Ijumaa 26 Juni 2026 - 10:20
Matembezi ya Amani ya Kumuenzi Imam Hussein (as) Yafanyika Jijini Arusha + Picha

Hawza/ Waumini wa dhehebu la Shia jijini Arusha wamefanya matembezi ya amani kwa lengo la kuhuisha kumbukumbu ya shahada ya Imam Hussein (as), mjukuu wa Mtume Muhammad (saww), aliyeuawa kwa dhuluma katika ardhi ya Karbala.

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Hawza, Matembezi hayo yaliandaliwa kwa ushirikiano kati ya Khoja Shia Ithna-Asheria na Khatamul Anbiyaa Institution – Arusha, yakihusisha ushiriki wa waumini na wananchi mbalimbali waliotembea kwa utulivu wakibeba ujumbe wa amani, haki na kupinga dhuluma.

Washiriki wa matembezi hayo walisisitiza kuwa maadhimisho ya kumbukumbu ya Imam Hussein (as) ni fursa ya kuendeleza maadili ya uadilifu, kujitolea na kusimama dhidi ya dhuluma, sambamba na kuimarisha mshikamano na amani katika jamii.

Matembezi ya Amani ya Kumuenzi Imam Hussein (as) Yafanyika Jijini Arusha + Picha Matembezi ya Amani ya Kumuenzi Imam Hussein (as) Yafanyika Jijini Arusha + Picha Matembezi ya Amani ya Kumuenzi Imam Hussein (as) Yafanyika Jijini Arusha + Picha
Matembezi ya Amani ya Kumuenzi Imam Hussein (as) Yafanyika Jijini Arusha + Picha Matembezi ya Amani ya Kumuenzi Imam Hussein (as) Yafanyika Jijini Arusha + Picha Matembezi ya Amani ya Kumuenzi Imam Hussein (as) Yafanyika Jijini Arusha + Picha
Matembezi ya Amani ya Kumuenzi Imam Hussein (as) Yafanyika Jijini Arusha + Picha Matembezi ya Amani ya Kumuenzi Imam Hussein (as) Yafanyika Jijini Arusha + Picha Matembezi ya Amani ya Kumuenzi Imam Hussein (as) Yafanyika Jijini Arusha + Picha

Lebo

Maoni yako

You are replying to: .
captcha