Ayatollah Nouri Hamedani (6)
-
Ayatullah Nouri Hamedani:
DuniaKulipiziwa kisasi kwa wahusika waliomuuwa kishahidi Kiongozi wa Mapinduzi ni jambo la hakika/ Aonya dhidi ya jaribio lolote la kudhoofisha nafasi ya Wilayat al-Faqih
Hawza/ Ayatullah Nouri Hamedani, huku akisisitiza kwamba kulipiziwa kisasi kwa wahusika waliomuuwa kishahidi Kiongozi wa Mapinduzi ni jambo lisilo na shaka, amesema: Lengo kuu na la kwanza la…
-
Ayatullah al-Udhma Hussein Nouri Hamadani:
DuniaShahidi Raisi hakutambua usiku wala mchana katika kuwahudumia wananchi/ Kamwe hakusalimu amri mbele ya adui
Hawza/ Ayatullah Nouri Hamadani alisisitiza kuwa: Shahidi Raisi katika njia ya kuwahudumia wananchi hakutambua usiku wala mchana, na athari za imani kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu zilikuwa dhahiri…
-
DuniaWaislamu na watu huru duniani waiunge mkono Hizbullah ya Lebanon
hawza/ Ayatullah Hussein Nouri Hamedani, huku akilaani mashambulizi ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni muuaji wa watoto dhidi ya Lebanon, amewataka Waislamu wote na watu huru duniani kuiunga…
-
Ayatollah Nouri Hamadani:
DuniaNjia ya Mashahidi Itaendelezwa kwa Nguvu/ Ushindi wa Mwisho Utapatikana
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Nouri Hamadani huku akitoa rambirambi kufuatia shahada ya Hujjat-ul-Islam wal-Muslimin Khatib, Waziri wa Habari, na Shahidi Generali Soleimani, Kamanda wa Jeshi la muqawama…
-
HawzaAyatullah al-‘Udhma Nouri Hamadani apongeza utendaji kazi wa Ayatullah A‘raafi
Mtukufu Ayatullah Nouri Hamedani, akirejelea utendaji kazi wenye thamani kubwa wa Ayatullah A‘raafi kwenye uongozi wa Hawza, ametoa pongezi kwa kuandaliwa kwa kongamano kubwa la kumuadhimisha…
-
Ayatullah Udhma Nouri Hamadani:
DuniaDa‘wa (Tabligh) ni Kukumu la Kwanza la Wanazuoni wa Hawza
Hawza/ Ayatullah Nouri Hamadani amesisitiza kuwa: jukumu la kwanza kabisa la wanazuoni wa Hawza ni kutekeleza kazi ya da‘wa (tabligh). Matunda ya juhudi zote yanajikusanya katika jukumu hili;…