Jumamosi 8 Machi 2025 - 10:40
Jibu wema kwa wema

Mungu awalaani majambazi wa wema. Akaulizwa majambazi wa wema ni akina nani? (Imam Swadiq, as) akasema: Mtu anayetendewa wema lakini hashukuru (anakufuru), matokeo yake anamfanya mtenda wema aache kuwafanyia wema wengine.

Shirika la Habari la Hawza - Imamu Swadiq (a.s) amesema:

«لَعَنَ اللّه قاطِعى سُبُلَ المَعروفِ قيلَ وَما قاطِعوا سُبُلِ المَعروفِ؟ قالَ: اَلرَّجُلُ يُصنَعُ إلَيهِ المَعروفَ فَيَكفُرُهُ، فَيَمتَنِعُ صاحِبُهُ مِن أن يَصنَعَ ذلِكَ إلى غَيرِهِ.»

Mungu awalaani majambazi wa wema. Akaulizwa majambazi wa wema ni akina nani? (Imam Swadiq, as) akasema: Mtu anayetendewa wema lakini hashukuru (anakufuru), matokeo yake anamfanya mtenda wema aache kuwafanyia wema wengine.

Al-Kafi, Jz 4, uk 33

Lebo

Maoni yako

You are replying to: .
captcha