Sayyid Sajid Ali Naqvi (27)
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia wa Pakistan:
DuniaImam Khomeini (r.a), alikuwa nembo ya mwamko na mapambano dhidi ya ubeberu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi katika ujumbe wake amesema: Imam Khomeini (r.a) kupitia ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliwasilisha mfano wenye mafanikio wa serikali…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan amesema:
DuniaJe! Ni sawa siku ambayo familia za Wapalestina zilivamiwa na kuuwawa, kuwa ndio siku ya kusherekea familia Duniani?
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi katika ujumbe wake amesema: Zaidi ya miongo saba iliyopita, utawala haramu wa Israel ulipandikizwa kama kisu chenye sumu ndani ya moyo…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaMapambano ya Kiongozi Shahidi yamefungua upeo mpya wa mwamko na matumaini kwa Umma wa Kiislamu na wanadamu
Hawza/ Hujjatul Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika hotuba yake alisema: Fikra na juhudi za kimapambano za Ayatullah al-Udhma Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaMapinduzi ya Kiislamu daima yamesimama dhidi ya ubeberu wa Marekani na Israel
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika hotuba yake alisema: ikiwa duniani kuna yeyote aliyesimama dhidi ya ubeberu wa Marekani na Israel na kuupinga kwa mapambano,…
-
DuniaMkusanyiko usio na kifani wa wanazuoni wa Pakistan katika kumuadhimisha kiongozi shahidi
Hawza/ Hafla kubwa ya kuadhimisha shahada ya Ayatollah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, imefanyika kwa ushiriki wa wanazuoni wakubwa wa Kishia na makundi mbalimbali…
-
DuniaRais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan amwandikia barua Ayatullah A‘rafi
Hawza/ Hujjat al-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan, katika barua yake alieleza kwamba; damu takatifu ya mashahidi ni dhamana ya kudumu,…
-
DuniaRais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan: Iran imesimama kwa fahari na adui amelazimika kurudi nyuma
Hawza/ Hujjat al-Islam wal-Muslimin Sayyed Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake akijibu kukubaliwa kwa masharti ya kusitishwa kwa mapigano na upande wa adui alisisitiza kuwa; Iran leo imesimama…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaHaki ya kijamii inategemea haki ya kiuchumi
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Sajid Ali Naqvi amesisitiza katika ujumbe wake kwamba; kwa kuendelea kutawala mifumo dhalimu ya kiuchumi na kisiasa, haiwezekani kufanikisha haki ya kijamii. Ameongeza…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaKuishambulia Iran litakuwa kosa kubwa zaidi la Marekani/ Taifa la Iran na Pakistan yamesimama bega kwa bega
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika hotuba yake huku akionesha wasiwasi kuhusu maendeleo ya hivi karibuni katika eneo, alisisitiza kuwa hatua yoyote ya kijeshi na…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia wa Pakistan:
DuniaKupigania mfumo wa haki duniani ni jukumu letu sote
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi amesema katika hotuba yake kuwa: Lengo na jitihada za ubeberu ni kuiimarisha Israel kwa nguvu na uonevu huku Palestina ikifutwa, lakini…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaWananchi wa Pakistan hawatamwacha yeyote nyuma katika urafiki wao na Mapinduzi ya Kiislamu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika hotuba yake alisema: Wakoloni na Wazayuni daima wamekuwa wakipinga waziwazi Mapinduzi ya Kiislamu, wameweka vikwazo visivyo vya…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaKuanzishwa kwa Mfumo wa Haki na Kudhibiti Ubeberu wa Kizayuni ni Sharti la Msingi Ili Kutimia mshikamano wa kibinadamu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake, alisisitiza kwamba kwa ajili ya kulinda ubinadamu na kuanzisha mshikamano wa kweli, ni lazima uwepo mfumo wa haki,…
-
Rais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan:
DuniaArdhi ya Mitume Imetapakaa Damu ya Waliodhulumiwa, na Dunia Imenyamaza
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake, alisisitiza kuwa licha ya kuwepo kwa kile kinachoitwa makubaliano ya amani ya kulazimishwa, uvamizi na uhalifu wa…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaUtumwa wa Kisasa ni Tishio Kubwa Zaidi kwa Binadamu wa Leo
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi katika ujumbe wake amesisitiza kuwa; binadamu wa leo zaidi ya wakati mwingine wowote, amenasa katika minyororo tata ya kiuchumi, kisiasa…
