Muqawama (208)
-
Mwanazuoni wa Kisunni wa Lebanon:
DuniaChaguo la Muqawama Limechaguliwa Kwa Msingi wa Kushikamana na Qur’ani Tukufu
Hawza/ Sheikh Ahmad Al-Qattan amesisitiza wa kusema: “Muqawama nchini Lebanon ni uhai wetu, na adui Muisraeli, licha ya kuendelea na mashambulizi yake, ameshindwa kufikia malengo yake.”
-
DuniaWananchi wa Baalbek Wakusanyika kwa Ajili ya Kuonesha Shukrani Zao na Uaminifu kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Hawza/ Mji wa Baalbek ulishuhudia mkusanyiko mkubwa wa mshikamano; hatua iliyofanyika kama ishara ya shukrani na uaminifu kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kwa ushiriki mkubwa wa wananchi wanaouunga…
-
Sheikh Ahmad Qabalan:
DuniaHatuitoi Lebanon kwa Wazayuni na Mawakala Wao
Hawza/ Mufti Mkuu wa Ja'faria na mwanazuoni mashuhuri wa Lebanon amesema: Kinachotokea leo kinaiweka mamlaka ya Lebanon mikononi mwa wale walioigeuza kuwa mtaji wa kisiasa na zawadi ya kiusalama…
-
Wafuasi wa Muqawama Mbele ya Ubalozi Mdogo wa Israel mjini Istanbul:
DuniaMhimili wa Muqawama Hauko Peke Yake
Hawza/ Kundi la “Marafiki wa Muqawama wa Uturuki” limefanya mkusanyiko wa maandamano mbele ya ubalozi mdogo wa Israel mjini Istanbul na kutangaza uungaji mkono wake kwa Ghaza na Lebanon, washiriki…
-
DuniaJumuiya ya Maulamaa wa Beirut Yapongeza Msimamo wa Dhati wa Iran katika Kuisaidia Lebanon
Hawza/ Jumuiya ya Maulamaa wa Beirut imesisitiza kwamba; haiwezekani kuachana na muqawama ambao uliikomboa ardhi na kumzuia adui; Muqawama upo na utaendelea kuwepo maadamu hakuna mbadala unaoweza…
-
Sheikh al-Khatib:
DuniaTaarifa ya mazungumzo ya Washington inafungua milango ya fitna ambayo adui ananuia kuizalisha
Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon amesema: Kukubali kwa serekali ya Lebanon kupitia wanadiplomasia wake maudhui ya taarifa ya Washington na kukubali…
-
Hizbullah:
DuniaJinai inayofanywa na adui dhidi ya jeshi la taifa imekuwa ni matokeo ya kawaida na ya kupuuzwa kwa mamlaka ya nchi
Hawza / Hizbullah katika taarifa yake imesema: Shambulio la kijinai na la woga ambalo adui Mzayuni amelifanya dhidi ya jeshi letu la taifa ni jinai ya kweli na ya makusudi.
-
DuniaMkusanyiko wa Wanazuoni wa Jabal Amil umesisitiza kushikamana na uchaguzi wa kusimama imara, Muqawama na kuimarisha umoja wa Lebanon
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Jabal Amil nchini Lebanon katika ujumbe wake kwa mnasaba wa “Eidul Ghadir” umesisitiza kwamba; Lebanon chini ya mwendelezo wa mashambulizi na vitisho vya Israel,…
-
DuniaSheikh Qabalan amwambia Aoun: Kama kusingekuwa na Muqawama, adui Muisraeli angefika hadi Ikulu ya Rais
Hawza / Mwanazuoni mashuhuri wa Lebanon, katika ujumbe wake kwa Rais wa Lebanon, amesema: Yeyote anayehimiza Muqawama kujiondoa kusini mwa mto huku wakati huohuo asidai kuondoka kwa jeshi la…
-
DuniaSheikh Ahmad Qabalan: Tunajivunia uhusiano wetu wa milele na Iran
