Irani (107)
-
Mwakilishi wa Bunge la Bangladesh:
DuniaTaifa na Serikali ya Bangladesh ziko pamoja na wananchi wa Iran
Hawza/ Mwakilishi wa Bunge la Bangladesh amesema kuwa, kinyume na baadhi ya nchi zinazojinasibisha na Uislamu, nchini Bangladesh mbali na kufanyika maandamano ya makumi ya maelfu ya watu dhidi…
-
DuniaWazalendo wa Japan Waanzisha Harakati Kubwa za Kudai Kuondolewa kwa Vikosi vya Marekani Nchini Humo
Hawza/ Rais wa Chama cha Wazalendo wa Japan (Issuikai) amesisitiza kuwa; dunia iko katika kipindi cha mpito kutoka mfumo wa dunia wa ncha moja kwenda mfumo wa ncha nyingi, na ametaka kuondolewa…
-
Ayatullah Husseini Bushehri:
DuniaRadi Amali ya Ayatullah Husseini Bushehri Katika Baadhi ya Propaganda Kuhusu Mikoa ya Kusini/ Kuwaamini Maadui Wanaovunja Ahadi ni Kosa la Kimkakati
Hawza/ Mwenyekiti wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom amesema: "Baadhi ya hatua na propaganda zinazoenezwa hazitokani na huruma kwa wananchi, bali zinalenga kuzusha mifarakano, kuigawa jamii…
-
Imam Sayyid Mujtaba Khamenei:
DuniaTaifa la Iran Lina Mafunzo Yasiyosahaulika kwa Adui wa Marekani
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: "Uvunjaji wa makubaliano kwa mara nyingine umethibitisha kutokuwa na thamani na kutokuwa na uhalali wa saini ya Rais wa Marekani."
-
DuniaKutoka Ndoto za Kuuporomosha Mfumo Hadi Uhalisia wa Uimara Wake; Historia Yawapa Somo Wapinzani wa Iran
Hawza/ Historia daima hutenganisha ukweli na dhana. Wanasiasa kama Lindsey Graham, kwa mahesabu yasiyo sahihi na utabiri usio na msingi, walikuwa wakiahidi kuporomoka kwa Mfumo wa Jamhuri ya…
-
DuniaHawza Nchini Iran Ipo Katika Maombolezo ya Kiongozi wa Umma/ Shughuli za Makao Makuu na Ofisi za Mikoa za Hawza Katika Siku za Mazishi ya Imam Shahidi Zimesimamishwa
Hawza/ Kituo cha Usimamizi wa Hawza nchini Iran, kimetangaza kusimamishwa kwa shughuli za makao makuu na ofisi za usimamizi za Hawza katika mikoa mbalimbali nchini humo wakati wa shughuli za…
-
DuniaRatiba Kamili ya Mazishi ya Imam Shahidi Jijini Qom Iran, Yatangazwa
Hawza/ Mwenyekiti wa Kamati ya Kuandaa Hafla ya Kuaga na Kusindikiza Mwili wa Imam Shahidi katika mji wa Qom Iran, amesema kuwa hafla ya kusindikiza mwili wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya…
-
DuniaKikao Kilicho na Anuani “Lebanon Ina Nguvu Zaidi Kupitia Uhusiano Wake na Iran” Chafanyika Baalbek
Hawza/ Harakati ya “Utamaduni wa Kuunga Mkono Muqawama” imeandaa kikao cha kitaifa kilichobeba anuani: “Lebanon Ina Nguvu Zaidi Kupitia Uhusiano Wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran”.
