Hizbullah (107)
-
Mwanazuoni wa Kisunni wa Lebanon:
DuniaChaguo la Muqawama Limechaguliwa Kwa Msingi wa Kushikamana na Qur’ani Tukufu
Hawza/ Sheikh Ahmad Al-Qattan amesisitiza wa kusema: “Muqawama nchini Lebanon ni uhai wetu, na adui Muisraeli, licha ya kuendelea na mashambulizi yake, ameshindwa kufikia malengo yake.”
-
DuniaWananchi wa Baalbek Wakusanyika kwa Ajili ya Kuonesha Shukrani Zao na Uaminifu kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Hawza/ Mji wa Baalbek ulishuhudia mkusanyiko mkubwa wa mshikamano; hatua iliyofanyika kama ishara ya shukrani na uaminifu kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kwa ushiriki mkubwa wa wananchi wanaouunga…
-
Sheikh Ahmad Qabalan:
DuniaHatuitoi Lebanon kwa Wazayuni na Mawakala Wao
Hawza/ Mufti Mkuu wa Ja'faria na mwanazuoni mashuhuri wa Lebanon amesema: Kinachotokea leo kinaiweka mamlaka ya Lebanon mikononi mwa wale walioigeuza kuwa mtaji wa kisiasa na zawadi ya kiusalama…
-
DuniaJumuiya ya Maulamaa wa Beirut Yapongeza Msimamo wa Dhati wa Iran katika Kuisaidia Lebanon
Hawza/ Jumuiya ya Maulamaa wa Beirut imesisitiza kwamba; haiwezekani kuachana na muqawama ambao uliikomboa ardhi na kumzuia adui; Muqawama upo na utaendelea kuwepo maadamu hakuna mbadala unaoweza…
-
Sheikh al-Khatib:
DuniaTaarifa ya mazungumzo ya Washington inafungua milango ya fitna ambayo adui ananuia kuizalisha
Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon amesema: Kukubali kwa serekali ya Lebanon kupitia wanadiplomasia wake maudhui ya taarifa ya Washington na kukubali…
-
Hizbullah:
DuniaJinai inayofanywa na adui dhidi ya jeshi la taifa imekuwa ni matokeo ya kawaida na ya kupuuzwa kwa mamlaka ya nchi
Hawza / Hizbullah katika taarifa yake imesema: Shambulio la kijinai na la woga ambalo adui Mzayuni amelifanya dhidi ya jeshi letu la taifa ni jinai ya kweli na ya makusudi.
-
DuniaMkusanyiko wa Wanazuoni wa Jabal Amil umesisitiza kushikamana na uchaguzi wa kusimama imara, Muqawama na kuimarisha umoja wa Lebanon
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Jabal Amil nchini Lebanon katika ujumbe wake kwa mnasaba wa “Eidul Ghadir” umesisitiza kwamba; Lebanon chini ya mwendelezo wa mashambulizi na vitisho vya Israel,…
-
DuniaSheikh Qabalan amwambia Aoun: Kama kusingekuwa na Muqawama, adui Muisraeli angefika hadi Ikulu ya Rais
Hawza / Mwanazuoni mashuhuri wa Lebanon, katika ujumbe wake kwa Rais wa Lebanon, amesema: Yeyote anayehimiza Muqawama kujiondoa kusini mwa mto huku wakati huohuo asidai kuondoka kwa jeshi la…
-
Hizbullah ya Lebanon:
DuniaAyatullah al-Udhma Fayyadh alikuwa nguzo ya Marjaiyya na mtumishi wa Uislamu
Hawza/ Hizbullah ya Lebanon imetoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Ayatullah al-Udhma Sheikh Is'haq Fayyadh na kusisitiza kwamba; alikuwa miongoni mwa nguzo za Marjaiyya ya kidini ndani…
-
Sheikh Naim Qasim:
DuniaTunajivunia kwamba tulimfanya Imam Khomeini kuwa mfano wa maisha yetu na tukaunga mkono uthabiti na haki
Hawza/ Sheikh Naim Qasim, Katibu Mkuu wa Hizbullah, katika taarifa iliyotolewa kufuatia kumbukumbu ya mwaka wa kufariki kwa Imam Khomeini, alisisitiza kwamba; Mapinduzi ya Iran yalianza kutoka…
-
