Ayatollah Alireza Arafi (88)
-
Ayatullah A’rafi afafanua:
HawzaMikakati mikuu ya uongozi wa elimu na malezi / Kusisitiza kuhamasishwa uwezo na rasilimali zote kwa ajili ya ukuaji na ustawi wa elimu na malezi
Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, amefafanua mikakati mikuu ya uongozi wa elimu na malezi, huku akisisitiza umuhimu wa kuhamasisha uwezo na rasilimali zote za wananchi na serikali kwa ajili ya…
-
HawzaAyatullah A’rafi Abainisha Mambo 10 ya Kimkakati Kuelekea Mwaka Mpya wa Masomo ya Hawza/ Tuchukue Kiaga Cha Kulingania kwa Mwenyezi Mungu
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, amesema kuwa Hawza zinapaswa kutekeleza ipasavyo jukumu lake la kihistoria kwa kutambua kwa usahihi mazingira ya zama, mahitaji ya jamii na mabadiliko…
-
Ayatullah Araafi Katika Swala ya Ijumaa ya Qom Amefafanua:
DuniaHoja 9 za Udhaifu na Kukosa Ustahimilivu kwa Marekani na Ubeberu Dhidi ya Mapinduzi ya Kiislamu / Kusimama Imara Taifa la Iran Kumeushangaza Ulimwengu Mzima
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qom amesema: Uwezo na nguvu ya taifa la Iran pamoja na uongozi wake katika kusimama imara dhidi ya ubeberu umeushangaza ulimwengu mzima. Wao hawakudhani kwamba…
-
Ayatullah Arafi:
HawzaUhalifu wa Marekani katika Sherehe ya Harusi ya Sirik ni “Uhalifu wa Kivita”; Majibu Makali yaendelee Hadi Kuzuia Kabisa Uchokozi wa Adui
Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, amelaani vikali shambulio la anga la Marekani dhidi ya maeneo ya makazi na sherehe ya harusi katika eneo la Sirik, mkoani Hormozgan, akilitaja tukio hilo kuwa…
-
Ayatullah Arafi katika Mkutano wa Umoja Ameelezea:
HawzaNguzo Tano Muhimu za Nadharia ya Umoja katika Fikra za Mapinduzi ya Kiislamu / Umoja Haumaanishi Kupuuza Tofauti na Kufuta Utambulisho wa Kimadhehebu
Ayatullah Alireza Arafi amesisitiza kwamba, kwa mtazamo wa mfumo wa fikra wa Mapinduzi ya Kiislamu na fikra za Imam Khomeini, Imam aliyeondoka na Imam Shahidi, umoja wa Kiislamu haumaanishi kukataa…
-
Ayatullah Arafi:
HawzaJumuiya ya Madaktari ni Hazina Adimu ya Elimu, Ujuzi na Maadili ya Kitaaluma
Hawzah/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran amesema kuwa; jumuiya ya wasomi wa udaktari ni hazina adimu ya elimu, ujuzi na maadili ya kitaaluma, ambayo jukumu lake ni kulinda uhai na afya ya binadamu.
-
Ayatullah A’rafi katika kumbukizi ya siku ya 40 ya mazishi ya Imam Shahidi:
HawzaImam Shahidi alikuwa mbunifu wa kuzalisha nguvu kwa ajili ya Iran/ Taifa limesimama kulipiza damu ya kiongozi wake shahidi
Ayatullah A’rafi, huku akisisitiza kwamba kisasi, kulipiza kisasi na kudai kisasi kwa ajili ya Imam Shahidi na mashahidi wapendwa si jambo la mtu binafsi wala la kihisia, amesema: “Taifa letu…
-
HawzaAyatullah Arafi katika barua kumuelekea Patriaki wa Kanisa la Kiorthodoksi la Romania asisitiza mambo ya pamoja ya kidini na umuhimu wa ushirikiano
Hawza/ Mkuu wa Hawza za Iran, katika barua aliyomwandikia Patriaki wa Kanisa la Kiorthodoksi la Romania, huku akisisitiza mambo ya pamoja ya kiitikadi, kimaadili na kiirfani kati ya Uislamu wa…
-
HawzaAyatollah Arafi Asisitiza Umuhimu wa Umoja wa Kiislamu katika Barua aliyomuandikia Mufti Mkuu wa Romania
Hawza/ Ayatollah Alireza Arafi, Mkurugenzi wa hawza nchini Iran, katika barua aliyomwandikia Mufti Mkuu wa Romania, amesisitiza umuhimu wa umoja wa Kiislamu na kujiepusha na mgawanyiko, huku…
-
Ayatullah Arafi:
DuniaMaimamu Wawili wa Mapinduzi Waliwasilisha Uislamu kwa Tafsiri Hai, Yenye Kuleta Uhai na Kuchochea Harakati; Mpango wa Mfumo Kamili wa Fikra za Kiislamu ni Hatua Kuelekea “Hawza Inayoongoza na Bora”
Hawza/ Mkuu wa Hawza nchini Iran, akisisitiza kwamba; Maimamu wawili wa Mapinduzi walitoa tafsiri hai, yenye kuleta uhai na kuchochea harakati kuhusu Uislamu, amesema kuwa Mpango wa Mfumo Kamili…
