Irani (91)
-
DuniaUbunifu wa Kuvutia wa Waindonesia katika Kuonesha Mshikamano wao na Iran/ Gwaride la Magari Yenye Picha za Mashahidi wa Iran Jijini Jakarta
Hawza/ Harakati ya kitamaduni iliyoanzishwa na vijana wa Indonesia katika kuunga mkono malengo na misingi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kupitia gwaride la mfano la magari yaliyopambwa kwa picha…
-
DuniaMsemaji wa Hamas: Iran Inajitahidi Kusitisha Vita vya Ghaza
Hawza/ Hazem Qassem, msemaji wa Harakati ya Hamas, amesema kwamba: Iran imeifikishia harakati hiyo juhudi zake za kidiplomasia za kumaliza migogoro katika eneo, ikiwemo vita vya Ghaza.
-
DuniaWananchi wa Lebanon Wakusanyika Mbele ya Ubalozi wa Iran, kama Ishara ya Uaminifu na Shukrani kwa Kusimama Iran Pamoja na Lebanon
Hawza/ Wananchi wa Lebanon walikusanyika mbele ya Ubalozi wa Iran mjini Beirut kama ishara ya kutoa shukrani kwa hatua ya Iran ya kujibu mashambulizi ya utawala wa Kizayuni na kuiunga mkono Lebanon.
-
DuniaJumuiya ya Maulamaa wa Beirut Yapongeza Msimamo wa Dhati wa Iran katika Kuisaidia Lebanon
Hawza/ Jumuiya ya Maulamaa wa Beirut imesisitiza kwamba; haiwezekani kuachana na muqawama ambao uliikomboa ardhi na kumzuia adui; Muqawama upo na utaendelea kuwepo maadamu hakuna mbadala unaoweza…
-
DuniaMwakilishi wa Bunge la Iraq/ Iraq na Iran ni Mataifa Mawili yenye udugu
Hawza/ Mwakilishi wa Bunge la Iraq alisema: Iraq na Iran ni mataifa mawili ndugu ambayo yana mizizi ya pamoja katika itikadi za Kiislamu, maadili ya kidini na mipaka ya kijiografia inayowakutanisha.
-
Ayatullah A'rafi Afafanua:
HawzaMikakati 6 Muhimu ya Utoaji Huduma kwa Wanaharakati wa Hawza/ Hawza ni Mtumishi wa Watu Wapendwa
Hawza/ Mkuu wa Hawza nchini Iran alisisitiza kuwa: Bila shaka, Hawza katika historia yake daima hazikuwa taasisi za elimu na ufundishaji pekee, bali sambamba na kubainisha maarifa ya Mwenyezi…
-
DuniaMkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon wakosoa vikali misimamo ya viongozi wakuu wa nchi hiyo kuhusu mazungumzo ya Washington
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon umeelezea matokeo ya mazungumzo yaliyofanyika kati ya Lebanon na adui Mzayuni chini ya usimamizi wa Shetani Mkuu, Marekani, kuwa ni ya kukatisha…
-
Dunia“Kutoka Ghadir hadi Minab” Maonesho maalum ya picha pamoja na kumbukumbu yaliyounganisha historia, imani na ubinadamu kupitia picha zenye kuonesha haki, kujitoa na uthabiti
Hawza/ Kituo cha Utamaduni cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Tanzania kiliandaa maonesho maalumu ya picha na kumbukumbu yaliyopewa anuani ya “Kutoka Ghadir hadi Minab”, yakilenga kuunganisha…
-
Ayatullah Gharawi katika mahojiano na Shirika la Habari la Hawza:
DuniaAdui kupitia vita vya kisaikolojia anapima kiwango cha ustahimilivu wetu/ Majukumu ya wabebaji wa ujumbe wa dini katika kuvuka changamoto za vita mseto
Hawza/ Mjumbe wa Baraza Kuu la Hawza, huku akisisitiza nafasi ya wanafunzi wa Hawza na wanazuoni katika kusimamia uwanja wa ufafanuzi wa mambo, amewataka wawahimize watu kuwa na “ustahimilivu”…
-
Ayatullah Saidii katika Swala ya Ijumaa ya Qum alisema:
DuniaNjia sita za kukabiliana na vita mchanganyiko vya adui katika ujumbe wa mwisho wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qum alisema: Adui ameielekeza nguvu yake katika maeneo mawili nyeti na ya kimkakati, na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ametoa njia sita za kukabiliana nayo ambazo…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi:
DuniaKhomeini Mkuu na shahidi Khamenei walihuisha utayari wa taifa
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Sayyid Mujtaba Husseini Khamenei amesema: Khomeini Mkuu na shahidi Khamenei waligundua na kuhuisha utayari wa taifa.
