Ayatollah Alireza Arafi (35)
-
Ayatullah A‘rafi:
HawzaUmuhimu wa kuimarisha mtazamo wa kimataifa wa Hawza / Hawza zinapaswa kuwa na nafasi yenye athari katika uwanja wa kimataifa
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, huku akisisitiza juu ya umuhimu wa uwepo wa kina na wa kivitendo wa Hawza katika uwanja wa kimataifa, amesema: uzalishaji wa kielimu unaolingana na lugha…
-
Ayatullah A‘rafi katika kikao na walimu pamoja na wanazuoni wafuasi wa Ahlul-Bayt nchini Malaysia:
HawzaMsimamo wa Jamhuri ya Kiislamu ni wa madhehebu tofauti na wenye kuzingatia umma wa Kiislamu
Hawza/ Ayatullah A‘rafi alibainisha kuwa msimamo wa Jamhuri ya Kiislamu katika miaka baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ni msimamo wa madhehebu tofauti na unaozingatia maslahi ya umma…
-
HawzaAyatullah A‘rafi akutana na Waziri Mkuu wa Malaysia / Sera ya Serikali na Watu wa Malaysia ni kuliunga mkono taifa la Palestina lililodhulumiwa hususan Gaza
Hawzah/ Mkurugenzi wa Hawzah nchini Iran pamoja na ujumbe alioambatana nao wakiwa na Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Malaysia walikutana na Mheshimiwa Anwar Ibrahim, Waziri Mkuu…
-
HawzaAyatollah Arafi Ashiriki katika Mkutano wa Kimataifa wa Viongozi wa Kidini nchini Malaysia + Picha
Hawza/ Mkutano wa pili wa Kimataifa wa Viongozi wa Kidini Duniani umeanza duru yake mjini Kuala Lumpur ukiwa na ushiriki wa Ayatollah Alireza Arafi, Mkurugenzi wa Hawza Iran, pamoja na zaidi…
-
DuniaAyatollah A‘rafi asafiri kuelekea Malaysia
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran amesafiri kuelekea Malaysia kutokana na mwaliko wa Waziri Mkuu wa Malaysia akiwa ameandamana na ujumbe maalum
-
DuniaJawabu la Amir wa Jumuiya ya Maulamaa wa Kiislamu Pakistan kuijibu barua ya Ayatollah A’rafi kuhusiana na Ghaza
Hawza/ Maulana Fazlur Rahman, Amir wa Jumuiya ya Maulamaa wa Kiislamu Pakistan, katika barua yake kwa Ayatollah A’rafi, aliusifu msimamo wa Iran kuhusu Ghaza na kusisitiza juu ya umoja wa Umma…
-
Ayatollah A‘rafi katika maadhimisho ya Siku ya Madaktari:
DuniaMtume Mtukufu (s.a.w.) ni kielelezo kamili cha maadili, elimu na uimara / Shukrani kwa huduma za mfumo wa afya wa taifa
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza nchini Irani, Ayatollah Alireza A‘rafi, akizungumza kuhusu mwenendo wa kina wa Mtume Mtukufu (s.a.w.) alisema: Mtume wa Mwenyezi Mungu pamoja na elimu na jihadi katika…
-
Ayatollah A‘rafi:
HawzaWanazuoni wa Kiislamu na mashirika ya kimataifa wazuie uvamizi wa Ghaza
Hawza/ Ayatollah A‘rafi, katika tamko lake, sambamba na kulaani uvamizi wa kikamilifu wa Ghaza, amesema: Tunazitaka serikali zote, mataifa yote, wanazuoni, wasomi, taasisi za kisheria na mashirika…
-
Ayatollah A’rafi katika Mkutano wa Mtandaoni wa Kimataifa kuhusu Ghaza na Wanazuoni wa Umma:
HawzaMipango ya uvamizi na uharibifu inayofanywa na utawala wa Kizayuni itashindwa na kusukumwa nyuma.
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza Irani alisema: Tuna imani ya hakika kwamba mipango ya uvamizi na uharibifu inayofanywa na utawala huu, kwa baraka ya uelewa wa umma wa Kiislamu, hatua za serikali huru…
-
Ayatollah A'rafi kwenye Swala ya Ijumaa Qom:
HawzaWana Lebanon Wasidanganywe na Ahadi Tamu Zenye Sumu za Marekani
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qom amesema: Leo hii, serikali ya Lebanon imo kwenye nafasi ya kihistoria mbele ya ulimwengu wa Kiislamu; kamwe isidanganywe na ahadi tamu zenye sumu za Marekani,…
-
DuniaAyatullah Arafi, amjulia hali Ayatullah Huseini Shahrudi
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza Irani amemjulia hali Ayatullah Sayyid Abdulhadi Huseini Shahrudi, mwakilishi wa zamani wa watu wa mkoa wa Golestan Irani, katika Baraza la Wataalamu wa Uongozi.
