…
-
DuniaSheikh Ali Yasin: Kukabidhi mfungwa wa Kizayuni bila ya masharti yoyote kunaonesha udhaifu wa watawala
Hawza / Sheikh Ali Yasin al-‘Amili, Rais wa Jumuiya ya Wanazuoni wa mji wa Sur na maeneo yake, amesema kuwa karatasi ya “ushindi” inayodaiwa na Marekani ni hati ya kujisalimisha ambayo haipaswi…
-
DuniaJopo la Wanazuoni wa Kiislamu Lebanon: Muda wa kuwa Ardhi zilizokaliwa kimabavu hazijakombolewa na uvamizi haujakoma, silaha za muqawama haziwezi kujadiliwa
Hawza/ Jopo la Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon limesema: Serikali ya Lebanon inaendelea kung’ang’ania, kuendeleza maneno ya kisiasa yenye uchochezi na vitisho visivyo na maana kuhusiana na suala…
-
DuniaRaisi wa Umoja wa Maulama wa Muqawama: Msimamo wa Muqawama na Uaminifu Wake kwa Silaha Ni wa Kutosheleza Zaidi Kuliko Msimamo Dhaifu wa Serekali na Unaopingana
Hawza/ Sheikh Maher Hammoud amesema: “Wakati wanataka Muqawama, pamoja na manufaa yote uliyoyaleta Lebanon, utoe silaha zake kwa ajili ya mradi wa kubuni serikali imara, ni sawa na kuuza chuma…
-
DuniaWanazuoni wa Sunni wa Lebanon Wameunga Mkono Muqawama kikamilifu
Hawza / Sheikh Ahmed Al-Qattan, kiongozi wa dini wa Sunni na Rais wa Jumuiya ya “Qoulna wa Al-Amal” nchini Lebanon, amesema: “Tunasema kwamba silaha zilizopo Lebanon na sehemu yoyote ambapo silaha…
-
DuniaMjumbe wa Kundi la Muqawama: Muda ya kuwa Uvamizi unaendelea, Muqawama nao Utaendelea Kuwepo
Hawza/ Ali Al-Miqdad alisisitiza kuwa: “Silaha za Muqawama hazitawasilishwa, zina idhaminj Lebanon dhidi ya maadui wa Kizayuni, na jitihada zote za kudhoofisha nafasi zao zitaangukia
-
DuniaOfisi ya Ammar Hakim: Uongo Kuhusu Msimamo wa Tofauti wa Ammar Hakim Kuhusu Vikosi vya Hashd al-Shaabi Haukubaliki Kwa Njia Yoyote
Hawza/ Ofisi ya vyombo vya habari ya Rais wa Muungano wa Vikosi vya Kitaifa vya Iraq imekataa uvumi unaosema kwamba Sayyid Ammar Hakim, kiongozi wa muungano huo, ana msimamo tofauti kuhusu vikosi…
-
DuniaImamu wa Ijumaa Baghdad: Kuondoka kwa Marekani ni matokeo ya shinikizo la wananchi wa Iraq / Israel haina ujasiri wa kushambulia Iraq
Hawzah/ Ayatullah Sayyid Yasin Musawi alisisitiza kwamba kuondoka kwa majeshi ya Marekani kutoka Iraq ni matokeo ya “shinikizo la wananchi, bunge na muqawama” na wala si matakwa ya Washington,…
-
DuniaMufti wa Jaafari Lebanon: Iran ni chimbuko la heshima ya kila mwanadamu huru katika ulimwengu huu na uaminifu wetu kwa Tehran ni kama uaminifu wetu kwa Mawalii wakuu
Hawzah/ Sheikh Ahmad Qabalan amesema: Iran ndiyo iliyouangamiza mradi wa Mashariki ya Kati na ikaibatilisha matumaini ya Washington na Tel Aviv yanayotokana na ugaidi, uvamizi pamoja na uharibifu
-
DuniaMuqawama wa Iraqi umeipa Marekani onyo na umelitaka Bunge liwalazimishe waondoke kikamilifu
Hawzah/ Kamati ya Uratibu ya Muqawama wa Iraqi imezitaka taasisi za serikali na Bunge la Wawakilishi la Iraq kutekeleza jukumu lao la kusimamia hali ya majeshi ya uvamizi wa Kimarekani
-
DuniaMjumbe wa Kambi ya Muqawama amelaani kitendo cha serikali ya Lebanon cha kukabidhi mfungwa wa Kizayuni bila kupata faida yoyote
Hawzah/ Ibrahim al-Mousawi amesema: Sisi, kama Walebanoni, tumeshangazwa na tangazo la adui Mzayuni kuhusu kukabidhiwa kwake Mzayuni mmoja na maafisa wa Kilebanoni huku makabidhiano hayo yakifaidisha…
-
Ayatollah A'rafi kwenye Swala ya Ijumaa Qom:
HawzaWana Lebanon Wasidanganywe na Ahadi Tamu Zenye Sumu za Marekani
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qom amesema: Leo hii, serikali ya Lebanon imo kwenye nafasi ya kihistoria mbele ya ulimwengu wa Kiislamu; kamwe isidanganywe na ahadi tamu zenye sumu za Marekani,…