-
DuniaHizbullah Yawapinga Wanaounga Mkono Uhuru wa Lebanon Kupitia Makubaliano ya Maridhiano na Israel
Hawza/ Baada ya kupita siku kadhaa tangu kutangazwa kwa makubaliano ya maridhiano kati ya serikali ya Lebanon na Israel, makundi mbalimbali ya kijamii na vyama vya kisiasa vya Lebanon yameeleza…
-
Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon:
Dunia“Makubaliano ya Washington” ni hati ya kujisalimisha inayowajibisha kuondolewa madarakani utawala
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon umesisitiza kwamba: “Makubaliano ya Washington” yaliyotiwa saini kati ya utawala wa Lebanon na utawala vamizi wa Israel ni ukiukaji wa…
-
DuniaMwinyi Apongeza Msaada wa Iran katika Kuendeleza Uchumi na Maendeleo ya Zanzibar
Hawza/ Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuendelea kuiunga mkono Zanzibar katika kuimarisha maendeleo…
-
DuniaUjumbe Muhimu wa Ayatullah A'rafi kuwaelekea Wabebaji Ujumbe wa Dini/ Asisitiza Kufafanua Umuhimu wa Matumizi Bora na Kuepuka Ubadhirifu
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, ameeleza kuwa; kueneza na kuimarisha utamaduni wa “usimamizi bora wa rasilimali” na “matumizi yenye uwajibikaji” ni miongoni mwa vielelezo muhimu vya jihadi…
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Nchini Iran:
DuniaWahalifu wa kivita wa Minab na Lamerd wanapaswa kufikishwa kwenye vyombo vya mahakama vya ndani na vya kimataifa
Hawza/ Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi nchini Iran, amesema katika ujumbe wake kufuatia mnasaba wa Wiki ya Mahakama kwamba: Kuanzia damu ya mashahidi madhalimu wa vita vya pili na vya tatu vya…
-
Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon:
DuniaTunaishukuru Iran na Muqawama
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon katika taarifa yake umesema: Iran ilitoka katika vita hivi ikiwa mshindi na hatimaye iliilazimisha Marekani kukubali na kutekeleza masharti…
-
DuniaUjumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi kwa Taifa la Iran Kuhusu Mkataba wa Maelewano kati ya Marais wa Iran na Marekani
Hawza/ Ayatullah Sayyid Mujtaba Husseini Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika ujumbe aliouelekeza kwa taifa lenye hamasa na uaminifu la Iran kuhusu mkataba wa maelewano uliotiwa…
-
Rais wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlus-Sunnah Iraq:
DuniaDamu ya Mashahidi Iliuvunja Ushawishi wa Marekani na Uzayuni
Hawza/ Sheikh Khalid Al-Mulla, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlus-Sunnah nchini Iraq, katika mkutano wa kimataifa wenye anuani ya “Watoto Mashahidi, Kushindwa kwa Tawwla ya Marekani…
-
Raisi wa Chama cha Kiislamu cha Malaysia:
DuniaMaadui wa Iran ni Muendelezo wa Kambi ya “Watu waliopatwa na ghadhabu ya Mwenyezi Mungu” Iliyotajwa katika Qur’ani
Hawza/ Dkt. Abdulhadi Awang, Rais wa Chama cha Kiislamu cha Malaysia, huku akitumia ibara ya “المغضوب عليهم” iliyotajwa katika Suratul-Hamd, amewataja maadui wa leo wa Jamhuri ya Kiislamu ya…
-
Rais wa Lebanon:
DuniaNawashukuru wale wote waliojitahidi kuijumuisha Lebanon katika juhudi za kumaliza ongezeko la mvutano na kusitisha hatua za kijeshi
Hawza/ Joseph Aoun amesema: Kwa uangalifu mkubwa nimefuatilia kutangazwa kwa hati ya makubaliano iliyofikiwa kati ya Marekani na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, pamoja na msisitizo wake juu ya kusitishwa…
-
DuniaUbunifu wa Kuvutia wa Waindonesia katika Kuonesha Mshikamano wao na Iran/ Gwaride la Magari Yenye Picha za Mashahidi wa Iran Jijini Jakarta
Hawza/ Harakati ya kitamaduni iliyoanzishwa na vijana wa Indonesia katika kuunga mkono malengo na misingi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kupitia gwaride la mfano la magari yaliyopambwa kwa picha…
-
DuniaMsemaji wa Hamas: Iran Inajitahidi Kusitisha Vita vya Ghaza
Hawza/ Hazem Qassem, msemaji wa Harakati ya Hamas, amesema kwamba: Iran imeifikishia harakati hiyo juhudi zake za kidiplomasia za kumaliza migogoro katika eneo, ikiwemo vita vya Ghaza.
