Ayatollah Alireza Arafi (69)
-
Ayatollah A‘arafi Katika Hotuba Yake Kwenye Chuo Kikuu cha Qum Iran:
HawzaSayansi ya Kibinadamu ya Kiislamu Ndio Msingi na Roho ya Tamko la Hatua ya Pili ya Mapinduzi ya Iran/ Nashangaa Baadhi Wanasema Hakuna Sayansi ya Kibinadamu ya Kiislamu
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, huku akisisitiza kwamba sayansi ya kibinadamu ya Kiislamu ndio msingi na roho ya Tamko la Hatua ya Pili ya Mapinduzi, alisema: Kila kinachopuuzwa kuhusu…
-
Ayatullah A‘rafi katika Khutuba ya Swala ya Ijumaa Qum Iran:
HawzaNahjul-Balagha ni Nakala ya Utawala wa Kiislamu / Tumfasiri Mwanamke kwa Kutumia Kigezo cha Bibi Fa'tima
Hawza/ Khatibu wa swala ya Ijumaa Qum amesema: Katika muundo wa Kiislamu, maslahi jumuishi ya mwanamke, mwanaume, watoto na jamii huzingatiwa katika kuweka kanuni. Tukikusanya mizani ya maslahi…
-
Ayatullah A‘rafi katika hafla ya kufunga Mkutano wa Kitaifa wa Vinara wa Harakati ya Kiislamu:
HawzaAyatullah Yazdi (r.a.) Alikuwa Mtu wa Zama Muhimu Katika Historia/ Mfano wa Hekima Katika Utendaji
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza katika hafla ya kufunga Mkutano wa Kitaifa wa “Vinara wa Harakati ya Kiislamu; Ayatullah Yazdi (r.a.)” alisisitiza: Mujaahid huyu wa kimapinduzi alikuwa kielelezo cha…
-
Ayatullah A‘arafi Katika Kongamano la Mwaka la Wawakilishi wa Wanafunzi na wanazuoni wa Hawza:
HawzaUshiriki Hai wa Hawza Katika Muundo wa Fikra za Kijamii na Mifumo ya Nchi ni Hitaji Lisilopingika
Ayatullah A‘arafi alisisitiza: ushiriki hai wa Hawza katika muundo wa fikra za jamii na katika mifumo ya nchi ni hitaji lisilopingika. Japokuwa Hawza imekuwa na uwepo katika nyanja nyingi na…
-
Ayatollah Al-Irāfi katika Kikao na Walimu wa Tafsiri ya Qur'ani Amesisitiza:
HawzaMisingi 12 ya Shughuli za Kimkakati za Qur'ani Ndani ya Hawza:
Hawza/ Mkuu wa Hawza nchini Iran, katika mkutano na waalimu na wafasiri wa Qur’ani, alisisitiza kwamba: Qur’ani ni maandiko pekee ya mbinguni yaliyo sahihi na hitaji la pamoja la binadamu wote.…
-
Ayatullah A‘rafi:
HawzaMafanikio ya Wanawake katika Elimu na Teknolojia Baada ya Mapinduzi ya Iran Hayalinganishwi na Kipindi Cho chote Kingine
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza nchini Iran amesema: Leo, kwa baraka za Mapinduzi ya Kiislamu, katika uwanja wa mwanamke na familia, kumepatikana mafanikio makubwa nchini Iran katika nyanja mbalimbali…
-
Ayatullah A‘rafi katika Kongamano la Mirza Naa’ini nchini Iraq:
DuniaMaraji' wakubwa wa Najaf na Qum leo hii, kama ilivyokuwa kwa Naa’ini, ni ngome imara dhidi ya uvamizi wa madhalimu Iraq, Iran na ulimwengu wa Kiislamu
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza Iran, amesema: Mirza Naa’ini alisimama mara nyingi dhidi ya Waingereza, na kila mara uhuru wa Uislamu na heshima ya Umma ulipokuwa hatarini, wanachuoni wakuu wa Najaf,…
-
Ayatollah A’rafi Katika Kongamano la Wanafunzi Wapya wa Hawza ya Qom Iran:
HawzaHawza Ambayo Mhimili wa Mambo Yake ni kwa Ajili ya Mwenyezi Mungu” Hubadilisha Hesabu za Ulimwengu
Mkurugenzi wa Hawza Qum Iran, alibainisha kwamba: Kama vile Imam Khomeini (ra) katika enzi za giza za mabavu ya utawala wa twa'ghuti, katika mkusanyiko mdogo wa wanafunzi wa dini, aliendelea…
-
Ayatollah A‘rafi katika kongamano la wanazuoni na wanafunzi wa Ardabil Nchini Iran:
HawzaKuhubiri dini (Tabligh) kumejengwa juu ya msingi wa elimu na hoja za kiakili
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchibi Iran amesema: Wale ambao ndani ya Hawza wanapinga mtazamo wa kisiasa, wao wenyewe wanafikiri kisiasa. Asili ya mfumo wa fikra wa Hawza na uongozi wa kidini ni…
-
Ayatullah A‘rafi katika kikao na wasomi wa Iraq:
HawzaMarehemu Naini alikuwa na mchango wenye athari kubwa katika uwanja wa siasa na jamii
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza alibainisha kuwa: “Ameonesha kwamba faqihi anaweza kufuatilia masuala ya kielimu na wakati huo huo awe na nafasi yenye athari katika uwanja wa kisiasa na kijamii.”
