Jumamosi 27 Juni 2026 - 12:40
Mashia wa Kigoma Wafanya Matembezi Makubwa, Utajo wa Imam Hussein (as) Wahuishwa + Picha

Hawza/ Waumini wa dhehebu la Shia mkoani Kigoma wamefanya Matembezi ya Amani katika Siku ya Ashura 1448 H/2026, kwa lengo la kuhuisha kumbukumbu ya kuuawa kishahidi Imam Hussein (as), mjukuu wa Mtume Muhammad (saww), katika tukio la Karbala lililobeba mafunzo makubwa ya kusimamia haki na kupinga dhuluma.

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Hawza, Matembezi hayo yaliambatana na usomaji wa qasida na nauha za maombolezo, pamoja na ujumbe uliosisitiza amani, umoja na uadilifu. Washiriki walibeba mabango yenye kaulimbiu mbalimbali zilizoakisi mapenzi kwa Ahlul-Bayt (as) na dhamira ya kuendeleza ujumbe wa Ashura katika jamii.

Mashia wa Kigoma Wafanya Matembezi Makubwa, Utajo wa Imam Hussein (as) Wahuishwa + Picha Mashia wa Kigoma Wafanya Matembezi Makubwa, Utajo wa Imam Hussein (as) Wahuishwa + Picha Mashia wa Kigoma Wafanya Matembezi Makubwa, Utajo wa Imam Hussein (as) Wahuishwa + Picha Mashia wa Kigoma Wafanya Matembezi Makubwa, Utajo wa Imam Hussein (as) Wahuishwa + Picha
Mashia wa Kigoma Wafanya Matembezi Makubwa, Utajo wa Imam Hussein (as) Wahuishwa + Picha Mashia wa Kigoma Wafanya Matembezi Makubwa, Utajo wa Imam Hussein (as) Wahuishwa + Picha Mashia wa Kigoma Wafanya Matembezi Makubwa, Utajo wa Imam Hussein (as) Wahuishwa + Picha Mashia wa Kigoma Wafanya Matembezi Makubwa, Utajo wa Imam Hussein (as) Wahuishwa + Picha
Mashia wa Kigoma Wafanya Matembezi Makubwa, Utajo wa Imam Hussein (as) Wahuishwa + Picha Mashia wa Kigoma Wafanya Matembezi Makubwa, Utajo wa Imam Hussein (as) Wahuishwa + Picha Mashia wa Kigoma Wafanya Matembezi Makubwa, Utajo wa Imam Hussein (as) Wahuishwa + Picha Mashia wa Kigoma Wafanya Matembezi Makubwa, Utajo wa Imam Hussein (as) Wahuishwa + Picha

Lebo

Maoni yako

You are replying to: .
captcha