Shirika la Habari la “Hawza” linachapisha riwaya ifuatayo kutoka katika kitabu Tuhaf al-Uqul, kama ifuatavyo:
Imam Hadi (as) anasema:
«مَنْ أَطَاعَ الْخَالِقَ لَمْ یُبَالِ سَخَطَ الْمَخْلُوقِینَ، وَمَنْ أَسْخَطَ الْخَالِقَ فَلْیَیْقَنْ أَنْ یَحِلَّ بِهِ سَخَطُ الْمَخْلُوقِینَ.»
“Mwenye kumtii Muumba hatojali ghadhabu za viumbe; na mwenye kumchukiza Muumba, na awe na yakini kwamba ghadhabu za viumbe zitamshukia yeye.”
Tuhaf al-Uqul, uk. 482.
Maoni yako