Arobaini ya Imam Hussein (23)
-
DuniaKongamano la Wahubiri wa Afrika Lafanyika Karbala; Watoa Mada Wahimiza Umoja, Kuieneza Dini na Kuwatetea Wanaodhulumiwa
Hawza/ Katika mwendelezo wa shughuli za maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein (as), Jumuiya ya Aimmat Huda't imefanya Kongamano la Wahubiri wa Afrika mjini Karbala, likiwakutanisha wahubiri…
-
Ayatullah Jawadi Amuli
DuniaArubaini ni zao la ujumbe wa milele wa Bibi Zaynab (as)/ Uhai na maendeleo ya kielimu ndiyo njia pekee ya kujibu shubha
Hawza/ Ayatullah Jawadi Amuli amesisitiza kuwa: Harakati ya Arubaini ni zao la ule ujumbe wa milele uliotolewa na Bibi Zaynab Kubra (as) aliposema: “Sisi hatutanyamazishwa kamwe.”
-
Sheikh Adel Al-Shaala:
DuniaKuweka sharti la kupata kibali cha serikali ya Bahrain ili kuwazuru Maimamu (as) ni miongoni mwa makatazo makubwa kabisa
Hawza/ Sheikh Adel Al-Shaala, mwanazuoni wa Kishia wa Bahrain, amesisitiza kwamba; ibada ya kuwazuru Maimamu Maasumina (as) si kama hukumu nyingine za kisheria, bali ni miongoni mwa alama na…
-
Chombo cha Habari cha Usalama cha Iraq:
DuniaZaidi ya mazuwari milioni 3 wameingia Iraq hadi sasa kwa ajili ya Arubaini
Hawza/ Mkuu wa Kamati ya Habari ya Usalama ya Iraq ametangaza kuwa idadi ya mazuwari walioingia Iraq kupitia mipaka mbalimbali kwa ajili ya kuhuisha ziara ya Arubaini ya Imam Hussein (as) imevuka…
-
Ayatullah Saiidi katika Swala ya Ijumaa mjini Qom:
DuniaUstahimilivu ni somo kubwa la Arubaini katika zama zetu za leo
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa wa Qom amesema: Arubaini ina mafunzo makubwa, na miongoni mwa mafunzo hayo ni ustahimilivu. Imam Hussein (as) kupitia harakati yake alibainisha kwamba; kipimo…
-
DuniaMafunzo 6 ya Kistaarabu ya Arubaini katika Tamko la Kimkakati la Ayatullah A'raafi/ Uhusiano wa Damu ya Imam Hussein (as) na Damu ya Shahidi Khamenei Ufikishiwe Walimwengu
Mkurugenzi wa Hawza za Elimu ya Dini, akieleza masomo ya kistaarabu ya Arubaini, amewapa jukumu wanafunzi wa hawza na wahubiri kwamba katika mawakibu, njiani na katika fursa mbalimbali za ulinganiaji,…
-
DuniaChuo Kikuu cha Al-Zahra mjini Karbala chawa mwenyeji wa Kongamano la Tano la Kimataifa la “Ulingano wa al-Aqsa”
Hawza/ Chuo Kikuu cha Al-Zahra mjini Karbala kilikuwa mwenyeji wa Kongamano la Tano la Kimataifa la “Nidaa al-Aqsa”, lililohudhuriwa na wajumbe na shakhsia kutoka nchi mbalimbali.
-
DuniaAyatullah A'rafi atembelea nyumba ya Marehemu Ayatullah al-Udhma Fayyadh
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, akiendelea na ziara yake nchini Iraq, alitembelea nyumba ya Marehemu Ayatullah al-Udhma Sheikh Is'haq Fayyadh, mmoja wa Marajii Wakuu wa Taqlidi nchini…
-
Katika Kongamano la “Ulingano wa al-Aqsa” mjini Karbala:
DuniaAyatullah A'rafi asisitiza kuwa, Iran itaendelea kuiunga mkono Palestina
Hawza/ Ayatullah A'rafi katika hotuba yake kwenye kikao cha ufunguzi wa Kongamano la Tano la Kimataifa la “Nidaa al-Aqsa” lililofanyika Karbala, alisisitiza kuendelea kwa uungaji mkono wa Jamhuri…
-
DuniaMkutano Mkuu wa Kamati ya Arubaini ya Hawza na Masheikh, pamoja na Viongozi wa Kikabila wa Mkoa wa Al-Muthanna Wafanyika/ Yasisitizwa Umoja na Mshikamano wa Umma wa Kiislamu
Hawza/ Mkuu wa Kamati ya Arubaini ya Hawza za Kielimu amekutana na kufanya mazungumzo na kundi la masheikh pamoja na viongozi wa makabila wa Mkoa wa Al-Muthanna.
-
DuniaHaram Tukufu ya Alawi yatangaza mpango wake wa kitabibu, kiafya na huduma zake kwa ajili ya kuwahudumia mazuwari wa Arubaini
Hawza/ Kituo cha Tiba cha "Rasul al-A'dham (saww)" kilicho chini ya Haram Tukufu ya Alawi kimetangaza kukamilisha maandalizi maalumu ya kitabibu na kiafya kwa ajili ya ziara ya Arubaini ya Imam…
-
DuniaImamu wa Ijumaa Najafu Ashraf, Akosoa kuhusiana na kuenezwa baadhi ya upotovu wa kidini na kimaadili katika majlisi za Huseini
Hawza / Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanchi alisema: “Tunaamini kuwa Hashd al-Sha‘bi ni nukta ya nguvu ya Iraq na Hashd al-Sha‘bi ni alama ya heshima na fahari ya Iraq, kuvunjwa…
-
DuniaMshikamano kati ya Wanazuoni wa Kishia na Kisunni nchini Bangladeshi katika Kuiheshimu Arubaini ya Imam Husein (a.s.)
