Shia Tanzania (28)
-
DuniaMazishi ya Sayyid Ali Khamenei Yalibeba Ujumbe Mkubwa kwa Umma; Maulana Hemed Jalala Aainisha Mafunzo Matano Muhimu Rufiji
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, jana alihudhuria na kusoma Majlisi ya kumbukumbu ya Sayyid Ali Khamenei iliyofanyika katika Husseiniyat…
-
DuniaKongamano la Kumuenzi Imam Shahidi Lafanyika Dar es Salaam; Wanazuoni Wasisitiza Kuendeleza Njia Yake ya Haki na Uadilifu
Hawza/ Taasisi ya Maendeleo ya Kiislamu ya Falah imefanikiwa kuandaa kongamano maalumu la kielimu na kumbukizi kwa ajili ya kumuenzi Imam Shahidi, Ayatullah al-Udhma Sayyid Ali Khamenei (ra),…
-
Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania:
DuniaNukta Tano Muhimu Tunazojifunza Kutokana na Mazishi Makubwa ya Imam Shahidi Khamenei (ra)
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania, Maulana Sheikh Hemed Jalala, amesema kuwa; maisha na mazishi ya Imam Shahidi Sayyid Ali Khamenei (ra) yamebeba mafunzo makubwa kwa Waislamu na…
-
DuniaTanzania Yaomboleza Kifo cha Imam Shahidi Khamenei; Kumbukumbu ya Kiongozi Mkuu Yaishi Katika Nyoyo za Waumini
Hawza/ Hafla ya maombolezo ya kumuenzi Imam Shahidi Sayyid Ali Khamenei imefanyika katika Kituo cha Utamaduni cha Iran nchini Tanzania, huku waombolezaji wakikusanyika kwa ajili ya kuenzi maisha,…
-
DuniaSheikh Mkuu wa TIC Aongoza na Kushiriki Matembezi ya Amani ya Ashura Temeke; Ujumbe wa Umoja na Haki Watolewa + Picha
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) na Kiongozi Mkuu wa Hawza ya Imam Swadiq (as), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, ameshiriki katika Matembezi ya Amani ya kumbukizi…
-
DuniaMashia wa Morogoro Wamuitikia Imam Hussein (as); Wafanya Majlisi na Matembezi Makubwa + Picha
Hawza/ Katika kuhuisha kumbukumbu ya shahada ya Imam Hussein (as) na mashujaa wa Karbala, waumini wa Ahlul-Bayt (as) jijini Morogoro wamekusanyika kwa wingi kushiriki majlisi za maombolezo na…
-
DuniaMwanza Yamuomboleza Imam Hussein (as) kwa Kufanya Mkusanyiko Mkubwa + Picha
Hawza/ Waumini wa Ahlul-Bayt (as) jijini Mwanza wamefanya kikao kikubwa cha maombolezo ya Siku ya Ashura 1448 H, (2026) kwa lengo la kuhuisha kumbukumbu ya kuuawa kishahidi Imam Hussein (as),…
-
DuniaMatembezi ya Amani ya Ashura Yafanyika Kibaha - Pwani, Waumini Wahuisha Kumbukumbu ya Imam Hussein (as) + Picha
Hawza/ Waumini wa dhehebu la Shia katika mji wa Kibaha, mkoani Pwani, wamefanya Matembezi ya Amani katika Siku ya Ashura 1448 H/2026, kwa lengo la kuhuisha kumbukumbu ya kuuawa shahidi kwa Imam…
-
DuniaKikao cha Maombolezo Siku ya Ashura chafanyika Mbeya, Nchini Tanzania + Picha
Hawza/ Waumini wa dhehebu la Shia mkoani Mbeya wamekusanyika katika Kikao cha Maombolezo ya Siku ya Ashura 1448 H/2026 kwa lengo la kuhuisha kumbukumbu ya kuuawa kishahidi Imam Hussein (as),…
-
DuniaMatembezi ya Amani ya Ashura Yawakutanisha Mamia ya Waumini Jijini Dar es Salaam + Picha
