Ansarullah (18)
-
Imam wa Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaKuuwawa kishahidi Waziri Mkuu na viongozi mashuhuri wa Yemen hakukuathiri mwendelezo wa mapambano ya Yemen
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanji alisema: Kuuwawa kishahidi Waziri Mkuu wa Yemen pamoja na viongozi wengine 21 mashuhuri wa Yemen hakukuathiri mwendelezo wa mapambano…
-
Ayatullah Saidi katika Swala ya Ijumaa Qom, nchi Iran:
DuniaUshirikiano wa wananchi umeangamiza njama za Marekani na utawala wa Kizayuni / “Umoja” ndii suluhisho katika kuueneza Uislamu duniani
Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom alisema: “Utawala wa Kizayuni ulidhani kwamba, kwa kudhoofisha imani ya wananchi na kuchichea kukata tamaa ungeweza kutikisa misingi ya serikali, lakini mshikamano…
-
DuniaKiongozi wa Jamaat-e-Islami Pakistan: Kujitolea kwa Iran katika kuiunga mkono Palestina ni fahari kwa Umma wa Kiislamu
Hawza/ Hafiz Naeemur Rehman katika hotuba yake alisisitiza kwamba kujitolea kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuliunga mkono taifa la Palestina ni chanzo cha fahari kwa umma wa Kiislamu…
-
Balozi wa Yemen nchini Iran:
DuniaChanzo cha matatizo katika ukanda huu ni uvimbe wa saratani wa Kizayuni
Hawza/ Ibrahim Muhammad al-Daylami, huku akilaani ukimya wa nchi za Kiarabu na Kiislamu mbele ya uvamizi wa utawala wa Kizayuni, ameitaja Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kama mlinzi pekee wa kweli…
-
DuniaRais wa Kituo cha Utafiti cha Bunge: Mikakati ya pamoja ya Yemen imedhoofisha biashara ya baharini ya utawala wa Kizayuni
Hawza/ Babak Negahdari alibainisha kuwa hatua za Yemen si tu zimeongeza gharama za utawala wa Kizayuni na Marekani katika eneo, bali pia zimeutikisa ubeberu kwenye sekta ya kiuchumi hasa Marekani,…
-
DuniaTamko la Pamoja la Wawakilishi wa Ataba Tukufu za Iran Kuhusu Kulaani Jinai iliyofanywa na Utawala wa Kizayuni Nchini Yemen
Hawza/ Kamati ya Wawakilishi wa Ataba Tukufu Iran wamelaani vikali shambulizi la kigaidi, la kinyama na lisilo la haki lililofanywa na utawala haramu wa Kizayuni dhidi ya taifa huru na wananchi…
-
DuniaUmoja wa Ulamaa wa Muqawama Ulimwenguni: Jinai zinazofanywa na Wazayuni Haziwezi Kudhoofisha Azma ya Taifa la Yemen
Hawza/ Umoja wa Ulamaa wa Muqawama Ulimwenguni, kufuatia shambulizi la anga lililofanywa na utawala wa Kizayuni lililolenga kikao rasmi cha kiserikali mjini Sana’a, mji mkuu wa Yemen, umetuma…
-
DuniaChama cha Ustawi wa Kitaifa cha Afghanistan: Kunyamaza dhidi ya ugaidi waliofanyiwa viongozi wa Yemen, kunachochea uvamizi unaoendelezwa na Israeli
Hawza/ Katibu Mkuu wa Chama cha Ustawi wa Kitaifa cha Afghanistan amelaani mauaji ya kigaidi dhidi ya Waziri Mkuu na mawaziri wa Yemen, na akaonya kwamba endapo ulimwengu wa Kiislamu hautachukua…
-
Taarifa ya Jumuiya ya Walimu wa Hawza Tukufu ya Qum, Kuhusu Kulaani Mauaji ya Kigaidi Dhidi ya Baadhi ya Mawaziri wa Yemen:
DuniaUhalifu unaofanywa na Utawala wa Kizayuni Hauwezi Kudhoofisha Kudai Haki na Kusimama Imara Watu wa Yemen
