Ayatollah Nouri Hamedani (10)
-
Ayatollah al-Udhma Nouri Hamedani:
HawzaHakuna mtu yeyote mwenye haki ya kuzungumza kwa mtazamo dhaifu ndani ya Jamhuri ya Kiislamu
Hazrat Ayatollah Nouri Hamedani alisisitiza kuwa: Hakuna mtu yeyote mwenye haki ya kuzungumza kwa mtazamo dhaifu ndani Jamhuri ya Kiislamu na kudhoofisha heshima ya watu, kisha licha ya usaliti…
-
Ayatollah al-Udhma Nuri Hamedani:
HawzaAina yoyote ya shambulio au tishio dhidi ya Ayatollah Khamenei kutoka kwa mtu au serikali yoyote hukumu yake ni sawa na "muharib" (Mtu anae upiga vita uislamu)
Hawza/ Ayatollah Nuri Hamedani ametoa jibu kutokana na ombi la “kutoa hukumu na fatwa ya kihistoria dhidi ya kuwepo na maslahi yote ya Marekani inayofanya jinai na wazayuni wa kimataifa” kufuatia…
-
Ayatollah al-‘Uzma Nouri Hamedani:
HawzaKuhudhuria mazishi ya mashahidi ni jawabu thabiti kwa porojo zinazotolewa na viongozi wenye kutakabari
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Nouri Hamedani, katika ujumbe wake kutokana ma mnasaba wa kuuawa kishahidi Sardar Luteni Jenerali Mujahid Ali Shadmani, alisisitiza kuwa: Kuhudhuria kwa wapendwa wote…
-
HawzaRadi amali ya Ayatollah al-‘Udhma Nouri Hamedani kutokana na Shambulizi lililofanywa na Utawala wa Kizayuni dhidi ya Shirika la Habari na Matangazo la Iran Seda wa Sima (media)
Hawza/ Hadhrat Ayatollah al-‘Udhma Nouri Hamedani ameeleza kuwa: Katika vita yeyote ile shirika la habari halivamiwi, lakini utawala haramu wa Kizayuni leo hii wamewauwa kishahidi mamia ya waandishi…
-
Ayatollah Udhma Nouri Hamedani:
HawzaUmoja na mshikamano chini ya mhimili wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ni jambo la lazima na la dharura
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Nouri Hamedani amesisitiza kuwa: Katika nyakati hizi nyeti za kihistoria, umoja na mshikamano chini ya mhimili wa Waliyyul-Faqih, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi, ni jambo…
-
Ayatollah al-‘Udhma Nouri Hamadānī:
HawzaImani ya Imam Khomeini ilikuwa kwamba “Mapinduzi ya Kiislamu ni utangulizi wa kudhihiri kwa Imam wa zama (aj)”
Hawzah/ Ayatollah Nouri hamadan amesema: Imam (ra) mara nyingi alikuwa akisisitiza kwamba, “Kile kilichoanzishwa kwa njia ya harakati na Mapinduzi haya, hakiwezi kuzimwa wala kumalizika, na ni…
-
HawzaAyatollah al-Udhma Subhani amtembelea Ayatollah al-Udhma Nuri Hamedani kwa ajili ya kumjulia hali yake
Ayatollah al-Udhma Subhani alifika katika makaazi ya Ayatollah al-Udhma Nuri Hamedani na kumtembelea Marja’ huyu wa taqlid kwa ajili ya kumjulia hali yame.
-
HawzaUjumbe wa Ayatollah al-‘Udhma Nuri Hamedānī kwenye Kongamano la Karne Moja tangia Kuanzishwa Upya Hawza ya Qom
Hawza/ Ayatollah Nurī Hamedānī ametuma ujumbe kwa ajili ya kongamano la kimataifa la kuadhimisha miaka mia moja tangu kuanzishwa upya Hawza ya Qom.
-
Ayatollah Al-Udhma Nouri Hamedani:
HawzaMifarakano ni mibaya zaidi kuliko vikwazo na vita vya adui
Hadhrat Ayatollah Nouri Hamedani alisisitiza: “Katika hali inayo tukabili hivi sasa, upande wa mabeberu umeungana, lengo letu kuu linapaswa kuwa ni kuleta umoja na mshikamano, mifarakano ni mibaya…
-
HawzaUjumbe wa Ayatollah Nouri Hamedani kuhusu maadhimisho ya ujenzi wa Msikiti wa Jamkaran
Ayatollah Nouri Hamedani alitoa ujumbe maalum katika kuadhimisha miaka 1073 tangia ujenzi wa Msikiti Mtukufu wa Jamkaran kwa amri ya Imam wa zama (a.f).