Hawza/ Mufti Mkuu wa Jaafaria na mwanazuoni wa Kishia wa Lebanon amesema kuwa: Sitisho lolote la vita au njia yoyote itakayotufikisha kwenye matokeo haya, pamoja na mambo yanayohitajika kwa ajili…
-
Mwakilishi wa Kambi ya Muqawama:
DuniaKusisitiza Muqawama kunyang'anywa silaha ni sawa na kusisitiza kuondoa nguvu ya jamii hii
Hawza/ Ihab Hamada amesema: Kusisitiza kuvuliwa silaha kwa Muqawama, kwa hakika ni kusisitiza kuondoa sehemu ya nguvu ya jamii hii; hatua hii inalenga kuifanya jamii iwe dhaifu na iwe rahisi…
-
Harakati ya Umma:
DuniaNia ya mataifa yanayoamini haki na uhuru wao ina nguvu zaidi kuliko mashine zote za kivita
Hawza/ Harakati ya Umma ya Lebanon imelaani mashambulizi ya mara kwa mara ya Kizayuni yanayofanywa kusini mwa Lebanon na eneo la Biqaa pamoja na ukiukwaji wa kila siku wa mamlaka ya Lebanon,…
-
Ujumbe wa Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon kwenye Kongamano la Pili la Kimataifa la Ghadir na Muqawama:
DuniaHizbullah imesimama dhidi ya utawala wa Kizayuni kwa kuhamasishwa na Wilayah na utamaduni wa Ashura
Hawza/ Sheikh Naim Qassem katika ujumbe wake kwenye Kongamano la Pili la Kimataifa la Ghadir na Muqawama alisisitiza: Hizbullah ya Lebanon, kwa kuhamasishwa na madhehebu ya Imam Ali (as) na harakati…
-
Mkuu wa Baraza la Kisheria la Hizbullah:
DuniaHatutaachana na msimamo wetu, hata kama utasababisha makabiliano ya Hussein
Hawza/ Sheikh Muhammad Yazbak, Mkuu wa Baraza la Kisheria la Hizbullah, amesema katika ujumbe wake: “Tunawashukuru wote wanaotunyoshea mkono wa msaada na utetezi, na kwa namna ya pekee tunaishukuru…
-
Mwanazuoni wa Kisunni wa Lebanon:
DuniaKufanya mazungumzo ya moja kwa moja na adui Israel ni haramu kisheria
Hawza/ Sheikh Ahmad Al-Qattan aliisifu Iran kwa kusimama imara mbele ya mashinikizo na uchokozi, na akautaja ushindi wake kuwa ni ushindi wa watu wote huru duniani, bila kujali dini, madhehebu…
-
DuniaMwakilishi wa Hizbullah: Muqawama utaivuruga mipango ya Israel
Hawza/ Hassan Fadhlallah, mwakilishi wa Harakati ya Uaminifu kwa Muqawama wa Hizbullah, alisisitiza kwamba; adui Israeli inaendelea kutekeleza mashambulizi yanayoongezeka kusini mwa Lebanon na…
-
Sheikh Al-Khazali:
DuniaMuqawama haujajikita katika kazi za kijeshi pekee, bali umefunguka hadi katika kulijenga taifa lenye nguvu
Hawza/ Katibu Mkuu wa Harakati ya Asa'ib Ahl al-Haq amesema kuwa; Muqawama haupaswi kutazamwa kuwa umefungika katika shughuli za kijeshi pekee, bali ni mwelekeo unaoendelea kuelekea katika ujenzi…
-
Sheikh Ahmad Qabalan:
DuniaIsrael Imeshindwa katika “Vita Vyake Vikubwa” na Hakuna Dhamana ya Kulinda Mamlaka ya Lebanon Isipokuwa Muqawama
Hawza/ Mufti Mkuu wa Kijaafari na mwanazuoni wa Kishia nchini Lebanon, akirejelea kushindwa kwa kimkakati kwa Marekani na utawala wa Kizayuni, aliongeza: Leo ni wakati wa kihistoria sana.
