najafu ashraf (40)
-
DuniaNajaf na Karbala Zashuhudia Mahudhurio Makubwa ya Wananchi wa Iraq katika Mazishi ya Mbeba Bendera ya Mapambano Dhidi ya Matwaghuti, Imam Khamenei + Video na Picha
Hawza/ Leo, Iraq imeshuhudia mahudhurio makubwa na ya kipekee ya makundi mbalimbali ya wananchi katika mazishi ya kihistoria ya Imam Sayyid Ali Khamenei; hafla inayofanyika katika miji mitakatifu…
-
DuniaPicha za mchakato wa mazishi ya kiongozi shahidi na mpigania haki wa Waislamu duniani, ndani ya haram takatifu ya Imam Hussein (as)
Picha za mchakato mzima wa mazishi ya kiongozi shahidi, mpigania haki wa Waislamu duniani, na kiongozi shahidi wa wanyonge, Ayatollah Al-udhma Sayyid Ali Husseini Khamenei (ra), ndani ya haram…
-
VideoVideo| Umati mkubwa wa watu waliojitokeza katika mazishi ya kiongozi shahidi wa mapinduzi ndani ya haram takatifu ya Imam Ali (as)
Mazishi makubwa na ya heshima ya kiongozi shahidi wa umma yamefanyika kwa kuhudhuriwa na wanazuoni pamoja na wananchi wa Iraq ndani ya haram ya Amir al-Mu'minin Ali (as).
-
DuniaSwala ya Maiti Juu ya Mwili wa Imam Shahidi Khamenei Yaswaliwa katika Uwanja wa Haram Tukufu ya Alawi kwa Kuhudhuria Watoto wa Ayatullah al-Udhma Sistani
Hawza/ Swala ya maiti juu ya mwili wa Imam Shahidi Sayyid Ali Khamenei iliswaliwa katika uwanja wa Haram Tukufu ya Amirul-Muuminin Imam Ali (as).
-
VideoVideo Kamili ya Swala ya Maiti Juu ya Mwili Mtukufu wa Imam Mujahid Shahidi Iliyoongozwa na Ayatullah Sayyid Muhammad Taqi al-Hakim katika Haram Tukufu ya Amirul-Muuminin (as)
Swala ya maiti juu ya mwili mtukufu wa Imam Mujahid Shahidi, Mtukufu Ayatullah al-Udhma Sayyid Ali Khamenei, imeongozwa na Ayatullah Sayyid Muhammad Taqi al-Hakim katika Haram Tukufu ya Amirul-Muumini…
-
DuniaUsindikizaji wa Mwili wa Imam Shahidi Khamenei Waanza kutokea Daraja la Kufa, Najaf Ashraf + Picha
Hawza/ Usindikizaji wa mwili wa Imam Shahidi Khamenei umeanza kutokea Daraja la Kufa katika mji wa Najaf Ashraf, ukihudhuriwa na umati mkubwa wa wananchi.
-
DuniaUmati Mkubwa Wausindikiza Mwili wa Imam Shahidi Khamenei katika Uwanja wa Ndege wa Najaf Ashraf
Hawza/ Umati mkubwa wa watu uliusindikiza mwili wa Imam Shahidi Sayyid Ali Khamenei katika Uwanja wa Ndege wa Najaf Ashraf.
-
DuniaHafla Rasmi ya Kuusindikiza Mwili wa Imam Shahidi Khamenei Yaanza Najaf Ashraf kwa Ushiriki wa Viongozi Wakuu
Hawza/ Hafla rasmi ya mazishi ya mwili wa Imam Shahidi Sayyid Ali Khamenei imeanza katika mji wa Najaf Ashraf, kwa kuhudhuriwa na viongozi wa ngazi za juu wa nchi mbili.