-
Ayatullah A'raafi katika ujumbe wa uchambuzi na kimkakati amefafanua:
HawzaSifa kuu 9 za kimkakati za harakati kubwa ya taifa la Iran / Kwa nini tarehe 15 Khordad bendera ilipeperushwa juu ya paa la Iran?
Hawza/ Mwezi wa Khordad katika historia ya Mapinduzi matukufu ya Kiislamu ni mwezi uliojaa matukio yenye kuamua hatima, yaliyochanganyika na siri nyingi zenye mafunzo na mafunzo ya kudumu. Miongoni…
-
Miongoni mwa makamanda wa Hizbullah ya Lebanon:
DuniaTaifa la Lebanon halitarudi nyuma kutoka katika Muqawama
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Ghabris, akisisitiza kwamba taifa la Lebanon licha ya kubeba mizigo ya mashinikizo makubwa zaidi, vita na uharibifu mkubwa, bado halijarudi nyuma kutoka katika…
-
DuniaMaonesho Makubwa ya Sanaa Yakiwa na Ujumbe wa Ubinadamu na Umoja Yafanyika Dar es Salaam Tanzania
Hawza/ Katika siku iliyogubikwa na ubunifu, mafunzo, utamaduni na ujumbe wenye kugusa hisia za kibinadamu, maonesho ya sanaa yenye kaulimbiu “Ubinadamu na Umoja” yameacha alama ya kipekee katika…
-
Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlul-Bayt Uturuki:
DuniaIran Bila Kurudi Nyuma, Imeuonesha Ulimwengu Mfano wa Muqawama wa Hussein
Hawza/ Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlul-Bayt nchini Uturuki katika ujumbe wake wa Idi ya Adh-ha, huku ikisisitiza umoja wa Umma wa Kiislamu na kuunga mkono mkondo wa muqawama, imelaani uvamizi wa…
-
DuniaRais wa Jumuiya ya Kisheria ya Mashia wa Jammu na Kashmir: Taifa la Iran ni Taa ya Njia kwa Umma wa Kiislamu katika Njia ya Kusimama Imara na Utukufu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Hassan Mousavi amesema kuwa taifa kubwa la Iran chini ya vikwazo vikali zaidi, mashinikizo na njama za maadui wa Uislamu, halikurudi nyuma hata kidogo,…
-
DuniaWanafunzi wa Pakistan watoa heshima kwa wanafunzi walio uwawa kishahidi wa shule ya Minab Iran
Hawza/ Wanafunzi wa “Akademia ya Vikosi ya Rawalpindi” nchini Pakistan, walipohudhuria katika Nyumba ya Utamaduni ya Iran, walitoa heshima kwa wanafunzi mashahidi wa shule ya mji wa Minab pamoja…
-
DuniaMaonesho Makubwa ya Sanaa Kufanyika Dar es Salaam Yakiwa na Ujumbe wa Ubinadamu na Umoja
Hawza/ Kituo cha Utamaduni cha Iran Tanzania kwa kushirikiana na Idara ya Sanaa Bunifu ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kimeazimia kufanya maonesho maalumu ya sanaa yatakayowakutanisha wanafunzi,…
-
DuniaKundi la Wadukuzi Linalohusishwa na Iran Katika Shirika Rasmi la Habari la Uturuki
Hawza/ Shirika rasmi la habari la Uturuki limeripoti kwamba; kundi la wadukuzi la Hanzala limechapisha taarifa binafsi za wanajeshi 69 wa Israel ambao walishiriki katika shambulio dhidi ya Msafara…
-
DuniaWawakilishi wa Iran washiriki katika Foram ya Kazan 2026 nchini Urusi
Hawza/ Wawakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, pembezoni mwa Kongamano la “Urusi – Ulimwengu wa Kiislamu: Forum ya Kazan 2026”, walishiriki katika mazungumzo na wenzao wa Urusi kuhusu ushirikiano…
-
Ayatullah Al-Udhma Nouri-Hamadani:
DuniaKuwahudumia wananchi na kutatua matatizo ni wajibu muhimu zaidi wa viongozi
Hawza/ Hadhrat Ayatullah Nouri-Hamadani amesisitiza kuwa; leo hii, kazi muhimu zaidi ya viongozi wa mfumo wa Kiislamu ni kuwahudumia wananchi na kufanya juhudi za kutatua matatizo yaliyopo.
