Hizbullah (35)
-
Msaidizi wa Kimataifa wa Hawza:
DuniaKile tulichokiona Lebanon ni Hizbullah imara, yenye mshikamano na muundo madhubuti wa kiuongozi
Hawza/ Msaidizi wa kimataifa wa hawza ameeleza shughuli za ujumbe wa kielimu uliotumwa kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kushiriki kwenye kumbukumbu ya mwaka wa kwanza wa kuuawa shahidi Sayyid…
-
Mjumbe wa Kundi la Muqawama nchini Lebanon:
DuniaKulinda Muqawama na damu za Mashahidi ni amana iliyopo shingoni mwetu
Hawza / Hospitali ya Darul-Hikma huko Baalbek imeadhimisha kumbukumbu ya mwaka wa shahada ya Sayyid Hassan Nasrallah, Sayyid Hashim Safiuddīn, pamoja na mashahidi watatu.
-
Naibu wa Masuala ya Kimataifa wa Hawza akiwa Baalbek:
DuniaKutoa heshima kwa Shahidi Musawi na kusisitiza Mazungumzo ya Muqawama nchini Lebanon
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Hussein Kuhsari, Naibu wa Masuala ya Kimataifa wa Hawza, katika kuendeleza ziara yake nchini Lebanon, ametembelea eneo la Bekaa na mji wa kihistoria…
-
Balozi wa Zamani wa Iran Nchini Lebanon:
DuniaShahada ya dhulma ya Nasrallah Imeandaa Mazingira ya Kuimarika kwa Jabhatu’l-Muqawama
Hawza / Balozi wa zamani wa Iran nchini Lebanon amebainisha kuwa: Sayyid Hassan Nasrallah ni mtu mkubwa ambaye shahada yake ya kidhulma imeifanya Jabhatu’l-Muqawama kuwa hai zaidi na yenye nguvu…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaShahada ya Sayyid Hassan Nasrullah imefungua ukurasa mpya wa kuunga mkono jukwaa la mapambano
Hawzah / Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya mwaka wa kwanza wa kuuawa kishahidi Sayyid Hassan Nasrallah, amesema: Damu…
-
Kiongozi wa Ansarullah Yemen:
DuniaSayyid Hassan Nasrullah ni shahidi wa Uislamu na ubinadamu
Hawza/ Sayyid Abdulmalik Badreddin, kiongozi wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen, katika hotuba yake kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya shahada ya Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa…
-
Sheikh Naeem Qasim:
DuniaKamwe hatutaacha silaha za muqawama
Hawza / Katibu Mkuu wa Hizbullah Lebanon katika sherehe za kumbukumbu ya mwaka wa kwanza tangia kupata shahada Sayyid Hassan Nasrullah na Sayyid Hashim Safiuddin mjini Beirut alisema: “Ewe Nasrullah,…
-
Makamu wa Rais wa Baraza Kuu la Kiislamu la Kishia Lebanon:
DuniaMapambano na Israel ni mapambano ya Kitamaduni yanayo endelea, na Muqawama haujashindwa na kamwe hautashindwa
Hawza/ Sheikh Ali al-Khateeb amesisitiza kwamba jamii ya Lebanon, pamoja na kuwa na tofauti za kimadhehebu na kidini, bado ni jamii moja yenye mshikamano, na msimamo wake unapaswa kuwa wa umoja…
-
Kuhuisha kumbukumbu ya Sayyid wa Muqawama:
DuniaKuanzia mapenzi maalumu ya Shahidi Nasrallah kwa Wairani hadi ahadi ya Imam Khomeini (r.a) kwa Sayyid wa Muqawama
Hawza/ Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah: “Tangia mwanzo yalikuwepo mapenzi na upendo kati yangu na ndugu zangu Wairani, marafiki zangu walikuwa wakiniambia: wewe unawapenda Wairani na Wairani…
-
Harakati Umma ya Lebanon:
DuniaMauaji ya Sabra na Shatila ni ushahidi wa kudumu wa ukatili unaofanywa na Wazayuni pamoja na ushirikiano wa baadhi ya madola katika ukanda huu na ya kimataifa
Hawza/ Harakati Umma ya Lebanon katika tamko lililotolewa kutokana na kumbukumbu ya miaka arobaini na moja ya mauwaji ya kimbari ya Sabra na Shatila, ilibainisha kuwa: mauwaji hayo yenye giza…
