Ayatollah al-Udhma Subhani alifika katika makaazi ya Ayatollah al-Udhma Nuri Hamedani na kumtembelea Marja’ huyu wa taqlid kwa ajili ya kumjulia hali yame.
Hadhrat Ayatollah Nouri Hamedani alisisitiza: “Katika hali inayo tukabili hivi sasa, upande wa mabeberu umeungana, lengo letu kuu linapaswa kuwa ni kuleta umoja na mshikamano, mifarakano ni mibaya…
Ayatollah Nouri Hamedani alitoa ujumbe maalum katika kuadhimisha miaka 1073 tangia ujenzi wa Msikiti Mtukufu wa Jamkaran kwa amri ya Imam wa zama (a.f).