-
Ayatullah Arafi:
HawzaWaandishi wa habari wawe wasimulizi wa kwanza wa matukio kwa silaha ya “maadili ya kitaaluma” na “uchambuzi unaokuza uelewa”
Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, amewataka waandishi wa habari na askari wa Jihadi ya Ufafanuzi kuwa, katika uwanja huu wa mapambano, watumie silaha mbili za “maadili ya kitaaluma” na “uchambuzi…
-
Ayatullah Arafi:
HawzaUwepo wa Hawza katika soko la uzalishaji na usambazaji wa elimu duniani ni mkakati wa msingi
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, amesisitiza kwamba; kuwakilisha Hawza na mafanikio yake katika soko la elimu duniani, pamoja na kwenye vituo vya vyuo vikuu na jumuiya za wasomi na wataalamu…
-
Ayatullah Arafi afafanua katika Swala ya Ijumaa ya Qom:
DuniaMafunzo 8 ya Kimataifa na Kistaarabu ya “Muqawama” ya Taifa la Iran katika Vita vya Tatu vya Kulazimishwa/ Dunia imetambua thamani ya muqawama
Hawza/ Imam wa Swala ya Ijumaa ya Qom, akifafanua mafunzo 8 ya kimataifa na kistaarabu yanayotokana na muqawama wa Taifa la Iran, amesema kwa msisitizo kwamba: Muqawama ni subira yenye hekima…
-
DuniaAyatullah Arafi atoa majukumu mapya kwa wasimamizi wa Hawza, wanazuoni na wahubiri
Ayatullah Arafi amesisitiza ulazima wa kuendelea kuwa na utayari wa kila upande kwa wasimamizi wa Hawza, wanazuoni wa dini na wahubiri ili waendelee kutekeleza wajibu wao wa kielimu, kiroho,…
-
DuniaMafunzo 6 ya Kistaarabu ya Arubaini katika Tamko la Kimkakati la Ayatullah A'raafi/ Uhusiano wa Damu ya Imam Hussein (as) na Damu ya Shahidi Khamenei Ufikishiwe Walimwengu
Mkurugenzi wa Hawza za Elimu ya Dini, akieleza masomo ya kistaarabu ya Arubaini, amewapa jukumu wanafunzi wa hawza na wahubiri kwamba katika mawakibu, njiani na katika fursa mbalimbali za ulinganiaji,…
-
DuniaAyatullah A'rafi atembelea nyumba ya Marehemu Ayatullah al-Udhma Fayyadh
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, akiendelea na ziara yake nchini Iraq, alitembelea nyumba ya Marehemu Ayatullah al-Udhma Sheikh Is'haq Fayyadh, mmoja wa Marajii Wakuu wa Taqlidi nchini…
-
Katika Kongamano la “Ulingano wa al-Aqsa” mjini Karbala:
DuniaAyatullah A'rafi asisitiza kuwa, Iran itaendelea kuiunga mkono Palestina
Hawza/ Ayatullah A'rafi katika hotuba yake kwenye kikao cha ufunguzi wa Kongamano la Tano la Kimataifa la “Nidaa al-Aqsa” lililofanyika Karbala, alisisitiza kuendelea kwa uungaji mkono wa Jamhuri…
-
Ayatullah A'rafi:
HawzaShirika la Habari la Hawza Linapaswa Kuwa Rejea ya Kuaminika ya Vyombo vya Habari katika Nyanja za Utamaduni, Imani na Maadili Katika Dunia ya Sasa
Hawza/ Ni lazima Shirika la Habari la Hawza, kama dhihirisho la kimedia la Hawza na wanazuoni wake, kwa kufuata urithi huu mkubwa na wa thamani, liwe ni chombo kinachoakisi maadili yote, huduma…
-
Tamko la Uchambuzi la Ayatullah A'rafi Kuhusu Ujumbe wa Mazishi ya Mamilioni ya Watu ya Imam Shahidi;
DuniaKulipiza kisasi na kudai damu ya Imam Shahidi hakuhusiani na kubadilishana serikali au watu wanaohusika/ Makubaliano yamekwisha; mazungumzo yasiendelezwe/ Taifa la Iran halitatoa hongo kwa adui
Kwa mujibu wa ujumbe wa hivi karibuni wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, madai ya kulipiza kisasi na kudai damu ya Imam Shahidi pamoja na mashahidi wengine wa vita viwili vya karibuni…
-
Ayatullah A'rafi Afafanua Katika Swala ya Ijumaa ya Qum:
DuniaNukta 12 na Mafunzo ya Kistaarabu ya Tukio la Kihistoria la Mazishi ya Imam Shahidi/ Kulipiza Kisasi kwa Damu ya Bwana Shahidi ni Haki ya Kisheria na ya Kikanuni ya Umma
