Irani (122)
-
DuniaTaifa la Iran limesimama dhidi ya vitisho kwa subira, uangalifu na kumtegemea Mwenyezi Mungu
Hawza/ Ayatullah Du'ri Najaf-abadi, akirejea historia ya uhalifu wa madola ya kibeberu, amesema: Taifa la Iran linasimama dhidi ya vitisho kwa subira, uangalifu na kushikamana na Mwenyezi Mungu,…
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Qademoun:
DuniaKuamka Wananchi wa Iran Inapaswa Kuwa Mwanzo wa Kuamka Umma wa Kiislamu
Hawza/ Hujjatul-Islam Bagheri, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Qademoun, amesema kuwa; leo Umma wa Kiislamu unapaswa kushikana mikono na kusimama pamoja dhidi ya utawala wa Kizayuni na…
-
Ayatullah Shabzandari:
Hawza“Kuulinda Mfumo na Mapinduzi” pamoja na “Kusoma” viwe vipaumbele viwili muhimu vya Hawzah; Mustakabali wa Mapinduzi ya Kiislamu uko mikononi mwa wanazuoni
Hawzah/ Katibu wa Baraza Kuu la Hawza nchini Iran, amesema kuwa; iwapo kuanzishwa kwa Mapinduzi ya Kiislamu kulifanywa na wanazuoni wa dini, basi kuendelea na kudumu kwake pia kunapaswa kuwa…
-
Imamu wa Ijumaa wa Mashhad:
DuniaMuqawa dhidi ya mashambulizi ya adui hauna muda maalumu
Hawzah/ Ayatullah Sayyid Ahmad Alam al-Huda, huku akisisitiza kwamba muqawama wa wananchi wa Iran dhidi ya mashambulizi ya adui hauna muda maalumu, amesema kuwa wapiganaji wa Iran, kwa kutegemea…
-
DuniaUrusi Yaandaa Mkutano wa Kimataifa wa Viongozi wa Dini: Iran Yawaalika Wanazuoni Waungana Dhidi ya Dhuluma na Uchokozi
Hawzah/ Mkutano wa pili wa kimataifa wa viongozi wa dini umefanyika katika jiji la Saint Petersburg, nchini Urusi. Kazem Jalali, Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Urusi, na Hujjatul-Islamu…
-
DuniaWakati Uvamizi Dhidi ya Taifa Unapolenga Heshima ya Kibinadamu
Hawza/ Katika siku hizi ambazo dunia inashuhudia tena matumizi makubwa ya nguvu za kijeshi katika eneo hili, picha mbili kutoka kusini mwa Iran hazipaswi kufutika katika kumbukumbu ya fikra na…
-
Ayatullah Khamenei katika ujumbe wake kufuatia mnasaba wa Wiki ya Umoja:
DuniaKila kitendo cha kuleta mifarakano, kutoka kwa mtu yeyote na katika nafasi yoyote, kinaelekea kutimiza lengo la adui
Hawza/ Ayatullah Sayyid Mujtaba Husaini Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika ujumbe wake kufuatia mnasaba wa Wiki ya Umoja, ametoa pongezi kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuzaliwa…
-
Naibu Rais wa Baraza Kuu la Mashia Lebanon:
DuniaJamhuri ya Kiislamu ya Iran Inaendelea kwa Misingi ya Nguvu, Uwezo na Kumtegemea Mwenyezi Mungu Mtukufu
Hawzah/ Ahmad al-Khatib amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaendelea kwa misingi ya dhana za nguvu, uwezo na kumtegemea Mwenyezi Mungu Mtukufu; iwe katika kuendelea kujenga nguvu za kijeshi,…
-
DuniaImamu wa Ijumaa wa Najaf Asisitiza Urafiki wa Pande Mbili kati ya Iraq na Iran katika Ngazi Zote
Hawzah/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanji amesema: Tunakaribisha njia ya amani katika kushughulikia suala la ukiritimba wa silaha, na suala hili linapaswa kutatuliwa kwa moyo…
-
Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran, Kutokana na Mnasaba wa Wiki ya Serikali:
DuniaKufanya jambo lolote linalodhuru mshikamano wa kijamii ni marufuku
Hawzah/ Ayatullah Sayyid Mujtaba Husseini Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa Wiki ya Serikali, huku akitoa shukrani kwa hatua zinazostahili…
-
Ayatullah Rajabi:
Dunia“Haki Zetu Lazima Zichukuliwe kutoka kwa Maadui!”/ Viongozi Wachukue Msimamo wa Nguvu
Ayatollah Rajabi amewataka viongozi na maafisa kuwajibika zaidi kuliko wakati mwingine wowote kwa nafasi yao ya kihistoria na yenye kuamua hatima katika kuangamiza kabisa “uvimbe wa saratani…
-
DuniaKiongozi Mkuu wa Iran Atoa Onyo Kali kwa Wavamizi wa Ghuba ya Uajemi: “Mtaishia Katika Kina Chake!”