-
DuniaSheikh Ahmad Qabalan: Muqawama ndiyo nguvu ya Lebanon na uwezo wake wa kipekee wa kusimama imara
Hawza / Hujjat al-Islam Sheikh Ahmad Qabalan, Mufti mashuhuri wa Ja‘fari wa Lebanon alisema: “Israeli ni adui wa kiasili na Muqawama ni nguvu ya Lebanon na uwezo wake wa kipekee kwa ajili ya…
-
Mjumbe wa Kundi la Muqawama:
DuniaSilaha za Muqawama ni Sehemu ya Imani, Azma na Maisha Yetu
Hawza/ Hasan Izzuddin, alisrma kuwa: Kila uamuzi unaopingana na makubaliano na mshikamano wa kitaifa na dhidi ya sehemu yoyote ya Lebanon, unachukuliwa kama dosari ya kikatiba na kitaifa na haukubalik…
-
Mwakilishi wa Harakati ya Amal Nchini Iran:
HawzaSilaha za Muqawama wa Hizbullah ni Urithi wa Damu za Mashahidi
Hawza/ Salah Fahsi amesema: Marekani na baadhi ya nchi za Kiarabu bado wanataka kunyang'anywa silaha Jeshi la Hizbullah, lakini shambulizi la utawala wa Kizayuni dhidi ya Qatar liliwafanya wafuasi…
-
DuniaSheikh al-Khatib: Tunatumaini kikao cha Doha kitaishia kwenye maamuzi muhimu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Ali al-Khatib, Makamu wa Rais wa Baraza Kuu la Kiislamu la Kishia la Lebanon, baada ya kukamilisha safari yake katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amerejea…
-
Mjumbe wa Hizbullah:
DuniaHatari ya utawala wa Kizayuni imegeuka kuwa tishio kwa usalama wa ukanda mzima
Hawza/ Sheikh Muhammad Amrū alisisitiza kwamba: Lebanon inaweza kuwa salama dhidi ya hatari tu kwa kuendelea kuwa imara na kubaki kwa kujizatiti kwenye nguvu zake, hasa kwa kutumia silaha za…
-
Mbunge wa Lebanon:
DuniaKuanzisha uhusiano wa kawaida kati ya Qatar na Israel hakukulilinda taifa hili
Hawza/ Malham al-Hujayri, mbunge na mwenyekiti wa Harakati "An-Nasr Amal", ameukemea vikali unyonyaji wa kijasiri na uhalifu unaofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya uongozi wa Harakati ya…
-
Rais wa Baraza Kuu la Waislamu wa Kishia nchini Lebanon:
DuniaMshikamano wa Lebanon sasa umesimama imara zaidi kuliko zamani dhidi ya hila za maadui / Shambulizi la Israel dhidi ya Qatar ni funzo kwa tawala zote za Kiarabu na katika ukanda
Hawza/ Sheikh Ali Al-Khatib, akisisitiza juu ya ulazima wa kudumisha mshikamano baina ya mataifa ya eneo hili, amesema: Shambulizi la Israel dhidi ya Qatar ni kengele ya hatari kwa tawala zote…
-
DuniaHizbullah: Shambulio lililofanywa na utawala wa Kizayuni mjini Doha limeonesha dhamira yake ya kweli ya kuendeleza vita na mauaji ya kimbari
Hawza / Hizbullah ya Lebanon imelaani shambulio la ghafla na la khiyana la utawala wa Kizayuni dhidi ya ujumbe wa uongozi wa Harakati ya Muqawama ya Kiislamu (Hamas) wakati wa kikao kilichokuwa…
-
Sheikh Ali Al-Khatib katika ufunguzi wa Mkutano wa Umoja:
DuniaUshindi wa muqawama umeilazimisha dola ya Kizayuni kukiri kushindwa kwake
Hawza/ Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Kishia nchini Lebanon alisisitiza: Adui anataka kuutenga umma wa Kiislamu na malengo yake ya kimungu, lakini ushindi wa muqawama umeilazimisha…
-
DuniaHarakati ya Tauhidi ya Kiislamu: Adui ameshindwa vibaya mbele ya azma na kujitolea kwa Palestina
Hawza/ Harakati ya Tauhidi ya Kiislamu nchini Lebanon imetoa pongezi kwa mapigo makali na ya kuumiza ambayo adui wa Kizayuni anaendelea kuyapokea kutoka kwa wapiganaji mashujaa wa muqawama.
