Sayyid Sajid Ali Naqvi (18)
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia wa Pakistan:
DuniaHakuna nguvu ya kibeberu yenye haki ya kuamua hatima ya Palestina
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake amesisitiza kuwa damu ya mashahidi wa Palestina imeuamsha dhamiri ya dunia na kuzielekeza fikra za umma kwenye haki…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaShahada ya Sayyid Hassan Nasrullah imefungua ukurasa mpya wa kuunga mkono jukwaa la mapambano
Hawzah / Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya mwaka wa kwanza wa kuuawa kishahidi Sayyid Hassan Nasrallah, amesema: Damu…
-
Raisi wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan:
DuniaDamu ya Mashahidi wa Palestina imeamsha dhamira iliyokuwa imelala duniani
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, Mwenyekiti wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan, katika hotuba yake akizungumzia hatua ya baadhi ya nchi za Magharibi kuitambua…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaBila ya kutatuliwa suala la Palestina, amani ya dunia ni ndoto isiyo na maana
Hawza/ Hujjat al-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqwi, katika ujumbe wake, huku akikosoa viwango viwili vya jumuiya ya kimataifa kuhusiana na suala la Palestina, alisisitiza: Amani ya kweli…
-
Raisi wa Baraza la Waislamu wa Kishia nchini Pakistan:
DuniaMauaji ya Kimbari ya Wapalestina ni Matokeo ya Utendaji wa Ukoloni Duniani
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Seyyed Sajid Ali Naqvi, Raisi wa Baraza la Waislamu wa Kishia nchini Pakistan, katika tamko lake alieleza kwamba; Israel ni zana tu ya ukoloni wa dunia, na…
-
Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaUhalifu wa kikatili unaofanywa na utawala wa Kizayuni ni kofi la fedheha zaidi kwa nyuso za wale wanaodai kuheshimu Siku ya Kimataifa ya Demokrasia
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, kutokana na mnasaba wa Siku ya Kimataifa ya Demokrasia, katika ujumbe wake amesisitiza: Wakati ambapo Ghaza inateketea chini ya moto…
-
DuniaRais wa Baraza la Maimamu wa Kishia Pakistan: Mafundisho ya Mtume Mtukufu (s.a.w.w) ndiyo funguo ya umoja na suluhisho la Umma wa Kiislamu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika hotuba zake, amesisitiza kwamba njia pekee ya kueoukana na machafuko na kuifikia jamii yenye umoja na yenye mafanikio ni kushikamana…
-
DuniaRais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan: Kuikalia Ghaza kimabavu, ni doa lenye kufedhehesha katika dunia inayodai ustaarabu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika tamko lake, amelaani vikali mpango wa utawala wa Kizayuni wa kuikalia Ghaza na kulieleza tendo hili kuwa ni kofi kali usoni mwa…
-
DuniaRais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan: Ubinadamu Unakata Roho Ghaza na Dunia Inatazama
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika tamko lake huku akionyesha wasiwasi mkubwa kuhusiana na janga la kibinadamu huko Ghaza, amelaani vikali ukimya mzito wa jumuiya…
-
Rais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan:
DuniaNjia ya uokovu wa Umma katika zama za fitna imo katika mafundisho ya subira na munajat ya Imam Zaynu l-‘Ābidīn (as)
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimīn Sayyid Sajid Ali Naqavi, katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya siku ya shahada ya Imam Zaynu l-‘Ābidīn (as) amesisitiza kuwa: Mtukufu huyo…
-
Mwenyekiti wa Baraza la Maulamaa wa Kishia wa Pakistan:
DuniaLugha ya matusi ya mabeberu dhidi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu italeta majibu makali
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika taarifa aliyoitoa, amelaani vikali matamshi ya matusi ya Rais wa Marekani kumhusu Ayatollah Khamenei, alisisitiza nafasi adhimu…
-
Raisi wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan:
DuniaImam Hussein (as) ni kielelezo cha uhuru na haki; maombolezo ni haki ya raia na urithi wa muqawama
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa kuwadia kwa mwezi mtukufu wa Muharram al-Haram, amesisitiza kuwa uendeshaji wa maombolezo…
-
Pendekezo la Mwenyekiti wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan kuhusu Siku ya Kimataifa ya Wazazi:
DuniaDunia haisikii sauti ya wazazi waliopoteza watoto wao huko Ghaza
Hawza/ Hujjat al-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa Siku ya Kimataifa ya Wazazi, amependekeza siku hii ipewe jina la wazazi wa watoto walio dhulumiwa…
-
DuniaRais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan: Israeli ni utawala wa kimabavu, usio halali na ni tishio kwa amani ya dunia
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake kwenye mnasaba wa Siku ya Nakba (15 Mei), amelieleza utawala wa Kizayuni kuwa ni utawala wa kunyang’anya kwa nguvu…
-
Raisi wa Baraza la Maulamaa wa kishia Pakistan:
DuniaNafasi ya vyombo vya habari katika kuonesha uhalifu unao fanywa na Israel ni ya kupongezwa
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, Raisi wa Baraza la Maulamaa wa kishia nchini Pakistan, katika ujumbe wake ulioandikwa kwa ajili ya kuadhimisha siku ya mnasaba wa Kimataifa…
-
Rais wa Shura ya Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaUtata katika mwenendo wa Marekani ndio chanzo cha vita sehemu mbali mbali
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika taarifa kuhusu mazungumzo yake kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Marekani, amesisitiza kuwa: Mazungumzo haya yanaweza tu kuzaa…
-
Raisi wa Shura ya Ulama wa kishia Pakistan:
DuniaEid al-Fitr ni kielelezo cha umoja na mshikamano kwa umma wa kiislamu
Hujjatul Islam wal Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake kwa mnasaba wa Eid al-Fitr, ameeleza kuwa siku hii siyo tu alama ya furaha na shangwe, bali pia ni fursa ya kudhihirisha…
-
Rais wa Shura ya maulama wa kishi’a Pakistan:
DuniaKelele za Uhuru wa Quds nchini Pakistan ni umoja wa taifa katika kuunga mkono Palestina
Hujat al-Islam walmuslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika tamko lake, alisisitiza umuhimu wa siku ya Quds na aliwaomba watu wa Pakistan kushiriki kwa wingi Ijumaa ya mwisho ya mwezi wa Ramadhani…