Muqawama (115)
-
Sheikh Ahmad Qabalan:
DuniaHistoria Imethibitisha Kwamba Sisi ni Watu Wakubwa Kuliko Migawanyiko
Hawza/ Mufti Mkuu wa Jaafari wa Lebanon amesema: Mwanadamu ndiye kitu kitakatifu zaidi miongoni mwa vitakatifu vya Mwenyezi Mungu, na hakuna utakatifu wowote kwa maslahi ya mwanadamu isipokuwa…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Iran, Katika Mkutano na Waimbaji wa Mashairi ya Ahlul-Bayt (a.s.):
DuniaUlazima wa Kubadili Mpangilio wa Ufikishaji wa Kimtandao na Kimaarifa Mbele ya Juhudi Anazozifanya Adui Ili Kuvutia Nyoyo na Akili
Hawza/ Kiongozi wa Mapinduzi alibainisha kuwa; kusimama imara dhidi ya vita vya ufikishaji wa kimtandao vinavyoongozwa na Magharibi ni jambo gumu lakini linawezekana kabisa. Alisema: Katika njia…
-
Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Lebanon:
DuniaMsimamo wa Kichochezi wa Wanaodai Kuhifadhi Uhuru wa Mamlaka, kwa Hakika ni wa Khiyana na Unaendana na Adui wa Kizayuni
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon katika taarifa yake ulisema: Adui bado anaendelea na hujuma zake kwa kuvunja makubaliano ya kusitisha mapigano na Azimio namba 1701, na kwa…
-
Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon:
DuniaJihadharini na Mtego Ulio Jikita Kwenye Mazungumzo
Hawza/ Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon, katika taarifa yake baada ya kikao chake cha kila mwezi, ilitoa onyo kuwa, ni lazima kujihadhari na mtego wa kile kinachoitwa “mazungumzo”.
-
Iyhab Hamadeh:
DuniaLebanon Kamwe Haitatolewa Zawadi Bure Kutokana na Tamaa za Wazayuni na Marekani
Hawza/ Chama cha Hizbullah kiliandaa hafla katika Husseinia ya mji wa Hlabta, kutokana na mnasaba wa kumbukizi ya mwaka wa shahada ya Sheikh Adnan Ali Saifuddin.
-
Mjumbe wa Kambi ya Muqawama:
DuniaUtawala wa Kizayuni Umeshindwa Kufikia Malengo yake Nchini Lebanon
Hawza/ Ihaab Hamade alisema: Asipatikane yeyote wa kuwahadaa kwa vitisho na kuvunja mori; muqawama wetu ni imara na una nguvu.
-
Mjumbe wa Kambi ya Muqawama:
DuniaSisi na washirika wetu tunawakilisha zaidi ya nusu ya taifa la Lebanon, na hili litaonekana katika uchaguzi ujao
Hawza/ Hassan Fadhlallah amesema kuwa hadi sasa hakuna mpango wowote halisi wa kisiasa uliowasilishwa ili kusimamisha uvamizi wa utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon, na kwamba Lebanon kwa sasa…
-
Afisa wa Hizbullah katika eneo la Beqaa:
DuniaMuqawama ni Msimamo Endelevu na Utayari Wake Unasalia Thabiti
Hawza/ Hussein al-Nimr alisema kuwa; maadhimisho ya Siku ya Uhamasishaji ni tukio la kurejea na kuhuisha misingi, pamoja na kuanzisha upya mkusanyiko mpana wa shughuli mbalimbali.
-
Katika mazungumzo na Mkurugenzi wa Kituo cha Tafiti za Kimkakati cha Al-Mindhar ilielezwa:
DuniaMtazamo nyuma ya pazia kuhusiana na mauaji ya “Shahidi Haytham Tibataaba’i”
Hawza/ Dkt. Hasan Al-Abbaadi, Mkurugenzi wa Kituo cha Tafiti za Kimkakati cha Al-Mindhar amesema: Shahidi Tabataaba’i alikuwa na nafasi ya msingi katika kusimamia vita kwa ajili ya kusaidia Muqawama…
-
DuniaMjumbe Mwandamizi wa Hizbullah: Tutachukua Uamuzi Mwafaka Kuhusiana na Uvamizi wa Israel
Hawza/ Mahmoud Qomati amesisitiza kuwa shambulio la Israel dhidi ya Dhahia kusini mwa Beirut ni ujumbe wa uhasama na ni uvunjaji wa mamlaka ya Lebanon.