Kiongozi Mkuu wa Iran anaielekeza Ghuba ya Uajemi kuwa kiini cha mustakabali wa kikanda unaojengwa juu ya utulivu, maendeleo na uhuru dhidi ya madola ya kigeni.
-
Ayatullah Mkuu Nouri Hamadani:
DuniaKumtii Kiongozi na kutoa jibu madhubuti kwa aina yoyote ya uvamizi wa adui ni jambo la lazima / Asisitiza juu ya kulinda umoja na mshikamano wa kitaifa
Hawza/ Ayatollah Nouri Hamadani amesema kwa msisitizo: Katika hali hii inayotukabili, kumtii Kiongozi Mkuu na kufuata mwongozo wake, kusimama imara mbele ya adui, kutoa jibu madhubuti kwa aina…
-
Ayatullah Saidii katika Swala ya Ijumaa mjini Qom:
DuniaAhadi adhimu ya wananchi kulielekea Jua la Mapinduzi ilikuwa ni kupinga kwa nguvu ubeberu ulimwenguni
Hawza/ Khatiibu wa Swala ya Ijumaa mjini Qom amesema kuwa; Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi alikuwa mfano bora wa utawala wa Kiislamu wa Kiirani katika dunia ya kisasa, akisisitiza: “Maadui walitumia…
-
Ayatullah Arafi:
DuniaMaimamu Wawili wa Mapinduzi Waliwasilisha Uislamu kwa Tafsiri Hai, Yenye Kuleta Uhai na Kuchochea Harakati; Mpango wa Mfumo Kamili wa Fikra za Kiislamu ni Hatua Kuelekea “Hawza Inayoongoza na Bora”
Hawza/ Mkuu wa Hawza nchini Iran, akisisitiza kwamba; Maimamu wawili wa Mapinduzi walitoa tafsiri hai, yenye kuleta uhai na kuchochea harakati kuhusu Uislamu, amesema kuwa Mpango wa Mfumo Kamili…
-
Ayatullah Arafi:
HawzaWaandishi wa habari wawe wasimulizi wa kwanza wa matukio kwa silaha ya “maadili ya kitaaluma” na “uchambuzi unaokuza uelewa”
Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, amewataka waandishi wa habari na askari wa Jihadi ya Ufafanuzi kuwa, katika uwanja huu wa mapambano, watumie silaha mbili za “maadili ya kitaaluma” na “uchambuzi…
-
Ayatullah Arafi:
HawzaUwepo wa Hawza katika soko la uzalishaji na usambazaji wa elimu duniani ni mkakati wa msingi
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, amesisitiza kwamba; kuwakilisha Hawza na mafanikio yake katika soko la elimu duniani, pamoja na kwenye vituo vya vyuo vikuu na jumuiya za wasomi na wataalamu…
-
Mwakilishi wa Bunge la Bangladesh:
DuniaTaifa na Serikali ya Bangladesh ziko pamoja na wananchi wa Iran
Hawza/ Mwakilishi wa Bunge la Bangladesh amesema kuwa, kinyume na baadhi ya nchi zinazojinasibisha na Uislamu, nchini Bangladesh mbali na kufanyika maandamano ya makumi ya maelfu ya watu dhidi…
-
DuniaWazalendo wa Japan Waanzisha Harakati Kubwa za Kudai Kuondolewa kwa Vikosi vya Marekani Nchini Humo
Hawza/ Rais wa Chama cha Wazalendo wa Japan (Issuikai) amesisitiza kuwa; dunia iko katika kipindi cha mpito kutoka mfumo wa dunia wa ncha moja kwenda mfumo wa ncha nyingi, na ametaka kuondolewa…
-
Ayatullah Husseini Bushehri:
DuniaRadi Amali ya Ayatullah Husseini Bushehri Katika Baadhi ya Propaganda Kuhusu Mikoa ya Kusini/ Kuwaamini Maadui Wanaovunja Ahadi ni Kosa la Kimkakati
Hawza/ Mwenyekiti wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom amesema: "Baadhi ya hatua na propaganda zinazoenezwa hazitokani na huruma kwa wananchi, bali zinalenga kuzusha mifarakano, kuigawa jamii…
-
Imam Sayyid Mujtaba Khamenei:
DuniaTaifa la Iran Lina Mafunzo Yasiyosahaulika kwa Adui wa Marekani
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: "Uvunjaji wa makubaliano kwa mara nyingine umethibitisha kutokuwa na thamani na kutokuwa na uhalali wa saini ya Rais wa Marekani."
