Alhamisi 27 Februari 2025 - 19:08
Khatibu na Mwanafikra mashuhuri wa India ameitikia wito wa Haki

Hawza / Sayyid Naeem Abbas Abedi, Mwanazuoni Mkubwa wa Kidini na Mkurugenzi wa zamani wa Jamiat al-Muntadhir Amroha ya India, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 73.

Kwa mujibu wa kundi la Tarjama la Shirika la Habari la Hawza, Sayyad Naeem Abbas Abedi, Mwanazuoni Mkubwa wa Kidini na Mkurugenzi wa zamani wa Ja'miat al-Muntadhir Amroha ya India, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 75.

Lebo

Maoni yako

You are replying to: .
captcha