Ayatollah Nouri Hamedani (11)
-
Ayatullah al-Udhma Hussein Nouri Hamadani:
DuniaShahidi Raisi hakutambua usiku wala mchana katika kuwahudumia wananchi/ Kamwe hakusalimu amri mbele ya adui
Hawza/ Ayatullah Nouri Hamadani alisisitiza kuwa: Shahidi Raisi katika njia ya kuwahudumia wananchi hakutambua usiku wala mchana, na athari za imani kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu zilikuwa dhahiri…
-
DuniaWaislamu na watu huru duniani waiunge mkono Hizbullah ya Lebanon
hawza/ Ayatullah Hussein Nouri Hamedani, huku akilaani mashambulizi ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni muuaji wa watoto dhidi ya Lebanon, amewataka Waislamu wote na watu huru duniani kuiunga…
-
Ayatollah Nouri Hamadani:
DuniaNjia ya Mashahidi Itaendelezwa kwa Nguvu/ Ushindi wa Mwisho Utapatikana
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Nouri Hamadani huku akitoa rambirambi kufuatia shahada ya Hujjat-ul-Islam wal-Muslimin Khatib, Waziri wa Habari, na Shahidi Generali Soleimani, Kamanda wa Jeshi la muqawama…
-
HawzaAyatullah al-‘Udhma Nouri Hamadani apongeza utendaji kazi wa Ayatullah A‘raafi
Mtukufu Ayatullah Nouri Hamedani, akirejelea utendaji kazi wenye thamani kubwa wa Ayatullah A‘raafi kwenye uongozi wa Hawza, ametoa pongezi kwa kuandaliwa kwa kongamano kubwa la kumuadhimisha…
-
Ayatullah Udhma Nouri Hamadani:
DuniaDa‘wa (Tabligh) ni Kukumu la Kwanza la Wanazuoni wa Hawza
Hawza/ Ayatullah Nouri Hamadani amesisitiza kuwa: jukumu la kwanza kabisa la wanazuoni wa Hawza ni kutekeleza kazi ya da‘wa (tabligh). Matunda ya juhudi zote yanajikusanya katika jukumu hili;…
-
Ayatollah al-Udhma Nouri Hamedani:
HawzaMheshimiwa Papa; Je, ikiwa Nabii Isa (as) angelikuwepo, angeweza kustahimili hali ya kutisha ya Ghaza na jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni?
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Nouri Hamedani katika barua yake kwa Papa amesema: Katika hali hii ya kutisha ya Ghaza, je, ikiwa Manabii wa Mwenyezi Mungu kama Nabii Isa (as) na Nabii Muhammad (saw)…
-
Ayatollah al-Udhma Nouri Hamedani katika tamko lake rasmi amebainisha kuwa:
HawzaWatu wote waaminifu katika Ulimwengu wa Kiislamu watimize wajibu wao wa Kiislamu na kibinadamu kwa ajili ya watu wa Ghaza / Mwamko wa Umma wa Kiislamu unahitaji kilio cha kudai haki na hatua ya pamoja
Hawza/ Ayatollah Nouri Hamedani amesisitiza kuwa: Sasa ni wakati ambapo watu wote waaminifu wa ulimwengu wa Kiislamu—wakiwemo wanazuoni, wasomi na viongozi wa serikali—waweke kando tofauti za…
-
Ayatollah al-Udhma Nouri Hamedani:
HawzaHakuna mtu yeyote mwenye haki ya kuzungumza kwa mtazamo dhaifu ndani ya Jamhuri ya Kiislamu
Hazrat Ayatollah Nouri Hamedani alisisitiza kuwa: Hakuna mtu yeyote mwenye haki ya kuzungumza kwa mtazamo dhaifu ndani Jamhuri ya Kiislamu na kudhoofisha heshima ya watu, kisha licha ya usaliti…
-
Ayatollah al-Udhma Nuri Hamedani:
HawzaAina yoyote ya shambulio au tishio dhidi ya Ayatollah Khamenei kutoka kwa mtu au serikali yoyote hukumu yake ni sawa na "muharib" (Mtu anae upiga vita uislamu)
Hawza/ Ayatollah Nuri Hamedani ametoa jibu kutokana na ombi la “kutoa hukumu na fatwa ya kihistoria dhidi ya kuwepo na maslahi yote ya Marekani inayofanya jinai na wazayuni wa kimataifa” kufuatia…
-
Ayatollah al-‘Uzma Nouri Hamedani:
HawzaKuhudhuria mazishi ya mashahidi ni jawabu thabiti kwa porojo zinazotolewa na viongozi wenye kutakabari
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Nouri Hamedani, katika ujumbe wake kutokana ma mnasaba wa kuuawa kishahidi Sardar Luteni Jenerali Mujahid Ali Shadmani, alisisitiza kuwa: Kuhudhuria kwa wapendwa wote…
-
HawzaRadi amali ya Ayatollah al-‘Udhma Nouri Hamedani kutokana na Shambulizi lililofanywa na Utawala wa Kizayuni dhidi ya Shirika la Habari na Matangazo la Iran Seda wa Sima (media)
Hawza/ Hadhrat Ayatollah al-‘Udhma Nouri Hamedani ameeleza kuwa: Katika vita yeyote ile shirika la habari halivamiwi, lakini utawala haramu wa Kizayuni leo hii wamewauwa kishahidi mamia ya waandishi…