Ayatollah Alireza Arafi (46)
-
Ayatullah A‘rafi katika mkutano wa wasaidizi wa utafiti wa Hawza:
DuniaTabliigh bila mchango wa utafiti haiwezi kufanikiwa/ Tusisahau umuhimu wa mtazamo wa ijtihaadi
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza, Ayatullah Alireza A‘rafi, amesisitiza kuwa kujitolea katika masuala ya utafiti ni sharti muhimu kwa mafanikio ya shughuli za kielimu na za tabligh (ulinganiaji), akibainish…
-
Ayatullah A‘rafi katika kikao cha walimu wa Taasisi ya Elimu ya Juu ya Fiqhi amezungumzia:
DuniaMisingi mitano ya maudhui katika ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi wa Iran kwa hawza / Wajibu wa kimataifa wa Hawza na maulama
Hawza/ Ayatullah Alireza A‘rafi amesisitiza kwamba “walengwa wa kwanza wa ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi katika kumbukumbu ya miaka mia moja ya kuasisiwa upya kwa Hawza ya kielimu ya Qum…
-
HawzaMajukumu 14 ya kimkakati ya Hawza ya wanawake / Tofauti ya nafasi ya mwanamke katika Uislamu na Magharibi
Hawza/ Ayatollah A'rafi alieleza kuwa uongozi maalumu kwa wanawake nchini Iran na duniani ni jukumu mahsusi la Hawza ya wanawake na wanafunzi wa kike wa Hawza, na akasema: jukumu jingine ni katika…
-
Ayatullah A‘rafi katika mazungumzo na Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Waislamu Pakistan:
Hawza“Pakistan itekeleze jukumu la msingi katika mabadiliko yajayo kwenye ulimwengu wa Kiislamu”
Hawzah/ Mkurugenzi wa Vyuo vya Dini vya Kiislamu nchini Iran, Ayatullah Alireza A‘rafi, akizungumza kuhusu nafasi ya kimkakati ya Pakistan katika ulimwengu wa Kiislamu, alisema kuwa nchi hiyo…
-
Ayatullah al-Udhma Makarim Shirazi:
DuniaBado ninaendelea na shughuli za kielimu/ Msisitizo wa kutumia zana za kisasa na akili mnemba ndani ya hawza
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Makarim Shirazi, huku akisisitiza kuwa bado anaendelea na kazi za kielimu, amesisitiza juu ya ulazima wa jitihada, usafi wa nia na matumizi ya zana za kisasa hasa akili…
-
Ayatollah Aʿrafi katika Swala ya Ijumaa Qom Iran:
DuniaMwanamke katika mantiki ya Uislamu si mfungwa wa matamanio ya wenye tamaa
Hawza / Khatibu wa Ijumaa wa Qom alisema: Sote yatupasa kufahamu kwamba Mwanamke katika Uislamu ana nafasi na jukumu kijamii, kimaadili na kifamilia, na jukumu hilo lazima lilindwe na kuheshimiwa.
-
Ayatullah A‘rafi katika Hafla ya ufunguzi wa Mwaka wa Masomo kwa Wanafunzi wakike wa Hawza:
HawzaNahjul-Balagha ni Kitabu chenye Mageuzi na Mapinduzi / Wanafunzi wakike wa Hawza wana nafasi ya Kihistoria katika kuiongoza Dunia Mpya
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza Nchini Iran ameitaja Nahjul-Balagha kuwa ni kitabu cha mageuzi na mapinduzi, na kusisitiza: Hawza za wanawake zinapaswa kuanzisha sura maalum ya kuongeza maarifa kuhusu…
-
Ayatullah A‘rafii:
HawzaShambulizi dhidi ya Qatar ni onyo la tahadhari kwa serikali za Kiislamu/ Mazungumzo yamefichua kuwa nguvu za kigeni za kibeberu ni wavunjaji wa ahadi na madhalimu
Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom amesema: Serikali za Kiislamu, amkeni! Ikiwa hamtasimama, hamtapinga na mkauvua silaha muqawama, nanyi pia mtaathirika; wao wanataka kutoka kwetu eidha kujisalimisha…
-
Ayatullah A‘rafi katika Kituo cha Tablighi:
HawzaKile kinachoifanya hawza kuwa mahsusi ni “ufikishaji ulio wazi” / Mjadala wa Mapinduzi ya Kiislamu ndiyo mjadala wa Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw)
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza za kielimu, katika sherehe ya ufunguzi wa mwaka mpya wa masomo ya kituo cha kielimu na utafiti cha tablighi alisema: tablighi ni “roho ya undani” ya shughuli zote.…
-