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Jumuiya ya Kimataifa ya Wanazuoni wa Muqāwama:
DuniaMipango ya maadui ya kulivua silaha Jeshi la Hizbullah imefeli
Hawza/ Mkurugenzi Mtendaji wa Jumuiya ya Kimataifa ya Wanazuoni wa Muqāwama alisisitiza kuwa: “Leo Hizbullah ya Lebanon ni yenye nguvu kuliko ilivyowahi kuwa, na njama chafu za maadui za kuinyang’anya…
-
Ayatullah A‘rafi katika Kongamano la Mirza Na’ini:
HawzaMirza Na’ini ni alama ya akili ya jihadi katika fikra ya Kiislamu / Kufufua kazi za wakubwa ni muongozo kwa hawza na chanzo cha msukumo kwa kizazi kijacho
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza alisisitiza kwamba; kufufua kazi za wakubwa ni mwongozo kwa hawza na chanzo cha ilhamu kwa vijana, akasema: Mirza Na’ini ni mfano wa akili ya kimujahidina na kiunganishi…
-
Ayatullah A‘rafiy amebainisha:
HawzaMisingi ya usimamizi na mikakati katika upangaji na usimamizi wa Hawza
Hawza/ Ayatullah Alireza A‘rafiy, akiweka bayana nafasi ya kihistoria na kitamaduni ya Hawza, amesisitiza juu ya nafasi ya maulamaa katika kufufua utajo wa Mwenyezi Mungu, kulea kizazi chenye…
-
Ayatullah A‘rafi katika kikao na wakuu wa taasisi za Jihad-e-Daneshgahi nchini Iran:
HawzaVipengele vitatu muhimu kwa ajili ya kazi ya kitamaduni / Tuwe tayari kufanya biashara na Mungu
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza Iran, Ayatullah Alireza A‘rafi, akifafanua kuhusu vipengele vitatu muhimu vya kazi ya kitamaduni, alisema: “Ikhlasi ni kipimo kinachoinua thamani ya kazi. Kufanya biashara…
-
Ayatullah A‘rafi katika mkutano wa wasaidizi wa utafiti wa Hawza:
HawzaTabliigh bila mchango wa utafiti haiwezi kufanikiwa/ Tusisahau umuhimu wa mtazamo wa ijtihaadi
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza, Ayatullah Alireza A‘rafi, amesisitiza kuwa kujitolea katika masuala ya utafiti ni sharti muhimu kwa mafanikio ya shughuli za kielimu na za tabligh (ulinganiaji), akibainish…
-
Ayatullah A‘rafi katika kikao cha walimu wa Taasisi ya Elimu ya Juu ya Fiqhi amezungumzia:
HawzaMisingi mitano ya maudhui katika ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi wa Iran kwa hawza / Wajibu wa kimataifa wa Hawza na maulama
Hawza/ Ayatullah Alireza A‘rafi amesisitiza kwamba “walengwa wa kwanza wa ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi katika kumbukumbu ya miaka mia moja ya kuasisiwa upya kwa Hawza ya kielimu ya Qum…
-
HawzaMajukumu 14 ya kimkakati ya Hawza ya wanawake / Tofauti ya nafasi ya mwanamke katika Uislamu na Magharibi
Hawza/ Ayatollah A'rafi alieleza kuwa uongozi maalumu kwa wanawake nchini Iran na duniani ni jukumu mahsusi la Hawza ya wanawake na wanafunzi wa kike wa Hawza, na akasema: jukumu jingine ni katika…
-
Ayatullah A‘rafi katika mazungumzo na Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Waislamu Pakistan:
Hawza“Pakistan itekeleze jukumu la msingi katika mabadiliko yajayo kwenye ulimwengu wa Kiislamu”
Hawzah/ Mkurugenzi wa Vyuo vya Dini vya Kiislamu nchini Iran, Ayatullah Alireza A‘rafi, akizungumza kuhusu nafasi ya kimkakati ya Pakistan katika ulimwengu wa Kiislamu, alisema kuwa nchi hiyo…
-
Ayatullah al-Udhma Makarim Shirazi:
DuniaBado ninaendelea na shughuli za kielimu/ Msisitizo wa kutumia zana za kisasa na akili mnemba ndani ya hawza
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Makarim Shirazi, huku akisisitiza kuwa bado anaendelea na kazi za kielimu, amesisitiza juu ya ulazima wa jitihada, usafi wa nia na matumizi ya zana za kisasa hasa akili…
-
Ayatollah Aʿrafi katika Swala ya Ijumaa Qom Iran:
DuniaMwanamke katika mantiki ya Uislamu si mfungwa wa matamanio ya wenye tamaa
Hawza / Khatibu wa Ijumaa wa Qom alisema: Sote yatupasa kufahamu kwamba Mwanamke katika Uislamu ana nafasi na jukumu kijamii, kimaadili na kifamilia, na jukumu hilo lazima lilindwe na kuheshimiwa.
