Ayatollah Alireza Arafi (81)
-
Ayatollah A‘rafi katika hafla ya kufunga mashindano ya kielimu ya wanafunzi wa Hawza:
HawzaUtambulisho na falsafa ya uwepo wa Hawza upo katika kuunganishwa kwa kina na Mahdawiyya
Hawza/ Ayatollah A‘rafi, Mkurugenzi wa Hawza za Elimu ya Kiislamu nchini Iran, huku akisisitiza kwamba utambulisho na falsafa ya uwepo wa Hawza ya Elimu ya Kiislamu upo katika muunganiko wa kina…
-
Ayatollah A‘arafi katika kikao cha Kamati ya Maendeleo ya Utamaduni wa Mahdawiyya na Kusubiri:
HawzaFikra ya Mahdawiyya na kusubiri imejengeka ndani ya roho ya Mapinduzi ya Kiislamu
Hawza/ Mwenyekiti wa Kamati ya Maendeleo ya Utamaduni wa Mahdawiyya na Kungoja amesisitiza kwamba: Mahdawiyya na kungoja ni fikra yenye nyanja nyingi iliyojikita ndani ya roho ya Mapinduzi ya…
-
Ayatollah A’raafi katika kikao chake na Makamanda wa Vikosi vya Polisi:
HawzaNchi za Magharibi zinataka, ima ujisalimishe kama ng’ombe akamuliwaye na utegemee kila kitu, au uangamizwe kabisa
Hawza/ Ayatollah A’raafi, akitoa pongezi kwa uwepo wa kishujaa wa wananchi na ulinzi thabiti wa vikosi vya polisi, ujasusi na usalama, alisema: Wananchi waliingia uwanjani kwa kujitolea muhanga,…
-
Ayatullah A‘rafi:
DuniaHawza ijiandae kwa ujasiri, elimu na hekima kwa ajili ya nyakati ngumu zijazo
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza za Kielimu nchini Iran, huku akibainisha sifa za Hawza ya kimapinduzi, alisema: Hawza ya kimapinduzi ni ile inayojitayarisha kwa ujasiri, kwa elimu, kwa hekima na bila…
-
Ayatullah A‘rafi katika hafla ya kufunga Tamasha la Qur’ani na Hadithi la chuo cha Al-Mustafa (saww):
HawzaTrump afahamu kwamba Mapinduzi ya Kiislamu hayawezi kulinganishwa na serikali au kundi lolote duniani/ Mamilioni ya watu wamesimama hadi tone la mwisho la damu zao kwenye kumlinda Kiongozi
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran alisisitiza kwamba: Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu ana wanajeshi wengi wa jihadi na wa kujitolea ulimwenguni kote, na aina yoyote ya tishio au kuidhalili…
-
Ayatullah A‘rafi alichanganua:
HawzaUhusiano kati ya Fiqhi na Maadili
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, katika Kongamano la Kitaifa la Fiqhi na Maadili, alichambua uhusiano kati ya fiqhi na maadili na akasisitiza umuhimu wa kurejea upya uhusiano huo.