-
HawzaUjumbe wa Rambirambi wa Ayatollah Arafi kufuatia kifo cha mwandishi wa habari wa shirika la habari la Hawzah
Hawzah/ Ayatollah Arafi ametoa ujumbe wa rambirambi kufuatia kifo cha mwandishi wa habari wa shirika la habari la Hawzah
-
DuniaHawza za kielimu Pakistan, zatangaza kushikama na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Hawza/ Mkurugenzi wa Jami’atul-Urwatul-Wuthqa mjini Lahore, Pakistan, katika ujumbe aliomtumia Ayatollah A’rafi, Mkurugenzi wa Hawza, ametoa pongezi kwa kushindwa kwa maadui katika vita vya kulazimish…
-
Ayatollah Arafi katika uzinduzi wa bango la kongamano la Sayyid al-Shuhada wa Muqawama:
HawzaShahidi Nasrallah ni shule ya kifikra na ya kimapinduzi yenye athari ya kiistratejia / “Umanau al-Rusul”; hatua ya kuwafahamisha vijana urithi wa kihistoria
Hawza/ Ayatollah Arafi, akisisitiza nafasi maalumu ya Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah (r.a.), amemtaja si tu kama kamanda na kiongozi mashuhuri wa muqawama, bali pia kama mmiliki wa shule ya…
-
Ayatollah A’rafi katika barua yake kuwaelekea maulamaa wakubwa wa nchi za Kiislamu:
HawzaKatika kati ya moto na njaa, tumaini la Ghaza limeelekezwa kuuelekea Umma wa Kiislamu / Hatua ya haraka kwa Umma wa Kiislamu na taasisi za kimataifa kuvunja kuzingirwa na kufikishwa misaada ya dharura
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Irani, katika barua mbalimbali amewaomba maulamaa wa ulimwengu wa Kiislamu wamkabili twaghuti wa dhulma, walie njaa ya wanyonge, wapaze sauti zao dhidi ya tawala…
-
Ayatollah A'rafi:
HawzaLengo la juu kabisa la kuwa faqihi katika dini ni kuwaonya watu / Uhusiano wa kina kati ya muqawama wa taifa la Iran na harakati ya damu ya Ashura
Hawza/ Mkurugenzi wa vyuo vya kidini (hawza) Irani amebainisha kuwa: Katika hali ya hatari ya sasa ambapo maadui wameushambulia kwa nguvu zote na kila upande mfumo mtukufu wa Jamhuri ya Kiislamu…
-
Ayatollah A’rafi katika kulaani mauaji ya Maulamaa wa Kishia nchini Syria:
HawzaTaasis za kimataifa zilaani mauaji ya maulamaa wa Kishia nchini Syria / Wahalifu na waungaji mkono wa jinai hii katika kanda hii wanapaswa kuhojiwa
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza Iran amesema kwa kusisitiza: Mimi binafsi naziomba taasisi zote za kimataifa, hasa Umoja wa Mataifa, Baraza la Haki za Binadamu, Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu,…
-
Ayatollah A‘raafi katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa mwezi wa Muharram:
HawzaMaombolezo ya Muharram ya mwaka huu yafanyike kwa namna ya adhama zaidi kuliko miaka iliyopita / Hawza na maulamaa daima wamesimama imara juu ya ahadi yao kwa raia
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza amesisitiza kuwa: Maombolezo ya mwezi wa Muharram mwaka huu yanapaswa kufanyika kwa namna ya adhama zaidi kuliko zamani kwa lengo la kuimarisha hamasa ya Ashura na…
-
Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran:
HawzaUjasiri na mshikamano wa watu katika kutetea Mapinduzi na Taifa ni sababu ya kujivunia
Hawza/ Ayatollah Arafi, kwa kuthamini kujitolea vikosi vya ulinzi na wananchi wa Iran, ameitaja hali ya uwepo wa watu kwa namna ya fahari na kwa uangalifu katika kutetea nchi kuwa ni sehemu muhimu…
-
Ayatollah A'rafi katika Swala ya Ijumaa Qom:
HawzaIsrael ni kambi ya kijeshi ya Magharibi
Hawza/ Khatibu wa Ijumaa ya Qom, Ayatollah Alireza A'rafi, alisema kuwa maadui na wanafiki wafahamu kuwa wamepiga mahali pasipo sahihi, wamefanya makosa ya kimkakati na kutenda jinai kubwa. Baadhi…
-
