Mafunzo kutoka katika Nahjul-Balaagha (9)
-
Mafunzo Katika Nahjul Balagha:
DiniJe! Ni kwa Sababu Ipi Wino wa Wanazuoni Unepewa Uzito Mkubwa Kuliko Damu ya Mashahidi?
Hawza/ Amirul-Mu’minin Ali (a.s.) anaiona elimu kuwa ni urithi wenye thamani kubwa mno; na kwa hakika, urithi huu hauwezi kulinganishwa na jambo jingine lolote katika Uislamu.
-
Mafunzo Katika Nahjul - Balagha:
DiniHivi Ndivyo Utakavyokuwa Mpenzi wa Mungu
Hawza/ Kuwatumikia waja wa Mungu ni miongoni mwa matendo yenye kupendwa sana na Mwenyezi Mungu, na yametajwa pia kuwa ni kafara ya madhambi.
-
Mafunzo katika Nahjul - Balagha:
DiniUlimi; Chombo Kwa Ajili ya Ukombozi au Maangamizi!!
Hawza/ Ulimi ni kiungo kidogo lakini chenye umuhimu mkubwa mno; kwani unapotoka kutoka katika udhibiti wa akili, hauishii tu kumdhalilisha mtu kimaadili, bali pia huufanya moyo wake kuwa mgumu…
-
Mafunzo katika Nahjulbalagha:
DiniKwa nini tamaa humfanya mwanadamu awe duni?
Hawzah/ Neno “tamaa” linamaanisha kutaka zaidi ya haki yako na kujaribu kupata neema za maisha kupitia mikono ya wengine. Ni dhahiri kuwa mtu mwenye tamaa hulazimika kujishusha, kuomba kwa kila…
-
Mafunzo katika Nahjul Balagha:
DiniFadhila Saba za kunyamaza
Hawza News/ Imam Ṣādiq (a.s.) katika riwaya yenye maana pana, ameeleza kuwa kukaa kimya si tu njia ya watafiti, bali ni chanzo cha kupata radhi za Mwenyezi Mungu na kinga dhidi ya makosa.
-
Mafunzo katika Nahjul Balagha:
DiniUsijiuze kwa Chochote Kilicho Chini ya Pepo
Hawzah/ Ikiwa mtu atatambua thamani na hadhi ya juu ya utu wake, kamwe – na kwa hali yoyote ile – hatakubali kudhalilika wala kuwa mtumwa wa yeyote asiyekuwa Mungu.
-
Mafunzo katika Nahjul Balagha:
DiniKwa nini tunapaswa kukumbuka Mauti?
Hawza / Wakati dunia ikionekana kuwa duni na isiyo na thamani kwa mtazamo wa mwanadamu, macho yake hugeuka kuielekea Akhera, na huenda hapo ndipo mwanzo wa utumwa kwa Mwenyezi Mungu unaanzia.
-
Mafunzo katika Nahjulbalagha:
DuniaSilaha Inayomdhoofisha Shetani
Hawza/ Amirul-Mu’minin Ali (a.s.) katika Nahjul-Balagha anautambulisha uchamungu (taqwa) kama silaha yenye nguvu inayomdhoofisha shetani na vishawishi vyake, anasema kuwa taqwa si tu ngome madhubuti…
-
Mafunzo kutoka katika Nahjul-Bal'agha:
DiniUkiachilia mbali adhabu, kwa nini hatutakiwi kufanya dhambi?
Hawza / Mtu anapofanya dhambi, hana budi kutumia neema zilezile ambazo Mwenyezi Mungu amempa ili amuabudu yeye; na hiki ni kitendo cha wazi cha kutokuwa na shukrani.