-
DuniaIran Yalaani Vikali Mauaji ya Kamanda Mkubwa wa Muqawama
Hawza/ Wizara ya Mambo ya Nje na Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa wamelaani vikali uhalifu wa kigaidi uliofanywa na utawala wa Kizayuni katika shambulio dhidi ya maeneo ya makazi huko…
-
Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu Lebanon:
DuniaMauaji ya halaiki ya Aynu al-Hilwah hayataachwa bila jibu na adhabu
Hawza/ “Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu” Lebanon, katika tamko walilolitoa, umelaani vikali mauaji ya halaiki yaliyofanywa na adui Myahudi katika kambi ya Aynu al-Hilwah.
-
DuniaMjumbe wa Kambi ya Muqawama: Wazayuni wamelijaribu taifa letu tangu 1948 hadi leo, lakini hawajavunja azma yake
Hawza/ Husein Jushi alisema: Tunaitaka serikali iitishe Kamati ya Utaratibu (Mekanizimu) ili kusitisha uvamizi dhidi ya raia na iwasilishe malalamiko kwa Baraza la Usalama.
-
DuniaMjumbe wa Kambi ya Muqawama: Tunachukua Kiaga Kwa Mwenyezi Mungu Kuwa Tutaendelea Kushikamana na Wasia wa Mashahidi
Hawza/ Ali al-Muqdad amesema: Kuheshimu kumbukumbu ya mashahidi si kwa ajili ya kukumbuka tu, bali ni kwa ajili ya kuhuisha upya kiaga chetu na Mwenyezi Mungu Mtukufu kwamba tutashikamana na…
-
DuniaTaarifa Muhimu Iliyo Tolewa na Vyama vya Lebanon: Mambo Sita Waliyoiomba Serikali
Hawza/ Vyama vya Lebanon vimetaka kuachiliwa kwa wafungwa wa Kilebanoni na Wapalestina ambao wako katika magerezani ya adui chini ya mateso mabaya kabisa, na vikasema kuwa suala lao ni sehemu…
-
DuniaOmbi la Sheikh Al-Khatib Kuielekea Serikali ya Lebanon
Hawza/ Makamu wa Rais wa Baraza Kuu la Kiislamu la Kishia nchini Lebanon amelaani vikali uvamizi wa mara kwa mara unaofanywa na Israel dhidi ya Lebanon.
-
Mwakilishi wa Bunge la Lebanon:
DuniaWajibu wetu wa kitaifa na wa kisheria unatiwajibisha kuitetea ardhi yetu
Hawza/ Ali Kharis, mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Amal na mwakilishi wa Bunge la Lebanon, amesisitiza kuwa uchaguzi wa bunge utafanyika kwa mujibu wa sheria iliyopo na katika muda…
-
DuniaMuungano wa Muqawam kutoka Palestina hadi Caracas na Havana; Jiografia Tatu dhidi ya Ubeberu wa Magharibi
Hawza/ Katika mazingira ambayo vita, vikwazo na mzingiro vimekuwa nyenzo endelevu za nguvu za mataifa ya Magharibi, mataifa matatu—Palestina, Venezuela na Cuba—pamoja na umbali wa kijiografia…
-
DuniaSheikh Al-Khatib: Sisi Hatutajisalimisha
Hawza/ Makamu wa Rais wa Baraza Kuu la Kiislamu la Kishia nchini Lebanon alisema: Kudhalilisha sura ya dhehebu la Kishia nchini Lebanon ni njama dhidi ya Lebanon. Tulishika silaha kwa kuwa hakukuwa…
-
DuniaMwanazuoni Mashuhuri wa Lebanon Aitaka Serikali Kuchukua Msimamo Jasiri
Hawza/ Mufti wa Jaafari na mwanazuoni mashuhuri wa Kishia nchini Lebanon amesema: Hakuna shaka kwamba tajriba ya mwisho ya eneo na dunia imetuweka sisi Walebanon mbele ya ukweli mmoja wa kitaifa:…
-
DuniaSheikh Ahmad Al-Qattan: Adui Yetu Ni Mmoja Tu, na Huyo ni Israel
Hawza / Mwanazuoni wa Kisunni nchini Lebanon amesisitiza kuwa: “Tuna imani na kitu kimoja tu, nayo ni imani yetu kwa nchi yetu; na tunaye adui mmoja tu, mabae ni Israel.”