Hawza/ Mamia ya waumini wa dhehebu la Shia jijini Dar es Salaam wamejitokeza kushiriki Matembezi ya Amani yaliyofanyika katika maadhimisho ya Siku ya Ashura 1448 H/2026, ikiwa ni sehemu ya kuenzi…
-
DuniaMatembezi Mukubwa ya Ashura Yafanyika Jijini Moshi; Mapenzi ya Imam Hussein Yadhihirika kwa Waumini + Picha
Hawza/ Waumini wa dhehebu la Shia mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro, wamefanya Matembezi ya Amani katika Siku ya Ashura 1448 H/2026, kwa lengo la kuenzi na kuhuisha kumbukumbu ya kuuawa shahidi…
-
DuniaMashia wa Kigoma Wafanya Matembezi Makubwa, Utajo wa Imam Hussein (as) Wahuishwa + Picha
Hawza/ Waumini wa dhehebu la Shia mkoani Kigoma wamefanya Matembezi ya Amani katika Siku ya Ashura 1448 H/2026, kwa lengo la kuhuisha kumbukumbu ya kuuawa kishahidi Imam Hussein (as), mjukuu…
-
DuniaWaumini wa Tanga Wamiminika Barabarani Siku ya Ashura; Imam Hussein (as) Aenziwa kwa Kishindo
Hawza/ Katika kuadhimisha Siku ya Ashura 1448 H/2026, waumini wa dhehebu la Shia mkoani Tanga wamefanya Matembezi ya Amani yaliyoakisi mshikamano wao katika kuenzi kumbukumbu ya shahada ya Imam…
-
DuniaVikao vya Maombolezo ya Imam Hussein (as) na Matembezi ya Amani Vyafanyika Mjini Moshi, Tanzania + Picha
Hawza/ Waumini wa dhehebu la Shia mjini Moshi, Tanzania, wamefanya vikao vya maombolezo ya Imam Hussein (as) sambamba na matembezi ya amani katika kuhuisha kumbukumbu ya shahada ya mjukuu wa…
-
DuniaSheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania Aongoza Majlisi ya Imam Hussein (as) Bilal Temeke; Atoa Nasaha Muhimu Kuhusu Imam Mahdi (as)
Hawza/ Katika mazingira yaliyojaa huzuni, tafakuri na mapenzi kwa Ahlul-Bayt (as), Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) na Kiongozi Mkuu wa Hawza ya Imam Swadiq (as), Sheikh Hemed Jalala,…
-
Sheikh Mkuu wa Mashia Tanzania:
DuniaVijana Tumieni Akili ili Muweze Kuitambua Haki na Kuepukana na Batili
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Mashia Tanzania, Maulana Sheikh Hemed Jalala, amewahimiza vijana kutumia akili na fikra zao katika kutafakari masuala mbalimbali ya dini na maisha ili waweze…
-
Sheikh Mkuu wa Mashia Tanzania:
DuniaAmani ya Taifa ni Lulu Inayopaswa Kulindwa na Kuhifadhiwa
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Mashia nchini Tanzania, Maulana Sheikh Hemed Jalala, amesisitiza umuhimu wa kulinda amani, umoja na mshikamano wa kitaifa, huku akieleza kuwa; amani ni neema…
-
DuniaMaadhimisho ya Muharram Yaanza kwa Ushiriki Mkubwa Mjini Moshi Tanzania + Picha
Hawza/ Msikiti wa Ahlulbayt (as) uliopo mjini Moshi na unaosimamiwa na Taasisi ya Ummulbanin, umeandaa Majlisi ya Kwanza ya Muharram kwa mwaka wa 1448 Hijria (2026), katika mazingira yaliyogubikwa…
-
HawzaMkutano wa kielimu/ “Ghadir; Nukta ya Pamoja katika Umma wa Kiislamu” wafanyika Tanzania