Hawza/ Kwa mara ya kwanza nchini Bangladeshi, wanazuoni wa Kishia na Kisunni wameungana kwa pamoja katika kugawa tabarruk za Imam Husein (a.s.) katika mji wa Khulna; hatua ambayo ni ishara ya…
-
DuniaMwanazuoni wa Kishia kutoka Kashmir: Turekebishe maisha yetu kwa kuufuata mwenendo wa Imam Husein (a.s.)
Hawzah/ Hujjat al-Islam Sayyid Hadi Musawi, katika kikao chake kwa ajili ya maombolezo, alisema: Bibi Zaynab (s.a.) kutokana khutuba zake aliuhifadhi utajo wa Karbala, na Imam Sajjad (a.s.) kwa…
-
Kwa kutegemea mfumo sahihi wa kuhesabu kielektroniki;
DuniaAtaba Tukufu ya Abulfadhil Abbasi (a.s) yatangaza idadi ya mazuwari waliohudhuria katika Ziara ya Arubaini mwaka huu
Hawza/ Ataba Tukufu ya Abulfadhil Abbasi (a.s) imetangaza uwepo wa zaidi ya mazuwari milioni 21 kwenye maadhimisho ya ziara ya Arubaini, taarifa hii imetolewa kwa kutumia mfumo sahihi wa kuhesabu…
-
HawzaHawza yatoa Shukrani za dhati kutokana na mahudhurio ya mamilioni ya watu kwenye Arubaini pamoja na Ukarimu wa Serikali na Taifa la Iraq
Hawza/ Kituo cha Usimamizi wa Hawza, sambamba na kuthamini uwepo wa mamilioni ya waty katika tukio hili kubwa la kimungu na kistaarabu la Arubaini, na pia kutoa shukrani zake kutokana na ukarimu…
-
Ayatullah Saidi katika khutba za Sala ya Ijumaa:
Dunia"Kumuitikia Imam Hussein ni sawa na kumuitikia Imam Mahdi / Mjumuiko mkubwa wa Arubaini ni fursa bora ya kubainisha na kutangaza Uislamu safi wa Muhammadi"
Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom Irani, amesema: Arubaini ni harakati ya pamoja kuelekea kwa Imamu na Hujjat wa Mwenyezi Mungu, Arubaini ina uhusiano wa karibu mno na Mahdawiyya kiasi kwamba kusema…
-
Ayatullah Al-Udhma Jawad Amuli:
Dunia Lengo Kuu la Sayyid al-Shuhadaa (a.s.) Lilikuwa ni Kufundisha na Kuwatakasha watu
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Al-Udhma Jawadi Amuli amesema: Ziara ya Arubaini humwondoa mwanadamu katika tabia ya kuwa na huzuni ya kupita kiasi, pupa na ubinafsi wa kuzuia mema, na lengo kuu la…
-
DuniaMaukibu (Hema) ya kupinga uzayuni katika njia ya kuelekea kwenye Arubaini ya Imam Husein (as); Maonyesho ya jinai zinazofanywa na Marekani kwenye nguzo ya 794
Hawza/ Kwenye njia ya matembezi ya Arubaini, karibu na nguzo ya 794, kumewekwa hema (Maukibu) tofauti yenye sura ya maonyesho ya kimataifa; mahali ambapo picha na vielelezo vya jinai za utawala…
-
DuniaUwepo wa kuvutia wa mazuwari wa Nigeria katika matembezi ya Arubaini ya Imam Husein (as)
Hawza/ Kikosi cha mazuwari wa kinigeria, kutokana na juhudi za Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, kimeshiriki kwenye matembezi ya Arubaini.
-
DuniaMwakilishi wa Ayatollah Al-Udhma Sistani Ulaya: Arubaini ya Husseini; Ujumbe wa mwamko, uaminifu na kusimama imara mbele ya dhulma
Hawza/ Hujjat al-Islam wal-Muslimin Sayyid Murtadha Kashmiri, mwakilishi wa Ayatollah Al-Udhma Sayyid Ali Sistani katika bara la Ulaya, katika ujumbe wake kwa mazuwari wa Arubaini amesisitiza…
-
DuniaMwisho wa Mkwe wa Saddam ambae Alivamia Haram ya Imam Hussein (as)
Hawza/ Hussein Kamel, kwa ushujaa na urongo, alivamia Haram ya Ab'a Abdillah (as) kwa amri ya Saddam Hussein mwaka 1370 Hijria Shamsiya, na kuelekeza mizinga ya vifaru kuelekea kwenye kuba tukufu,…
-
DuniaAkili Mnemba Katika kutoa Huduma kwenye Arbaeen ya Hussein
Hawza/ Leo, badala ya kulalamikia vikwazo vya vyombo vya habari, inapaswa kutumika akili mnemba kwa ajili ya kuunda “chombo cha habari huru na chenye akili”; chombo cha habari ambacho kitaweza…