-
DuniaKutoka Ndoto za Kuuporomosha Mfumo Hadi Uhalisia wa Uimara Wake; Historia Yawapa Somo Wapinzani wa Iran
Hawza/ Historia daima hutenganisha ukweli na dhana. Wanasiasa kama Lindsey Graham, kwa mahesabu yasiyo sahihi na utabiri usio na msingi, walikuwa wakiahidi kuporomoka kwa Mfumo wa Jamhuri ya…
-
DuniaHawza Nchini Iran Ipo Katika Maombolezo ya Kiongozi wa Umma/ Shughuli za Makao Makuu na Ofisi za Mikoa za Hawza Katika Siku za Mazishi ya Imam Shahidi Zimesimamishwa
Hawza/ Kituo cha Usimamizi wa Hawza nchini Iran, kimetangaza kusimamishwa kwa shughuli za makao makuu na ofisi za usimamizi za Hawza katika mikoa mbalimbali nchini humo wakati wa shughuli za…
-
DuniaRatiba Kamili ya Mazishi ya Imam Shahidi Jijini Qom Iran, Yatangazwa
Hawza/ Mwenyekiti wa Kamati ya Kuandaa Hafla ya Kuaga na Kusindikiza Mwili wa Imam Shahidi katika mji wa Qom Iran, amesema kuwa hafla ya kusindikiza mwili wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya…
-
DuniaKikao Kilicho na Anuani “Lebanon Ina Nguvu Zaidi Kupitia Uhusiano Wake na Iran” Chafanyika Baalbek
Hawza/ Harakati ya “Utamaduni wa Kuunga Mkono Muqawama” imeandaa kikao cha kitaifa kilichobeba anuani: “Lebanon Ina Nguvu Zaidi Kupitia Uhusiano Wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran”.
-
DuniaHizbullah Yawapinga Wanaounga Mkono Uhuru wa Lebanon Kupitia Makubaliano ya Maridhiano na Israel
Hawza/ Baada ya kupita siku kadhaa tangu kutangazwa kwa makubaliano ya maridhiano kati ya serikali ya Lebanon na Israel, makundi mbalimbali ya kijamii na vyama vya kisiasa vya Lebanon yameeleza…
-
Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon:
Dunia“Makubaliano ya Washington” ni hati ya kujisalimisha inayowajibisha kuondolewa madarakani utawala
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon umesisitiza kwamba: “Makubaliano ya Washington” yaliyotiwa saini kati ya utawala wa Lebanon na utawala vamizi wa Israel ni ukiukaji wa…
-
DuniaMwinyi Apongeza Msaada wa Iran katika Kuendeleza Uchumi na Maendeleo ya Zanzibar
Hawza/ Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuendelea kuiunga mkono Zanzibar katika kuimarisha maendeleo…
-
DuniaUjumbe Muhimu wa Ayatullah A'rafi kuwaelekea Wabebaji Ujumbe wa Dini/ Asisitiza Kufafanua Umuhimu wa Matumizi Bora na Kuepuka Ubadhirifu
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, ameeleza kuwa; kueneza na kuimarisha utamaduni wa “usimamizi bora wa rasilimali” na “matumizi yenye uwajibikaji” ni miongoni mwa vielelezo muhimu vya jihadi…
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Nchini Iran:
DuniaWahalifu wa kivita wa Minab na Lamerd wanapaswa kufikishwa kwenye vyombo vya mahakama vya ndani na vya kimataifa
Hawza/ Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi nchini Iran, amesema katika ujumbe wake kufuatia mnasaba wa Wiki ya Mahakama kwamba: Kuanzia damu ya mashahidi madhalimu wa vita vya pili na vya tatu vya…