Hawza/ Ansarullah Yemen imetoa salamu za pongezi kwa Katibu Mkuu wa Hizbullah, muqawama wa Kiislamu wa Lebanon, na wananchi wa nchi hiyo, kwa mnasaba wa siku ya mapambano na ukombozi wa kusini…
Katibu Mkuu wa Hizbullah Lebanon ameeleza athari na baraka za Hawza ya Qum zimeenea katika uwanja wa kitamaduni na kijamii, hasa katika suala la kuunda Mapinduzi ya Kiislamu na mhimili wa muqawama.
Wakati njia zote zinapofungwa, Kiongozi wa Mapinduzi huenda wapi? Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah anasimulia kuwa: Katika nyakati ngumu mno, sehem peke ya kiiimani kwa Kiongozi huyo ni Jamkaran,…