-
Katika ujumbe wa Ayatullah A‘rafi kwenye hafla ya kumuenzi Profesa Mahdavi-Rad ilielezwa:
HawzaMaisha ya kielimu na kushikamana na maadili ni miongoni mwa misingi muhimu ya kuwa mwanahawza
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza, katika ujumbe wa video alioutoa kwenye hafla ya kumuenzi Profesa Muhammad Ali Mahdavi-Rad, pamoja na kuitukuza hadhi yake ya kielimu na juhudi zake zenye thamani,…
-
HawzaItikafu yapaswa kusalia kuwa kitovu cha kuimarisha maarifa ya kizazi cha vijana
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, kwa kusisitiza umuhimu wa kulinda harakati ya Itikafu, ameielezea ibada hii kuwa ni uwezo wa kimkakati kwa ajili ya kuimarisha maarifa ya kidini, kuilinda…
-
Ayatollah Arafi katika hafla ya kumalizia tamasha la Sanaa ya Mbingu:
HawzaSanaa takatifu, ni sanaa inayotokana na nuru ya akili na wahyi
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza akisisitiza jukumu la msingi la sanaa katika kumuimarisha binadamu na ujenzi wa ustaarabu wa Kiislamu alisema: Sanaa ya hali ya juu, inayotokana na dua, Qur'an na maarifa…
-
Ayatullah A‘arafi katika Kongamano la Kumbukizi ya Ayatullah Al-‘Udhmaa Milani:
HawzaAyatullah Milani alikuwa miongoni mwa watu wanaoiunga harakati ya Imam Khomeini (ra)
Hawza/ Ayatullah A‘arafi, huku akirejea busara ya kisiasa na ya kimapinduzi ya marji' huyu mkubwa, alisisitiza: Ayatullah Milani alikuwa miongoni mwa maraji' wa kwanza kuiunga mkono harakati…
-
Ayatullah A‘rafi Katika Kikao Cha Pamoja na Walimu wa Somo la Kalamu:
HawzaKuzidisha masomo ya wazi (Dars-u-Kharij) ya uhakiki katika elimu ya Kalamu ni miongoni mwa dharura za haraka
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, huku akisisitiza ulazima wa kuinua hadhi ya Kalamu ya Kiislamu kufikia kiwango cha ijtihadi ya fiqhi na usul, ametoa wito wa kufanyiwa marekebisho upya…
-
Ayatollah A‘rafi Katika Kikao na Wakurugenzi na Manaibu wa Utafiti wa Hawza ya Qom Iran:
HawzaUtafiti ndani ya Hawza una Jukumu la Kuongoza/ Leo tuko Katikati ya Mapambano Makubwa ya Kiakili na Kimaendeleo
Hawza/ Ayatollah A‘rafi, akielezea nafasi ya kipekee ya Hawza, alisema: “Leo katika ulimwengu mzima, nguzo kuu ya uzalishaji wa fikra kwa ajili ya Mapinduzi ya Kiislamu na katika kujibu mahitaji…
-
Ayatollah A‘arafi Katika Hotuba Yake Kwenye Chuo Kikuu cha Qum Iran:
HawzaSayansi ya Kibinadamu ya Kiislamu Ndio Msingi na Roho ya Tamko la Hatua ya Pili ya Mapinduzi ya Iran/ Nashangaa Baadhi Wanasema Hakuna Sayansi ya Kibinadamu ya Kiislamu
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, huku akisisitiza kwamba sayansi ya kibinadamu ya Kiislamu ndio msingi na roho ya Tamko la Hatua ya Pili ya Mapinduzi, alisema: Kila kinachopuuzwa kuhusu…
-
Ayatullah A‘rafi katika Khutuba ya Swala ya Ijumaa Qum Iran:
HawzaNahjul-Balagha ni Nakala ya Utawala wa Kiislamu / Tumfasiri Mwanamke kwa Kutumia Kigezo cha Bibi Fa'tima
Hawza/ Khatibu wa swala ya Ijumaa Qum amesema: Katika muundo wa Kiislamu, maslahi jumuishi ya mwanamke, mwanaume, watoto na jamii huzingatiwa katika kuweka kanuni. Tukikusanya mizani ya maslahi…
-
