Hizbullah (5)
-
DuniaMufti wa Jaafari Lebanon: Iran ni chimbuko la heshima ya kila mwanadamu huru katika ulimwengu huu na uaminifu wetu kwa Tehran ni kama uaminifu wetu kwa Mawalii wakuu
Hawzah/ Sheikh Ahmad Qabalan amesema: Iran ndiyo iliyouangamiza mradi wa Mashariki ya Kati na ikaibatilisha matumaini ya Washington na Tel Aviv yanayotokana na ugaidi, uvamizi pamoja na uharibifu
-
DuniaHizbullah ya Lebanon yalaani mauaji ya Sheikh Rasoul Shahhoud katika viunga vya Homs
Hawza/ Hizbullah ya Lebanon, katika tamko lake, imelaani jinai ya kikatili ya kulengwa mwanazuoni mashuhuri Sheikh Rasoul Shahhoud katika viunga vya Homs.
-
Katika kumbukumbu ya kuadhimisha mwaka wa ukombozi kusini mwa Lebanon:
DuniaAnsarullah Yemen wamehakikisha kuendeleza njia ya Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah
Hawza/ Ansarullah Yemen imetoa salamu za pongezi kwa Katibu Mkuu wa Hizbullah, muqawama wa Kiislamu wa Lebanon, na wananchi wa nchi hiyo, kwa mnasaba wa siku ya mapambano na ukombozi wa kusini…
-
Sheikh Naim Qasim:
DuniaAthari kubwa za Hawza ya Qum zimeenea duniani kote
Katibu Mkuu wa Hizbullah Lebanon ameeleza athari na baraka za Hawza ya Qum zimeenea katika uwanja wa kitamaduni na kijamii, hasa katika suala la kuunda Mapinduzi ya Kiislamu na mhimili wa muqawama.
-
DiniNi wakati gani kiongozi wa mapinduzi ya Iran anaenda kufanya ziara katika Msikiti wa Jamkaran?
Wakati njia zote zinapofungwa, Kiongozi wa Mapinduzi huenda wapi? Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah anasimulia kuwa: Katika nyakati ngumu mno, sehem peke ya kiiimani kwa Kiongozi huyo ni Jamkaran,…