-
Ayatullah A‘rafi katika Hafla ya ufunguzi wa Mwaka wa Masomo kwa Wanafunzi wakike wa Hawza:
HawzaNahjul-Balagha ni Kitabu chenye Mageuzi na Mapinduzi / Wanafunzi wakike wa Hawza wana nafasi ya Kihistoria katika kuiongoza Dunia Mpya
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza Nchini Iran ameitaja Nahjul-Balagha kuwa ni kitabu cha mageuzi na mapinduzi, na kusisitiza: Hawza za wanawake zinapaswa kuanzisha sura maalum ya kuongeza maarifa kuhusu…
-
Ayatullah A‘rafii:
HawzaShambulizi dhidi ya Qatar ni onyo la tahadhari kwa serikali za Kiislamu/ Mazungumzo yamefichua kuwa nguvu za kigeni za kibeberu ni wavunjaji wa ahadi na madhalimu
Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom amesema: Serikali za Kiislamu, amkeni! Ikiwa hamtasimama, hamtapinga na mkauvua silaha muqawama, nanyi pia mtaathirika; wao wanataka kutoka kwetu eidha kujisalimisha…
-
Ayatullah A‘rafi katika Kituo cha Tablighi:
HawzaKile kinachoifanya hawza kuwa mahsusi ni “ufikishaji ulio wazi” / Mjadala wa Mapinduzi ya Kiislamu ndiyo mjadala wa Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw)
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza za kielimu, katika sherehe ya ufunguzi wa mwaka mpya wa masomo ya kituo cha kielimu na utafiti cha tablighi alisema: tablighi ni “roho ya undani” ya shughuli zote.…
-
Ayatullah A‘rafi katika hafla ya ufunguzi wa mwaka wa masomo wa Hawza:
HawzaUtambulisho wa urasimi wa kidini (ruhaniyat) una mizizi yake katika Unabii na Uimamu / Nukta 15 kuu katika ujumbe wa kimkakati wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi kwa Hawza
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza Iran, alisrma: Ujumbe wa juu, wa kufungua njia na wa kimkakati wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi kwa Hawza, ni mwongozo wa harakati zetu za leo na kesho, Ujumbe huu ni…
-
HawzaUjumbe wa rambirambi kutoka kwa Ayatollah A‘rafi kuwaelekea wananchi wa Afghanistan
Hawza/ Hawza za Kielimu za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kwa mujibu wa majukumu na risala zake za kidini na kibinadamu, ziko tayari kutoa kila aina ya msaada na ushirikiano kwenye kutatua matatizo…
-
Ayatullah A‘rafi:
HawzaUmuhimu wa kuimarisha mtazamo wa kimataifa wa Hawza / Hawza zinapaswa kuwa na nafasi yenye athari katika uwanja wa kimataifa
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, huku akisisitiza juu ya umuhimu wa uwepo wa kina na wa kivitendo wa Hawza katika uwanja wa kimataifa, amesema: uzalishaji wa kielimu unaolingana na lugha…
-
Ayatullah A‘rafi katika kikao na walimu pamoja na wanazuoni wafuasi wa Ahlul-Bayt nchini Malaysia:
HawzaMsimamo wa Jamhuri ya Kiislamu ni wa madhehebu tofauti na wenye kuzingatia umma wa Kiislamu
Hawza/ Ayatullah A‘rafi alibainisha kuwa msimamo wa Jamhuri ya Kiislamu katika miaka baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ni msimamo wa madhehebu tofauti na unaozingatia maslahi ya umma…
-
HawzaAyatullah A‘rafi akutana na Waziri Mkuu wa Malaysia / Sera ya Serikali na Watu wa Malaysia ni kuliunga mkono taifa la Palestina lililodhulumiwa hususan Gaza
Hawzah/ Mkurugenzi wa Hawzah nchini Iran pamoja na ujumbe alioambatana nao wakiwa na Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Malaysia walikutana na Mheshimiwa Anwar Ibrahim, Waziri Mkuu…
-
HawzaAyatollah Arafi Ashiriki katika Mkutano wa Kimataifa wa Viongozi wa Kidini nchini Malaysia + Picha
Hawza/ Mkutano wa pili wa Kimataifa wa Viongozi wa Kidini Duniani umeanza duru yake mjini Kuala Lumpur ukiwa na ushiriki wa Ayatollah Alireza Arafi, Mkurugenzi wa Hawza Iran, pamoja na zaidi…
-
DuniaAyatollah A‘rafi asafiri kuelekea Malaysia
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran amesafiri kuelekea Malaysia kutokana na mwaliko wa Waziri Mkuu wa Malaysia akiwa ameandamana na ujumbe maalum