-
DuniaMwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan: Ghaza bado iko katika giza la dhulma
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake, amesisitiza kuwa licha ya kuwa subira ni haja ya kimaumbile ya binadamu, dunia bado iko mbali na kuitimiza, na Ghaza…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia wa Pakistan:
DuniaHakuna nguvu ya kibeberu yenye haki ya kuamua hatima ya Palestina
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake amesisitiza kuwa damu ya mashahidi wa Palestina imeuamsha dhamiri ya dunia na kuzielekeza fikra za umma kwenye haki…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaShahada ya Sayyid Hassan Nasrullah imefungua ukurasa mpya wa kuunga mkono jukwaa la mapambano
Hawzah / Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya mwaka wa kwanza wa kuuawa kishahidi Sayyid Hassan Nasrallah, amesema: Damu…
-
Raisi wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan:
DuniaDamu ya Mashahidi wa Palestina imeamsha dhamira iliyokuwa imelala duniani
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, Mwenyekiti wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan, katika hotuba yake akizungumzia hatua ya baadhi ya nchi za Magharibi kuitambua…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaBila ya kutatuliwa suala la Palestina, amani ya dunia ni ndoto isiyo na maana
Hawza/ Hujjat al-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqwi, katika ujumbe wake, huku akikosoa viwango viwili vya jumuiya ya kimataifa kuhusiana na suala la Palestina, alisisitiza: Amani ya kweli…
-
Raisi wa Baraza la Waislamu wa Kishia nchini Pakistan:
DuniaMauaji ya Kimbari ya Wapalestina ni Matokeo ya Utendaji wa Ukoloni Duniani
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Seyyed Sajid Ali Naqvi, Raisi wa Baraza la Waislamu wa Kishia nchini Pakistan, katika tamko lake alieleza kwamba; Israel ni zana tu ya ukoloni wa dunia, na…
-
Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaUhalifu wa kikatili unaofanywa na utawala wa Kizayuni ni kofi la fedheha zaidi kwa nyuso za wale wanaodai kuheshimu Siku ya Kimataifa ya Demokrasia
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, kutokana na mnasaba wa Siku ya Kimataifa ya Demokrasia, katika ujumbe wake amesisitiza: Wakati ambapo Ghaza inateketea chini ya moto…
-
DuniaRais wa Baraza la Maimamu wa Kishia Pakistan: Mafundisho ya Mtume Mtukufu (s.a.w.w) ndiyo funguo ya umoja na suluhisho la Umma wa Kiislamu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika hotuba zake, amesisitiza kwamba njia pekee ya kueoukana na machafuko na kuifikia jamii yenye umoja na yenye mafanikio ni kushikamana…
-
DuniaRais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan: Kuikalia Ghaza kimabavu, ni doa lenye kufedhehesha katika dunia inayodai ustaarabu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika tamko lake, amelaani vikali mpango wa utawala wa Kizayuni wa kuikalia Ghaza na kulieleza tendo hili kuwa ni kofi kali usoni mwa…
-
DuniaRais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan: Ubinadamu Unakata Roho Ghaza na Dunia Inatazama
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika tamko lake huku akionyesha wasiwasi mkubwa kuhusiana na janga la kibinadamu huko Ghaza, amelaani vikali ukimya mzito wa jumuiya…
-
Rais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan:
DuniaNjia ya uokovu wa Umma katika zama za fitna imo katika mafundisho ya subira na munajat ya Imam Zaynu l-‘Ābidīn (as)
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimīn Sayyid Sajid Ali Naqavi, katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya siku ya shahada ya Imam Zaynu l-‘Ābidīn (as) amesisitiza kuwa: Mtukufu huyo…
-
Mwenyekiti wa Baraza la Maulamaa wa Kishia wa Pakistan:
DuniaLugha ya matusi ya mabeberu dhidi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu italeta majibu makali
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika taarifa aliyoitoa, amelaani vikali matamshi ya matusi ya Rais wa Marekani kumhusu Ayatollah Khamenei, alisisitiza nafasi adhimu…
-
Raisi wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan:
DuniaImam Hussein (as) ni kielelezo cha uhuru na haki; maombolezo ni haki ya raia na urithi wa muqawama
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa kuwadia kwa mwezi mtukufu wa Muharram al-Haram, amesisitiza kuwa uendeshaji wa maombolezo…