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa wa Qum, akifafanua nukta na mafunzo yaliyotokana na ushiriki wa mamilioni ya watu katika mazishi ya kishujaa ya Imam Shahidi, alisisitiza kuwa: Umati wa mamilioni…
-
HawzaAyatullah A'rafi Apongeza Tukio la Kihistoria la Mazishi ya Mwili Mtukufu wa Imam Shahidi Nchini Iraq
Yaliyotokea nchini Iraq na katika miji ya Najaf na Karbala wakati wa kuusindikiza mwili mtukufu wa Kiongozi Shahidi na Kiongozi wa Umma, Imam Khamenei (ra), yanaonesha kina cha imani, ikhlasi,…
-
DuniaAyatullah A'rafi Apongeza Ushiriki wa Marajii wa Taqlid, Wanazuoni wa Dini, Hususan Wananchi wa Tehran na Qum katika Mazishi ya Mamilioni ya Kiongozi Shahidi
Hawza/ Mazishi haya ya kihistoria na yasiyo na mfano yaliyofanyika mjini Tehran na Qum yameunda mnyororo wa utukufu wa imani, Muqawama, umoja na ngome imara dhidi ya maadui. Kwa kupata msukumo…
-
Ayatullah A'rafi:
DuniaKushiriki katika Mwamko Mkubwa wa Mazishi ya Imam Shahidi ni Wajibu wa Kisheria na Kiimani/ Asisitiza Umuhimu wa Kudai Kisasi na Kulipiza Damu ya Kiongozi Shahidi
Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, amesema kuwa; kushiriki kwa heshima na kwa wingi katika mwamko mkubwa wa mazishi ya Imam Shahidi ni wajibu wa wazi wa kisheria na kiimani, na amesisitiza ulazima…
-
HawzaAyatullah A'rafi Awataka Wananchi Kukamilisha Jihadi Yao kwa Kushiriki kwa Wingi katika Mazishi ya Kiongozi Shahidi
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran ametoa wito kwa wanaume na wanawake wenye uthubutu na ushujaa, wasomi wa vyuo vikuu, vijana wapendwa, wanazuoni wa dini na wananchi wote wa Jamhuri ya Kiislamu…
-
Ayatullah A'rafi Afafanua:
DuniaDhamana na Ujumbe wa Shahada ya Imam Shahidi kwa Iran na Ulimwengu wa Kiislamu
Hawza/ Sherehe ya mazishi ya mwili mtukufu wa Imam Shahidi inapaswa kurekodiwa kama tukio la kipekee lisilofungwa na mipaka ya wakati wala mahali. Mkusanyiko wa shakhsia kubwa za ulimwengu wa…
-
DuniaUjumbe Muhimu wa Ayatullah A'rafi kuwaelekea Wabebaji Ujumbe wa Dini/ Asisitiza Kufafanua Umuhimu wa Matumizi Bora na Kuepuka Ubadhirifu
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, ameeleza kuwa; kueneza na kuimarisha utamaduni wa “usimamizi bora wa rasilimali” na “matumizi yenye uwajibikaji” ni miongoni mwa vielelezo muhimu vya jihadi…
-
DuniaAyatullah A‘rafi Atoa Wito kwa Wananchi Kushiriki kwa Roho ya Ashura katika Mazishi ya Imam Shahidi
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, amealika makundi yote ya wananchi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran kushiriki katika mazishi ya mwili mtukufu wa Kiongozi wa Umma Shahidi, Hadhrat Imam…
-
Ayatullah A‘rafi Afafanua:
DuniaMikakati 9 ya Ashura na Kistaarabu kwa Mazingira ya Leo/ Kufanya Maridhiano na Utawala wa Kizayuni ni Kuzalisha Upya Bay‘a kwa Yazid wa Zama Hizi
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran amesisitiza: Aina yeyote ya kurudi nyuma katika kulinda mamlaka ya kitaifa au kukubali kufanya maridhiano na utawala haramu wa Kizayuni ambao unalenga kuangamiza…
-
Ayatullah A'rafi:
HawzaOngezeni Utukufu wa Uwepo wa Wananchi na Vijana wa Iran Mitaani, na Imarisheni Zaidi Utamaduni wa Kishujaa na Roho ya Muqawama/ Taifa la Iran Limeandika Ukurasa wa Dhahabu Katika Historia ya Nchi Hii kwa Zaidi ya Siku Mia Moja
Hawza/ Taifa tukufu na lenye heshima la Iran, hususan vijana wapendwa, kwa uwepo wao kwa zaidi ya siku mia moja katika viwanja na maeneo mbalimbali, wameandika ukurasa wa dhahabu katika historia…
-
Ayatullah A'rafi Afafanua:
HawzaMikakati 6 Muhimu ya Utoaji Huduma kwa Wanaharakati wa Hawza/ Hawza ni Mtumishi wa Watu Wapendwa
Hawza/ Mkuu wa Hawza nchini Iran alisisitiza kuwa: Bila shaka, Hawza katika historia yake daima hazikuwa taasisi za elimu na ufundishaji pekee, bali sambamba na kubainisha maarifa ya Mwenyezi…