Shirika la Habari la Hawza, limechapisha riwaya ifuatayo kutoka katika kitabu cha «Al-Kafi».
Imam Muhammad Baqir (as):
«رَحِمَ اللهُ امرَءاً ألَّفَ بَینَ وَلِیَّینِ لَنا، یا مَعشَرَ المُؤمِنِینَ، تَألَّفُوا وتَعاطَفوا.»
“Mwenyezi Mungu amrehemu mtu ambae amepatanisha na kuleta uhusiano wa upendo baina ya watu wawili miongoni mwa marafiki zetu. Enyi waumini! Jengeni ukaribu na maelewano baina yenu, na muhurumiane.”
Al-Kafi, Juzuu ya 2, uk. 345.
Maoni yako