Arobaini ya Imam Hussein (18)
-
DuniaImamu wa Ijumaa Najafu Ashraf, Akosoa kuhusiana na kuenezwa baadhi ya upotovu wa kidini na kimaadili katika majlisi za Huseini
Hawza / Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanchi alisema: “Tunaamini kuwa Hashd al-Sha‘bi ni nukta ya nguvu ya Iraq na Hashd al-Sha‘bi ni alama ya heshima na fahari ya Iraq, kuvunjwa…
-
DuniaMshikamano kati ya Wanazuoni wa Kishia na Kisunni nchini Bangladeshi katika Kuiheshimu Arubaini ya Imam Husein (a.s.)
Hawza/ Kwa mara ya kwanza nchini Bangladeshi, wanazuoni wa Kishia na Kisunni wameungana kwa pamoja katika kugawa tabarruk za Imam Husein (a.s.) katika mji wa Khulna; hatua ambayo ni ishara ya…
-
DuniaMwanazuoni wa Kishia kutoka Kashmir: Turekebishe maisha yetu kwa kuufuata mwenendo wa Imam Husein (a.s.)
Hawzah/ Hujjat al-Islam Sayyid Hadi Musawi, katika kikao chake kwa ajili ya maombolezo, alisema: Bibi Zaynab (s.a.) kutokana khutuba zake aliuhifadhi utajo wa Karbala, na Imam Sajjad (a.s.) kwa…
-
Kwa kutegemea mfumo sahihi wa kuhesabu kielektroniki;
DuniaAtaba Tukufu ya Abulfadhil Abbasi (a.s) yatangaza idadi ya mazuwari waliohudhuria katika Ziara ya Arubaini mwaka huu
Hawza/ Ataba Tukufu ya Abulfadhil Abbasi (a.s) imetangaza uwepo wa zaidi ya mazuwari milioni 21 kwenye maadhimisho ya ziara ya Arubaini, taarifa hii imetolewa kwa kutumia mfumo sahihi wa kuhesabu…
-
HawzaHawza yatoa Shukrani za dhati kutokana na mahudhurio ya mamilioni ya watu kwenye Arubaini pamoja na Ukarimu wa Serikali na Taifa la Iraq
Hawza/ Kituo cha Usimamizi wa Hawza, sambamba na kuthamini uwepo wa mamilioni ya waty katika tukio hili kubwa la kimungu na kistaarabu la Arubaini, na pia kutoa shukrani zake kutokana na ukarimu…
-
Ayatullah Saidi katika khutba za Sala ya Ijumaa:
Dunia"Kumuitikia Imam Hussein ni sawa na kumuitikia Imam Mahdi / Mjumuiko mkubwa wa Arubaini ni fursa bora ya kubainisha na kutangaza Uislamu safi wa Muhammadi"
Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom Irani, amesema: Arubaini ni harakati ya pamoja kuelekea kwa Imamu na Hujjat wa Mwenyezi Mungu, Arubaini ina uhusiano wa karibu mno na Mahdawiyya kiasi kwamba kusema…
-
Ayatullah Al-Udhma Jawad Amuli:
Dunia Lengo Kuu la Sayyid al-Shuhadaa (a.s.) Lilikuwa ni Kufundisha na Kuwatakasha watu
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Al-Udhma Jawadi Amuli amesema: Ziara ya Arubaini humwondoa mwanadamu katika tabia ya kuwa na huzuni ya kupita kiasi, pupa na ubinafsi wa kuzuia mema, na lengo kuu la…
-
DuniaMaukibu (Hema) ya kupinga uzayuni katika njia ya kuelekea kwenye Arubaini ya Imam Husein (as); Maonyesho ya jinai zinazofanywa na Marekani kwenye nguzo ya 794
Hawza/ Kwenye njia ya matembezi ya Arubaini, karibu na nguzo ya 794, kumewekwa hema (Maukibu) tofauti yenye sura ya maonyesho ya kimataifa; mahali ambapo picha na vielelezo vya jinai za utawala…
-
DuniaUwepo wa kuvutia wa mazuwari wa Nigeria katika matembezi ya Arubaini ya Imam Husein (as)
Hawza/ Kikosi cha mazuwari wa kinigeria, kutokana na juhudi za Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, kimeshiriki kwenye matembezi ya Arubaini.