DuniaSheikh Ahmad Qabalan: Tunajivunia uhusiano wetu wa milele na Iran
Hawza/ Mufti Mkuu wa Jaafaria na mwanazuoni wa Kishia wa Lebanon amesema kuwa: Sitisho lolote la vita au njia yoyote itakayotufikisha kwenye matokeo haya, pamoja na mambo yanayohitajika kwa ajili…
-
Mwakilishi wa Kambi ya Muqawama:
DuniaKusisitiza Muqawama kunyang'anywa silaha ni sawa na kusisitiza kuondoa nguvu ya jamii hii
Hawza/ Ihab Hamada amesema: Kusisitiza kuvuliwa silaha kwa Muqawama, kwa hakika ni kusisitiza kuondoa sehemu ya nguvu ya jamii hii; hatua hii inalenga kuifanya jamii iwe dhaifu na iwe rahisi…
-
Harakati ya Umma:
DuniaNia ya mataifa yanayoamini haki na uhuru wao ina nguvu zaidi kuliko mashine zote za kivita
Hawza/ Harakati ya Umma ya Lebanon imelaani mashambulizi ya mara kwa mara ya Kizayuni yanayofanywa kusini mwa Lebanon na eneo la Biqaa pamoja na ukiukwaji wa kila siku wa mamlaka ya Lebanon,…
-
Ujumbe wa Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon kwenye Kongamano la Pili la Kimataifa la Ghadir na Muqawama:
DuniaHizbullah imesimama dhidi ya utawala wa Kizayuni kwa kuhamasishwa na Wilayah na utamaduni wa Ashura
Hawza/ Sheikh Naim Qassem katika ujumbe wake kwenye Kongamano la Pili la Kimataifa la Ghadir na Muqawama alisisitiza: Hizbullah ya Lebanon, kwa kuhamasishwa na madhehebu ya Imam Ali (as) na harakati…
-
Mkuu wa Baraza la Kisheria la Hizbullah:
DuniaHatutaachana na msimamo wetu, hata kama utasababisha makabiliano ya Hussein
Hawza/ Sheikh Muhammad Yazbak, Mkuu wa Baraza la Kisheria la Hizbullah, amesema katika ujumbe wake: “Tunawashukuru wote wanaotunyoshea mkono wa msaada na utetezi, na kwa namna ya pekee tunaishukuru…
-
Sheikh Ali Al-Khatib:
DuniaMaadamu Uvamizi Unaendelea, Muqawama Nao Utaendelea Kuwepo
Hawza/ Sheikh Ali Al-Khatib amewataka viongozi kutoweka matumaini yao kwa Marekani, ambayo inalenga kupitia mazungumzo ya moja kwa moja kuanzisha fitna ya ndani kwa ajili ya kumuokoa adui wa…
-
DuniaIsrael yafanya Mashambulizi Makubwa Upande wa Kusini; Idadi ya Mashahidi na Majeruhi Yaongezeka
Hawza/ Kusini mwa Lebanon tangu usiku wa manane wa Jumamosi hadi Jumapili kumeshuhudiwa mfululizo wa mashambulizi makubwa ya Israel yaliyohusisha mashambulizi ya anga, mashambulizi ya mizinga…
-
Miongoni mwa makamanda wa Hizbullah ya Lebanon:
DuniaTaifa la Lebanon halitarudi nyuma kutoka katika Muqawama
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Ghabris, akisisitiza kwamba taifa la Lebanon licha ya kubeba mizigo ya mashinikizo makubwa zaidi, vita na uharibifu mkubwa, bado halijarudi nyuma kutoka katika…
-
DuniaMwakilishi wa Hizbullah: Muqawama utaivuruga mipango ya Israel
Hawza/ Hassan Fadhlallah, mwakilishi wa Harakati ya Uaminifu kwa Muqawama wa Hizbullah, alisisitiza kwamba; adui Israeli inaendelea kutekeleza mashambulizi yanayoongezeka kusini mwa Lebanon na…
-
Sheikh Ahmad Qabalan:
DuniaIsrael Imeshindwa katika “Vita Vyake Vikubwa” na Hakuna Dhamana ya Kulinda Mamlaka ya Lebanon Isipokuwa Muqawama
Hawza/ Mufti Mkuu wa Kijaafari na mwanazuoni wa Kishia nchini Lebanon, akirejelea kushindwa kwa kimkakati kwa Marekani na utawala wa Kizayuni, aliongeza: Leo ni wakati wa kihistoria sana.