-
DuniaXi na Putin walaani mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran
Hawza/ Rais wa China na mwenzake wa Urusi katika taarifa ya pamoja kuhusu hali ya Mashariki ya Kati, wamelaani mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran.
-
Katika ripoti ya uchambuzi ya Shirika la Habari la Hawza imefafanuliwa:
DuniaMwenendo na Miongozo ya Imam Shahidi; Kufufua matumaini na Kujiamini kwa Taifa
Hawza/ Moja ya sifa muhimu zaidi za kipindi cha uongozi wa Imam Khamenei Shahidi ni juhudi zake za pande zote katika kubadilisha elimu kuwa nguvu ya taifa, na jambo hili lenyewe ni miongoni mwa…
-
Ayatullah Saidii katika Swala ya Ijumaa ya Qum Iran:
DuniaKhorramshahr yetu ya leo ni kuulinda Mlango wa Hormuz na kuvunja utukufu wa Marekani/ Adui anajitahidi kuigawanya jamii katika makundi mawili na kueneza mifarakano katika mikusanyiko
Hawza/Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qum alisisitiza kuwa: Imam mtukufu marehemu alisema: “Khorramshahr aliikomboa Mwenyezi Mungu.” Hii ni kanuni kwamba kila mahali tuliposimama kwa mapambano…
-
Msaidizi wa Masuala ya Tablighi na Utamaduni wa Hawza nchini Iran amesema:
DuniaVita mseto vya adui vitabatilishwa kutokana na uimara wa muqawama wa Kiirani
Hawza/ Msimamizi wa Makao Makuu ya Vita Mseto ya “Balagh Mubin” amesema: Katika siku za vita vya tatu vya kulazimishwa na uwepo mkubwa wenye hamasa wa wananchi katika viwanja na mitaani, takribani…
-
Katika ripoti ya uchambuzi ya Shirika la Habari la Hawza imefafanuliwa:
Dunia“Shahidi Raisi” alikuwa mfano wa utawala wa kidini na wa wananchi/ Rais shahidi hakuwa kabisa mtu wa kutafuta umaarufu wa kisiasa
Hawza/ Shahidi Raisi alikuwa mtu mwenye kujitolea na mwenye imani, ambaye katika aina yake ya utawala na siasa hakuwaza chochote isipokuwa kupata radhi za Mwenyezi Mungu na kuitikia maelekezo…
-
Rais wa Baraza Kuu la Chama cha Kiislamu cha Mu’talifa:
DuniaMizania ya kimataifa inabadilika kwa manufaa ya Iran na China
Hawza/ Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Chama cha Kiislamu cha Mu’talifa amesema: Kushindwa kwa Trump katika safari yake ya China kutasababisha nchi nyingine kuzingatia nguvu ya Iran kuwa dola ya…
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Sulaymaniyah Iraq akiwa miongoni mwa Maulamaa wa Kurdistan:
DuniaKiburi cha bandia cha Marekani na Wazayuni kimevunjwa mbele ya taifa la Iran
Hawza/ Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Sulaymaniyah Iraq amesema: Lengo la safari yangu lilikuwa kutoa shukrani kwa taifa la Iran na kupongeza ushindi mkubwa dhidi ya maadui; ushindi ambao ni fahari…
-
DuniaRaia wa Indonesia wainu bendera mahakamani kuonesha jinsi wanyoiunga mkono Iran
Hawza/ “Sisi tunaiunga mkono Iran!” Haya ni maneno aliyoyasema Pedro, mmoja wa waungaji mkono wa muqawama na wanaharakati wa kupinga Uzayuni, siku ya Ijumaa katika Mahakama ya Wilaya ya Kati…
-
Mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi katika Mkoa wa Kurdistan:
DuniaTaifa la Iran limesimama imara mbele ya mashinikizo na vitisho
Hawza/ Mwakilishi wa Walii Faqihi katika Mkoa wa Kurdistan, huku akirejelea hali ya eneo pamoja na vikwazo vya miongo kadhaa iliyopita, alisisitiza kwamba: Taifa la Iran licha ya mashinikizo…