Hizbullah (62)
-
DuniaMradi wa Marekani na Israel ni kuondoa uhuru na muqawama katika eneo/ Vita vyovyote dhidi ya Iran vitahusisha eneo zima
Hawza/ Sheikh Naim Qassem, Katibu Mkuu wa Hezbollah ya Lebanon, katika mkusanyiko wa mshikamano wa Walebanon na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, alisisitiza kuwa Marekani na utawala wa Kizayuni…
-
DuniaHarakati ya Kata’ib Hizbullah ya Iraq yatoa Wito wa kujiandaa kwa “vita vya pande zote” kwa ajili ya kuiunga mkono Iran; mauti ya kutisha yanawasubiri wavamizi
Hawza/ Harakati ya Kata’ib Hizbullah ya Iraq, katika tamko kali, imewataka “wapiganaji wote wa jihadi Mashariki na Magharibi ya dunia” kujiandaa kwa “vita vya jumla” kwa ajili ya kuiunga mkono…
-
DuniaMjumbe wa Hizbullah: Kuondoa nguzo kuu ya Lebanon ni ndoto tu
Hawza/ Sheikh Muhammad Amrū alisisitiza kuwa mashinikizo ya kisiasa dhidi ya Lebanon hayatakuwa na matokeo yoyote maadamu mshikamano wa kitaifa unabaki kuwa nguzo kuu na tegemeo la nchi.
-
Mjumbe wa Muungano wa Uaminifu kwa Muqawama:
DuniaKinachopangwa kwa ajili ya Lebanon ni zaidi ya suala la silaha na kinaelekezwa kwenye mkondo wa kisiasa, kiusalama na kiuchumi
Hawza/ Ali Fayyadh alisema: Hizbullah ni chama kikubwa zaidi cha kisiasa kwa kuzingatia uungwaji mkono wa wananchi nchini Lebanon, na uzito pamoja na nafasi yake haviwezi kupuuzwa.
-
Mjumbe wa Baraza Kuu la Hizbullah Lebanon:
DuniaMuqawama unaendelea kwa nguvu hadi itakapotimia ahadi ya Mwenyezi Mungu / Maktaba ya Shahidi Suleimani ni nguzo ya kifikra kwa Muqawama wa Kiislamu
Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh al-Baghdadi alisisitiza kuwa: Muqawama unaendelea kwa nguvu na kwa kushikamana na maktaba ya mashahidi na uongozi, katika njia ya kusimama imara na kupambana na adui…
-
DuniaMazishi ya Mwanazuoni Sheikh Ridha Mahmoud Mahdi, yafanyika katika mji wa Khartoum nchini Lebanon
Hawza/ Hizbullah na watu wa Muqawama waliuaga mwili wa Mwanazuoni, Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Ridha Mahmoud Mahdi.
-
DuniaKiongozi mwandamizi wa Hizbullah: Muqawama hautapambana na jeshi na hautaruhusu fitina ya ndani
Hawza/ Sheikh Ali Damoush amesema: hapo awali ilielezwa kwamba kukamilishwa kwa hatua za jeshi kusini mwa Mto Litani kulitegemea kusitishwa kwa mashambulizi na kujiondoa kwa adui “Muisraeli”…
-
Ali Fayyadh Akiihutubia Serikali ya Lebanon:
DuniaIkiwa adui anaendelea kuwaua Walebanon, mazungumzo naye yana thamani gani?