-
DuniaNajaf na Karbala; Wananchi wa Iraq Washiriki Kwa Wingi katika Hafla ya Kihistoria ya Mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Umma
Hawza/ Najaf Ashraf leo imeshuhudia ushiriki mkubwa na wa kipekee wa makundi mbalimbali ya wananchi wa Iraq katika hafla ya kihistoria ya mazishi ya Imam Sayyid Ali Khamenei na familia yake ya…
-
DuniaHafla ya Kumuenzi Ayatullah al-Udhma Fayyadh Yafanyika kwa Uratibu Uliopangwa na Haram Takatifu ya Hussein na Abbasi kati ya Haram Mbili Karbala
Hawza/ Hafla ya kumuenzi Ayatullah al-Udhma Muhammad Is’haq Fayyadh imefanyika kwa uratibu wa Haram Takatifu ya Husseini na Haram Takatifu ya Abbasi, kwa kuhudhuriwa na wawakilishi wa Ayatullah…
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa ya Najaf Ashraf:
DuniaWafuasi wa Ahlul-Bayt (a.s) wanaamini katika undugu wa kivitendo ndani ya Uislamu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanchi, katika kumbukumbu ya mwaka wa kumi na mbili tangia kuanguka kwa mji wa Mosul mwaka 2014 na kuachiliwa kwake katika mwaka huo huo,…
-
DuniaKiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu atoa rambirambi kufuatia kufariki kwa Ayatullah al-Udhma Fayyadh
Hawza/ Ayatullah Sayyid Mujtaba Khamenei ametuma ujumbe wa rambirambi kufuatia kufariki dunia kwa Ayatullah Haj Sheikh Ishaq Fayyadh.
-
HawzaBaraza Kuu la Hawza za latuma Ujumbe wa Rambirambi kufuatia kufariki Ayatullah al-Udhma Fayyadh
Hawza/ Baraza Kuu la Hawza limetoa ujumbe wa rambirambi kufuatia kufariki kwa Mtukufu Ayatullah Muhammad Ishaq Fayyadh, mmoja wa Marajii wa Taqlid wa Najaf Ashraf.
-
DuniaAyatullah al-Udhma Nouri Hamadani atoa salamu za rambirambi kuielekea Hawza ya Najaf
Hawza/ Ayatullah al-Udhma Nouri Hamedani ametuma salamu za rambirambi kufuatia kufariki kwa Ayatullah al-Udhma Fayyadh (ra), mmoja wa Maraji' wakubwa wa taqlid wa Najaf.
-
DuniaAyatullah al-Udhma Bashir Najafi: Leo mzee na Sheikh wa Najaf Ashraf ametutoka
Hawza/ Ayatullah al-Udhma Sheikh Bashir Najafi, mmoja wa Maraji' wa taqlid wa Najaf Ashraf, katika taarifa yake ametoa salamu za rambirambi kufuatia kufariki kwa Ayatullah al-Udhma Sheikh Muhammad…
-
DuniaWaziri Mkuu wa Iraq atangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa kufuatia kifo cha Ayatullah al-Udhma Fayyadh
Hawza/ Ali Al-Zaidi, kufuatia kifo cha Ayatullah al-Udhma Sheikh Muhammad Is’haq Fayyadh, ametangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa nchini Iraq.
-
DuniaUtaratibu wa ratiba ya mazishi na kuzikwa mwili wa Ayatullah al-Udhma Fayyadh watangazwa
Hawza/ Maelezo ya ratiba ya mazishi ya mwili wa Ayatullah al-Udhma Sheikh Muhammad Is’haq Fayyadh, ambaye leo Alhamisi ameaga dunia, yametangazwa.
-
DuniaMarji' na Mwanazuoni Mkubwa wa Najafu Afariki Dunia
Hawza/ Dunia imepata mshtuko wa ghafla baada ya Madrasa ya Ahlulbayt (as) kuondokewa na Mwanazuoni mkubwa katika zama hizi, Marji' mkubwa Ayatullah Muhammad Is-ha'q Fayyadhi (ra)
-
DuniaKwa mnasaba wa kuadhimisha Idi Kubwa ya Mwenyezi Mungu; Ataba Tukufu ya Alawi yafanya hafla ya kupandisha bendera ya Ghadir
Hawza/ Ataba Tukufu ya Alawi imefanya hafla ya kupandisha bendera ya Ghadir katika viwanja na eneo la Haram Tukufu ya Amirul-Muuminin (as).
-
DuniaAtaba Tukufu ya Alawi Yatangaza Ratiba za Haram ya Amirul-Muuminina (as) Katika Siku za Idi ya Ghadir Khum
Hawza/ Kitengo cha habari cha Ataba Tukufu ya Alawi kimetangaza mkusanyiko wa programu za Wiki ya Idi ya Ghadir Khum katika awamu yake ya kumi na tano.
