Hizbullah (115)
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu:
DuniaKuwatetea Wapiganaji Jihadi wa Lebanon ni Sera ya Kimkakati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika kujibu barua ya Katibu Mkuu na wapiganaji wa Hizbullah, amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kwa kuzingatia msimamo wa Kiongozi Mkuu na…
-
Hizbullah:
DuniaMsimamo Wetu katika Masuala Yote ni Mmoja na Thabiti; Yaliyoripotiwa na Baadhi ya Vyombo vya Habari Si ya Kweli
Hawza/ Msimamo wetu katika masuala yote ni mmoja na thabiti, na habari zinazosambazwa na baadhi ya vyombo vya habari si za kweli.
-
DuniaHizbullah Yatoa Wito wa Kushiriki Mikusanyiko ya Wananchi Sambamba na Hafla ya Mazishi ya Imam Khamenei
Hawza/ Kwa mnasaba wa shahada ya Imam wa Wanyonge, Imam Shahidi Sayyid Ali Husseini Khamenei, Hizbullah imetoa wito wa kushiriki katika mikusanyiko ya wananchi nchini Lebanon na katika ngazi…
-
DuniaHizbullah Yawapinga Wanaounga Mkono Uhuru wa Lebanon Kupitia Makubaliano ya Maridhiano na Israel
Hawza/ Baada ya kupita siku kadhaa tangu kutangazwa kwa makubaliano ya maridhiano kati ya serikali ya Lebanon na Israel, makundi mbalimbali ya kijamii na vyama vya kisiasa vya Lebanon yameeleza…
-
Ihab Hamadeh:
DuniaMuqawama Utaendelea Kukabiliana na Adui, na Israel Inaelewa Lugha ya Nguvu Pekee
Hawza/ Mwanachama wa Kambi ya “Uaminifu kwa Muqawama” amesisitiza kwamba; silaha ya Muqawama, ambayo imekuwa kiwakilishi cha uwepo wetu, imethibitisha ufanisi wake katika kukabiliana na adui…
-
Mwanachama wa Kambi ya Muqawama:
DuniaIsrael Imethibitisha Mara Nyingi Kutoheshimu Makubaliano na Sheria za Kimataifa
Hawza/ Ali Ammar amesisitiza kwamba; mashambulizi ya hivi karibuni ya Israel dhidi ya Lebanon na juhudi zake za kusonga mbele kuelekea eneo la “Ali al-Tahir” yanafanyika katika mfumo wa sera…
-
Mjumbe wa Kambi ya “Maendeleo na Uhuru” ya Lebanon:
DuniaKatika Dunia Inayojinasibu kwa Haki na Haki za Binadamu, Uhalifu wa Israel Haupaswi Kufichwa
Hawza/ Qasim Hashim amesema kuwa kuendelea kwa uchokozi wa Israel huku ulimwengu ukinyamaza kunathibitisha tabia ya kiuchokozi ya utawala huo.
-
Katibu Mkuu wa Hizbullah Lebanon:
DuniaMpango wa Kuuangamiza Muqawama na Hizbullah Umeshindwa
Hawza/ Sheikh Naim Qassim, Katibu Mkuu wa Hizbullah, amesema kuwa; kulikuwa na mpango wa kuiangamiza Hizbullah na Muqawama katika eneo la Mashariki ya Kati, lakini mpango huo umeshindwa.
-
DuniaHafla za Maombolezo ya Imam Hussein (as) Zafanyika Kusini mwa Beirut
Hawza/ Kwa mnasaba wa kuadhimisha kumbukumbu ya Ashura ya Imam Hussein (as), Hizbullah imeandaa na kuendesha majlisi za maombolezo ya mwezi wa Muharram katika maeneo mbalimbali ya kusini mwa…
-
Mwanazuoni wa Kisunni wa Lebanon:
DuniaChaguo la Muqawama Limechaguliwa Kwa Msingi wa Kushikamana na Qur’ani Tukufu
Hawza/ Sheikh Ahmad Al-Qattan amesisitiza wa kusema: “Muqawama nchini Lebanon ni uhai wetu, na adui Muisraeli, licha ya kuendelea na mashambulizi yake, ameshindwa kufikia malengo yake.”
