Ayatollah Alireza Arafi (90)
-
DuniaAyatullah Arafi atoa majukumu mapya kwa wasimamizi wa Hawza, wanazuoni na wahubiri
Ayatullah Arafi amesisitiza ulazima wa kuendelea kuwa na utayari wa kila upande kwa wasimamizi wa Hawza, wanazuoni wa dini na wahubiri ili waendelee kutekeleza wajibu wao wa kielimu, kiroho,…
-
DuniaMafunzo 6 ya Kistaarabu ya Arubaini katika Tamko la Kimkakati la Ayatullah A'raafi/ Uhusiano wa Damu ya Imam Hussein (as) na Damu ya Shahidi Khamenei Ufikishiwe Walimwengu
Mkurugenzi wa Hawza za Elimu ya Dini, akieleza masomo ya kistaarabu ya Arubaini, amewapa jukumu wanafunzi wa hawza na wahubiri kwamba katika mawakibu, njiani na katika fursa mbalimbali za ulinganiaji,…
-
DuniaAyatullah A'rafi atembelea nyumba ya Marehemu Ayatullah al-Udhma Fayyadh
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, akiendelea na ziara yake nchini Iraq, alitembelea nyumba ya Marehemu Ayatullah al-Udhma Sheikh Is'haq Fayyadh, mmoja wa Marajii Wakuu wa Taqlidi nchini…
-
Katika Kongamano la “Ulingano wa al-Aqsa” mjini Karbala:
DuniaAyatullah A'rafi asisitiza kuwa, Iran itaendelea kuiunga mkono Palestina
Hawza/ Ayatullah A'rafi katika hotuba yake kwenye kikao cha ufunguzi wa Kongamano la Tano la Kimataifa la “Nidaa al-Aqsa” lililofanyika Karbala, alisisitiza kuendelea kwa uungaji mkono wa Jamhuri…
-
Ayatullah A'rafi:
HawzaShirika la Habari la Hawza Linapaswa Kuwa Rejea ya Kuaminika ya Vyombo vya Habari katika Nyanja za Utamaduni, Imani na Maadili Katika Dunia ya Sasa
Hawza/ Ni lazima Shirika la Habari la Hawza, kama dhihirisho la kimedia la Hawza na wanazuoni wake, kwa kufuata urithi huu mkubwa na wa thamani, liwe ni chombo kinachoakisi maadili yote, huduma…
-
Tamko la Uchambuzi la Ayatullah A'rafi Kuhusu Ujumbe wa Mazishi ya Mamilioni ya Watu ya Imam Shahidi;
DuniaKulipiza kisasi na kudai damu ya Imam Shahidi hakuhusiani na kubadilishana serikali au watu wanaohusika/ Makubaliano yamekwisha; mazungumzo yasiendelezwe/ Taifa la Iran halitatoa hongo kwa adui
Kwa mujibu wa ujumbe wa hivi karibuni wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, madai ya kulipiza kisasi na kudai damu ya Imam Shahidi pamoja na mashahidi wengine wa vita viwili vya karibuni…
-
Ayatullah A'rafi Afafanua Katika Swala ya Ijumaa ya Qum:
DuniaNukta 12 na Mafunzo ya Kistaarabu ya Tukio la Kihistoria la Mazishi ya Imam Shahidi/ Kulipiza Kisasi kwa Damu ya Bwana Shahidi ni Haki ya Kisheria na ya Kikanuni ya Umma
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa wa Qum, akifafanua nukta na mafunzo yaliyotokana na ushiriki wa mamilioni ya watu katika mazishi ya kishujaa ya Imam Shahidi, alisisitiza kuwa: Umati wa mamilioni…
-
HawzaAyatullah A'rafi Apongeza Tukio la Kihistoria la Mazishi ya Mwili Mtukufu wa Imam Shahidi Nchini Iraq
Yaliyotokea nchini Iraq na katika miji ya Najaf na Karbala wakati wa kuusindikiza mwili mtukufu wa Kiongozi Shahidi na Kiongozi wa Umma, Imam Khamenei (ra), yanaonesha kina cha imani, ikhlasi,…
-
DuniaAyatullah A'rafi Apongeza Ushiriki wa Marajii wa Taqlid, Wanazuoni wa Dini, Hususan Wananchi wa Tehran na Qum katika Mazishi ya Mamilioni ya Kiongozi Shahidi
Hawza/ Mazishi haya ya kihistoria na yasiyo na mfano yaliyofanyika mjini Tehran na Qum yameunda mnyororo wa utukufu wa imani, Muqawama, umoja na ngome imara dhidi ya maadui. Kwa kupata msukumo…
-
Ayatullah A'rafi:
DuniaKushiriki katika Mwamko Mkubwa wa Mazishi ya Imam Shahidi ni Wajibu wa Kisheria na Kiimani/ Asisitiza Umuhimu wa Kudai Kisasi na Kulipiza Damu ya Kiongozi Shahidi
Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, amesema kuwa; kushiriki kwa heshima na kwa wingi katika mwamko mkubwa wa mazishi ya Imam Shahidi ni wajibu wa wazi wa kisheria na kiimani, na amesisitiza ulazima…
-
HawzaAyatullah A'rafi Awataka Wananchi Kukamilisha Jihadi Yao kwa Kushiriki kwa Wingi katika Mazishi ya Kiongozi Shahidi
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran ametoa wito kwa wanaume na wanawake wenye uthubutu na ushujaa, wasomi wa vyuo vikuu, vijana wapendwa, wanazuoni wa dini na wananchi wote wa Jamhuri ya Kiislamu…
-
Ayatullah A'rafi Afafanua:
DuniaDhamana na Ujumbe wa Shahada ya Imam Shahidi kwa Iran na Ulimwengu wa Kiislamu
Hawza/ Sherehe ya mazishi ya mwili mtukufu wa Imam Shahidi inapaswa kurekodiwa kama tukio la kipekee lisilofungwa na mipaka ya wakati wala mahali. Mkusanyiko wa shakhsia kubwa za ulimwengu wa…
-
DuniaUjumbe Muhimu wa Ayatullah A'rafi kuwaelekea Wabebaji Ujumbe wa Dini/ Asisitiza Kufafanua Umuhimu wa Matumizi Bora na Kuepuka Ubadhirifu
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, ameeleza kuwa; kueneza na kuimarisha utamaduni wa “usimamizi bora wa rasilimali” na “matumizi yenye uwajibikaji” ni miongoni mwa vielelezo muhimu vya jihadi…
-
DuniaAyatullah A‘rafi Atoa Wito kwa Wananchi Kushiriki kwa Roho ya Ashura katika Mazishi ya Imam Shahidi
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, amealika makundi yote ya wananchi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran kushiriki katika mazishi ya mwili mtukufu wa Kiongozi wa Umma Shahidi, Hadhrat Imam…
-
Ayatullah A‘rafi Afafanua:
DuniaMikakati 9 ya Ashura na Kistaarabu kwa Mazingira ya Leo/ Kufanya Maridhiano na Utawala wa Kizayuni ni Kuzalisha Upya Bay‘a kwa Yazid wa Zama Hizi
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran amesisitiza: Aina yeyote ya kurudi nyuma katika kulinda mamlaka ya kitaifa au kukubali kufanya maridhiano na utawala haramu wa Kizayuni ambao unalenga kuangamiza…
-
Ayatullah A'rafi:
HawzaOngezeni Utukufu wa Uwepo wa Wananchi na Vijana wa Iran Mitaani, na Imarisheni Zaidi Utamaduni wa Kishujaa na Roho ya Muqawama/ Taifa la Iran Limeandika Ukurasa wa Dhahabu Katika Historia ya Nchi Hii kwa Zaidi ya Siku Mia Moja
Hawza/ Taifa tukufu na lenye heshima la Iran, hususan vijana wapendwa, kwa uwepo wao kwa zaidi ya siku mia moja katika viwanja na maeneo mbalimbali, wameandika ukurasa wa dhahabu katika historia…
-
Ayatullah A'rafi Afafanua:
HawzaMikakati 6 Muhimu ya Utoaji Huduma kwa Wanaharakati wa Hawza/ Hawza ni Mtumishi wa Watu Wapendwa
Hawza/ Mkuu wa Hawza nchini Iran alisisitiza kuwa: Bila shaka, Hawza katika historia yake daima hazikuwa taasisi za elimu na ufundishaji pekee, bali sambamba na kubainisha maarifa ya Mwenyezi…
-
Ayatullah A'rafi katika ujumbe wa rambirambi:
HawzaUbunifu wa kielimu, kifiqhi na huduma za kidini pamoja na tablighi vilimfanya Ayatullah al-Udhma Fayyadh kuwa shakhsia mashuhuri
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran amesema: Ubunifu wa kielimu na kifiqhi sambamba na huduma za kidini na tablighi za Ayatullah al-Udhma Fayyadh, hasa mchango wake usiosahaulika katika kufufua…
-
Ayatullah A'raafi katika ujumbe wa uchambuzi na kimkakati amefafanua:
HawzaSifa kuu 9 za kimkakati za harakati kubwa ya taifa la Iran / Kwa nini tarehe 15 Khordad bendera ilipeperushwa juu ya paa la Iran?