Hawza/ Jumuiya ya Walimu wa Hawza Tukufu ya Qum (J'amiatul-Mudarrisin) imetoa taarifa na kulaani shambulio la kinyama lililofanywa na utawala muhalifu wa Kizayuni mjini Sanaa, na kupelekea kuuawa…
-
DuniaHarakati ya Umma wa Lebanon: Kuuwawa Waziri Mkuu wa Yemen ni jinai ya Kizayuni inayokiuka mamlaka ya umma
Hawza/ Harakati ya Umma ya Lebanon katika tamko lake imetoa mkono wa pole kwa kuuwawa kishahidi kwa Ahmad Ghalib Al-Rahwi, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Yemen, pamoja na idadi ya mawaziri wa nchi…
-
DuniaHizbullah: Uvamizi wa kinyama dhidi ya Yemen ni jinai mpya iliyoongezwa kwenye jalada la jinai za Wazayuni
Hawza/ Hizbullah katika tamko lake imetoa rambirambi zake za dhati na pole za kina kwa taifa ndugu la Yemen na uongozi wake wa mapambano chini ya uongozi wa Sayyid Abdulmalik Badruddin Al-Houthi
-
DuniaAl-Wala’i: Kupata Shahada viongozi wa Yemen ni Sanadi ya utiifu wa taifa hili kwa dhamira ya Palestina
Hawza/ Katibu Mkuu wa Kataib Sayyid al-Shuhada, ameeleza kuwa kuuawa kishahidi kwa viongozi wa Yemen katika shambulio la hivi karibuni lililofanywa na utawala wa Kizayuni ni ushahidi wa utiifu…
-
DuniaRais wa Baraza Kuu la Ja‘fariyya Pakistan: Mashambulizi ya kinyama yanayofanywa na Israel dhidi ya Yemen ni uvunjaji wa wazi wa sheria za kimataifa
Hawza/ Sayyid Zawar Hussein Naqawi, katika tamko lake, amelaani vikali mashambulizi ya kinyama yanayofanywa na utawala ghasibu wa Kizayuni dhidi ya Yemen
-
DuniaJeshi la Yemen lashambulia Uwanja wa Ndege wa Ben Gurion na malengo mawili ya adui Mwisraeli huko Yafa na Asqalan
Hawza / Jeshi la Yemen limetangaza kufanikisha operesheni tatu kwa kulenga Uwanja wa Ndege wa “Ben Gurion” ulioko katika eneo la uvamizi wa Yafa na malengo mawili ya adui Mwisraeli katika ardhi…
-
DuniaUtawala wa Kizayuni wawaajiri “Wayahudi wa Yemeni” kwa Ajili ya Ujasusi na kuwaibia Siri
Hawza/ Kwa mujibu wa ripoti ya habari moja, utawala wa Kizayuni baada ya kushindwa kuelewa lahaja za Wayemeni katika usikilizaji wa siri, umelazimika kuajiri Wayahudi wa Yemeni ili kuwasaidia…
-
DuniaAnsarullah: Msaada wa baadhi ya nchi za Kiislamu na Kiarabu kutokana na kuzingirwa Ghaza ni aibu kubwa!
Hawza/ Mmoja wa wajumbe wa kisiasa wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amekosoa vikali baadhi ya serikali za Kiarabu na Kiislamu kwa kushirikiana na utawala wa Kizayuni wenye damu mikononi mwake…
-
Kiongozi wa Ansarullah Yemen:
DuniaMakombora ya Iran ni sawa na jinamizi kwa Wazayuni
Hawza/ Sayyid Abdulmalik Badruddin al-Houthi, ametoa pongezi kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kutokana na ushindi wake katika vita vilivyoanzishwa kwa kulazimishwa na utawala dhalimu wa Kizayuni,…
-
Katika kumbukumbu ya kuadhimisha mwaka wa ukombozi kusini mwa Lebanon:
DuniaAnsarullah Yemen wamehakikisha kuendeleza njia ya Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah
Hawza/ Ansarullah Yemen imetoa salamu za pongezi kwa Katibu Mkuu wa Hizbullah, muqawama wa Kiislamu wa Lebanon, na wananchi wa nchi hiyo, kwa mnasaba wa siku ya mapambano na ukombozi wa kusini…