Ansarullah (25)
-
Kamanda wa zamani wa Jeshi la Wanamaji la Israel:
DuniaUlaya na Israel hawana uwezo wa kuidhibiti Yemen
Hawza/ Kamanda wa zamani wa Jeshi la Wanamaji la utawala wa Kizayuni, akikiri kushindwa kwa Israel na nchi za Ulaya katika kukabiliana na Yemen, amesisitiza kuwa; uwezo wa kuzuia (deterrence)…
-
Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Ansarullah:
DuniaIran ndiyo nchi pekee iliyosimama pamoja na Yemen kwa kutegemea wajibu wake wa Kiislamu na kibinadamu
Hawza/ Ali Al-Emad amesisitiza kuwa; mapambano ya kuvunja mzingiro dhidi ya Yemen ni wajibu wa kitaifa na jukumu lisiloweza kuachwa, wala si hatua ya kisiasa au chombo cha shinikizo la kijeshi.
-
DuniaHarakati ya Hamas yashukuru mashambulizi ya Yemen na Iran dhidi ya utawala wa Kizayuni
Hawza/ Harakati ya Muqawama wa Kiislamu “Hamas” imepongeza majibu ya Iran na Yemen dhidi ya utawala wa Kizayuni na uhalifu wake dhidi ya Lebanon na wananchi wa nchi hiyo.
-
Kiongozi wa Ansarullah Yemen:
DuniaAmirul-Muuminina Ali (as), ni kipimo cha imani
Hawza/ Abdul-Malik Badruddin al-Houthi, kiongozi wa Ansarullah ya Yemen, alizungumzia kwa kina suala la kutangazwa kwa “haki ya Wilayah” kwa Imam Ali (as) na amri ya Mwenyezi Mungu kwa Mtume…
-
DuniaJumuiya ya “Warithi wa Ardhi” katika kulienzi taifa la wapambanaji wa Yemen yafanya kongamano mjini Mashhad Iran
Hawza/ Jumuiya ya “Warithi wa Ardhi” katika kulienzi taifa la wapambanaji wa Yemen imefanya kongamano jioni ya tarehe 10 May kwa ushiriki wa makundi mbalimbali ya wananchi katika uwanja wa Shariati…
-
Ofisi ya Kisiasa ya Ansarullah:
DuniaTunasisitiza haki ya Lebanon na Muqawama wa Kiislamu katika kutoa jibu halali kwa uvamizi wa wazi
Hawza/ Ofisi ya Kisiasa ya Ansarullah ya Yemen imelaani uhalifu wa kutisha uliotekelezwa na utawala wa adui Muisraeli dhidi ya taifa la Lebanon, uliosababisha mamia ya mashahidi na majeruhi.
-
DuniaKiongozi wa Ansarullah Yemen ampongeza Ayatullah Sayyid Mujtaba Khamenei kwa kuchaguliwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Iran
Hawza/ Sayyid Abdul-Malik al-Houthi, kiongozi wa Ansarullah Yemen, ametoa pongezi kwa kuchaguliwa kwa Ayatullah Sayyid Mujtaba Khamenei kuwa kiongozi wa tatu wa Mapinduzi ya Iran.
-
Ujumbe wa wazi wa watu wa Yemen kwa Wazayuni:
DuniaMpaka mwisho wa uhai tutailinda Palestina / Tuko tayari kwa aina yoyote ya mapigano
Hawza/ Mandhari za uwanja katika mikoa ya Amran, Rima, Hajjah, Ma’rib, al-Mahwit, Ta‘iz na al-Bayda zinaonesha kuendelea kwa harakati za umma za Yemen, zinadhihirisha uaminifu kwa mashahidi na…
-
DuniaMkuu wa Majeshi ya Yemen auawa shahidi
Hawza/ Jeshi la Yemen siku ya Alhamisi limetoa tamko rasmi likitangaza kuuawa kishahidi jenerali wa ngazi ya juu Mohammad Abdulkarim al-Ghamari, aliyekuwa Mkuu wa Majeshi ya Yemen, na kutoa salamu…
-
DuniaYemen katika sherehe ya kumbukumbu ya mwaka wa kumi na moja wa Mapinduzi yake Wameungana kuliko wakati wowote
Hawza/ Viongozi wa ngazi za juu, makamanda na wakuu wa vyama vya kisiasa vya Yemen, walihudhuria kumbukumbu ya mwaka wa kumi na moja wa Mapinduzi ya tarehe 21 Septemba ya Yemen, wakitangaza uaminifu…
-
Kiongozi wa Ansarullah:
DuniaDamu ya Mashahidi ni Taa ya Njia ya Quds na Hazina ya Ushindi kwa Ummah wa Kiislamu
Hawza/ Seyyed Abdulmalik Badruddin Al-Houthi, kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen, katika kujibu ujumbe wa rambirambi kutoka kwa Abul-Alaa Al-Wala’i, alieleza kuwa kupata shahad rais…
-
Imam wa Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaKuuwawa kishahidi Waziri Mkuu na viongozi mashuhuri wa Yemen hakukuathiri mwendelezo wa mapambano ya Yemen
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanji alisema: Kuuwawa kishahidi Waziri Mkuu wa Yemen pamoja na viongozi wengine 21 mashuhuri wa Yemen hakukuathiri mwendelezo wa mapambano…
-
Ayatullah Saidi katika Swala ya Ijumaa Qom, nchi Iran:
DuniaUshirikiano wa wananchi umeangamiza njama za Marekani na utawala wa Kizayuni / “Umoja” ndii suluhisho katika kuueneza Uislamu duniani
Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom alisema: “Utawala wa Kizayuni ulidhani kwamba, kwa kudhoofisha imani ya wananchi na kuchichea kukata tamaa ungeweza kutikisa misingi ya serikali, lakini mshikamano…