-
DuniaWananchi wa Lebanon Wakusanyika Mbele ya Ubalozi wa Iran, kama Ishara ya Uaminifu na Shukrani kwa Kusimama Iran Pamoja na Lebanon
Hawza/ Wananchi wa Lebanon walikusanyika mbele ya Ubalozi wa Iran mjini Beirut kama ishara ya kutoa shukrani kwa hatua ya Iran ya kujibu mashambulizi ya utawala wa Kizayuni na kuiunga mkono Lebanon.
-
DuniaJumuiya ya Maulamaa wa Beirut Yapongeza Msimamo wa Dhati wa Iran katika Kuisaidia Lebanon
Hawza/ Jumuiya ya Maulamaa wa Beirut imesisitiza kwamba; haiwezekani kuachana na muqawama ambao uliikomboa ardhi na kumzuia adui; Muqawama upo na utaendelea kuwepo maadamu hakuna mbadala unaoweza…
-
DuniaMwakilishi wa Bunge la Iraq/ Iraq na Iran ni Mataifa Mawili yenye udugu
Hawza/ Mwakilishi wa Bunge la Iraq alisema: Iraq na Iran ni mataifa mawili ndugu ambayo yana mizizi ya pamoja katika itikadi za Kiislamu, maadili ya kidini na mipaka ya kijiografia inayowakutanisha.
-
Ayatullah A'rafi Afafanua:
HawzaMikakati 6 Muhimu ya Utoaji Huduma kwa Wanaharakati wa Hawza/ Hawza ni Mtumishi wa Watu Wapendwa
Hawza/ Mkuu wa Hawza nchini Iran alisisitiza kuwa: Bila shaka, Hawza katika historia yake daima hazikuwa taasisi za elimu na ufundishaji pekee, bali sambamba na kubainisha maarifa ya Mwenyezi…
-
DuniaMkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon wakosoa vikali misimamo ya viongozi wakuu wa nchi hiyo kuhusu mazungumzo ya Washington
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon umeelezea matokeo ya mazungumzo yaliyofanyika kati ya Lebanon na adui Mzayuni chini ya usimamizi wa Shetani Mkuu, Marekani, kuwa ni ya kukatisha…
-
Dunia“Kutoka Ghadir hadi Minab” Maonesho maalum ya picha pamoja na kumbukumbu yaliyounganisha historia, imani na ubinadamu kupitia picha zenye kuonesha haki, kujitoa na uthabiti
Hawza/ Kituo cha Utamaduni cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Tanzania kiliandaa maonesho maalumu ya picha na kumbukumbu yaliyopewa anuani ya “Kutoka Ghadir hadi Minab”, yakilenga kuunganisha…
-
Ayatullah Gharawi katika mahojiano na Shirika la Habari la Hawza:
DuniaAdui kupitia vita vya kisaikolojia anapima kiwango cha ustahimilivu wetu/ Majukumu ya wabebaji wa ujumbe wa dini katika kuvuka changamoto za vita mseto
Hawza/ Mjumbe wa Baraza Kuu la Hawza, huku akisisitiza nafasi ya wanafunzi wa Hawza na wanazuoni katika kusimamia uwanja wa ufafanuzi wa mambo, amewataka wawahimize watu kuwa na “ustahimilivu”…
-
Ayatullah Saidii katika Swala ya Ijumaa ya Qum alisema:
DuniaNjia sita za kukabiliana na vita mchanganyiko vya adui katika ujumbe wa mwisho wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qum alisema: Adui ameielekeza nguvu yake katika maeneo mawili nyeti na ya kimkakati, na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ametoa njia sita za kukabiliana nayo ambazo…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi:
DuniaKhomeini Mkuu na shahidi Khamenei walihuisha utayari wa taifa
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Sayyid Mujtaba Husseini Khamenei amesema: Khomeini Mkuu na shahidi Khamenei waligundua na kuhuisha utayari wa taifa.
-
Ayatullah A'raafi katika ujumbe wa uchambuzi na kimkakati amefafanua:
HawzaSifa kuu 9 za kimkakati za harakati kubwa ya taifa la Iran / Kwa nini tarehe 15 Khordad bendera ilipeperushwa juu ya paa la Iran?
Hawza/ Mwezi wa Khordad katika historia ya Mapinduzi matukufu ya Kiislamu ni mwezi uliojaa matukio yenye kuamua hatima, yaliyochanganyika na siri nyingi zenye mafunzo na mafunzo ya kudumu. Miongoni…