najafu ashraf (32)
-
HawzaBaraza Kuu la Hawza za latuma Ujumbe wa Rambirambi kufuatia kufariki Ayatullah al-Udhma Fayyadh
Hawza/ Baraza Kuu la Hawza limetoa ujumbe wa rambirambi kufuatia kufariki kwa Mtukufu Ayatullah Muhammad Ishaq Fayyadh, mmoja wa Marajii wa Taqlid wa Najaf Ashraf.
-
DuniaAyatullah al-Udhma Nouri Hamadani atoa salamu za rambirambi kuielekea Hawza ya Najaf
Hawza/ Ayatullah al-Udhma Nouri Hamedani ametuma salamu za rambirambi kufuatia kufariki kwa Ayatullah al-Udhma Fayyadh (ra), mmoja wa Maraji' wakubwa wa taqlid wa Najaf.
-
DuniaAyatullah al-Udhma Bashir Najafi: Leo mzee na Sheikh wa Najaf Ashraf ametutoka
Hawza/ Ayatullah al-Udhma Sheikh Bashir Najafi, mmoja wa Maraji' wa taqlid wa Najaf Ashraf, katika taarifa yake ametoa salamu za rambirambi kufuatia kufariki kwa Ayatullah al-Udhma Sheikh Muhammad…
-
DuniaWaziri Mkuu wa Iraq atangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa kufuatia kifo cha Ayatullah al-Udhma Fayyadh
Hawza/ Ali Al-Zaidi, kufuatia kifo cha Ayatullah al-Udhma Sheikh Muhammad Is’haq Fayyadh, ametangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa nchini Iraq.
-
DuniaUtaratibu wa ratiba ya mazishi na kuzikwa mwili wa Ayatullah al-Udhma Fayyadh watangazwa
Hawza/ Maelezo ya ratiba ya mazishi ya mwili wa Ayatullah al-Udhma Sheikh Muhammad Is’haq Fayyadh, ambaye leo Alhamisi ameaga dunia, yametangazwa.
-
DuniaMarji' na Mwanazuoni Mkubwa wa Najafu Afariki Dunia
Hawza/ Dunia imepata mshtuko wa ghafla baada ya Madrasa ya Ahlulbayt (as) kuondokewa na Mwanazuoni mkubwa katika zama hizi, Marji' mkubwa Ayatullah Muhammad Is-ha'q Fayyadhi (ra)
-
DuniaKwa mnasaba wa kuadhimisha Idi Kubwa ya Mwenyezi Mungu; Ataba Tukufu ya Alawi yafanya hafla ya kupandisha bendera ya Ghadir
Hawza/ Ataba Tukufu ya Alawi imefanya hafla ya kupandisha bendera ya Ghadir katika viwanja na eneo la Haram Tukufu ya Amirul-Muuminin (as).
-
DuniaAtaba Tukufu ya Alawi Yatangaza Ratiba za Haram ya Amirul-Muuminina (as) Katika Siku za Idi ya Ghadir Khum
Hawza/ Kitengo cha habari cha Ataba Tukufu ya Alawi kimetangaza mkusanyiko wa programu za Wiki ya Idi ya Ghadir Khum katika awamu yake ya kumi na tano.
