Shia Tanzania (10)
-
HawzaMkutano wa kielimu/ “Ghadir; Nukta ya Pamoja katika Umma wa Kiislamu” wafanyika Tanzania
Hawza/ Mkutano wa kielimu na kitamaduni wenye anuani isemayo “Ghadir; Nukta ya Pamoja katika Umma wa Kiislamu”, uliokuwa na lengo la kuchunguza tukio la Ghadir kwa mtazamo wa Shia na Ahlu Sunna,…
-
Sheikh Mkuu wa Mashia Tanzania:
DuniaAmani, Umoja na Mshikamano wa Taifa ni Nguzo Kuu Inayopaswa Kuenziwa
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Mashia Tanzania amewaomba wananchi na waumini wote nchini kuendelea kuilinda amani ya taifa, kudumisha umoja wa wananchi pamoja na kuimarisha mshikamano wa kijamii kama…
-
Kaimu Mkurugenzi wa Hawza ya Imaam Swa’adiq (as) Katika Ujumbe wake wa Hijjah:
DuniaViongozi tengeni Muda katika Kusikiliza Kero za Wananchi Wenu
Hawza/ Katika mwendelezo wa miongozo ya kiroho na kijamii iliyotolewa katika Ujumbe Maalum wa Hijja wa mwaka huu 2026, Kaimu Mkurugenzi wa Hawza ya Imaam Swa’adiq (as) iliyopo jijini Dar es Salaam,…
-
DuniaKongamano la 31 la Kimataifa la Qur’ani Tukufu lafanyika jijini Dar es Salaam, Tanzania
Hawza/ Chuo Kikuu cha Jaamiatul Mustafa kilichopo nchini Tanzania kiliadhimisha Kongamano la 31 la Kimataifa la Qur’ani Tukufu, likiwa ni tukio kubwa, adhimu na la kihistoria lililolenga kukuza…
-
DuniaKongamano la 31 la kimataifa la Qura'n Tukufu kufanyika Daresalaam Tanzania
Hawza/ Chuo Kikuu cha Jaamiatul Mustafa kilichopo nchini Tanzania kinatarajiwa kuandaa Kongamano la 31 la Kimataifa la Qur’ani Tukufu, likiwa ni tukio kubwa na la kihistoria linalolenga kukuza…
-
DuniaTanzania yaandaa Semina maalumu kwa ajili ya kukumbuka fikra zenye ushawishi za Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Iran
Hawza/ Kituo cha Utamaduni cha Iran nchini Tanzania, kimeandaa Semina maalumu ya mtandaoni ambayo inalengo la kukumbuka fikra pevu na zenye ushawishi za Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Iran.
-
DuniaTanzania yaandaa Shindano maalumu la kuchora kwa watoto kwa ajili ya kuwakumbuka watoto 168 waliouliwa kidhalim Iran
Hawza/ Kituo cha Utamaduni cha Iran, Jijini Dar es Salaam Tanzania, kimeandaa program maalumu ya shindano la uchoraji kwa watoto likiwa na lengo la kuwakumbuka wototo waliouliwa kidhamu na utawala…
-
DuniaWaislamu Tanzania Wamuombea Dua Shahidi wa Mapinduzi ya Iran, Ayatollah Sayyed Khamenei (ra) + Picha
Hawza/ Waislamu kutoka maeneo mbalimbali nchini Tanzania wameungana katika mikusanyiko ya dua maalumu iliyofanyika katika maeneo tofauti, huku wakionesha mshikamano, heshima na huzuni yao kufuatia…
-
DuniaMwanazuoni Mashuhuri Nchini Tanzania Afariki Dunia
Hawza/ Innā lillāhi wa inna ilayhi rājiuun, Jamii ya Kiislamu nchini Tanzania imekumbwa na pigo kubwa kufuatia kufariki dunia kwa Mwanazuoni mashuhuri, mtetezi mahiri wa Madhehebu ya Ahlulbayt…
-
Mwanazuoni Mashuhuri Nchini Tanzania:
DuniaIbada tano muhimu zinazohimizwa kufanywa ndani ya Mwezi wa Rajabu
Hawza/ Mwanazuoni mashuhuri nchini Tanzania, Maulana Sheikh Hemedi Jalala Mwakindenge, Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) na Mkurugenzi wa Hawza ya Imam Swaadiq (a.s), amesisitiza…