Hawza/ Mkutano wa kielimu na kitamaduni wenye anuani isemayo “Ghadir; Nukta ya Pamoja katika Umma wa Kiislamu”, uliokuwa na lengo la kuchunguza tukio la Ghadir kwa mtazamo wa Shia na Ahlu Sunna,…
-
Sheikh Mkuu wa Mashia Tanzania:
DuniaAmani, Umoja na Mshikamano wa Taifa ni Nguzo Kuu Inayopaswa Kuenziwa
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Mashia Tanzania amewaomba wananchi na waumini wote nchini kuendelea kuilinda amani ya taifa, kudumisha umoja wa wananchi pamoja na kuimarisha mshikamano wa kijamii kama…
-
Kaimu Mkurugenzi wa Hawza ya Imaam Swa’adiq (as) Katika Ujumbe wake wa Hijjah:
DuniaViongozi tengeni Muda katika Kusikiliza Kero za Wananchi Wenu
Hawza/ Katika mwendelezo wa miongozo ya kiroho na kijamii iliyotolewa katika Ujumbe Maalum wa Hijja wa mwaka huu 2026, Kaimu Mkurugenzi wa Hawza ya Imaam Swa’adiq (as) iliyopo jijini Dar es Salaam,…
-
DuniaKongamano la 31 la Kimataifa la Qur’ani Tukufu lafanyika jijini Dar es Salaam, Tanzania
Hawza/ Chuo Kikuu cha Jaamiatul Mustafa kilichopo nchini Tanzania kiliadhimisha Kongamano la 31 la Kimataifa la Qur’ani Tukufu, likiwa ni tukio kubwa, adhimu na la kihistoria lililolenga kukuza…
-
DuniaKongamano la 31 la kimataifa la Qura'n Tukufu kufanyika Daresalaam Tanzania
Hawza/ Chuo Kikuu cha Jaamiatul Mustafa kilichopo nchini Tanzania kinatarajiwa kuandaa Kongamano la 31 la Kimataifa la Qur’ani Tukufu, likiwa ni tukio kubwa na la kihistoria linalolenga kukuza…
-
DuniaTanzania yaandaa Semina maalumu kwa ajili ya kukumbuka fikra zenye ushawishi za Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Iran
Hawza/ Kituo cha Utamaduni cha Iran nchini Tanzania, kimeandaa Semina maalumu ya mtandaoni ambayo inalengo la kukumbuka fikra pevu na zenye ushawishi za Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Iran.
-
DuniaTanzania yaandaa Shindano maalumu la kuchora kwa watoto kwa ajili ya kuwakumbuka watoto 168 waliouliwa kidhalim Iran
Hawza/ Kituo cha Utamaduni cha Iran, Jijini Dar es Salaam Tanzania, kimeandaa program maalumu ya shindano la uchoraji kwa watoto likiwa na lengo la kuwakumbuka wototo waliouliwa kidhamu na utawala…
-
DuniaWaislamu Tanzania Wamuombea Dua Shahidi wa Mapinduzi ya Iran, Ayatollah Sayyed Khamenei (ra) + Picha
Hawza/ Waislamu kutoka maeneo mbalimbali nchini Tanzania wameungana katika mikusanyiko ya dua maalumu iliyofanyika katika maeneo tofauti, huku wakionesha mshikamano, heshima na huzuni yao kufuatia…
-
DuniaMwanazuoni Mashuhuri Nchini Tanzania Afariki Dunia
Hawza/ Innā lillāhi wa inna ilayhi rājiuun, Jamii ya Kiislamu nchini Tanzania imekumbwa na pigo kubwa kufuatia kufariki dunia kwa Mwanazuoni mashuhuri, mtetezi mahiri wa Madhehebu ya Ahlulbayt…
-
Mwanazuoni Mashuhuri Nchini Tanzania:
DuniaIbada tano muhimu zinazohimizwa kufanywa ndani ya Mwezi wa Rajabu
Hawza/ Mwanazuoni mashuhuri nchini Tanzania, Maulana Sheikh Hemedi Jalala Mwakindenge, Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) na Mkurugenzi wa Hawza ya Imam Swaadiq (a.s), amesisitiza…