Ayatullah A‘rafi katika hafla ya kufunga Mkutano wa Kitaifa wa Vinara wa Harakati ya Kiislamu:
HawzaAyatullah Yazdi (r.a.) Alikuwa Mtu wa Zama Muhimu Katika Historia/ Mfano wa Hekima Katika Utendaji
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza katika hafla ya kufunga Mkutano wa Kitaifa wa “Vinara wa Harakati ya Kiislamu; Ayatullah Yazdi (r.a.)” alisisitiza: Mujaahid huyu wa kimapinduzi alikuwa kielelezo cha…
-
Ayatullah A‘arafi Katika Kongamano la Mwaka la Wawakilishi wa Wanafunzi na wanazuoni wa Hawza:
HawzaUshiriki Hai wa Hawza Katika Muundo wa Fikra za Kijamii na Mifumo ya Nchi ni Hitaji Lisilopingika
Ayatullah A‘arafi alisisitiza: ushiriki hai wa Hawza katika muundo wa fikra za jamii na katika mifumo ya nchi ni hitaji lisilopingika. Japokuwa Hawza imekuwa na uwepo katika nyanja nyingi na…
-
Ayatollah Al-Irāfi katika Kikao na Walimu wa Tafsiri ya Qur'ani Amesisitiza:
HawzaMisingi 12 ya Shughuli za Kimkakati za Qur'ani Ndani ya Hawza:
Hawza/ Mkuu wa Hawza nchini Iran, katika mkutano na waalimu na wafasiri wa Qur’ani, alisisitiza kwamba: Qur’ani ni maandiko pekee ya mbinguni yaliyo sahihi na hitaji la pamoja la binadamu wote.…
-
Ayatullah A‘rafi:
HawzaMafanikio ya Wanawake katika Elimu na Teknolojia Baada ya Mapinduzi ya Iran Hayalinganishwi na Kipindi Cho chote Kingine
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza nchini Iran amesema: Leo, kwa baraka za Mapinduzi ya Kiislamu, katika uwanja wa mwanamke na familia, kumepatikana mafanikio makubwa nchini Iran katika nyanja mbalimbali…
-
Ayatullah A‘rafi katika Kongamano la Mirza Naa’ini nchini Iraq:
DuniaMaraji' wakubwa wa Najaf na Qum leo hii, kama ilivyokuwa kwa Naa’ini, ni ngome imara dhidi ya uvamizi wa madhalimu Iraq, Iran na ulimwengu wa Kiislamu
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza Iran, amesema: Mirza Naa’ini alisimama mara nyingi dhidi ya Waingereza, na kila mara uhuru wa Uislamu na heshima ya Umma ulipokuwa hatarini, wanachuoni wakuu wa Najaf,…
-
Ayatollah A’rafi Katika Kongamano la Wanafunzi Wapya wa Hawza ya Qom Iran:
HawzaHawza Ambayo Mhimili wa Mambo Yake ni kwa Ajili ya Mwenyezi Mungu” Hubadilisha Hesabu za Ulimwengu
Mkurugenzi wa Hawza Qum Iran, alibainisha kwamba: Kama vile Imam Khomeini (ra) katika enzi za giza za mabavu ya utawala wa twa'ghuti, katika mkusanyiko mdogo wa wanafunzi wa dini, aliendelea…
-
Ayatollah A‘rafi katika kongamano la wanazuoni na wanafunzi wa Ardabil Nchini Iran:
HawzaKuhubiri dini (Tabligh) kumejengwa juu ya msingi wa elimu na hoja za kiakili
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchibi Iran amesema: Wale ambao ndani ya Hawza wanapinga mtazamo wa kisiasa, wao wenyewe wanafikiri kisiasa. Asili ya mfumo wa fikra wa Hawza na uongozi wa kidini ni…
-
Ayatullah A‘rafi katika kikao na wasomi wa Iraq:
HawzaMarehemu Naini alikuwa na mchango wenye athari kubwa katika uwanja wa siasa na jamii
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza alibainisha kuwa: “Ameonesha kwamba faqihi anaweza kufuatilia masuala ya kielimu na wakati huo huo awe na nafasi yenye athari katika uwanja wa kisiasa na kijamii.”