Hawza/ Mwezi wa Khordad katika historia ya Mapinduzi matukufu ya Kiislamu ni mwezi uliojaa matukio yenye kuamua hatima, yaliyochanganyika na siri nyingi zenye mafunzo na mafunzo ya kudumu. Miongoni…
-
Ayatullah Alireza Arafi:
HawzaMikusanyiko ya wananchi katika nyanja za uwanjani ndiyo fursa bora zaidi ya kuinua kiwango cha dini kwa watu na kuvutia hawza
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza nchini Iran, amesisitiza umuhimu wa kuendelea, kupanua na kuimarisha uwepo wa wananchi wapendwa na vijana waungwana katika nyanja na barabara, na ametaka kutumiwa kwa…
-
HawzaTaarifa ya uchambuzi na mikakati ya Alireza Arafi mwanzoni mwa wiki ya kumi na mbili ya vita vya tatu vya kulazimishwa/ Kurudi nyuma kutoka Mlango wa Hormuz maana yake ni kumpa adui ufunguo wa uchumi na usalama wa Iran
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, katika taarifa yake ya uchambuzi mikakati mwanzoni mwa wiki ya kumi na mbili ya vita vya tatu vya kulazimishwa, huku akirejelea majukumu ya viongozi, wanazuoni…
-
Ayatullah Arafi katika hotuba za Swala ya Ijumaa alifafanua:
HawzaMakosa 14 ya kimahesabu aliyoyafanya adui katika vita vya kulazimishwa vya Ramadhani
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa wa Qum alielezea makosa 14 ya kimahesabu yaliyofanywa na adui katika vita vya Ramadhani, na kusisitiza kwamba; makosa hayo yamewaweka katika mashinikizo makubwa…
-
Ayatullah A‘rafi katika ujumbe wake:
HawzaUjumbe wa kihistoria na wa kistaarabu wa “Hawza Inayoongoza na Bora” ni kiini cha fikra za Kiongozi Shahidi/ Mambo matano muhimu ya Mkuu wa Hawza
Hawza/ Msiba wenye kuunguza moyo na shahada ya dhulma ya Imam na Kiongozi Shahidi Ayatullah al-Udhma Khamenei (q.s), ulizalisha mwamko wa kushangaza na mapinduzi makubwa yaliyoenea nchini Iran,…
-
Ayatullah A‘rafi katika ujumbe wake kwa Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon:
DuniaUmoja wa mhimili wa muqawama na mshikamano wa vikosi vyake katika nyanja mbalimbali, leo umegeuka kuwa ukweli thabiti/ Taifa kubwa la Lebanon limetoa mfano wa kipekee wa ustahimilivu na uimara duniani.
Hawza/ Umoja wa mhimili wa muqawama na mshikamano wa vikosi vyake katika nyanja mbalimbali, leo umegeuka kuwa ukweli thabiti unaosimama juu ya irada yenye utambuzi na uongozi wenye hekima, na…
-
Ayatollah A‘rafi katika kikao na wakurugenzi wa mikoa wa Hawza:
HawzaKubeba bendera na kuwepo uwanjani ni kipaumbele cha kwanza cha Hawza na wanazuoni/ Kurudi nyuma na kulegeza msimamo ni sawa na kurudi nyuma karne moja
Hawza/ Mkuu wa Hawza za elimu ya dini, kwa kubainisha majukumu makuu ya Hawza katika hali nyeti ya sasa, alisema kuwa, kubeba bendera na uwepo uwanjani ni kipaumbele cha kwanza cha Hawza na wanazuoni,…
-
Ayatullah A‘rafi:
HawzaWanazuoni wa dini wawe macho na hawza pamoja na taifa la Iran viendeleze kwa uthabiti zaidi njia ya miezi miwili iliyopita
Hawza/ Wanazuoni wa dini wawe macho na hawza za elimu ya dini waendelea kuwa katikati ya uwanja na mitaani pamoja na watu, wakiwa watumishi wa taifa na wapiganaji katika njia ya Mwenyezi Mungu,…
-
DuniaAyatullah A‘rafi afanya ziara kwa Ayatullah al-‘Udhma Subhani
Hawza/ Mkuu wa hawza za kielimu za nchi Iran, alikutana na kufanya mazungumzo na Ayatullah al-‘Udhma Subhani.
-
Ayatullah A‘rafi:
HawzaWatu wote duniani wajue kuwa watu na viongozi wa Iran wakiwa wameungana na wameshikamana wako tayari kukabiliana na adui
Hawza/ Watu wote duniani wajue kwamba sasa nyoyo, hatua na safu za taifa la Iran na muqawama pamoja na taasisi zote, viongozi, vyombo na mikondo ya Iran ya Kiislamu na muqawama, zimeungana zaidi…
-
Hotuba ya Ayatollah A‘rafi kwa wanazuoni na wanye kuutakia wema Uislamu:
HawzaLazima tuzuie ardhi za Kiislamu kubadilishwa kuwa uwanja wa vita vinavyofuatana/ Yanayotokea leo si tu mgongano wa kijeshi
Hawza/ Yanayotokea leo si tu mgongano wa kijeshi; bali ni tukio ambalo linaweza kuathiri mustakabali wa ulimwengu wa Kiislamu na hata msingi wa kimaadili wa mahusiano baina ya mataifa. Ikiwa…
-
Ayatollah Arafi katika barua yake ya kumshukuru Papa wa kumi na nne:
HawzaKiongozi mtukufu wa Kanisa Katoliki duniani; sisi wana hawza tunathamini misimamo hii ya kimaadili na kibinadamu mliyoionesha, na tunaamini hivyo, umeendelea kubaki mwaminifu kwa ujumbe wa kweli wa Ukristo
Hawza/ Katika zama ambazo ukimya mbele ya dhulma umegeuka kuwa lugha ya kawaida ya wenye nguvu na wale wanaodai haki za binadamu, na viongozi wengi duniani wamenyamaza au katika mizunguko ya…