-
DuniaAtaba Tukufu ya Alawi Yafunga Maelfu ya Mabango na Bendera ndani ya Najaf Ashraf Kutokana na Mnasaba wa Idi ya Ghadir Khum
Hawza/ Ataba Tukufu ya Alawi ndani ya Najaf Ashraf, katika mkesha wa Idi ya Ghadir Khum, imeanza kufunga maelfu ya mita za mraba za mabango, bendera na picha za matangazo katika mfumo wa mpango…
-
DuniaImamu wa Swala ya Ijumaa wa Najaf Ashraf akosoa kuibua mgawanyiko wa kimadhehebu miongoni mwa baadhi ya viongozi wa nchi za Kiarabu za Ghuba
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanji amesema: “Wakati ripoti rasmi zimetangaza kuwa idadi ya mahujaji wa mwaka huu ni watu 1,700,000, ripoti za awali kuhusu ziara ya Imam…
-
DuniaHafla kutokana na Shahada ya Imaam Sayyed Ali Khamenei yafanyika katika Haram ya Imaam Ali (as) + Picha
Hawza/ Hafla ya kuiheshimu Shahada aliyoipata Imam Sayyed Ali Khamenei, yafanywa na hawza ya Najaf Ashraf
-
DuniaMaulama wa Najafu wahudhuria kwenye Maktaba ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Irani kwa ajili ya kutoa pole
Hawza/ Kundi la wanazuoni wa Kihindi waliopo katika hawza ya Najafu Ashraf, kwa kuhudhuria katika Maktaba ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, wameonesha huzuni zao na kutoa salamu za rambirambi,…
-
Nasaha ya Imamu Khomein (r.a):
DiniNi vipi utaingia katika Mwezi wa Ramadhani ukiwa na nafsi iliyotakasika
Hawza/ Mwanadamu anapaswa kuyaona matendo yake kuwa yako mbele ya Mwenyezi Mungu, ajiepushe na kusengenya na kutuhumu, aingie katika Mwezi wa Ramadhani akiwa na moyo safi, adiriki makosa ya zamani…
-
DuniaWasanii 60 wa kimataifa wameandaa maonyesho ya sanaa katika Haram ya Imam Ali (a.s.)
Hawza/ Haram tukufu ya Imam Ali (a.s.) imekuwa mwenyeji wa maonyesho ya kimataifa ya sanaa za taswira yaliyochochewa na falsafa ya kusubiri faraja ya Imam wa zama katika fikra ya Kiislamu.
-
Imamu wa Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaSiku ya Valentine inapingana na dini za mbinguni
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanchi alizungumzia tukio linaloitwa “Siku ya Valentine, Februari 14', akisema kuwa siku hii ni njama ya Kimagharibi ya kuwapotosha vijana…
-
DuniaImamu wa Ijumaa wa Najaf Ashraf: Tutasimama pamoja na Iran mbele ya uvamizi wowote dhidi yake
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanchi alisisitiza kuwa: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran si mapinduzi ya kikabila, bali ni mapinduzi ya Kiislamu na ya kimataifa. Sisi pia…
-
DuniaHafla ya kumbukizi ya miaka sita ya kuuawa shahidi Haj Qasem Soleimani na Abu Mahdi al-Muhandis yafanyika Najaf Ashraf
Hawza/ Hafla ya kuadhimisha miaka sita ya kuuawa kishahidi “Makomanda wa Ushindi”; Haj Qasem Soleimani na Abu Mahdi al-Muhandis, ilifanyika Najaf Ashraf kwa kuhudhuriwa na mwakilishi wa Kiongozi…
-
DuniaBendera iliyoandikwa “Waliidu al-Ka‘bah” yapandishwa katika Ataba Tukufu ya Imam Ali (as)
Hawza/ Ataba Tukufu ya Alawi, sambamba na kuwasili kwa wiki ya maadhimisho ya kumbukumbu ya kuzaliwa Imamu Ali (amani iwe juu yake), imeanza maadhimisho haya kwa kupandisha bendera iliyoandikwa…
-
DuniaImamu wa Swala ya Ijumaa wa Najaf Ashraf atahadharisha dhidi ya minong’ono ya kuhalalisha uhusiano na Israel
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanji amesema kuwa: yaliyotajwa katika hotuba ya Sako (Askofu wa Wakristo wa Kaldani wa Iraq) kuhusiana na kuhalalisha uhusiano na Israel,…
-
DuniaWosia wa Ayatullah al-‘Udhma Bashir Hussein Najafi kwa mwakilishi wa Mashia nchini Denmark
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Murid Hussein Naqvi alikutana na kufanya mazungumzo na Ayatullah al-‘Udhma Bashir Hussein Najafi hukk Najaf Ashraf.