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Jumuiya ya Kimataifa ya Wanazuoni wa Muqāwama:
DuniaMipango ya maadui ya kulivua silaha Jeshi la Hizbullah imefeli
Hawza/ Mkurugenzi Mtendaji wa Jumuiya ya Kimataifa ya Wanazuoni wa Muqāwama alisisitiza kuwa: “Leo Hizbullah ya Lebanon ni yenye nguvu kuliko ilivyowahi kuwa, na njama chafu za maadui za kuinyang’anya…
-
Ayatullah A‘rafi katika Kongamano la Mirza Na’ini:
HawzaMirza Na’ini ni alama ya akili ya jihadi katika fikra ya Kiislamu / Kufufua kazi za wakubwa ni muongozo kwa hawza na chanzo cha msukumo kwa kizazi kijacho
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza alisisitiza kwamba; kufufua kazi za wakubwa ni mwongozo kwa hawza na chanzo cha ilhamu kwa vijana, akasema: Mirza Na’ini ni mfano wa akili ya kimujahidina na kiunganishi…
-
Ayatullah A‘rafiy amebainisha:
HawzaMisingi ya usimamizi na mikakati katika upangaji na usimamizi wa Hawza
Hawza/ Ayatullah Alireza A‘rafiy, akiweka bayana nafasi ya kihistoria na kitamaduni ya Hawza, amesisitiza juu ya nafasi ya maulamaa katika kufufua utajo wa Mwenyezi Mungu, kulea kizazi chenye…
-
Ayatullah A‘rafi katika kikao na wakuu wa taasisi za Jihad-e-Daneshgahi nchini Iran:
HawzaVipengele vitatu muhimu kwa ajili ya kazi ya kitamaduni / Tuwe tayari kufanya biashara na Mungu
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza Iran, Ayatullah Alireza A‘rafi, akifafanua kuhusu vipengele vitatu muhimu vya kazi ya kitamaduni, alisema: “Ikhlasi ni kipimo kinachoinua thamani ya kazi. Kufanya biashara…
-
Ayatullah A‘rafi katika mkutano wa wasaidizi wa utafiti wa Hawza:
HawzaTabliigh bila mchango wa utafiti haiwezi kufanikiwa/ Tusisahau umuhimu wa mtazamo wa ijtihaadi
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza, Ayatullah Alireza A‘rafi, amesisitiza kuwa kujitolea katika masuala ya utafiti ni sharti muhimu kwa mafanikio ya shughuli za kielimu na za tabligh (ulinganiaji), akibainish…
-
Ayatullah A‘rafi katika kikao cha walimu wa Taasisi ya Elimu ya Juu ya Fiqhi amezungumzia:
HawzaMisingi mitano ya maudhui katika ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi wa Iran kwa hawza / Wajibu wa kimataifa wa Hawza na maulama
Hawza/ Ayatullah Alireza A‘rafi amesisitiza kwamba “walengwa wa kwanza wa ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi katika kumbukumbu ya miaka mia moja ya kuasisiwa upya kwa Hawza ya kielimu ya Qum…
-
HawzaMajukumu 14 ya kimkakati ya Hawza ya wanawake / Tofauti ya nafasi ya mwanamke katika Uislamu na Magharibi
Hawza/ Ayatollah A'rafi alieleza kuwa uongozi maalumu kwa wanawake nchini Iran na duniani ni jukumu mahsusi la Hawza ya wanawake na wanafunzi wa kike wa Hawza, na akasema: jukumu jingine ni katika…
-
Ayatullah A‘rafi katika mazungumzo na Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Waislamu Pakistan:
Hawza“Pakistan itekeleze jukumu la msingi katika mabadiliko yajayo kwenye ulimwengu wa Kiislamu”
Hawzah/ Mkurugenzi wa Vyuo vya Dini vya Kiislamu nchini Iran, Ayatullah Alireza A‘rafi, akizungumza kuhusu nafasi ya kimkakati ya Pakistan katika ulimwengu wa Kiislamu, alisema kuwa nchi hiyo…