Ayatollah Makarem Shirazi (16)
-
Ayatullah Makarim Shirazi:
DuniaBaraka za Ayatullah Fayyadh ndani ya Hawza ya Najaf hazitasahaulika
Hawza/ Ayatullah Makarim Shirazi ametuma salamu za rambirambi kufuatia kufariki kwa Ayatullah Hajj Sheikh Ishaq Fayyadh, mmoja wa Mar'ajii wakubwa wa Taqlid wa Najaf.
-
Ujumbe wa Ayatullah al-Udhma Makarim Shirazi kuelekea Kongamano la Pili la Kimataifa la Ghadir na Muqawama;
DuniaWafuasi wa madhehebu ya Ghadir wapo mstari wa mbele katika kukabiliana na ubeberu wa kimataifa / Muqawama wa leo wa Umma wa Kiislamu ni matunda ya mafundisho ya madhehebu ya Ghadir
Hawza/ Ayatullah Makarim Shirazi katika ujumbe wake kuelekea Kongamano la Kimataifa la Ghadir na Muqawama, huku akisisitiza kwamba Muqawama wa leo wa Umma wa Kiislamu ni matunda ya mafundisho…
-
Ayatullah al-Udhma Makarim Shirazi:
DuniaMhimili muhimu zaidi wa kuziunga mkono taasisi za utekelezaji na za utawala ni uwepo na ushirikiano wa wananchi
Hawza/ Ayatullah Makarim Shirazi amesema: Mhimili muhimu zaidi wa mafanikio ya taasisi za utekelezaji na za utawala ni uwepo na ushirikiano wa wananchi wenye uelewa, na akasisitiza: Maadamu wananchi…
-
DiniMtazamo ya Ayatullah al-‘Udhma Makarim Shirazi kuhusu kwenda Hijja mwaka huu
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Makarim Shirazi alijibu swali la kifiqhi (istifta) kuhusu kufika katika Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu (Baytullah al-Haram) na safari ya Hijja kwa kuzingatia hali za…
-
Ayatullah udhma Maka'rem Shira'zi:
DuniaBaraza la wataalamu wa Uongozi, kwa kumchagua aliebora zaidi wametimiza hoja kwa watu wote/ Kuchukua kiaga cha utii ni wadhifa wa watu wote
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Maka'rem Shira'zi, huku akipongeza uteuzi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran, ameweka wazi kuwa: Wananchi na nguzo za utawala, kwa kukubaliana na uteuzi huu bora,…
-
Ayatullah udhm'a Makarem Shirazi:
DuniaFikra ya Mahdawiyya na imani juu ya Uimamu ndiyo sifa kuu ya Ushia
Hawza/ Mtukufu Ayatullah udhm'a Makarem Shirazi amesisitiza kuwa: fikra ya Mahdawiyya na umuhimu wa haja ya kuwepo Mwokozi, ni mwendelezo wa nafasi ya Uimamu na ulazima wa kuwepo kwake katika…
-
Mtazamo wa Ayatullah al-‘Udhmaa Makarem Shirazi kuhusu matukio ya hivi karibuni nchini Iran
DuniaUtetezi thabiti wa Maraji juu ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Iran
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Makarem Shirazi amesisitiza: Kila mtu au utawala wowote utakaomtishia Kiongozi wa Mapinduzi na marjaiya (uongozi wa kidini), au—Mungu apishe mbali—ukajaribu kuwadhuru,…
-
Ayatollah Udhma Makarem Shirazi:
DuniaHaipaswi Kupita Siku Bila Khatibu Kuwepo Katika Maeneo Matakatifu
Hawza/ Ayatollah Makarem Shirazi alisema: Haipaswi kupita siku bila khatibu kuwepo katika maeneo matakatifu. Haram ni vituo vya utamaduni vyenye athari kubwa kwa watu wote, na ni hifadhi kwa…
-
Ayatollah al-Udhma Makarim katika hafla ya uzinduzi wa mfumo wa mazungumzo na tafsiri:
DuniaHawza Ipo Kwenye Mstari wa Mbele na Inajivunia katika Uwanja wa Akili Mnemba / Vyombo Vya Habari Vinapaswa Kuonesha Jinsi Hawza Ilivyosonga Katika Elimu na Teknolojia
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Makarim Shirazi, akisisitiza ulazima wa kutoa taarifa kuhusiana na mafanikio makubwa ya Kituo cha Noor, alisema: “Kuna kazi nyingi zenye thamani kubwa zinazofanyika,…
-
Ayatullah al-Udhma Makarim Shirazi:
DuniaBado ninaendelea na shughuli za kielimu/ Msisitizo wa kutumia zana za kisasa na akili mnemba ndani ya hawza
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Makarim Shirazi, huku akisisitiza kuwa bado anaendelea na kazi za kielimu, amesisitiza juu ya ulazima wa jitihada, usafi wa nia na matumizi ya zana za kisasa hasa akili…
-
Ujumbe wa Ayatollah al-Udhma Makarem Shirazi kuelekea Kongamano la 39 la Umoja wa Kiislamu:
DuniaWanazuoni wa Kiislamu wanapaswa kwa umakini wasiruhusu tofauti na migawanyiko baina ya Waislamu
Hawza/ Ayatollah al-Udhma Makarem Shirazi, katika ujumbe alioupeleka kwa wageni walio hudhuria Kongamano la Umoja wa Kiislamu, alisema: “Enyi wasomi, msitosheke kwa kuzungumzia umoja tu, bali…
-
DiniMtazamo wa Mar'aji‘ taql'id Kuhusiana na Sherehe ya mwezi Tisa Rabi‘u al-Awwal na Kutoheshimu wanavyo vitukuza Ahlus-Sunna
Hawzah/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu na Maraji‘ wakubwa wa taql'id, kupitia tamko na fatwa zao, wanazingatia kwamba; kutusi matakatifu ya madhehebu ya Kiislamu, ni kitendo haramu, chenye…
-
Ayatollah Al-Udhma Makarim Shirazi:
DuniaArubaini ni hazina kubwa inayotokana na mapenzi, kujitolea na utu
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Makarim amesisitiza kuwa: Arubaini si matembezi tu; ni hazina kubwa inayotokana na mapenzi, kujitolea na ubinadamu ambayo haina mfano wowote duniani.
-
Ayatollah al-Udhma Makarim Shirazi:
HawzaHaki za binadamu zinazodaiwa na Magharibi maana yake ni jinai na kuua maelfu ya wanawake na watoto
Hawaza/ Mtukufu Ayatollah Makarim Shirazi amesisitiza kuwa: Haki za binadamu zinazodaiwa na Magharibi ni dhana isiyo na maana wala maudhui ya kweli, wao hawana imani na heshima ya mwanadamu wala…
-
Ayatollah al-Udhma Makarim Shirazi:
HawzaMtu yeyote au utawala wowote unaomtishia Kiongozi na marja'iyya hukumu yake ni sawa na muharib (Mtu mwenye kuupiga vita uislamu) / Ushirikiano kati ya serikali za Kiislamu na adui ni haramu
Hawza/ Ayatollah Makarim Shirazi amesema bayana kuwa: Mtu yeyote au utawala wowote unaonuia kuupiga uma wa Kiislamu na mamlaka yake kwa kuutishia uongozi na marja'iyya, au (Allah aepushe) kuuvunjia…
-
Ayatollah Makarrim Shirazi:
HawzaMuislamu yeyote mzima na alie huru hakubaliani na vitisho vilivyo tolewa dhidi ya kiongozi wa mapinduzi ya kiislamu
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Makarrim Shirazi ameweka wazi kuwa; Kupatikana kiongozi adhimu wa mapinduzi, kwa anuani ya kwamba ni mwenye kuhifadhi nembo ya ushia bali uma wa kiislamu, ni nukta muhimu…