-
DuniaMjumbe wa Kikundi cha Muqawama: Sisi kwa hakika tunayahitaji mno mawazo na mtazamo wa Imam Musa Sadr ili kukabiliana na adui wa Kizayuni na maadui wa ndani
Hawza/ Jumuiya ya Vituo vya Kiutamaduni vya Imam Khomeini imeadhimisha kumbukumbu ya kupotea kwa Imam Musa Sadr pamoja na wenzake wawili katika makao yake makuu mjini Sur.
-
Ayatullah Saidi katika Swala ya Ijumaa Qom, nchi Iran:
DuniaUshirikiano wa wananchi umeangamiza njama za Marekani na utawala wa Kizayuni / “Umoja” ndii suluhisho katika kuueneza Uislamu duniani
Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom alisema: “Utawala wa Kizayuni ulidhani kwamba, kwa kudhoofisha imani ya wananchi na kuchichea kukata tamaa ungeweza kutikisa misingi ya serikali, lakini mshikamano…
-
DuniaKiongozi wa Jamaat-e-Islami Pakistan: Kujitolea kwa Iran katika kuiunga mkono Palestina ni fahari kwa Umma wa Kiislamu
Hawza/ Hafiz Naeemur Rehman katika hotuba yake alisisitiza kwamba kujitolea kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuliunga mkono taifa la Palestina ni chanzo cha fahari kwa umma wa Kiislamu…
-
DuniaSheikh Ahmad Qabalan: Dhamira ya Imam Musa Sadr ilikuwa ni mamlaka ya Lebanon, ushirikiano wa Kiislamu na Kikristo na maelewano kati yao
Hawzah/ Sheikh Ahmad Qabalan, Mufti mashuhuri wa Ja‘fari, kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya kutekwa Imam Sayyid Musa Sadr na wenzake wawili, ametoa ujumbe
-
DuniaSheikh Hassan Abdullah: Imam Musa Sadr katika maisha yake aliakisi dhana ya Karbala na njia ya Mitume na Mawalii
Hawzah/ Harakati ya Amal, kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya kutoweka kwa Imam Sayyid Musa Sadr, iliandaa hafla katika mji wa Burj Rahal
-
DuniaHarakati ya Umma wa Lebanon: Kuuwawa Waziri Mkuu wa Yemen ni jinai ya Kizayuni inayokiuka mamlaka ya umma
Hawza/ Harakati ya Umma ya Lebanon katika tamko lake imetoa mkono wa pole kwa kuuwawa kishahidi kwa Ahmad Ghalib Al-Rahwi, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Yemen, pamoja na idadi ya mawaziri wa nchi…
-
DuniaHizbullah: Uvamizi wa kinyama dhidi ya Yemen ni jinai mpya iliyoongezwa kwenye jalada la jinai za Wazayuni
Hawza/ Hizbullah katika tamko lake imetoa rambirambi zake za dhati na pole za kina kwa taifa ndugu la Yemen na uongozi wake wa mapambano chini ya uongozi wa Sayyid Abdulmalik Badruddin Al-Houthi
-
Ayatullah Rajabi:
DuniaHizbullah ya Lebanon ni alama ya heshima na hadhi kwa Umma wa Kiislamu / Ndoto ya kuivua silaha Hizbullah kamwe haitatimia
Hawzah/ Mjumbe wa Baraza Kuu la Hawzah, kufuatia mpango ovu wa utawala wa kigaidi wa Marekani dhidi ya taifa tukufu na lenye kusimama imara la Lebanon, alitoa ujumbe na akasema: “Hizbullah ni…
-
DuniaMjumbe wa Kundi la Muqawama: Muda ya kuwa Uvamizi unaendelea, Muqawama nao Utaendelea Kuwepo
Hawza/ Ali Al-Miqdad alisisitiza kuwa: “Silaha za Muqawama hazitawasilishwa, zina idhaminj Lebanon dhidi ya maadui wa Kizayuni, na jitihada zote za kudhoofisha nafasi zao zitaangukia
-
DuniaMjumbe Mwandamizi wa Hizbullah: Uamuzi wa Serikali wa Kutaifisha Silaha za Muqawama ni Hatari na Unaweza Kuliweka Taifa Kwenye Ukingo wa Mlipuko
Hawzah/ Sheikh Ali D’amoush amesisitiza kwamba uamuzi wa kijinga ambao serikali imechukua wa kutaifisha silaha za Muqawama si tu kwamba umekosea sehemu ya kanuni, bali pia umelikosea Taifa na…