Shirika la Habari la Hawza limechapisha riwaya ifuatayo kutoka katika kitabu "Sharh Nahjul Balaghah":
Amirul-Muuminin Ali (as) amesema:
«فَوَاللَّهِ إِنِّی لَعَلَی الْحَقِّ، وَإِنِّی لِلشَّهَادَةِ لَمُحِبٌّ.»
"Naapa kwa Mwenyezi Mungu, hakika mimi niko juu ya haki, na bila shaka mimi ni mwenye kuipenda shahada."
Chanzo: Sharh Nahjul Balaghah, Juzuu ya 6, uk. 100.
Maoni yako