Yemen (17)
-
Kiongozi wa Ansarullah:
DuniaDamu ya Mashahidi ni Taa ya Njia ya Quds na Hazina ya Ushindi kwa Ummah wa Kiislamu
Hawza/ Seyyed Abdulmalik Badruddin Al-Houthi, kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen, katika kujibu ujumbe wa rambirambi kutoka kwa Abul-Alaa Al-Wala’i, alieleza kuwa kupata shahad rais…
-
Imam wa Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaKuuwawa kishahidi Waziri Mkuu na viongozi mashuhuri wa Yemen hakukuathiri mwendelezo wa mapambano ya Yemen
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanji alisema: Kuuwawa kishahidi Waziri Mkuu wa Yemen pamoja na viongozi wengine 21 mashuhuri wa Yemen hakukuathiri mwendelezo wa mapambano…
-
Balozi wa Yemen nchini Iran:
DuniaChanzo cha matatizo katika ukanda huu ni uvimbe wa saratani wa Kizayuni
Hawza/ Ibrahim Muhammad al-Daylami, huku akilaani ukimya wa nchi za Kiarabu na Kiislamu mbele ya uvamizi wa utawala wa Kizayuni, ameitaja Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kama mlinzi pekee wa kweli…
-
DuniaRais wa Kituo cha Utafiti cha Bunge: Mikakati ya pamoja ya Yemen imedhoofisha biashara ya baharini ya utawala wa Kizayuni
Hawza/ Babak Negahdari alibainisha kuwa hatua za Yemen si tu zimeongeza gharama za utawala wa Kizayuni na Marekani katika eneo, bali pia zimeutikisa ubeberu kwenye sekta ya kiuchumi hasa Marekani,…
-
DuniaTamko la Pamoja la Wawakilishi wa Ataba Tukufu za Iran Kuhusu Kulaani Jinai iliyofanywa na Utawala wa Kizayuni Nchini Yemen
Hawza/ Kamati ya Wawakilishi wa Ataba Tukufu Iran wamelaani vikali shambulizi la kigaidi, la kinyama na lisilo la haki lililofanywa na utawala haramu wa Kizayuni dhidi ya taifa huru na wananchi…
-
DuniaChama cha Ustawi wa Kitaifa cha Afghanistan: Kunyamaza dhidi ya ugaidi waliofanyiwa viongozi wa Yemen, kunachochea uvamizi unaoendelezwa na Israeli
Hawza/ Katibu Mkuu wa Chama cha Ustawi wa Kitaifa cha Afghanistan amelaani mauaji ya kigaidi dhidi ya Waziri Mkuu na mawaziri wa Yemen, na akaonya kwamba endapo ulimwengu wa Kiislamu hautachukua…
-
Taarifa ya Jumuiya ya Walimu wa Hawza Tukufu ya Qum, Kuhusu Kulaani Mauaji ya Kigaidi Dhidi ya Baadhi ya Mawaziri wa Yemen:
DuniaUhalifu unaofanywa na Utawala wa Kizayuni Hauwezi Kudhoofisha Kudai Haki na Kusimama Imara Watu wa Yemen
Hawza/ Jumuiya ya Walimu wa Hawza Tukufu ya Qum (J'amiatul-Mudarrisin) imetoa taarifa na kulaani shambulio la kinyama lililofanywa na utawala muhalifu wa Kizayuni mjini Sanaa, na kupelekea kuuawa…
-
DuniaHarakati ya Umma wa Lebanon: Kuuwawa Waziri Mkuu wa Yemen ni jinai ya Kizayuni inayokiuka mamlaka ya umma
Hawza/ Harakati ya Umma ya Lebanon katika tamko lake imetoa mkono wa pole kwa kuuwawa kishahidi kwa Ahmad Ghalib Al-Rahwi, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Yemen, pamoja na idadi ya mawaziri wa nchi…
-
DuniaHizbullah: Uvamizi wa kinyama dhidi ya Yemen ni jinai mpya iliyoongezwa kwenye jalada la jinai za Wazayuni
Hawza/ Hizbullah katika tamko lake imetoa rambirambi zake za dhati na pole za kina kwa taifa ndugu la Yemen na uongozi wake wa mapambano chini ya uongozi wa Sayyid Abdulmalik Badruddin Al-Houthi
-
DuniaAl-Wala’i: Kupata Shahada viongozi wa Yemen ni Sanadi ya utiifu wa taifa hili kwa dhamira ya Palestina
Hawza/ Katibu Mkuu wa Kataib Sayyid al-Shuhada, ameeleza kuwa kuuawa kishahidi kwa viongozi wa Yemen katika shambulio la hivi karibuni lililofanywa na utawala wa Kizayuni ni ushahidi wa utiifu…
-
DuniaRais wa Baraza Kuu la Ja‘fariyya Pakistan: Mashambulizi ya kinyama yanayofanywa na Israel dhidi ya Yemen ni uvunjaji wa wazi wa sheria za kimataifa
Hawza/ Sayyid Zawar Hussein Naqawi, katika tamko lake, amelaani vikali mashambulizi ya kinyama yanayofanywa na utawala ghasibu wa Kizayuni dhidi ya Yemen
-
DuniaJeshi la Yemen lashambulia Uwanja wa Ndege wa Ben Gurion na malengo mawili ya adui Mwisraeli huko Yafa na Asqalan
Hawza / Jeshi la Yemen limetangaza kufanikisha operesheni tatu kwa kulenga Uwanja wa Ndege wa “Ben Gurion” ulioko katika eneo la uvamizi wa Yafa na malengo mawili ya adui Mwisraeli katika ardhi…
-
DuniaUtawala wa Kizayuni wawaajiri “Wayahudi wa Yemeni” kwa Ajili ya Ujasusi na kuwaibia Siri
Hawza/ Kwa mujibu wa ripoti ya habari moja, utawala wa Kizayuni baada ya kushindwa kuelewa lahaja za Wayemeni katika usikilizaji wa siri, umelazimika kuajiri Wayahudi wa Yemeni ili kuwasaidia…
-
DuniaAnsarullah: Msaada wa baadhi ya nchi za Kiislamu na Kiarabu kutokana na kuzingirwa Ghaza ni aibu kubwa!
Hawza/ Mmoja wa wajumbe wa kisiasa wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amekosoa vikali baadhi ya serikali za Kiarabu na Kiislamu kwa kushirikiana na utawala wa Kizayuni wenye damu mikononi mwake…
-
DuniaWanafunzi wa Yemeni waanza mwaka mpya wa masomo kwa maandamano ya kuiunga mkono Ghaza
Hawza/ Wanafunzi wa Yemeni hufanya maandamano kila wiki kwa namna ya kishujaa kulaani kimya cha jumuiya ya kimataifa mbele ya mateso ya watu wa Ghaza.
-
Kiongozi wa Ansarullah Yemen:
DuniaMakombora ya Iran ni sawa na jinamizi kwa Wazayuni
Hawza/ Sayyid Abdulmalik Badruddin al-Houthi, ametoa pongezi kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kutokana na ushindi wake katika vita vilivyoanzishwa kwa kulazimishwa na utawala dhalimu wa Kizayuni,…
-
DuniaYemen yafunga njia za baharini na angani kwa Israeli; Bei za bidhaa zapanda
Hawza/ Vyombo vya habari vya Israeli vimeripoti juu ya ongezeko kubwa la bei za vyakula katika miji iliyokaliwa kimabavu, huku wachumi wakithibitisha jambo hili.