-
DuniaWanazuoni wa Lebanon Wasisitiza Umuhimu wa Kuhifadhi Umoja wa Ndani na Kuimarisha Mshikamano kati ya Nguvu za Kidini na Kitaifa
Hawza/ Kwa mnasaba wa “Sikukuu ya Muqawama na Ukombozi”, Sheikh Ahmad Al-Qattan, rais wa Jumuiya ya “Qawluna wal-‘Amal”, alipokea ujumbe kutoka kwa “Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu” wa Lebanon…
-
Sheikh Ali Al-Khatib:
DuniaShukrani nyingi kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran/ Tunakataa aina yoyote ya mazungumzo ya moja kwa moja na Israel
Hawza/ Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon, katika taarifa yake amesema kuwa; kumbukumbu ya miaka ishirini na sita ya ukombozi inakuja katika mazingira magumu…
-
DuniaMuqawama wa Lebanon Umejengwa Juu ya Msingi wa Kuutetea Uzalendo
Hawza/ Sherehe ya kuadhimisha ushindi wa Lebanon dhidi ya uvamizi wa utawala wa Kizayuni mwaka 2000 imefanyika, baada ya miaka mingi ya muqawama wa kishujaa wa watu wa kusini mwa Lebanon, sasa…
-
DuniaHizbullah Yaadhimisha kwa Sherehe Kubwa Kumbukumbu ya “Sikukuu ya Muqawama na Ukombozi” katika Mkoa wa Jabal Lebanon
Hawza/ Hizbullah ya Lebanon kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 26 ya “Sikukuu ya Muqawama na Ukombozi”, iliandaa hafla kubwa katika eneo la Majma‘ al-Bihar lililoko Sablin, katika mkoa…
-
Mbunge wa Lebanon:
DuniaYeyote Atakaye Kubaliana na Mipango ya Sasa ya Adui Mzayuni Atakuwa Mshirika Mkuu Katika Kumwaga Damu za Mashahidi
Hawza/ Rami Abou Hamdan alisema: Kinachoendelea leo ni zaidi ya madai ya kujaribu kufanikisha usitishaji vita kupitia makubaliano dhaifu; bali ni juhudi za kuisukuma Lebanon kuelekea kwenye “uanzishaj…
-
DuniaAli Fayya'dh: Uongozi wa Lebanon Unaelekea Ukingoni mwa Mazungumzo ya Moja kwa Moja Bila Kupata Mafanikio Yoyote
Hawza/ Mbunge na mwanachama wa Kundi la “Uaminifu kwa Muqawama” alisisitiza kwamba; maendeleo ya matukio yameonesha kuwa; uongozi wa Lebanon unaelekea kwenye ukingo wa mazungumzo ya moja kwa…
-
Mbunge wa Kundi Muqawama:
DuniaVipi Mlebanoni Anaweza Kusalimiana na Mkono Uliolowana Damu za Walebanoni?
Hawza/ Ihab Hamadeh alisema: Hata kama dunia yote itaungana dhidi yetu, hawataweza kamwe kutunyang’anya kwa nguvu hata chembe ya heshima yetu, ardhi yetu na ari yetu; ingawa sasa wameungana dhidi…
-
DuniaVitisho dhidi ya Katibu Mkuu wa Nujabaa ni ishara ya kufilisika kwa Marekani/ Hongera kwa wapiganaji wa Iraq
Hawza/ Mwenyekiti wa Kamisheni ya Asili ya 90 ya Bunge la Ushauri la Kiislamu, huku akirejelea hatua ya Marekani kuweka zawadi ya dola milioni kumi kwa ajili ya taarifa kuhusu Sheikh Akram Al-Kaabi,…
-
Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Nujabaa:
DuniaSilaha ya muqawama ni kwa ajili ya kulilinda taifa la Iraq
Hawza/ Sheikh “Nazim Al-Saidi”, mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Nujabaa, huku akisisitiza kutenganisha silaha ya muqawama na silaha ya vurugu na machafuko, ametaka kupambana na ufisadi…
-
Ayatulla Seyyed Ahmad Khaatami:
DuniaUtamaduni wa jihadi ni utamaduni wa ushindi na wa ukombozi
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Tehran amesema kwamba; utamaduni wa Mtume (saww) ndio huo huo utamaduni wa jihadi ambao Mapinduzi ya Kiislamu yamesimama nao na yataendelea kusimama nao,…
-
Naibu Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran:
HawzaKusimama imara ni sababu ya heshima na nguvu/ Muqawama una mizizi katika fitra ya Mwenyezi Mungu ndani ya mwanadamu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Hamid Malikii katika kikao cha “Maadili ya Muqawama” mjini Qom Iran, akisisitiza kwamba; Muqawama una mizizi katika fitra ya Mwenyezi Mungu ndani ya mwanadamu…
-
DuniaMjumbe wa Kundi la Muqawama: Kipaumbele cha leo ni utekelezaji kamili wa usitishaji mapigano
Hawza/ Ali Fayyadh alisisitiza kwamba: Hatutaki kuingia katika mgongano na mamlaka inayotawala, wala hatutaki kuiingiza nchi katika mgogoro wa ndani, ingawa kundi jingine lisilokubaliana na muqawama…