-
DuniaMwakilishi wa Ayatollah Al-Udhma Sistani Ulaya: Arubaini ya Husseini; Ujumbe wa mwamko, uaminifu na kusimama imara mbele ya dhulma
Hawza/ Hujjat al-Islam wal-Muslimin Sayyid Murtadha Kashmiri, mwakilishi wa Ayatollah Al-Udhma Sayyid Ali Sistani katika bara la Ulaya, katika ujumbe wake kwa mazuwari wa Arubaini amesisitiza…
-
DuniaMwisho wa Mkwe wa Saddam ambae Alivamia Haram ya Imam Hussein (as)
Hawza/ Hussein Kamel, kwa ushujaa na urongo, alivamia Haram ya Ab'a Abdillah (as) kwa amri ya Saddam Hussein mwaka 1370 Hijria Shamsiya, na kuelekeza mizinga ya vifaru kuelekea kwenye kuba tukufu,…
-
DuniaAkili Mnemba Katika kutoa Huduma kwenye Arbaeen ya Hussein
Hawza/ Leo, badala ya kulalamikia vikwazo vya vyombo vya habari, inapaswa kutumika akili mnemba kwa ajili ya kuunda “chombo cha habari huru na chenye akili”; chombo cha habari ambacho kitaweza…
-
DuniaSheikh Zakzaky awapokea mazuwari wa Kinigeria kabla ya kuondoka kuelekea matembezi ya Arubaini ya Husein (as)
Hawza/ Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Ibrahim Zakzaky, amewapokea mahujaji wote wa Nigeria wanaokusudia kuelekea Karbala katika siku za Arubaini ya Husein, kabla ya kuondoka kwao…
-
DuniaMtafiti wa Bangladeshi: Arubaini ya Husseini; Ni harakati ya Ulimwengu ya Kudai haki na Kusimama dhidi ya dhulma
Hawza/ Hujjat al-Islam Sayyid Husayn Khurshid Abidi amesema: Arubaini ni harakati kubwa inayofikisha ujumbe wa Imam Hussein (as) zaidi ya mipaka ya dini na nchi, na inawaalika wanadamu wote kushikaman…
-
DuniaArubaini ya Husseini ni Alama ya Mshikamano na Umoja wa Watu Duniani
Hawza/ Hujjat al-Islam wal-Muslimin Isma’ili, alieleza kuwa Arubaini ya Husseini ni alama ya mshikamano na umoja wa watu wa duniani, na akasema: "Kuuawa kishahidi Imam Hussein (as) huko Karbala…
-
Mtafiti wa Kiislamu kutoka Pakistan amebainisha:
DuniaKumlaani Yazid kwa mujibu wa mtazamo wa wanazuoni wa Ahl al-Sunnah
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Dhia al-Hasan Najafi katika khutba za Sala ya Ijumaa alisema kuwa: Kumlaani Yazid kwa mtazamo wa Ahl al-Sunnah pia kunajuzu, na kumsafisha Yazid ni kupotosha historia…
-
HawzaTakriban Wahubiri 15 elfu watajishughulisha na kufanya Tabligh katika masiku ya Arubaini ya Mwaka Huu
Hujjatul-Islam Murtaza Isteqamat ametangaza kwamba: Mwaka huu, uwepo wa walinganizi katika kipindi cha Arubaini umekuwa na ongezeko kubwa; mwaka uliopita, takriban watu 11 elfu hadi 12 elfu wakiwemo…
-
HawzaKituo cha Vyombo vya Habari na Mitandao ya Kijamii cha Hawza kipo tayari kutoa mafunzo ya vyombo vya habari kwa wahubiri (Muballighin) kwenye masiku ya Arobaini
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Rostami amesema: Tuko tayari kutoa mafunzo ya vyombo vya habari kwa wanaojitolea na watu waliotajwa na Idara ya Mahusiano ya Kimataifa kabla ya siku za Arobaini,…