-
DuniaKiongozi wa Jamaat-e-Islami Pakistan: Kujitolea kwa Iran katika kuiunga mkono Palestina ni fahari kwa Umma wa Kiislamu
Hawza/ Hafiz Naeemur Rehman katika hotuba yake alisisitiza kwamba kujitolea kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuliunga mkono taifa la Palestina ni chanzo cha fahari kwa umma wa Kiislamu…
-
Balozi wa Yemen nchini Iran:
DuniaChanzo cha matatizo katika ukanda huu ni uvimbe wa saratani wa Kizayuni
Hawza/ Ibrahim Muhammad al-Daylami, huku akilaani ukimya wa nchi za Kiarabu na Kiislamu mbele ya uvamizi wa utawala wa Kizayuni, ameitaja Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kama mlinzi pekee wa kweli…
-
DuniaRais wa Kituo cha Utafiti cha Bunge: Mikakati ya pamoja ya Yemen imedhoofisha biashara ya baharini ya utawala wa Kizayuni
Hawza/ Babak Negahdari alibainisha kuwa hatua za Yemen si tu zimeongeza gharama za utawala wa Kizayuni na Marekani katika eneo, bali pia zimeutikisa ubeberu kwenye sekta ya kiuchumi hasa Marekani,…
-
DuniaTamko la Pamoja la Wawakilishi wa Ataba Tukufu za Iran Kuhusu Kulaani Jinai iliyofanywa na Utawala wa Kizayuni Nchini Yemen
Hawza/ Kamati ya Wawakilishi wa Ataba Tukufu Iran wamelaani vikali shambulizi la kigaidi, la kinyama na lisilo la haki lililofanywa na utawala haramu wa Kizayuni dhidi ya taifa huru na wananchi…
-
DuniaUmoja wa Ulamaa wa Muqawama Ulimwenguni: Jinai zinazofanywa na Wazayuni Haziwezi Kudhoofisha Azma ya Taifa la Yemen
Hawza/ Umoja wa Ulamaa wa Muqawama Ulimwenguni, kufuatia shambulizi la anga lililofanywa na utawala wa Kizayuni lililolenga kikao rasmi cha kiserikali mjini Sana’a, mji mkuu wa Yemen, umetuma…
-
DuniaChama cha Ustawi wa Kitaifa cha Afghanistan: Kunyamaza dhidi ya ugaidi waliofanyiwa viongozi wa Yemen, kunachochea uvamizi unaoendelezwa na Israeli
Hawza/ Katibu Mkuu wa Chama cha Ustawi wa Kitaifa cha Afghanistan amelaani mauaji ya kigaidi dhidi ya Waziri Mkuu na mawaziri wa Yemen, na akaonya kwamba endapo ulimwengu wa Kiislamu hautachukua…
-
Taarifa ya Jumuiya ya Walimu wa Hawza Tukufu ya Qum, Kuhusu Kulaani Mauaji ya Kigaidi Dhidi ya Baadhi ya Mawaziri wa Yemen:
DuniaUhalifu unaofanywa na Utawala wa Kizayuni Hauwezi Kudhoofisha Kudai Haki na Kusimama Imara Watu wa Yemen
Hawza/ Jumuiya ya Walimu wa Hawza Tukufu ya Qum (J'amiatul-Mudarrisin) imetoa taarifa na kulaani shambulio la kinyama lililofanywa na utawala muhalifu wa Kizayuni mjini Sanaa, na kupelekea kuuawa…
-
DuniaHarakati ya Umma wa Lebanon: Kuuwawa Waziri Mkuu wa Yemen ni jinai ya Kizayuni inayokiuka mamlaka ya umma
Hawza/ Harakati ya Umma ya Lebanon katika tamko lake imetoa mkono wa pole kwa kuuwawa kishahidi kwa Ahmad Ghalib Al-Rahwi, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Yemen, pamoja na idadi ya mawaziri wa nchi…
-
DuniaHizbullah: Uvamizi wa kinyama dhidi ya Yemen ni jinai mpya iliyoongezwa kwenye jalada la jinai za Wazayuni
Hawza/ Hizbullah katika tamko lake imetoa rambirambi zake za dhati na pole za kina kwa taifa ndugu la Yemen na uongozi wake wa mapambano chini ya uongozi wa Sayyid Abdulmalik Badruddin Al-Houthi
-
DuniaAl-Wala’i: Kupata Shahada viongozi wa Yemen ni Sanadi ya utiifu wa taifa hili kwa dhamira ya Palestina
Hawza/ Katibu Mkuu wa Kataib Sayyid al-Shuhada, ameeleza kuwa kuuawa kishahidi kwa viongozi wa Yemen katika shambulio la hivi karibuni lililofanywa na utawala wa Kizayuni ni ushahidi wa utiifu…
-
DuniaRais wa Baraza Kuu la Ja‘fariyya Pakistan: Mashambulizi ya kinyama yanayofanywa na Israel dhidi ya Yemen ni uvunjaji wa wazi wa sheria za kimataifa
Hawza/ Sayyid Zawar Hussein Naqawi, katika tamko lake, amelaani vikali mashambulizi ya kinyama yanayofanywa na utawala ghasibu wa Kizayuni dhidi ya Yemen
-
DuniaJeshi la Yemen lashambulia Uwanja wa Ndege wa Ben Gurion na malengo mawili ya adui Mwisraeli huko Yafa na Asqalan
Hawza / Jeshi la Yemen limetangaza kufanikisha operesheni tatu kwa kulenga Uwanja wa Ndege wa “Ben Gurion” ulioko katika eneo la uvamizi wa Yafa na malengo mawili ya adui Mwisraeli katika ardhi…