-
DuniaAtaba Tukufu ya Alawi Yafunga Maelfu ya Mabango na Bendera ndani ya Najaf Ashraf Kutokana na Mnasaba wa Idi ya Ghadir Khum
Hawza/ Ataba Tukufu ya Alawi ndani ya Najaf Ashraf, katika mkesha wa Idi ya Ghadir Khum, imeanza kufunga maelfu ya mita za mraba za mabango, bendera na picha za matangazo katika mfumo wa mpango…
-
DuniaImamu wa Swala ya Ijumaa wa Najaf Ashraf akosoa kuibua mgawanyiko wa kimadhehebu miongoni mwa baadhi ya viongozi wa nchi za Kiarabu za Ghuba
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanji amesema: “Wakati ripoti rasmi zimetangaza kuwa idadi ya mahujaji wa mwaka huu ni watu 1,700,000, ripoti za awali kuhusu ziara ya Imam…
-
DuniaHafla kutokana na Shahada ya Imaam Sayyed Ali Khamenei yafanyika katika Haram ya Imaam Ali (as) + Picha
Hawza/ Hafla ya kuiheshimu Shahada aliyoipata Imam Sayyed Ali Khamenei, yafanywa na hawza ya Najaf Ashraf
-
DuniaMaulama wa Najafu wahudhuria kwenye Maktaba ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Irani kwa ajili ya kutoa pole
Hawza/ Kundi la wanazuoni wa Kihindi waliopo katika hawza ya Najafu Ashraf, kwa kuhudhuria katika Maktaba ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, wameonesha huzuni zao na kutoa salamu za rambirambi,…
-
Nasaha ya Imamu Khomein (r.a):
DiniNi vipi utaingia katika Mwezi wa Ramadhani ukiwa na nafsi iliyotakasika
Hawza/ Mwanadamu anapaswa kuyaona matendo yake kuwa yako mbele ya Mwenyezi Mungu, ajiepushe na kusengenya na kutuhumu, aingie katika Mwezi wa Ramadhani akiwa na moyo safi, adiriki makosa ya zamani…
-
DuniaWasanii 60 wa kimataifa wameandaa maonyesho ya sanaa katika Haram ya Imam Ali (a.s.)
Hawza/ Haram tukufu ya Imam Ali (a.s.) imekuwa mwenyeji wa maonyesho ya kimataifa ya sanaa za taswira yaliyochochewa na falsafa ya kusubiri faraja ya Imam wa zama katika fikra ya Kiislamu.
-
Imamu wa Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaSiku ya Valentine inapingana na dini za mbinguni
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanchi alizungumzia tukio linaloitwa “Siku ya Valentine, Februari 14', akisema kuwa siku hii ni njama ya Kimagharibi ya kuwapotosha vijana…
-
DuniaImamu wa Ijumaa wa Najaf Ashraf: Tutasimama pamoja na Iran mbele ya uvamizi wowote dhidi yake
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanchi alisisitiza kuwa: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran si mapinduzi ya kikabila, bali ni mapinduzi ya Kiislamu na ya kimataifa. Sisi pia…
-
DuniaHafla ya kumbukizi ya miaka sita ya kuuawa shahidi Haj Qasem Soleimani na Abu Mahdi al-Muhandis yafanyika Najaf Ashraf
Hawza/ Hafla ya kuadhimisha miaka sita ya kuuawa kishahidi “Makomanda wa Ushindi”; Haj Qasem Soleimani na Abu Mahdi al-Muhandis, ilifanyika Najaf Ashraf kwa kuhudhuriwa na mwakilishi wa Kiongozi…
-
DuniaBendera iliyoandikwa “Waliidu al-Ka‘bah” yapandishwa katika Ataba Tukufu ya Imam Ali (as)
Hawza/ Ataba Tukufu ya Alawi, sambamba na kuwasili kwa wiki ya maadhimisho ya kumbukumbu ya kuzaliwa Imamu Ali (amani iwe juu yake), imeanza maadhimisho haya kwa kupandisha bendera iliyoandikwa…