Ayatullah A‘rafi katika hafla ya ufunguzi wa mwaka wa masomo wa Hawza:
HawzaUtambulisho wa urasimi wa kidini (ruhaniyat) una mizizi yake katika Unabii na Uimamu / Nukta 15 kuu katika ujumbe wa kimkakati wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi kwa Hawza
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza Iran, alisrma: Ujumbe wa juu, wa kufungua njia na wa kimkakati wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi kwa Hawza, ni mwongozo wa harakati zetu za leo na kesho, Ujumbe huu ni…
-
HawzaUjumbe wa rambirambi kutoka kwa Ayatollah A‘rafi kuwaelekea wananchi wa Afghanistan
Hawza/ Hawza za Kielimu za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kwa mujibu wa majukumu na risala zake za kidini na kibinadamu, ziko tayari kutoa kila aina ya msaada na ushirikiano kwenye kutatua matatizo…
-
Ayatullah A‘rafi:
HawzaUmuhimu wa kuimarisha mtazamo wa kimataifa wa Hawza / Hawza zinapaswa kuwa na nafasi yenye athari katika uwanja wa kimataifa
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, huku akisisitiza juu ya umuhimu wa uwepo wa kina na wa kivitendo wa Hawza katika uwanja wa kimataifa, amesema: uzalishaji wa kielimu unaolingana na lugha…
-
Ayatullah A‘rafi katika kikao na walimu pamoja na wanazuoni wafuasi wa Ahlul-Bayt nchini Malaysia:
HawzaMsimamo wa Jamhuri ya Kiislamu ni wa madhehebu tofauti na wenye kuzingatia umma wa Kiislamu
Hawza/ Ayatullah A‘rafi alibainisha kuwa msimamo wa Jamhuri ya Kiislamu katika miaka baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ni msimamo wa madhehebu tofauti na unaozingatia maslahi ya umma…
-
HawzaAyatullah A‘rafi akutana na Waziri Mkuu wa Malaysia / Sera ya Serikali na Watu wa Malaysia ni kuliunga mkono taifa la Palestina lililodhulumiwa hususan Gaza
Hawzah/ Mkurugenzi wa Hawzah nchini Iran pamoja na ujumbe alioambatana nao wakiwa na Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Malaysia walikutana na Mheshimiwa Anwar Ibrahim, Waziri Mkuu…
-
HawzaAyatollah Arafi Ashiriki katika Mkutano wa Kimataifa wa Viongozi wa Kidini nchini Malaysia + Picha
Hawza/ Mkutano wa pili wa Kimataifa wa Viongozi wa Kidini Duniani umeanza duru yake mjini Kuala Lumpur ukiwa na ushiriki wa Ayatollah Alireza Arafi, Mkurugenzi wa Hawza Iran, pamoja na zaidi…
-
DuniaAyatollah A‘rafi asafiri kuelekea Malaysia
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran amesafiri kuelekea Malaysia kutokana na mwaliko wa Waziri Mkuu wa Malaysia akiwa ameandamana na ujumbe maalum
-
DuniaJawabu la Amir wa Jumuiya ya Maulamaa wa Kiislamu Pakistan kuijibu barua ya Ayatollah A’rafi kuhusiana na Ghaza
Hawza/ Maulana Fazlur Rahman, Amir wa Jumuiya ya Maulamaa wa Kiislamu Pakistan, katika barua yake kwa Ayatollah A’rafi, aliusifu msimamo wa Iran kuhusu Ghaza na kusisitiza juu ya umoja wa Umma…
-
Ayatollah A‘rafi katika maadhimisho ya Siku ya Madaktari:
DuniaMtume Mtukufu (s.a.w.) ni kielelezo kamili cha maadili, elimu na uimara / Shukrani kwa huduma za mfumo wa afya wa taifa
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza nchini Irani, Ayatollah Alireza A‘rafi, akizungumza kuhusu mwenendo wa kina wa Mtume Mtukufu (s.a.w.) alisema: Mtume wa Mwenyezi Mungu pamoja na elimu na jihadi katika…
-
Ayatollah A‘rafi:
HawzaWanazuoni wa Kiislamu na mashirika ya kimataifa wazuie uvamizi wa Ghaza
Hawza/ Ayatollah A‘rafi, katika tamko lake, sambamba na kulaani uvamizi wa kikamilifu wa Ghaza, amesema: Tunazitaka serikali zote, mataifa yote, wanazuoni, wasomi, taasisi za kisheria na mashirika…
-
Ayatollah A’rafi katika Mkutano wa Mtandaoni wa Kimataifa kuhusu Ghaza na Wanazuoni wa Umma:
HawzaMipango ya uvamizi na uharibifu inayofanywa na utawala wa Kizayuni itashindwa na kusukumwa nyuma.