-
Sheikh Damuush:
DuniaKujisalimisha hakupo katika kamusi yetu/ Utekelezaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano ni hatua ya kuanzia katika mjadala unaohusu mkakati wa usalama wa taifa
Hawza/ Mwenyekiti wa Baraza la Utendaji la Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa utawala wa Kizayuni unaendelea, kwa msaada na ushiriki wa Marekani, kufanya mashambulizi yake ya kila siku dhidi…
-
Jumuiya ya Maulama wa Kiislamu wa Lebanon:
DuniaTumejikita katika silaha za muqawama na Wito Wowote wa Kujisalimisha ni Usaliti kwa Damu za Mashahidi
Hawza/ Jumuiya ya Maulama wa Kiislamu wa Lebanon katika tamko lao wamesema kuwa; mwaka huu umechukua sura ya kipekee, kwa sababu msafara wa mashahidi umeungana na Sayyid Hassan Nasrallah na Sayyid…
-
Katika makala imewasilishwa:
DuniaAhadi ya Kweli ya 4; Ndio Siri ya Ushindi wa Upande wa Muqawama Katika Uchaguzi wa Iraq
Hawza/ Muhammad Sadiq al-Hashimi, mwandishi wa Kiraq, ameandika: Ushindi wa wawakilishi waliokaribu na makundi ya muqawama na Waislamu wa Kishia katika uchaguzi wa bunge unaonesha nguvu ya muqawama…
-
Naibu wa Kisiasa wa Bunge la Lebanon:
DuniaMazoezi ya kiongozi aliyeuawa shahidi Qasem Soleimani ni picha ya kuhamasisha kwa harakati za Muqawama wa mataifa ya eneo
Hawzah / Naibu wa Kisiasa wa Bunge la Lebanon alisisitiza: Taifa la Lebanon daima hujiona liko pamoja na taifa la Iran na pamoja na mhimili wa muqawama, na ushirikiano huu una mizizi katika imani…
-
DuniaMsaada Kamiki wa Jumuiya ya Maulama wa Kiislamu Lebanon Kuuelekea Muqawama ya Kiislamu
Hawza/ Jumuiya ya Maulama wa Kiislamu wa Lebanon, katika tamko walilo litoa ilisema: Uvamizi wa maafisa wa Marekani kwenye eneo hilo, wakidai kuwa wanatafuta suluhu, unalenga kuandaa mazingira…
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Jumuiya ya Kimataifa ya Wanazuoni wa Muqāwama:
DuniaMipango ya maadui ya kulivua silaha Jeshi la Hizbullah imefeli
Hawza/ Mkurugenzi Mtendaji wa Jumuiya ya Kimataifa ya Wanazuoni wa Muqāwama alisisitiza kuwa: “Leo Hizbullah ya Lebanon ni yenye nguvu kuliko ilivyowahi kuwa, na njama chafu za maadui za kuinyang’anya…
-
DuniaJumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu Lebanon: Kauli za Imam Khamenei Zinaleta Utulivu na Fakhari
Hawza/ Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon imesema kwamba maneno ya Mtukufu Ayatullah Imam Sayyid Ali Khamenei kuhusiana na matamshi ya Rais wa Marekani aliyedai kwamba alishambulia…
-
Sheikh Na‘im Qasim:
DuniaSilaha za Hizbullah ni sehemu ya nguvu ya Lebanon
Hawza/ Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa silaha ni sehemu ya nguvu ya Lebanon, na kwamba maadui hawataki Lebanon iwe na nguvu.
-
DuniaSheikh al-Qattan Atoa Shukrani Zake za Dhati kwa Walioiunga Mkono Ghaza
Hawza/ Sheikh Ahmad al-Qattan, mwanazuoni wa Kisunni na Mwenyekiti wa Jumuiya ya “Qawluna wa al-‘Amal” nchini Lebanon, amesema: “Baada ya matukio tuliyoshuhudia Palestina – hususan huko Ghaza…