HawzaBarua ya Ayatollah Arafi kwa zaidi ya shakhsia 80 za Kiislamu na dini nyengine duniani, Kufuatia uvamizi uliofanywa utawala wa Kizayuni
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza za Kiislamu nchini Irani, kufuatia uvamizi uliofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Jumhuri ya Kiislamu ya Iran, amewasiliana na zaidi ya watu 80 mashuhuri wa Kiislamu…
-
Ayatollah arafi atoa tahadhari kwa mabeberu na Wazayuni wanaofuata njia ya Hitla:
HawzaKuwavunjia heshima marajii kutasababisha hasira kwa umma wa kiisalamu
Hawza/ Mudiir wa hawza Qum ameeleza kuwa; Katika masiku ya karibuni viongozi wa mabeberu ulimwenguni na Mazayuni wamwaga damu, wameleta taharuki na hasira kwa waislamu baada ya kuwavunjia heshima…
-
Ayatollah Arafi akiliongelesha Taifa la Irani:
HawzaMpaka mwisho wa vita tupo Pamoja nanyi/ Wapiganaji jihadi wa Hawza wapo tayari kwa ajili ya kujenga nyumba Pamoja na sehemu zilizo haribiwa
Hawza/ Ayatollah Arafi amesema; sisi tupo Pamoja nanyi situ katika ujenzi bali katika majeraha yote, kuwatia moyo na kuwakingia kifua, tunayo Imani ya kweli kwamba taifa hili tukufu litafanikiwa…
-
Ayatollah A'raafi:
HawzaWananchi wa Irani, wamesimama bega kwa bega na majeshi ya ulinzi/ Jibu thabiti la Iran litakuwa ni lenye kuleta majuto
Mkurugenzi (mudiri) wa Hawza, kufuatia jinai iliyofanywa na utawala wa Kizayuni, alibainisha kuwa: Taifa letu makini katika nyakati za hatari na katika kipindi cha kuamua hatima, limekuwa mstari…
-
HawzaAyatollah Arafi atuma ujumbe wa pongezi kwa Papa mpya / Asisitiza ushirikiano wa kielimu na kitamaduni kati ya hawza ya Iran na Vatikani
Hawza/ Mkurugenzi (Mudir) wa hawza nchini Iran ametuma ujumbe wa pongezi kwa kuchaguliwa Papa Leon wa kumi na nne kuwa kiongozi wa Katoliki duniani.
-
Ayatollah A'rafi asema kuwa:
HawzaHawza ya Qom imeenea katika nchi zaidi ya 100 duniani
Mkurugenzi (Mudir) wa Hawza nchini Irani alisema: Katika zaidi ya nchi 100 duniani, vijana wanaopenda maarifa ya kimungu wamejitokeza na kwa kunufaika na maarifa waliyojifunza katika Hawza ya…
-
HawzaBarua ya Ayatollah Arafi kumuelekea Imam Khamenei / Ahadi na Kiaga cha Wanahawza kwa Ajili ya Kutekeleza Azimio la “Hawza Inayosonga mbele na Iliyopo Kileleni”
Mkurugenzi wa Hawza nchi Irani, ametoa shukrani na pongezi kutokana ujumbe wa kihistoria na muhimu ulio tolewa na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwenye kongamano la kumbukumbu ya miaka…
-
Ayatollah A'arafi amesema:
HawzaUtekelezaji wa Mpango wa awamu ya pili ya Miaka Mitano ya Hawza kwa mujibu wa ujumbe wa kihistoria wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi
Mkurugenzi (Mudir) wa Hawza nchini Irani, huku akitoa shukrani kutokana na ujumbe wa kimkakati na wa kihistoria uliotelewa na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi, ametangaza kuwa mpango wa awamu ya pili…
-
Ayatollah A'rafi katika mkutano na waandishi wa habari kuhusu kongamano la kuanzishwa kwa upya Hawza ya Qum:
HawzaHawza ya Qum ina mwendelezo wa kimataifa/ Hawza na maulamaa pasi na watu havina maana
Mkurugenzi wa Hawza Irani, katika mkutano na waandishi wa habari pamoja na wanahabari, alifafanua vipengele vya mabadiliko vilivyo leta athari katika Hawza ya Qum ndani ya kipindi cha miaka mia…
-
HawzaAyatollahil-‘Udhmaa Nuri Hamadani katika kikao chake na Ayatollah A‘raafi: Katika miaka ya hivi karibuni, mabadiliko makubwa yamejitokeza kwenye Hawza.
Hadhrat Ayatollah Nuri Hamadani katika kikao chake na Mkurugenzi (Mudir) wa Hawza nchini Iran alibainisha kuwa: Bila shaka yoyote, katika miaka hii ya hivi karibuni, shughuli nyingi zimefanyika…