-
Imamu wa Ijumaa wa Najafu Ashraf:
DuniaMakubaliano ya Usitishaji Mapigano Ghaza ni Ushindi wa Muqawama Dhidi ya Kusalimu
Hawza / Hujjatul-Islam na Waislamu Sayyid Sadruddin Qabanchi alisema kuwa utawala wa Israeli, ukiungwa mkono kimataifa na silaha zenye nguvu zaidi za kivita ambazo hazijapata kutokea, hatimaye…
-
DuniaAyatullah Sistani aomboleza msiba
Hawzah / Mke mtukufu wa Marja mkuu wa Kishia, Mtukufu Ayatollah Sistani, baada ya kustahimili kipindi kirefu cha maradhi, ameitika wito wa haki huko Najaf Ashraf.
-
Imamu wa Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaWalitaka suala la Palestina lisahaulike, lakini sasa limekuwa suala la kimataifa
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanchi amesema: Shambulizi la Israeli dhidi ya Doha na mabomu yaliyorushwa Yemen yamekabiliwa na ukimya wa dunia, isipokuwa baadhi ya matamko…
-
Imam wa Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaKuuwawa kishahidi Waziri Mkuu na viongozi mashuhuri wa Yemen hakukuathiri mwendelezo wa mapambano ya Yemen
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanji alisema: Kuuwawa kishahidi Waziri Mkuu wa Yemen pamoja na viongozi wengine 21 mashuhuri wa Yemen hakukuathiri mwendelezo wa mapambano…
-
DuniaAyatollah Al-‘Udhma Bashir Najafi akutana na mazuwari wa Kiirani huko Najaf
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Sheikh Bashir Hussein Najafi, mmoja wa Mar'aji‘ wa Najaf Ashraf, aliwapokea mazuwari wa Kiirani waliokuwa wamefika kwa ajili ya ziara ya Atabati Tukufu nchini Iraq
-
DuniaMmoja wa walimu wa Hawza ya Najaf Ashraf afariki dunia
Hawzah/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Muhammad Ali Bahr al-Ulum, mmoja wa walimu wa Hawza ya Najaf Ashraf, ameaga dunia
-
DuniaImamu wa Ijumaa Najafu Ashraf, Akosoa kuhusiana na kuenezwa baadhi ya upotovu wa kidini na kimaadili katika majlisi za Huseini
Hawza / Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanchi alisema: “Tunaamini kuwa Hashd al-Sha‘bi ni nukta ya nguvu ya Iraq na Hashd al-Sha‘bi ni alama ya heshima na fahari ya Iraq, kuvunjwa…
-
DuniaRaisi wa Baraza la Umoja wa Waislamu Pakistani, akutana na Ayatullah al-Udhma Hafidh Bashir Hussein Najafi katika mji wa Najafu Ashraf
Hawzah/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Nasser Abbas Jafari, akiwa pamoja na ujumbe wa wajumbe wa baraza hilo katika safari rasmi ya Najaf Ashraf, wamekutana na Ayatullah al-Udhma Hafidh Bashir Hussein…
-
DuniaAyatollah Al-Udhma Sistani azitaka Nchi za Kiarabu na Kiislamu Kukomesha Janga la Ghaza
Hawza/ Katika kilele cha janga la kibinadamu linalozidi kuenea huko Ghaza, ambapo watoto na raia wasio na hatia wanahiliki kutokana na janga la njaa, Ofisi ya Ayatollah Al-Udhma Sayyid Ali Sistani…
-
Ofisi ya Ayatollah Al-Udhma Sistani:
DuniaJumapili ni Siku ya Kwanza ya Mwezi wa Safar 1447
Hawza/ Ofisi ya Ayatollah Al-Udhma Sistani huko Najaf Ashraf imetangaza kwamba Jumapili tarehe 5 Mordad, itakuwa ndio siku ya kwanza ya mwezi wa Safar mwaka 1447 Hijria Qamaria.