Ayatollah Alireza Arafi (11)
-
HawzaAyatollah Arafi atuma ujumbe wa pongezi kwa Papa mpya / Asisitiza ushirikiano wa kielimu na kitamaduni kati ya hawza ya Iran na Vatikani
Hawza/ Mkurugenzi (Mudir) wa hawza nchini Iran ametuma ujumbe wa pongezi kwa kuchaguliwa Papa Leon wa kumi na nne kuwa kiongozi wa Katoliki duniani.
-
Ayatollah A'rafi asema kuwa:
HawzaHawza ya Qom imeenea katika nchi zaidi ya 100 duniani
Mkurugenzi (Mudir) wa Hawza nchini Irani alisema: Katika zaidi ya nchi 100 duniani, vijana wanaopenda maarifa ya kimungu wamejitokeza na kwa kunufaika na maarifa waliyojifunza katika Hawza ya…
-
HawzaBarua ya Ayatollah Arafi kumuelekea Imam Khamenei / Ahadi na Kiaga cha Wanahawza kwa Ajili ya Kutekeleza Azimio la “Hawza Inayosonga mbele na Iliyopo Kileleni”
Mkurugenzi wa Hawza nchi Irani, ametoa shukrani na pongezi kutokana ujumbe wa kihistoria na muhimu ulio tolewa na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwenye kongamano la kumbukumbu ya miaka…
-
Ayatollah A'arafi amesema:
HawzaUtekelezaji wa Mpango wa awamu ya pili ya Miaka Mitano ya Hawza kwa mujibu wa ujumbe wa kihistoria wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi
Mkurugenzi (Mudir) wa Hawza nchini Irani, huku akitoa shukrani kutokana na ujumbe wa kimkakati na wa kihistoria uliotelewa na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi, ametangaza kuwa mpango wa awamu ya pili…
-
Ayatollah A'rafi katika mkutano na waandishi wa habari kuhusu kongamano la kuanzishwa kwa upya Hawza ya Qum:
HawzaHawza ya Qum ina mwendelezo wa kimataifa/ Hawza na maulamaa pasi na watu havina maana
Mkurugenzi wa Hawza Irani, katika mkutano na waandishi wa habari pamoja na wanahabari, alifafanua vipengele vya mabadiliko vilivyo leta athari katika Hawza ya Qum ndani ya kipindi cha miaka mia…
-
HawzaAyatollahil-‘Udhmaa Nuri Hamadani katika kikao chake na Ayatollah A‘raafi: Katika miaka ya hivi karibuni, mabadiliko makubwa yamejitokeza kwenye Hawza.
Hadhrat Ayatollah Nuri Hamadani katika kikao chake na Mkurugenzi (Mudir) wa Hawza nchini Iran alibainisha kuwa: Bila shaka yoyote, katika miaka hii ya hivi karibuni, shughuli nyingi zimefanyika…
-
HawzaAyatollah Arafi: Kanzu Tukufu ya Bwana wa Mashahidi (a.s) ni Ensaiklopidia ya Ustahimilivu
Mudiri wa Hawza nchini Irani katika ujumbe wake kwenye mkutano na wasomi wa mimbari za Kishia alisisitiza kuwa: Kanzu tukufu ya Bwana wa Mashahidi (a.s) ni hati na alama kamili ya damu zilizomwagika…
-
Ayatollah A'raafi katika ujumbe wake wa rambirambi kwa wafuasi wa dini ya kikristo:
HawzaPapa Francis alikuwa na juhudi zenye thamani katika kuimarisha uhusiano kati ya dini za Mungu hususan Uislamu na Ukristo
Papa Francis, kwa mtazamo wa kibinadamu na kimaadili, alikuwa na juhudi zilizo na thamani katika kuimarisha uhusiano kati ya dini za mbinguni, hasa hasa Uislamu na Ukristo, na katika kueneza…
-
Mkurugenzi (Mudiri) wa Hawza zote nchini Irani:
HawzaUtambulisho wa kiuwanafunzi wa dini (talaba) ni Lulu ya asili kwa mwanafunzi
Mkurugenzi wa Hawzah nchi Irani, katika kikao chake na wanafunzi wa Hawzah kilichofanyika katika mji wa Tehran – Iran, alielezabkuwa: Neema kuu zaidi kutoka kwa Mwenyezi Mungu ni kuwepo katika…
-
Ayatollah A'rafi:
HawzaShule za kidini (Hawza) lazima ziwe na "mfumo wa Ijtihadi-Adabi"
Mudiri wa Hawza Nchi Irani, ameeleza kuwa ni muhimu kwa Hawza kuelekea katika kuunda mfumo wa ijtihadi-Adabi, amesema: “Kwa msingi huu, tunakaribisha masomo ya ijtihadi-Adabi ambayo yatakuwa…
-
Ayatollah Arafi katika Swala ya Ijumaa mjini Qom (Iran):
HawzaUchumi imara ni ule unaojengwa pamoja na ushirikiano wa wananchi
Khatibu wa Swala ya Ijumaa katika mji wa Qom (Iran) amesema: Uzalishaji ni msingi na mhimili wa uchumi salama, na akaongeza kwamba uchumi imara ni ule unao simamamia ushiriki wa wananchi, uchumi…