Hawza/ Mjumbe wa kundi la wabunge la “Uaminifu kwa Muqāwama” katika Bunge la Lebanon alisema: Leo, damu takatifu za Jeshi shujaa la Lebanon, ambalo tunathamini misimamo na busara za uongozi wake,…
-
Mshauri wa Waziri Mkuu wa Iraq Katika Maswala ya Utamaduni:
DuniaKusimama imara kwa Waislamu ndio siri ya mafanikio ya Muqawama
Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh Nouri, katika kongamano la kimataifa la “Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah; Siri ya Muqawama na Umahiri wa Uongozi”, alisisitiza kuwa: kusimama imara kwa pande zote…
-
Rais wa Chuo Kikuu cha Ilya cha Iraq:
DuniaNjia ya mapambano ya Kiislamu inawezekana kwa kufuata mafundisho ya Qur’ani na Sunna
Hawza/ Rais wa Chuo Kikuu cha Ilya cha Iraq, katika kongamano la kimataifa la “Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah”, alisisitiza kuwa njia ya mapambano ya Kiislamu inawezekana tu kwa kushikamana…
-
Mjumbe wa Kundi la Muqawama:
DuniaMwenendo wa Mazungumzo na Israel ni hatari kubwa kwa Lebanon
Hawza/ Ali Fayyadh ameonesha wasiwasi wake mkubwa kuhusu maendeleo ya mazungumzo ya Lebanon na Israel, akisema kuwa; kwa kuteleza Lebanon kuelekea kufanya mazungumzo na Waisraeli chini ya uongozi…
-
Waziri wa Zamani wa Lebanon:
DuniaHakuna Nafasi ya Kujisalimisha Katika Kamusi Yetu, Muqawama ni Utamaduni wa Maisha
Hawza/ Mustafa Bairam alisisitiza kuwa muqawama nchini Lebanon, sambamba na watu wake, umefikia viwango vya juu kabisa vya wajibu wa kibinadamu na kitaifa katika kusimama upande wa wanyonge,…
-
Mwakilishi wa Hizbullah:
DuniaLicha ya Mashinikizo Yote, Muqawama Utaendelea Kumiliki Silaha
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Faisal Shukr alisisitiza kuwa; bendera ya muqawama itaendelea kuinuliwa, na silaha zake, licha ya mashinikizo yote, silaha zitaendelea kubakia mikononi mwa wapiganaji…
-
Iyhab Hamadeh:
DuniaLebanon Kamwe Haitatolewa Zawadi Bure Kutokana na Tamaa za Wazayuni na Marekani
Hawza/ Chama cha Hizbullah kiliandaa hafla katika Husseinia ya mji wa Hlabta, kutokana na mnasaba wa kumbukizi ya mwaka wa shahada ya Sheikh Adnan Ali Saifuddin.
-
DuniaMjumbe Mwandamizi wa Hizbullah: Tutachukua Uamuzi Mwafaka Kuhusiana na Uvamizi wa Israel
Hawza/ Mahmoud Qomati amesisitiza kuwa shambulio la Israel dhidi ya Dhahia kusini mwa Beirut ni ujumbe wa uhasama na ni uvunjaji wa mamlaka ya Lebanon.
-
DuniaMsaada Kamiki wa Jumuiya ya Maulama wa Kiislamu Lebanon Kuuelekea Muqawama ya Kiislamu
Hawza/ Jumuiya ya Maulama wa Kiislamu wa Lebanon, katika tamko walilo litoa ilisema: Uvamizi wa maafisa wa Marekani kwenye eneo hilo, wakidai kuwa wanatafuta suluhu, unalenga kuandaa mazingira…
-
DuniaSheikh Naeem Qassem Kufanya Mzungumzo na kituo cha Al-Manar
Hawza/ Sheikh Naeem Qassem, usiku wa leo, kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya kutimiza mwaka mmoja tangu achukue wadhifa wa Ukatibu Mkuu, atakuwa mgeni katika kituo cha Al-Manar.
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Jumuiya ya Kimataifa ya Wanazuoni wa Muqāwama:
DuniaMipango ya maadui ya kulivua silaha Jeshi la Hizbullah imefeli
Hawza/ Mkurugenzi Mtendaji wa Jumuiya ya Kimataifa ya Wanazuoni wa Muqāwama alisisitiza kuwa: “Leo Hizbullah ya Lebanon ni yenye nguvu kuliko ilivyowahi kuwa, na njama chafu za maadui za kuinyang’anya…
-
Sheikh Na‘im Qasim:
DuniaSilaha za Hizbullah ni sehemu ya nguvu ya Lebanon
Hawza/ Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa silaha ni sehemu ya nguvu ya Lebanon, na kwamba maadui hawataki Lebanon iwe na nguvu.