-
Sheikh Ali Al-Khatib:
DuniaShukrani nyingi kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran/ Tunakataa aina yoyote ya mazungumzo ya moja kwa moja na Israel
Hawza/ Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon, katika taarifa yake amesema kuwa; kumbukumbu ya miaka ishirini na sita ya ukombozi inakuja katika mazingira magumu…
-
DuniaMuqawama wa Lebanon Umejengwa Juu ya Msingi wa Kuutetea Uzalendo
Hawza/ Sherehe ya kuadhimisha ushindi wa Lebanon dhidi ya uvamizi wa utawala wa Kizayuni mwaka 2000 imefanyika, baada ya miaka mingi ya muqawama wa kishujaa wa watu wa kusini mwa Lebanon, sasa…
-
DuniaHizbullah Yaadhimisha kwa Sherehe Kubwa Kumbukumbu ya “Sikukuu ya Muqawama na Ukombozi” katika Mkoa wa Jabal Lebanon
Hawza/ Hizbullah ya Lebanon kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 26 ya “Sikukuu ya Muqawama na Ukombozi”, iliandaa hafla kubwa katika eneo la Majma‘ al-Bihar lililoko Sablin, katika mkoa…
-
Mbunge wa Lebanon:
DuniaYeyote Atakaye Kubaliana na Mipango ya Sasa ya Adui Mzayuni Atakuwa Mshirika Mkuu Katika Kumwaga Damu za Mashahidi
Hawza/ Rami Abou Hamdan alisema: Kinachoendelea leo ni zaidi ya madai ya kujaribu kufanikisha usitishaji vita kupitia makubaliano dhaifu; bali ni juhudi za kuisukuma Lebanon kuelekea kwenye “uanzishaj…
-
DuniaAli Fayya'dh: Uongozi wa Lebanon Unaelekea Ukingoni mwa Mazungumzo ya Moja kwa Moja Bila Kupata Mafanikio Yoyote
Hawza/ Mbunge na mwanachama wa Kundi la “Uaminifu kwa Muqawama” alisisitiza kwamba; maendeleo ya matukio yameonesha kuwa; uongozi wa Lebanon unaelekea kwenye ukingo wa mazungumzo ya moja kwa…
-
Mbunge wa Kundi Muqawama:
DuniaVipi Mlebanoni Anaweza Kusalimiana na Mkono Uliolowana Damu za Walebanoni?
Hawza/ Ihab Hamadeh alisema: Hata kama dunia yote itaungana dhidi yetu, hawataweza kamwe kutunyang’anya kwa nguvu hata chembe ya heshima yetu, ardhi yetu na ari yetu; ingawa sasa wameungana dhidi…
-
Sheikh Naim Qa'sim:
DuniaIran Itageuka Kuwa Nguvu ya Kipekee Yenye Nafasi ya Kimataifa
Hawza/ Sheikh Naim Qassem, Katibu Mkuu wa Hizbullah, alisisitiza kwamba; Muqawama ni zao na matunda ya harakati za watu wote wenye heshima, wapinzani wa dhulma na wazalendo.
-
Mwakilishi wa Hizbullah ya Lebanon mjini Qum Iran:
DuniaKuitegemea Marekani haijawahi kuwa njia ya wokovu wala haitakuwa hivyo kamwe
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Muin Daqiq, katika mkusanyiko mkubwa wa wanazuoni wa Hawza na Umma wa Hizbullah, huku akisisitiza kuwa; ushindi wa kambi ya haki ni jambo la uhakika,…
-
DuniaHizbullah; Nguvu Isiyoweza Kutoweka
Hawza/ Ahadi za jeshi la utawala wa Kizayuni kuhusu kuangamiza uwezo wa kivita wa Hizbullah zina tofauti kubwa sana na uhalisia uliopo uwanjani kusini mwa Lebanon. Kuendelea kwa mashambulizi…
-
DuniaWaislamu na watu huru duniani waiunge mkono Hizbullah ya Lebanon
hawza/ Ayatullah Hussein Nouri Hamedani, huku akilaani mashambulizi ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni muuaji wa watoto dhidi ya Lebanon, amewataka Waislamu wote na watu huru duniani kuiunga…