Jumamosi 29 Machi 2025 - 13:16
Matembezi makubwa ya Siku ya Quds yafanyika katika Mji wa Islamabad Pakistan

Shura ya Ulamaa wa Kishia na Shirika la wanafunzi wa Jafariya Islamabad  Pakistan waliongoza maandamano makubwa baada ya Swala ya Ijumaa, yakilenga kupinga uvamizi haramu wa Qibla cha kwanza cha waislamu (Qudsi), uliofanywa na utawala wa Kizayuni.

Shirika la Habari la Hawza limeripoti kuwa, shura ya Ulamaa wa Kishia na Shirika la wanafunzi wa Jafariya Nchini  Pakistan waliongoza maandamano makubwa baada ya Swala ya Ijumaa, yaliyolenga kupinga uvamizi haramu wa Qibla cha kwanza cha waislamu (Qudsi), uliofanywa na utawala wa Kizayuni.

Lebo

Maoni yako

You are replying to: .
captcha