-
Mjumbe katika Jumuiya ya Wabunge wa Muqawama:
DuniaUvamizi wa Israel dhidi ya Lebanon hautabadilisha kwa vyovyote mlingano wa ustahimilivu
Hawza/ Hasan ‘Izzuddin amesema kuwa: Adui wa Kizayuni katika siku za hivi karibuni amezisha mashambulizi yake dhidi ya Lebanon, kwa kuwa anaamini kwamba kupitia shinikizo la kisiasa na kiuchumi,…
-
Mjumbe wa Hizbullah ya Lebanon:
DuniaUchaguzi ujao ni hatua muhimu ya kuhuisha imani kwa chaguo la muqawama
Hawza/ Hussein al-Nimr, kiongozi wa eneo la Biqā‘ ndani ya Hizbullah, amesema kuwa jamii ya muqawama katika kila uchaguzi imeonesha kuwa ni jamii imara, thabiti na isiyoshindwa, ambayo kamwe…
-
Msaidizi wa Kimataifa wa Hawza:
DuniaKile tulichokiona Lebanon ni Hizbullah imara, yenye mshikamano na muundo madhubuti wa kiuongozi
Hawza/ Msaidizi wa kimataifa wa hawza ameeleza shughuli za ujumbe wa kielimu uliotumwa kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kushiriki kwenye kumbukumbu ya mwaka wa kwanza wa kuuawa shahidi Sayyid…
-
Mjumbe wa Kundi la Muqawama nchini Lebanon:
DuniaKulinda Muqawama na damu za Mashahidi ni amana iliyopo shingoni mwetu
Hawza / Hospitali ya Darul-Hikma huko Baalbek imeadhimisha kumbukumbu ya mwaka wa shahada ya Sayyid Hassan Nasrallah, Sayyid Hashim Safiuddīn, pamoja na mashahidi watatu.
-
Naibu wa Masuala ya Kimataifa wa Hawza akiwa Baalbek:
DuniaKutoa heshima kwa Shahidi Musawi na kusisitiza Mazungumzo ya Muqawama nchini Lebanon
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Hussein Kuhsari, Naibu wa Masuala ya Kimataifa wa Hawza, katika kuendeleza ziara yake nchini Lebanon, ametembelea eneo la Bekaa na mji wa kihistoria…
-
Balozi wa Zamani wa Iran Nchini Lebanon:
DuniaShahada ya dhulma ya Nasrallah Imeandaa Mazingira ya Kuimarika kwa Jabhatu’l-Muqawama
Hawza / Balozi wa zamani wa Iran nchini Lebanon amebainisha kuwa: Sayyid Hassan Nasrallah ni mtu mkubwa ambaye shahada yake ya kidhulma imeifanya Jabhatu’l-Muqawama kuwa hai zaidi na yenye nguvu…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaShahada ya Sayyid Hassan Nasrullah imefungua ukurasa mpya wa kuunga mkono jukwaa la mapambano
Hawzah / Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya mwaka wa kwanza wa kuuawa kishahidi Sayyid Hassan Nasrallah, amesema: Damu…
-
Kiongozi wa Ansarullah Yemen:
DuniaSayyid Hassan Nasrullah ni shahidi wa Uislamu na ubinadamu
Hawza/ Sayyid Abdulmalik Badreddin, kiongozi wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen, katika hotuba yake kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya shahada ya Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa…
-
Sheikh Naeem Qasim:
DuniaKamwe hatutaacha silaha za muqawama
Hawza / Katibu Mkuu wa Hizbullah Lebanon katika sherehe za kumbukumbu ya mwaka wa kwanza tangia kupata shahada Sayyid Hassan Nasrullah na Sayyid Hashim Safiuddin mjini Beirut alisema: “Ewe Nasrullah,…
-
Makamu wa Rais wa Baraza Kuu la Kiislamu la Kishia Lebanon:
DuniaMapambano na Israel ni mapambano ya Kitamaduni yanayo endelea, na Muqawama haujashindwa na kamwe hautashindwa
Hawza/ Sheikh Ali al-Khateeb amesisitiza kwamba jamii ya Lebanon, pamoja na kuwa na tofauti za kimadhehebu na kidini, bado ni jamii moja yenye mshikamano, na msimamo wake unapaswa kuwa wa umoja…
-
Kuhuisha kumbukumbu ya Sayyid wa Muqawama:
DuniaKuanzia mapenzi maalumu ya Shahidi Nasrallah kwa Wairani hadi ahadi ya Imam Khomeini (r.a) kwa Sayyid wa Muqawama
Hawza/ Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah: “Tangia mwanzo yalikuwepo mapenzi na upendo kati yangu na ndugu zangu Wairani, marafiki zangu walikuwa wakiniambia: wewe unawapenda Wairani na Wairani…