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza Irani alisema: Tuna imani ya hakika kwamba mipango ya uvamizi na uharibifu inayofanywa na utawala huu, kwa baraka ya uelewa wa umma wa Kiislamu, hatua za serikali huru…
-
Ayatollah A'rafi kwenye Swala ya Ijumaa Qom:
HawzaWana Lebanon Wasidanganywe na Ahadi Tamu Zenye Sumu za Marekani
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qom amesema: Leo hii, serikali ya Lebanon imo kwenye nafasi ya kihistoria mbele ya ulimwengu wa Kiislamu; kamwe isidanganywe na ahadi tamu zenye sumu za Marekani,…
-
DuniaAyatullah Arafi, amjulia hali Ayatullah Huseini Shahrudi
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza Irani amemjulia hali Ayatullah Sayyid Abdulhadi Huseini Shahrudi, mwakilishi wa zamani wa watu wa mkoa wa Golestan Irani, katika Baraza la Wataalamu wa Uongozi.
-
HawzaUjumbe wa Rambirambi wa Ayatollah Arafi kufuatia kifo cha mwandishi wa habari wa shirika la habari la Hawzah
Hawzah/ Ayatollah Arafi ametoa ujumbe wa rambirambi kufuatia kifo cha mwandishi wa habari wa shirika la habari la Hawzah
-
DuniaHawza za kielimu Pakistan, zatangaza kushikama na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Hawza/ Mkurugenzi wa Jami’atul-Urwatul-Wuthqa mjini Lahore, Pakistan, katika ujumbe aliomtumia Ayatollah A’rafi, Mkurugenzi wa Hawza, ametoa pongezi kwa kushindwa kwa maadui katika vita vya kulazimish…
-
Ayatollah Arafi katika uzinduzi wa bango la kongamano la Sayyid al-Shuhada wa Muqawama:
HawzaShahidi Nasrallah ni shule ya kifikra na ya kimapinduzi yenye athari ya kiistratejia / “Umanau al-Rusul”; hatua ya kuwafahamisha vijana urithi wa kihistoria
Hawza/ Ayatollah Arafi, akisisitiza nafasi maalumu ya Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah (r.a.), amemtaja si tu kama kamanda na kiongozi mashuhuri wa muqawama, bali pia kama mmiliki wa shule ya…
-
Ayatollah A’rafi katika barua yake kuwaelekea maulamaa wakubwa wa nchi za Kiislamu:
HawzaKatika kati ya moto na njaa, tumaini la Ghaza limeelekezwa kuuelekea Umma wa Kiislamu / Hatua ya haraka kwa Umma wa Kiislamu na taasisi za kimataifa kuvunja kuzingirwa na kufikishwa misaada ya dharura
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Irani, katika barua mbalimbali amewaomba maulamaa wa ulimwengu wa Kiislamu wamkabili twaghuti wa dhulma, walie njaa ya wanyonge, wapaze sauti zao dhidi ya tawala…
-
Ayatollah A'rafi:
HawzaLengo la juu kabisa la kuwa faqihi katika dini ni kuwaonya watu / Uhusiano wa kina kati ya muqawama wa taifa la Iran na harakati ya damu ya Ashura
Hawza/ Mkurugenzi wa vyuo vya kidini (hawza) Irani amebainisha kuwa: Katika hali ya hatari ya sasa ambapo maadui wameushambulia kwa nguvu zote na kila upande mfumo mtukufu wa Jamhuri ya Kiislamu…
-
Ayatollah A’rafi katika kulaani mauaji ya Maulamaa wa Kishia nchini Syria:
HawzaTaasis za kimataifa zilaani mauaji ya maulamaa wa Kishia nchini Syria / Wahalifu na waungaji mkono wa jinai hii katika kanda hii wanapaswa kuhojiwa
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza Iran amesema kwa kusisitiza: Mimi binafsi naziomba taasisi zote za kimataifa, hasa Umoja wa Mataifa, Baraza la Haki za Binadamu, Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu,…
-
Ayatollah A‘raafi katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa mwezi wa Muharram:
HawzaMaombolezo ya Muharram ya mwaka huu yafanyike kwa namna ya adhama zaidi kuliko miaka iliyopita / Hawza na maulamaa daima wamesimama imara juu ya ahadi yao kwa raia
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza amesisitiza kuwa: Maombolezo ya mwezi wa Muharram mwaka huu yanapaswa kufanyika kwa namna ya adhama zaidi kuliko zamani kwa lengo la kuimarisha hamasa ya Ashura na…
-
Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran:
HawzaUjasiri na mshikamano wa watu katika kutetea Mapinduzi na Taifa ni sababu ya kujivunia
Hawza/ Ayatollah Arafi, kwa kuthamini kujitolea vikosi vya ulinzi na wananchi wa Iran, ameitaja hali ya uwepo wa watu kwa namna ya fahari na kwa uangalifu katika kutetea nchi kuwa ni sehemu muhimu…