najafu ashraf (5)
-
DuniaImam wa Ijumaa wa Najaf Ashraf atoa tahadhari Kuhusiana na Njama Iliyoandaliwa Dhidi ya Waislamu wa Kishia nchini Iraq
Hawza/ "Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanchi, akizungumzia ombi la Marekani la kutaka kuvunjwa kwa kikosi cha Hashdu al-Sha'bi nchini Iraq, alisema: Kwa nini Marekani inasisitiza…
-
HawzaAyatollahil-Udhma Jawadi Amuli: “Elimu, Akili na Malezi” ni nguzo tatu za ukombozi kwa Hawza na Vyuo Vikuu
Hawza/ Ayatollahil-Udhma Jawadi Amuli ametaja nguzo tatu za ukombozi, yaani “Elimu, Akili na Malezi”, kuwa ndio njia ya ustawi wa mtu binafsi na jamii katika hawza na vyuo vikuu katika ulimwengu…
-
DuniaMuqtada Sadr akutana na Ayatollah al-Udhma Jawadi Amoli katika mji mtukufu wa Najaf
Hawza/ Kiongozi wa harakati ya Sadr amemtembelea Ayatollah Abdullah Jawadi Amoli sehemu aliyo fikia huko mjini Najaf al-Ashraf na kufanya naye mazungumzo.
-
Ujumbe wa rambirambi kutoka Ofisi ya Ayatollah Al-Udhma Sistani kufuatia kufariki Kiongozi wa kanisa katoliki duniani:
HawzaPapa alitekeleza jukumu mashuhuri katika kuhudumia amani, kuvumiliana na kuleta mshikamano kwa wanyonge
Kufuatia kifo cha Papa Francis, kiongozi wa kanisa katoliki wa duniani, ofisi ya Hadhrqt Ayatollah Sistani imetoa ujumbe wa rambirambi.
-
Ayatollah Al-Jawahiri:
HawzaGhaza haitashindwa kamwe
Ayatollah al-Jawahiri amesisitiza “nafasi isiyo na mfano ya maulamaa katika kuilinda Umma”, ameuita ushindi wa Gaza kuwa hauepukiki, na aina yoyote ya kujisalimisha mbele ya adui ni khiyana kwa…