-
DuniaWananchi wa Baalbek Wakusanyika kwa Ajili ya Kuonesha Shukrani Zao na Uaminifu kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Hawza/ Mji wa Baalbek ulishuhudia mkusanyiko mkubwa wa mshikamano; hatua iliyofanyika kama ishara ya shukrani na uaminifu kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kwa ushiriki mkubwa wa wananchi wanaouunga…
-
Sheikh Ahmad Qabalan:
DuniaHatuitoi Lebanon kwa Wazayuni na Mawakala Wao
Hawza/ Mufti Mkuu wa Ja'faria na mwanazuoni mashuhuri wa Lebanon amesema: Kinachotokea leo kinaiweka mamlaka ya Lebanon mikononi mwa wale walioigeuza kuwa mtaji wa kisiasa na zawadi ya kiusalama…
-
DuniaJumuiya ya Maulamaa wa Beirut Yapongeza Msimamo wa Dhati wa Iran katika Kuisaidia Lebanon
Hawza/ Jumuiya ya Maulamaa wa Beirut imesisitiza kwamba; haiwezekani kuachana na muqawama ambao uliikomboa ardhi na kumzuia adui; Muqawama upo na utaendelea kuwepo maadamu hakuna mbadala unaoweza…
-
Sheikh al-Khatib:
DuniaTaarifa ya mazungumzo ya Washington inafungua milango ya fitna ambayo adui ananuia kuizalisha
Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon amesema: Kukubali kwa serekali ya Lebanon kupitia wanadiplomasia wake maudhui ya taarifa ya Washington na kukubali…
-
Hizbullah:
DuniaJinai inayofanywa na adui dhidi ya jeshi la taifa imekuwa ni matokeo ya kawaida na ya kupuuzwa kwa mamlaka ya nchi
Hawza / Hizbullah katika taarifa yake imesema: Shambulio la kijinai na la woga ambalo adui Mzayuni amelifanya dhidi ya jeshi letu la taifa ni jinai ya kweli na ya makusudi.
-
DuniaMkusanyiko wa Wanazuoni wa Jabal Amil umesisitiza kushikamana na uchaguzi wa kusimama imara, Muqawama na kuimarisha umoja wa Lebanon
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Jabal Amil nchini Lebanon katika ujumbe wake kwa mnasaba wa “Eidul Ghadir” umesisitiza kwamba; Lebanon chini ya mwendelezo wa mashambulizi na vitisho vya Israel,…
-
DuniaSheikh Qabalan amwambia Aoun: Kama kusingekuwa na Muqawama, adui Muisraeli angefika hadi Ikulu ya Rais
Hawza / Mwanazuoni mashuhuri wa Lebanon, katika ujumbe wake kwa Rais wa Lebanon, amesema: Yeyote anayehimiza Muqawama kujiondoa kusini mwa mto huku wakati huohuo asidai kuondoka kwa jeshi la…
-
Hizbullah ya Lebanon:
DuniaAyatullah al-Udhma Fayyadh alikuwa nguzo ya Marjaiyya na mtumishi wa Uislamu
Hawza/ Hizbullah ya Lebanon imetoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Ayatullah al-Udhma Sheikh Is'haq Fayyadh na kusisitiza kwamba; alikuwa miongoni mwa nguzo za Marjaiyya ya kidini ndani…
-
Sheikh Naim Qasim:
DuniaTunajivunia kwamba tulimfanya Imam Khomeini kuwa mfano wa maisha yetu na tukaunga mkono uthabiti na haki
Hawza/ Sheikh Naim Qasim, Katibu Mkuu wa Hizbullah, katika taarifa iliyotolewa kufuatia kumbukumbu ya mwaka wa kufariki kwa Imam Khomeini, alisisitiza kwamba; Mapinduzi ya Iran yalianza kutoka…
-
DuniaSheikh Ahmad Qabalan: Tunajivunia uhusiano wetu wa milele na Iran
Hawza/ Mufti Mkuu wa Jaafaria na mwanazuoni wa Kishia wa Lebanon amesema kuwa: Sitisho lolote la vita au njia yoyote itakayotufikisha kwenye matokeo haya, pamoja na mambo yanayohitajika kwa ajili…
-
Mwakilishi wa Kambi ya Muqawama:
DuniaKusisitiza Muqawama kunyang'anywa silaha ni sawa na kusisitiza kuondoa nguvu ya jamii hii
Hawza/ Ihab Hamada amesema: Kusisitiza kuvuliwa silaha kwa Muqawama, kwa hakika ni kusisitiza kuondoa sehemu ya nguvu ya jamii hii; hatua hii inalenga kuifanya jamii iwe dhaifu na iwe rahisi…
-
Harakati ya Umma:
DuniaNia ya mataifa yanayoamini haki na uhuru wao ina nguvu zaidi kuliko mashine zote za kivita
Hawza/ Harakati ya Umma ya Lebanon imelaani mashambulizi ya mara kwa mara ya Kizayuni yanayofanywa kusini mwa Lebanon na eneo la Biqaa pamoja na ukiukwaji wa kila siku wa mamlaka ya Lebanon,…
-
Ujumbe wa Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon kwenye Kongamano la Pili la Kimataifa la Ghadir na Muqawama:
DuniaHizbullah imesimama dhidi ya utawala wa Kizayuni kwa kuhamasishwa na Wilayah na utamaduni wa Ashura
Hawza/ Sheikh Naim Qassem katika ujumbe wake kwenye Kongamano la Pili la Kimataifa la Ghadir na Muqawama alisisitiza: Hizbullah ya Lebanon, kwa kuhamasishwa na madhehebu ya Imam Ali (as) na harakati…
-
Mkuu wa Baraza la Kisheria la Hizbullah:
DuniaHatutaachana na msimamo wetu, hata kama utasababisha makabiliano ya Hussein
Hawza/ Sheikh Muhammad Yazbak, Mkuu wa Baraza la Kisheria la Hizbullah, amesema katika ujumbe wake: “Tunawashukuru wote wanaotunyoshea mkono wa msaada na utetezi, na kwa namna ya pekee tunaishukuru…
-
Sheikh Ali Al-Khatib:
DuniaMaadamu Uvamizi Unaendelea, Muqawama Nao Utaendelea Kuwepo
Hawza/ Sheikh Ali Al-Khatib amewataka viongozi kutoweka matumaini yao kwa Marekani, ambayo inalenga kupitia mazungumzo ya moja kwa moja kuanzisha fitna ya ndani kwa ajili ya kumuokoa adui wa…
-
DuniaIsrael yafanya Mashambulizi Makubwa Upande wa Kusini; Idadi ya Mashahidi na Majeruhi Yaongezeka
Hawza/ Kusini mwa Lebanon tangu usiku wa manane wa Jumamosi hadi Jumapili kumeshuhudiwa mfululizo wa mashambulizi makubwa ya Israel yaliyohusisha mashambulizi ya anga, mashambulizi ya mizinga…
-
Miongoni mwa makamanda wa Hizbullah ya Lebanon:
DuniaTaifa la Lebanon halitarudi nyuma kutoka katika Muqawama
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Ghabris, akisisitiza kwamba taifa la Lebanon licha ya kubeba mizigo ya mashinikizo makubwa zaidi, vita na uharibifu mkubwa, bado halijarudi nyuma kutoka katika…
-
DuniaMwakilishi wa Hizbullah: Muqawama utaivuruga mipango ya Israel
Hawza/ Hassan Fadhlallah, mwakilishi wa Harakati ya Uaminifu kwa Muqawama wa Hizbullah, alisisitiza kwamba; adui Israeli inaendelea kutekeleza mashambulizi yanayoongezeka kusini mwa Lebanon na…
-
Sheikh Ahmad Qabalan:
DuniaIsrael Imeshindwa katika “Vita Vyake Vikubwa” na Hakuna Dhamana ya Kulinda Mamlaka ya Lebanon Isipokuwa Muqawama
Hawza/ Mufti Mkuu wa Kijaafari na mwanazuoni wa Kishia nchini Lebanon, akirejelea kushindwa kwa kimkakati kwa Marekani na utawala wa Kizayuni, aliongeza: Leo ni wakati wa kihistoria sana.
-
Sheikh Ali Al-Khatib:
DuniaShukrani nyingi kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran/ Tunakataa aina yoyote ya mazungumzo ya moja kwa moja na Israel
Hawza/ Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon, katika taarifa yake amesema kuwa; kumbukumbu ya miaka ishirini na sita ya ukombozi inakuja katika mazingira magumu…